UPENDO PENEZA AMLIPUA MBOWE -"ETI ANASEMA AKISHINDWA UKANDA ULE ANAJIUZULU -ACHA TUMTANDIKE AONDOKE"
Вставка
- Опубліковано 6 лип 2024
- UPENDO PENEZA AMLIPUA MBOWE -"ETI ANASEMA AKISHINDWA UKANDA ULE ANAJIUZULU -ACHA TUMTANDIKE AONDOKE"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
chawaaa shida sana
Dada umekosa sela cku hizi umekua chawa cku zote points zipo kwenye upinzani wew
Upendo bora angenyamaza
bado sana, hapo bado utasema tuuu.
Huyu Upendo wa CCM anatia huruma.Makalla amrudishie sehemu ya ubongo wake,wameziondoa zote kiasi cha kushindwa kuongea yaliyompeleka CCM.
Peneza umejishusha thamani,kuliko unvyofikiria .
Mbowe ni moto mwingne
Huna uwezo wa kukiongekea kikokotoo muachie ester Bulaya wewe ni chawa tu hufai
Siasa za kutaja watu hatutaki tunahitaji maji, Barabara, vifaa vya ujenzi view gharama ndogo ili nyumba za makuti za udongo zisiwepo unpiga kelele mlo wa mwananchi Kwa siku ni mlo mmoja Kwa siku halafu mntuminisha kwamba Hali ya maisha nii nzuri Mimi nasema hapana. Hatutadanganyika tena imetosha.
Bila mbowe ujasema point acha uzezeta dada
Bila Samia hujasema hoja zako CCM oyeee
Watu wanataka hela zao zote....kikokotoo cha nini kwenye pesa yangu???
Hv vdada vispo muogopa mungu mungu atawalaaani
Peneza anajaribu kutumia gia ya rivaz kwenda mbele
Bila kumsema Mbowe huna raha?umeishiwa ? We zungumzia chako na sera zake
utaukalia tuu hapo CCM halafu watakutupa
wataakumia mpaka upauke, nausichana wako utakuwa hohi.
huyu changudoa kakosa sera umebaki kumsifia mungu wenu hangaya
Peneza, hupenezi hata.
Mbowe anahati miliki na wananchi haya huijuwi ccm
Njaaaaa mbaya sana
Duuuuu
Mh haya sasa kupanga nikuchagua
Kinuka mkojo huyu hana jipya
Umekosa sera hiya ni njaa neema gang na wakati watoto wadogo na wajawazito matibabu ni gharama kubwa sana mnafanya mchozo wakuigiza watanzania tuwemakini na hawa wanasiasa wanaenunulia shida yao uongozi machawa tuwaogo kama ukoma peneza hafai
kikokotoo sio huruma ya mama ni haki ya mtumishi acha kudanganya watu
Chawa huyu uroho wa madaraka anajidanganya na kudanya wasiojitambua.Hivi hajui kunawatoto hawana madarasa mwaka 62 wa uhuru
Kuna mashule Mikoani wazazi wanaambiwa wapeleke mahindi na maharage ati kila mwanafunzi kila mwezi mlo wa mchana huo si wizi mtupu michango haiishi alafu elimu bure ipi hiyo?.watanzania tunamateso kila kona. Ukienda kwa mtendaji kumshitaki jirani au mtu kulipia kikao shilingi alfu 40 kuhamisha kikao hata sehemu ya kutembea dakika mbili shilingi alfu 50 ebu fikiria hii nchi ni shida mwanzo mwisho.
Haka kajitu eti huwa kila kakiongea hadi kamuongelee Mbowe.
Hadi nimecheka nimekosa nicomment nini kwa sababu anaeongea akili zipo mirembe sijui chadema walimpaje ubunge na Bora alipohama kumbe alikuwa chizi
Hupat chochote wewe ccm
Hauna lolote
Ovyoo😅😅
Hakuna kitu unapngea
Huna sera wewe umepotea kuwa chawa wa mama
Wewe Pendeza toka uhuru mwaka wa 62 kuna shule watoto wanakaa chini ya miti madarasa wala madawati hakuna. Same hawana maji alafu unadanganya watu mnatatua kero za wananchi zipi.Mpo kimaslahi tu
Ananjaa huyo
Dada uko vizuri sana