Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Tukifanya kazi moja 2 utatupa hela ya kula wewe? Mbona kina gabo mnawaangalia azam mnawaangalia dstv mnawaangalia startimes na wao wanafanya kazi moja? Hapa mjini rafiki yangu uwezi kuishi kwa kazi moja tu ... kikudi kizima akiwezi kuishi kwa kazi moja ukiona kazi zingine zinakuboa subiria itoke iyo unayo itaka wewe ni shabiki yetu na tunakupenda na kukuheshimu ukitaka tufanye unavyo taka wewe tupe na hela ya kula sasa
Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa
Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..
Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤
Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂
Nikweli Kaka Yani niwajipange Sawa Sawa moja kwa moja kama ni story iwe na épisode zake tuiangalie mpaka iyishe alfu tufate ingine story na épisode zake
kelvin na watu wako na waoenda xna kwa KAZI nzuri from kenya
Lovely unanifulahisha kwel ndg yang unavyo mlalamikia dada ako
Movie zenu zinazidi kunimaliza yani ni zuri lakini ninahamu yakumaliza movie moja moja
Mi na chekanga tu 😂😂😂😂
Kama mm hapa mnanichanganya sana panga kazi DONTA TV nawapenda kutoka 🇰🇪 Kenya
uko makini kaka me nakukbar sana mjombaa enderea kufanya kaz nzr san
Kelvin nakukubal sana sema movie zako nyingi unazitoa hazifiki mwisho zinaishia njiani inakuwa cyo poa
Mm kiukweli nimeanza kuichukia chaneli ya DONTA TV kwasababu hawana utaratibu kanuni wakuachia kazi kwa mpangilio leo utaangalia hii kesho tamthilia nyingine ndani ya week moja utaangalia tamthilia zaidi ya kumi tena zikiwa tofauti tittle hivyo ninashindwa niangilie ipi niache ipi so nimeumia haswaaa napatikana ZAMBIA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Ata mm nmewachoka mwishowe tunasahau hatujifunzi Tena hatujui tufatilie ipi Sasa!! Wameanza kuboa
Nilijua naliona hii pekeyangu. Halaf kuna zingine hawazimalizii kama ile Vampaya mpaka leo
Hata mm mh
Hata na Mimi nimeyaona
Yaani mpaka kero walah
Hawezi kutega watu huyo😂😂😂 mimi angeweza kula hata mitama
Imeweza kma kawa❤❤❤
Mambo dada 💖
Malizeni series moja ndio muingie nyingine! Yaani mnaboa! Kama na wewe unakerwa kama mimi gonga like hapo
Tukifanya kazi moja 2 utatupa hela ya kula wewe? Mbona kina gabo mnawaangalia azam mnawaangalia dstv mnawaangalia startimes na wao wanafanya kazi moja? Hapa mjini rafiki yangu uwezi kuishi kwa kazi moja tu ... kikudi kizima akiwezi kuishi kwa kazi moja ukiona kazi zingine zinakuboa subiria itoke iyo unayo itaka wewe ni shabiki yetu na tunakupenda na kukuheshimu ukitaka tufanye unavyo taka wewe tupe na hela ya kula sasa
😂 huu muandiko wa brown kabisa 😂😂😂
Hapana atakuwa kelvin au roveness maana haiwezekan kuwa mzuri kwa Kila kitu daa 😂😂😂😂😂 lakini nawewe umekosea siyo muandiko unatamkwa mwandiko
@@Dontaplusoya mwamba umekosea kujibu usimjibu ivo shabiki wako wowote yule
Tena wanaboa aswaa
Loveness wajina wangu, nakupenda sana unafanya reality ya jina mpaka kwenye movie❤❤❤
Mbona brown umekonda
Kuhusu Kelvin weweeeeh wote nimewamwagia like zakutosha ila na mm msiniche bure jaman Kelvin anawezag sana uyu mkaka
JERRY from United ❤❤❤
💯💯
Yan zipo series Kama tano Yan wametoa kama wamevulugwa
Uku KESHO YANGU ndo ilitakiwa waimalize Yan had mood ya kuangalia movie zao inaisha mi nawapenda Sana Ila wanaelekea kunkatsha tamaa
Leteni kesho yangu bana
❤ mbona mumifanya fupi ilioisha na utam lengo limeelieka ila mbona ingekua poa Zaid kujua mengi tukajifunza zaid
Hahaha jamani hata kama nikutega sio hivo
😂😂😂
Donta Family naombeni namba ya loveness nampenda
😂
Umemtamani umbwa ww😂😂
Umalaya
😂😂😂
Hakuna namba ya cm
Nakupa bigap sanaa Kelvin na me ni mshabik wa kwanza kkielewa na upo vzr sanaa na mungu azidi kkpa ulinzi wa maisha yako na uzidi kutupa vitu vzr ndg yang..
