14 Kwa BaMkwe Tena
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2016
- Aman Thani Fairuz anaelezea yaliompata baada ya kukimbia Abdulaziz Twala na Idris Majura kutoka jela ya Langoni. Aman alijua na yeye atingia matatani kwa sibabu ya urafiki wake nao.
Kachukuliwa kutoka Langoni akapelekwa gereza ya Kiinuamiguu akatiwa condemn cell.
Baada ya masiku akahamishwa akapelekwa kwa Bamkwe (Mandera).
ameen ameen ameen ya rab l-alameen wazee wetu wote waliotangulia mola awajaalie makaazi mema peponi
Safi sana kwa kutujuza dhulma kubwa imepita ndo mana maendeleo hakuna
Wanaofananya dhulma ni makafiri wanaokanusha siku ya hisabu; siku ambayo watatamani wangelikuwa ndio waliodhulumiwa. Lakini majuto ni mjukuu maana wakati walio dhulumiwa wanafunguliwa milango ya pepo, wao wanafunguliwa milango jahanam. Humo Ba Mkwe atakiona cha mtema kuni. Baraza litakutania huko kupanganga ya kutoroka humo. Lakini ya guju!
ina lillah waina ilayhi rajioon ya rab mpokee mja wako hali ya kuwa umemridhia ameen
Huyu mandera alikuwa mtu mbaya sana.
Ahh!! Wako wapi wote walofanya dhulma hiyo?? Moto wa jahannam unawachoma miili yao usiku na mchana!!!
Allah atuzidishie subra
Ameen
Shukran kwa kutuarifu kuwa hapo ndipo yalipoeshia mazungumzo.
+Saleh Al Kindi Sasa part 15 mpaka 26 ipo kwenye mtandao.
👊✌️👍.
Yer very interesting story....tunaweza kupata parts zilizobaki???....shukran.
+Hafidh Hafidh Mpaka sasa mazungumzo yameishia hapa.
+Hafidh Hafidh Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
+Hafidh Hafidh Part 15-26 zipo kwenye mtandao.
Mzee Barwani weka parts zilizobakia!
+saif Sharji Mpaka sasa mazungumzo yameishia hapa.
+saif Sharji Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
Duh!! Nilikuwa na hamu kusikia mwisho wa mzee wetu Amani hadi kufika UAE aliko kimbilia...asante kwa kutupatia mwangaza wa historia kwa hizi clip..
innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun.hiyo part ya 15 ikipatikana tutajuaje inshaallah?
+Ibrahim Mohamed Part 15 mpaka 26 ipo kwenye mtandao.
ya rab ghfrilahu wa rhamhu
+hudaa saalim Amin
shame wallah
if I can get your email I will send you my address. I can't wait to read my history subhanallah. all we know is AZIMIO la ARUSHA as our history.
we can contact then I will give you my address to send me the books inshaallah
Tunaomba part ya 15 ipo ??
+Sami Haji Mpaka sasa mazungumzo yameishia hapa.
pls parts zilizibakia
+hudaa saalim Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
+hudaa saalim Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
+MzeeBarwani in shaa Allah I can't wait wallah. kumbe dhulma ilipita kwenye visiwa hivi. subhanallah. babu yetu hakutueleza haya. mm ni mjukuu wa maalim salim Kombo. Na yy alifungwa miaka 10
+hudaa saalim Nilimjua Babu yako MaalimSalim Kombo. Mwenyezi Mungu amlaze pahala pema na amlipe alivo dhulumiwa bure kwa pepo ya firdaus.
Halaumiki Sheikh Salim Kombo kua hakukuelezea yaliomkuta yeye na wenziwe kwenye magereza ya Nyerere, kwani khfu iliokuweko kwenye nchi ilikua kubwa sana.
Ukunipatia address yako nitakutumia kitabu cha Sheikh Ali Muhsin barwani aliekuwa mwalimu wa babu yake halafu akawa mwenziwe katika serekali ya kidemokrasia ilyopiduliwa hapo ilipovamiwa Zanzibar na waBara. Pia soma kitabu cha Dr. Harith Ghassani "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru".
+hudaa saalim Pia msome Prefesa Ibrahim Noor kwenye kitabu chake "Tanzania na Propaganda za Udini".
Tunaomba part zilizobakia 15 na nyenginezo kama zipo.
+Saleh Al Kindi Mpaka sasa mazungumzo yameishia hapa
+Saleh Al Kindi Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
+Saleh Al Kindi Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
+Saleh Al Kindi Part 15 - 26 zipo kwenye mtandao.
part ya 15 haipo?
+Salma Alharthy Mpaka sasa mazungumzo yameishia hapa.
+Salma Alharthy Mpaka sasa hatuna nyengine. Tukipata tutaweka.
+Salma Alharthy Sasa part 15 - 26 zipo kwenye mtandao.