DADA WA KAZI 💞 Love story | DONTA TV

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 617

  • @PaulKamanu
    @PaulKamanu 6 місяців тому +34

    kelvin na watu wako na waoenda xna kwa KAZI nzuri from kenya

  • @TuyajengeYaishe-q8v
    @TuyajengeYaishe-q8v 6 місяців тому +35

    Lovely unanifulahisha kwel ndg yang unavyo mlalamikia dada ako

  • @bazuriomari
    @bazuriomari 6 місяців тому +6

    Movie zenu zinazidi kunimaliza yani ni zuri lakini ninahamu yakumaliza movie moja moja

  • @BrunoMuyumba
    @BrunoMuyumba 2 місяці тому +6

    Mi na chekanga tu 😂😂😂😂

  • @hellenrobi5775
    @hellenrobi5775 19 днів тому +2

    Kama mm hapa mnanichanganya sana panga kazi DONTA TV nawapenda kutoka 🇰🇪 Kenya

  • @IssaYassin-y2t
    @IssaYassin-y2t 6 місяців тому +25

    uko makini kaka me nakukbar sana mjombaa enderea kufanya kaz nzr san

  • @BarakaBoniface-yb6yj
    @BarakaBoniface-yb6yj 6 місяців тому +8

    Kelvin nakukubal sana sema movie zako nyingi unazitoa hazifiki mwisho zinaishia njiani inakuwa cyo poa

  • @Almostaphiq
    @Almostaphiq 6 місяців тому +243

    Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲

    • @emmanuelgwanchele4168
      @emmanuelgwanchele4168 6 місяців тому +17

      Ata mm nmewachoka mwishowe tunasahau hatujifunzi Tena hatujui tufatilie ipi Sasa!! Wameanza kuboa

    • @yasirhassan7438
      @yasirhassan7438 6 місяців тому +18

      Nilijua naliona hii pekeyangu. Halaf kuna zingine hawazimalizii kama ile Vampaya mpaka leo

    • @zai-q2e
      @zai-q2e 6 місяців тому +5

      Hata mm mh

    • @busimebiringanine5800
      @busimebiringanine5800 6 місяців тому +8

      Hata na Mimi nimeyaona

    • @Almostaphiq
      @Almostaphiq 6 місяців тому +9

      Yaani mpaka kero walah

  • @simonmchilo1032
    @simonmchilo1032 6 місяців тому +20

    Hawezi kutega watu huyo😂😂😂 mimi angeweza kula hata mitama

  • @drinnerfuraha1161
    @drinnerfuraha1161 6 місяців тому +22

    Imeweza kma kawa❤❤❤

    • @DAUDICHALO
      @DAUDICHALO 6 місяців тому +2

      Mambo dada 💖

  • @roseshayo3738
    @roseshayo3738 6 місяців тому +49

    Malizeni series moja ndio muingie nyingine! Yaani mnaboa! Kama na wewe unakerwa kama mimi gonga like hapo

    • @Dontaplus
      @Dontaplus  6 місяців тому +3

      Tukifanya kazi moja 2 utatupa hela ya kula wewe? Mbona kina gabo mnawaangalia azam mnawaangalia dstv mnawaangalia startimes na wao wanafanya kazi moja? Hapa mjini rafiki yangu uwezi kuishi kwa kazi moja tu ... kikudi kizima akiwezi kuishi kwa kazi moja ukiona kazi zingine zinakuboa subiria itoke iyo unayo itaka wewe ni shabiki yetu na tunakupenda na kukuheshimu ukitaka tufanye unavyo taka wewe tupe na hela ya kula sasa

    • @humaydahomary8647
      @humaydahomary8647 6 місяців тому

      😂 huu muandiko wa brown kabisa 😂😂😂

    • @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci
      @BarakaGabrielMwampamba-kj8ci 5 місяців тому

      Hapana atakuwa kelvin au roveness maana haiwezekan kuwa mzuri kwa Kila kitu daa 😂😂😂😂😂 lakini nawewe umekosea siyo muandiko unatamkwa mwandiko

    • @ameirdarueshi2593
      @ameirdarueshi2593 5 місяців тому

      ​@@Dontaplusoya mwamba umekosea kujibu usimjibu ivo shabiki wako wowote yule

    • @SungaUnzaly
      @SungaUnzaly 3 місяці тому

      Tena wanaboa aswaa

  • @ClaraMunisi
    @ClaraMunisi 5 місяців тому +14

    Loveness wajina wangu, nakupenda sana unafanya reality ya jina mpaka kwenye movie❤❤❤