Wou, Huyo ni kevin na love nes, mnabamba sana
Wa4 naombeni like zangu 🎉🎉
Kweli kaka zangu dada zangu muna chapa KAZI vizuli sana mungu awabaliki muzidi kushikamana maishaalefu kwenu wote mumenifundisha vingi sana Mimi kwenye KAZI zeni nipo Zambia❤
Kwaiyo we unafurahishwa na mwenendo wa hawa jamaa yaan hawamalizi move wanatoa nyingine mi naona wanatuchanganya tu
Hajui hata kutega
😂😂😂😂😂😂😂haelew😊@@JumaRashidy-r5x
Kwel @@JumaRashidy-r5x
@@JumaRashidy-r5x 00)
Like zangu naomben
Jamanii kalvin nimekupendaa coz uko na good content am proud for listen u
Nakubali movie Zeni yussuph kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥
Asante,Ila muendelezo wa kesho Yangu
tunawapenda natunapenda mnachofanya. ombi binafsi naomba muwe na utaratibu mzuri wakuachia vipande kwautaratibu mzuri tujue tunafuatiliaje tusibahatishe mana tunapenda kaz zenu❤
Ni kwel kbsa munafany vzr ad tunawaz tuanglie wap
Mimi ni meisha yani ni mecheka paka bas tu ameambiwa n dadake kaingize chumivi kidogo kidogo yeye anaanda kumimina patiki nzima yani mm ni mecheka paka bas😂😂
Hapo Sasa nadhani itakuwa tamu kama Dada wa kazi na kijana tajiri maua🌹🌹🌹Kalvim from Kigali🇷🇼🇷🇼
Jamani limalizeni lile movie ya penzi la mtoto wa boss episode 10 au 11
Lovess mtoto wakike mtamu kama hasali,Donta mmetowa wapi uyu kwa wamasai au usukumani au hiringa kabisa jameni mniambie
Ndugu zangu akina kevi ntawapenda sana ila jitaidini kidogo kuitoa kwawakati firam yenu ya kesho yangu naipenda sana
Yaani nikweli wanachelewa kutowa sijuwi wanafeli wapi '
Sanaaaa
wadada nihatari munapenda wawapelekeye moto saana yaani mudada kamahaujapelekewa moto hamujisikiyagi vizuri nawapa polezaidi
Mambo ni 🔥 Nakubaree sanaa hii fmlier ❤
Ebu tupeni series ya kesho yangu tuimalize kwanza ndo muachie kazi nyingine. Mnashusha mvuto wa chaneli yenu kuachia muvi nuinginyingi
Aliyetengeneza Hilo beat la mbosso naomba namba zake😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅
Kelvin mnaanza kuzengua malizia kwanza kesho yangu
Napenda Kevin akiigiza na blauni na hao wadada so MTU mwengine
Hhhhh atmm pia nampenda san kev na wat wak
Kuwen na mpangilio wa Kaz co Kila cku mnatoa mpya bila kumaliz iliyopta
Loveness nakupenda San naomba naomba yako❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nyie waingizaji mnaboo ssa hampangi kaz yenu vizur kwa ssa😏 ushaur kama movie haitoendelea don't sey can't writing episode 2🥺🥺🥺mtatufkuza
Sawa bana loveness.
