UPENDO PENEZA AMLIPUA MBOWE -"ETI ANASEMA AKISHINDWA UKANDA ULE ANAJIUZULU -ACHA TUMTANDIKE AONDOKE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лип 2024
  • UPENDO PENEZA AMLIPUA MBOWE -"ETI ANASEMA AKISHINDWA UKANDA ULE ANAJIUZULU -ACHA TUMTANDIKE AONDOKE"...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 39

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  9 днів тому +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 9 днів тому +2

    chawaaa shida sana

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 9 днів тому +4

    Dada umekosa sela cku hizi umekua chawa cku zote points zipo kwenye upinzani wew

  • @madengejr
    @madengejr 8 днів тому +2

    Upendo bora angenyamaza

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 9 днів тому +2

    bado sana, hapo bado utasema tuuu.

  • @gellangi9694
    @gellangi9694 9 днів тому +3

    Huyu Upendo wa CCM anatia huruma.Makalla amrudishie sehemu ya ubongo wake,wameziondoa zote kiasi cha kushindwa kuongea yaliyompeleka CCM.

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa1785 9 днів тому +2

    Mbowe ni moto mwingne

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba6325 9 днів тому +3

    Huna uwezo wa kukiongekea kikokotoo muachie ester Bulaya wewe ni chawa tu hufai

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 9 днів тому +1

    Siasa za kutaja watu hatutaki tunahitaji maji, Barabara, vifaa vya ujenzi view gharama ndogo ili nyumba za makuti za udongo zisiwepo unpiga kelele mlo wa mwananchi Kwa siku ni mlo mmoja Kwa siku halafu mntuminisha kwamba Hali ya maisha nii nzuri Mimi nasema hapana. Hatutadanganyika tena imetosha.

  • @daudfrank9804
    @daudfrank9804 8 днів тому +2

    Bila mbowe ujasema point acha uzezeta dada

    • @petermogha7025
      @petermogha7025 8 днів тому

      Bila Samia hujasema hoja zako CCM oyeee

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 9 днів тому +1

    Watu wanataka hela zao zote....kikokotoo cha nini kwenye pesa yangu???

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 8 днів тому +1

    Hv vdada vispo muogopa mungu mungu atawalaaani

  • @user-qv2hj9rc3f
    @user-qv2hj9rc3f 9 днів тому +2

    Peneza anajaribu kutumia gia ya rivaz kwenda mbele

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 9 днів тому +1

    Bila kumsema Mbowe huna raha?umeishiwa ? We zungumzia chako na sera zake

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 9 днів тому +2

    utaukalia tuu hapo CCM halafu watakutupa

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 9 днів тому +1

    wataakumia mpaka upauke, nausichana wako utakuwa hohi.

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 9 днів тому +1

    huyu changudoa kakosa sera umebaki kumsifia mungu wenu hangaya

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 8 днів тому +1

    Peneza, hupenezi hata.

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 8 днів тому +1

    Mbowe anahati miliki na wananchi haya huijuwi ccm

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 9 днів тому +1

    Njaaaaa mbaya sana

  • @isayachawinga1005
    @isayachawinga1005 8 днів тому +2

    Duuuuu

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 9 днів тому +1

    Mh haya sasa kupanga nikuchagua

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 9 днів тому +1

    Kinuka mkojo huyu hana jipya

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle 9 днів тому +1

    Umekosa sera hiya ni njaa neema gang na wakati watoto wadogo na wajawazito matibabu ni gharama kubwa sana mnafanya mchozo wakuigiza watanzania tuwemakini na hawa wanasiasa wanaenunulia shida yao uongozi machawa tuwaogo kama ukoma peneza hafai

  • @DenisMsanzya-kc7bv
    @DenisMsanzya-kc7bv 9 днів тому +2

    kikokotoo sio huruma ya mama ni haki ya mtumishi acha kudanganya watu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 9 днів тому

      Chawa huyu uroho wa madaraka anajidanganya na kudanya wasiojitambua.Hivi hajui kunawatoto hawana madarasa mwaka 62 wa uhuru

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 9 днів тому

      Kuna mashule Mikoani wazazi wanaambiwa wapeleke mahindi na maharage ati kila mwanafunzi kila mwezi mlo wa mchana huo si wizi mtupu michango haiishi alafu elimu bure ipi hiyo?.watanzania tunamateso kila kona. Ukienda kwa mtendaji kumshitaki jirani au mtu kulipia kikao shilingi alfu 40 kuhamisha kikao hata sehemu ya kutembea dakika mbili shilingi alfu 50 ebu fikiria hii nchi ni shida mwanzo mwisho.

  • @chademageorge8086
    @chademageorge8086 9 днів тому +1

    Haka kajitu eti huwa kila kakiongea hadi kamuongelee Mbowe.

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 9 днів тому

    Hadi nimecheka nimekosa nicomment nini kwa sababu anaeongea akili zipo mirembe sijui chadema walimpaje ubunge na Bora alipohama kumbe alikuwa chizi

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 9 днів тому +2

    Hupat chochote wewe ccm

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i 9 днів тому +2

    Hauna lolote

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 9 днів тому +1

    Ovyoo😅😅

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 9 днів тому +1

    Hakuna kitu unapngea

  • @mabalanyerere1541
    @mabalanyerere1541 9 днів тому +1

    Huna sera wewe umepotea kuwa chawa wa mama

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 9 днів тому +1

    Wewe Pendeza toka uhuru mwaka wa 62 kuna shule watoto wanakaa chini ya miti madarasa wala madawati hakuna. Same hawana maji alafu unadanganya watu mnatatua kero za wananchi zipi.Mpo kimaslahi tu

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 9 днів тому

    Dada uko vizuri sana