  • @BabyvisterMjeni
    @BabyvisterMjeni 6 місяців тому +13

    Mbona brown umekonda

  • @GerrardNdola-l1v
    @GerrardNdola-l1v 6 місяців тому +57

    Kuhusu Kelvin weweeeeh wote nimewamwagia like zakutosha ila na mm msiniche bure jaman Kelvin anawezag sana uyu mkaka
    JERRY from United ❤❤❤

    • @Kambachurchgal-hg4zx
      @Kambachurchgal-hg4zx 6 місяців тому +2

      💯💯

    • @hilamvicent6720
      @hilamvicent6720 6 місяців тому

      Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa
      Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa

    • @GradnessMarico
      @GradnessMarico 6 місяців тому

      Leteni kesho yangu bana

  • @hafidhyussuf7245
    @hafidhyussuf7245 6 місяців тому +8

    ❤ mbona mumifanya fupi ilioisha na utam lengo limeelieka ila mbona ingekua poa Zaid kujua mengi tukajifunza zaid

  • @SamweliPhanueli
    @SamweliPhanueli 6 місяців тому +12

    Hahaha jamani hata kama nikutega sio hivo

  • @utukufu133
    @utukufu133 6 місяців тому +35

    Donta Family naombeni namba ya loveness nampenda

  • @stephanomgallah6358
    @stephanomgallah6358 6 місяців тому +6

    Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..

  • @Annwanjiroombati
    @Annwanjiroombati 2 місяці тому +2

    Wou, Huyo ni kevin na love nes, mnabamba sana

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 6 місяців тому +45

    Wa4 naombeni like zangu 🎉🎉

  • @jaromeedward781
    @jaromeedward781 6 місяців тому +31

    Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤

    • @JumaRashidy-r5x
      @JumaRashidy-r5x 6 місяців тому +1

      Kwaiyo we unafurahishwa na mwenendo wa hawa jamaa yaan hawamalizi move wanatoa nyingine mi naona wanatuchanganya tu

    • @happyfania9384
      @happyfania9384 6 місяців тому

      Hajui hata kutega

    • @HillaryKeraryo-yb1oy
      @HillaryKeraryo-yb1oy 5 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂haelew😊​@@JumaRashidy-r5x

    • @DeusAlphonce-mo9bw
      @DeusAlphonce-mo9bw 5 місяців тому

      Kwel ​@@JumaRashidy-r5x

    • @HassanMwachili-lp2gj
      @HassanMwachili-lp2gj 5 місяців тому

      @@JumaRashidy-r5x 00)

  • @ShukuCalu
    @ShukuCalu 6 місяців тому +29

    Like zangu naomben

  • @gracejames-o7
    @gracejames-o7 5 місяців тому +6

    Jamanii kalvin nimekupendaa coz uko na good content am proud for listen u

  • @YussufuYussufu-xo6we
    @YussufuYussufu-xo6we 6 місяців тому +12

    Nakubali movie Zeni yussuph kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥

  • @GraceVISAMAYANI-gj1xm
    @GraceVISAMAYANI-gj1xm 6 місяців тому +6

    Asante,Ila muendelezo wa kesho Yangu

  • @edsonipaulo
    @edsonipaulo 6 місяців тому +10

    tunawapenda natunapenda mnachofanya. ombi binafsi naomba muwe na utaratibu mzuri wakuachia vipande kwautaratibu mzuri tujue tunafuatiliaje tusibahatishe mana tunapenda kaz zenu❤

    • @MirshuuMakame
      @MirshuuMakame 6 місяців тому +2

      Ni kwel kbsa munafany vzr ad tunawaz tuanglie wap

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 6 місяців тому +7

    Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂

  • @Abera662
    @Abera662 6 місяців тому +5

    Hapo Sasa nadhani itakuwa tamu kama Dada wa kazi na kijana tajiri maua🌹🌹🌹Kalvim from Kigali🇷🇼🇷🇼

  • @ConslataOkumu-qg7hs
    @ConslataOkumu-qg7hs Місяць тому +2

    Jamani limalizeni lile movie ya penzi la mtoto wa boss episode 10 au 11

  • @MineniAbedialphonce
    @MineniAbedialphonce 6 місяців тому +3

    Lovess mtoto wakike mtamu kama hasali,Donta mmetowa wapi uyu kwa wamasai au usukumani au hiringa kabisa jameni mniambie