Vipi wakuu like za wa kwanza mkipita
Kelvin uko pw sana bro
Nyie wot mnataka nin sasa 🇨🇩🇨🇩
Leo nimewahi 😂😂😂❤❤like zangu
Ngamia wang anifaaye jangwani nmemuombea dua 2siishie njian
Wana donta family nawakubali kwa movie zenu, ❤❤❤
aisee Hii movie ya dada wa kaz inafaa iendelee maaana inamafunzo sana but mmpo vizuli na mungu azidi kuwapigania inshallah
Kevin unanikumbusha kanumba kila kutizama filam zako yaani napata mashauri
Mwajina mwenzangu Victoria nimekupenda bule❤❤❤ kaka kelvi pia ❤❤❤
Makusudiii ayooo sasa calvin fanyaaaa yako😅😅😅😅usiache nyamaaaa
Napenda kweli kazi zako tatizo mnatuchanganya
Kelvin brown na love mko vizuri na love umenichekesha sana na hiyo piga yako deki😂😂😂😂
😂😂jamani loveness na Kevin mumenichekesha haki😂
😅😅😅
Wawishoo naombeni like zangu jamaniiih
😂😂
Kevin na huyu jamaa yako nawengine pia mnakipaji
Hata kama story tofauti ila inabowa
❤ you want
🎉 vw beetle
Yaan movie yeyote akiwepo loveness na kelvin naeinjoi kinoma yaaan🎉🎉❤❤
Lakini hamtendi Hali kutumyima ile mchezo wetu pendwa WA kesho yanguu
😂😂😂😂nitakufaa kwa kuchekaa Loveness ❤❤
Jamani sielewe tena mouvie zenu 😢mimi kwa nini iviii jamani nikiandika dada wa kazi kunakuja penzi la dada wa kazi😢 nifanyeje mimi😢
Uyo sijui vicky nae avaage vi jola analiumbo libaya daaah na misuluali hiyooo
Locatio imebadilikaaa nice
Napenda hizi moves nikiwa Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kk kelvin na bro braun mko vizur sana aki mungu awabarik❤
Wanaume wote wangekuwa kama kelvin ingekuwa sawa kweli
Wooooh, kz nzuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aki loveness umenchekesha sana navitendo vyako, umenfanya nrudi Tena apa😂😂😂
Naipenda sana wa kwanza kutoka kenya nawaombeni likes
Kesho yangu vip Boss
Mmmmh lovenes duuh umetish unasaut nzur
victoria na Loveness 😂😂 Tena Nyie Tena
mkuwa Dada na mdg wake
Khelvin uko serious jaman khaaaah 😂😂😂😂 hatar sana
Ilaaaa wewe loveness makusudiii ayo
Mnaekiti vzr sema watu wanavoongea awana shukurani wanaekiti vzr
😂😂lovenesss upewe mauwa yako🎉🎉
Lovenes mbona sasaivi unalificha ficha sana hilo tumbo mamaaa manguo nguo kibao wakati sio kawaida yako😂😂😂😂
😊😢❤😮😂😅😮😢
ce filme et vraiment belle leçon pour tout le monde
Makubwa lovenes
My like from Rwanda 👍👍👍🇷🇼
Donta mmekuwq wababaishaji
Is this new one? Waooo please washe motooo
Duh jaman malizen move za mda ndo mlushe zingine jmn duh inatakiwa ikiisha moja post nyingine duh 🙈 but nawapenda hivyo hivyo watu wa maana kabisa
Muko vizuri
aaaaaah mixer uku donta plus uku donta family mmmh soon naleft
Waoh donta tv mnajua be blessed sana ❤❤❤❤ngamia wang anifae jangwan nimemuombea dua tusiishie njian😅😅
Ngamia wako kasha anza kulewa sifa huyu
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
It's really good I really like it even every part I have to like
Nikweli Kaka Yani niwajipange Sawa Sawa moja kwa moja kama ni story iwe na épisode zake tuiangalie mpaka iyishe alfu tufate ingine story na épisode zake
Kelv pangilia kazi zako vizuri,, unapoteza ubora wa kukufatilia aisee
Vampire imeishia juu kwa juu😂😂😂
Wakenya tunawapenda sanaaa❤❤❤❤
Munanifunza mengi sana..Nawapa Swadakta..Shukrani sana,Kevin,Loveness...na wengine
Kwani ukicoment mara mbili dhambi!😃😃😃
Brown ni chawa hatari😁😁😁
Loveness jamani🎉🎉
Laviness njoo nikupe darasa
Mnazingua sana ,mnatoa movies nyingi alafu hazifiki mwisho
Pahali mimi naboeka ni unaezakuwa unabambika na episode zina_flow all of a sudden ishabadilika ama wanakawia sana ku_shoot movie zikifwatana (nk Kenya
Kila mtu nimewai me Niko to kidg Nimechelewa kdg😂😂
TAMAA MBAYA
Lovenes kafanya vizuri lakini angekuwa tina sijui ingekuwaje kama namuona ningecheka sana
😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Naona umecheka sana nini siri ya furaha mwenzetu?
@@JamesMaseya-gb1eq kunasiri basi kufuraitu
Hatujaelewa na imefika mwisho please tufafanulieni kama mtaiendeleza please 🙏🏽
Kwa ukweli donta tv munatubowa sana kesho yangu ndo tunataka muwe munamaliziya series kwanza ndo unatowa igine please tunawaomba