  • @HamiduKabondo
    @HamiduKabondo 6 місяців тому +8

    Ndugu zangu akina kevi ntawapenda sana ila jitaidini kidogo kuitoa kwawakati firam yenu ya kesho yangu naipenda sana

  • @AhadiBwanyungu-j6s
    @AhadiBwanyungu-j6s 6 місяців тому +5

    wadada nihatari munapenda wawapelekeye moto saana yaani mudada kamahaujapelekewa moto hamujisikiyagi vizuri nawapa polezaidi

  • @Dicky576
    @Dicky576 6 місяців тому +6

    Mambo ni 🔥 Nakubaree sanaa hii fmlier ❤

  • @CosmasSengenge
    @CosmasSengenge 6 місяців тому +10

    Ebu tupeni series ya kesho yangu tuimalize kwanza ndo muachie kazi nyingine. Mnashusha mvuto wa chaneli yenu kuachia muvi nuinginyingi

  • @marxk1186
    @marxk1186 6 місяців тому +33

    Aliyetengeneza Hilo beat la mbosso naomba namba zake😂😂😂😂😂

  • @EdwinRutunda
    @EdwinRutunda 6 місяців тому +5

    Kelvin mnaanza kuzengua malizia kwanza kesho yangu

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 6 місяців тому +6

    Napenda Kevin akiigiza na blauni na hao wadada so MTU mwengine

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 6 місяців тому +1

      Hhhhh atmm pia nampenda san kev na wat wak

  • @JerrysonMahumbi
    @JerrysonMahumbi 6 місяців тому +10

    Kuwen na mpangilio wa Kaz co Kila cku mnatoa mpya bila kumaliz iliyopta

  • @MichaelGeorge-hr4dk
    @MichaelGeorge-hr4dk 5 місяців тому +4

    Loveness nakupenda San naomba naomba yako❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 6 місяців тому +6

    Nyie waingizaji mnaboo ssa hampangi kaz yenu vizur kwa ssa😏 ushaur kama movie haitoendelea don't sey can't writing episode 2🥺🥺🥺mtatufkuza

  • @ZakaboyMusa
    @ZakaboyMusa 6 місяців тому +6

    Sawa bana loveness.

  • @HarrietNaserian-y2s
    @HarrietNaserian-y2s 6 місяців тому +48

    Vipi wakuu like za wa kwanza mkipita

  • @KHADIJAMASIGA-d7m
    @KHADIJAMASIGA-d7m 6 місяців тому +5

    Kelvin uko pw sana bro

  • @Ali_Ngabwe
    @Ali_Ngabwe 5 місяців тому +5

    Nyie wot mnataka nin sasa 🇨🇩🇨🇩

  • @NdereyimanaLucien
    @NdereyimanaLucien 6 місяців тому +20

    Leo nimewahi 😂😂😂❤❤like zangu

  • @sadiomane124
    @sadiomane124 5 місяців тому +5

    Ngamia wang anifaaye jangwani nmemuombea dua 2siishie njian

  • @RammyanLewah
    @RammyanLewah 6 місяців тому +4

    Wana donta family nawakubali kwa movie zenu, ❤❤❤

  • @ahmadjuma5677
    @ahmadjuma5677 6 місяців тому +2

    aisee Hii movie ya dada wa kaz inafaa iendelee maaana inamafunzo sana but mmpo vizuli na mungu azidi kuwapigania inshallah

  • @LucshukuruLuc
    @LucshukuruLuc 2 місяці тому +1

    Kevin unanikumbusha kanumba kila kutizama filam zako yaani napata mashauri

  • @CharlesMikipi
    @CharlesMikipi 2 місяці тому +1

    Mwajina mwenzangu Victoria nimekupenda bule❤❤❤ kaka kelvi pia ❤❤❤

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 місяців тому +10

    Makusudiii ayooo sasa calvin fanyaaaa yako😅😅😅😅usiache nyamaaaa

  • @madamlina-nf7ed
    @madamlina-nf7ed 2 місяці тому +1

    Napenda kweli kazi zako tatizo mnatuchanganya

  • @MariamRwandobi
    @MariamRwandobi 2 місяці тому +2

    Kelvin brown na love mko vizuri na love umenichekesha sana na hiyo piga yako deki😂😂😂😂

  • @thabitharange-vz2ru
    @thabitharange-vz2ru 6 місяців тому +19

    😂😂jamani loveness na Kevin mumenichekesha haki😂

  • @ChirstinaGidion
    @ChirstinaGidion 6 місяців тому +15

    Kevin na huyu jamaa yako nawengine pia mnakipaji

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 6 місяців тому +17

    Hata kama story tofauti ila inabowa

  • @edsondomino8573
    @edsondomino8573 6 місяців тому +2

    Yaan movie yeyote akiwepo loveness na kelvin naeinjoi kinoma yaaan🎉🎉❤❤

  • @LucyLucy-me5ge
    @LucyLucy-me5ge 6 місяців тому +12

    Lakini hamtendi Hali kutumyima ile mchezo wetu pendwa WA kesho yanguu

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 6 місяців тому +3

    😂😂😂😂nitakufaa kwa kuchekaa Loveness ❤❤

  • @FailaQueen-qm4dt
    @FailaQueen-qm4dt 6 місяців тому +2

    Jamani sielewe tena mouvie zenu 😢mimi kwa nini iviii jamani nikiandika dada wa kazi kunakuja penzi la dada wa kazi😢 nifanyeje mimi😢

  • @AgueroBoaz-ei5qt
    @AgueroBoaz-ei5qt 6 місяців тому +2

    Uyo sijui vicky nae avaage vi jola analiumbo libaya daaah na misuluali hiyooo

  • @MwahijaKhatibu
    @MwahijaKhatibu 6 місяців тому +6

    Locatio imebadilikaaa nice

  • @GloriaLizy
    @GloriaLizy 2 місяці тому +2

    Napenda hizi moves nikiwa Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AishaSalem-g2v
    @AishaSalem-g2v 6 місяців тому +4

    Kk kelvin na bro braun mko vizur sana aki mungu awabarik❤

    • @MoodyAbdallah-t5d
      @MoodyAbdallah-t5d Місяць тому

      Wanaume wote wangekuwa kama kelvin ingekuwa sawa kweli

  • @Nadzuamwatsenze
    @Nadzuamwatsenze 6 місяців тому +6

    Wooooh, kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RammyanLewah
    @RammyanLewah 6 місяців тому +2

    Aki loveness umenchekesha sana navitendo vyako, umenfanya nrudi Tena apa😂😂😂

  • @AmozKibet
    @AmozKibet 2 місяці тому +6

    Naipenda sana wa kwanza kutoka kenya nawaombeni likes

  • @Joksmart
    @Joksmart 6 місяців тому +9

    Kesho yangu vip Boss

  • @FrolahRubunda
    @FrolahRubunda 3 місяці тому +1

    Mmmmh lovenes duuh umetish unasaut nzur

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 6 місяців тому +4

    victoria na Loveness 😂😂 Tena Nyie Tena
    mkuwa Dada na mdg wake

  • @GetrudaSanga-d7l
    @GetrudaSanga-d7l 6 місяців тому +3

    Khelvin uko serious jaman khaaaah 😂😂😂😂 hatar sana

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 місяців тому +10

    Ilaaaa wewe loveness makusudiii ayo

    • @MagrethBugingo
      @MagrethBugingo 6 місяців тому +1

      Mnaekiti vzr sema watu wanavoongea awana shukurani wanaekiti vzr

  • @NasraJuma-u9u
    @NasraJuma-u9u 6 місяців тому +3

    😂😂lovenesss upewe mauwa yako🎉🎉

  • @IsackIbrah
    @IsackIbrah 6 місяців тому +4

    Lovenes mbona sasaivi unalificha ficha sana hilo tumbo mamaaa manguo nguo kibao wakati sio kawaida yako😂😂😂😂

    • @GodiasLeking
      @GodiasLeking 4 місяці тому +1

      😊😢❤😮😂😅😮😢

  • @TontonKapafule
    @TontonKapafule 2 місяці тому +1

    ce filme et vraiment belle leçon pour tout le monde

  • @HamphreyMafwenyi
    @HamphreyMafwenyi 5 місяців тому +2

    Makubwa lovenes

  • @NezaMerry434
    @NezaMerry434 4 місяці тому +1

    My like from Rwanda 👍👍👍🇷🇼

  • @maulidipingika4452
    @maulidipingika4452 5 місяців тому +2

    Donta mmekuwq wababaishaji

  • @bennimubona6105
    @bennimubona6105 6 місяців тому +4

    Is this new one? Waooo please washe motooo

  • @elikaiman1332
    @elikaiman1332 6 місяців тому +3

    Duh jaman malizen move za mda ndo mlushe zingine jmn duh inatakiwa ikiisha moja post nyingine duh 🙈 but nawapenda hivyo hivyo watu wa maana kabisa

  • @TobiasLazaro
    @TobiasLazaro 5 місяців тому +3

    Muko vizuri

  • @adozenaziz8362
    @adozenaziz8362 6 місяців тому +1

    aaaaaah mixer uku donta plus uku donta family mmmh soon naleft

  • @CharityGilla
    @CharityGilla 6 місяців тому +2

    Waoh donta tv mnajua be blessed sana ❤❤❤❤ngamia wang anifae jangwan nimemuombea dua tusiishie njian😅😅

    • @FricoStore
      @FricoStore 6 місяців тому

      Ngamia wako kasha anza kulewa sifa huyu

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 6 місяців тому +2

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @KenedyMusonda
    @KenedyMusonda 6 місяців тому +1

    It's really good I really like it even every part I have to like

  • @victornzoyihaya3385
    @victornzoyihaya3385 2 місяці тому +1

    Nikweli Kaka Yani niwajipange Sawa Sawa moja kwa moja kama ni story iwe na épisode zake tuiangalie mpaka iyishe alfu tufate ingine story na épisode zake

  • @Matridadominic
    @Matridadominic 6 місяців тому +1

    Kelv pangilia kazi zako vizuri,, unapoteza ubora wa kukufatilia aisee

  • @HillaryKeraryo-yb1oy
    @HillaryKeraryo-yb1oy 5 місяців тому +2

    Vampire imeishia juu kwa juu😂😂😂

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 6 місяців тому +8

    Wakenya tunawapenda sanaaa❤❤❤❤

  • @OBARIOSCAR
    @OBARIOSCAR 8 днів тому

    Munanifunza mengi sana..Nawapa Swadakta..Shukrani sana,Kevin,Loveness...na wengine

  • @DimaillOfficial
    @DimaillOfficial 5 місяців тому +3

    Kwani ukicoment mara mbili dhambi!😃😃😃
    Brown ni chawa hatari😁😁😁

  • @GloriaMtana
    @GloriaMtana 6 місяців тому +4

    Loveness jamani🎉🎉

  • @ALEXNGUSSA-k6f
    @ALEXNGUSSA-k6f 5 місяців тому +1

    Laviness njoo nikupe darasa

  • @MalengaAsende-h9u
    @MalengaAsende-h9u 6 місяців тому +1

    Mnazingua sana ,mnatoa movies nyingi alafu hazifiki mwisho

  • @GershomWekesa
    @GershomWekesa 6 місяців тому +1

    Pahali mimi naboeka ni unaezakuwa unabambika na episode zina_flow all of a sudden ishabadilika ama wanakawia sana ku_shoot movie zikifwatana (nk Kenya

  • @ImaMwele
    @ImaMwele 6 місяців тому +5

    Kila mtu nimewai me Niko to kidg Nimechelewa kdg😂😂

  • @hafsahmassemoh3598
    @hafsahmassemoh3598 6 місяців тому +2

    TAMAA MBAYA

  • @JamesMaseya-gb1eq
    @JamesMaseya-gb1eq 6 місяців тому +4

    Lovenes kafanya vizuri lakini angekuwa tina sijui ingekuwaje kama namuona ningecheka sana

    • @beautifulafrica6886
      @beautifulafrica6886 6 місяців тому +2

      😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣

    • @JamesMaseya-gb1eq
      @JamesMaseya-gb1eq 6 місяців тому +1

      Naona umecheka sana nini siri ya furaha mwenzetu?

    • @beautifulafrica6886
      @beautifulafrica6886 6 місяців тому +2

      @@JamesMaseya-gb1eq kunasiri basi kufuraitu

  • @hamisisalim
    @hamisisalim 6 місяців тому +1

    Hatujaelewa na imefika mwisho please tufafanulieni kama mtaiendeleza please 🙏🏽

  • @hakizimanaferuzi2759
    @hakizimanaferuzi2759 6 місяців тому +1

    Kwa ukweli donta tv munatubowa sana kesho yangu ndo tunataka muwe munamaliziya series kwanza ndo unatowa igine please tunawaomba