DADA MARRY vs DC MAGOTI: AMTWANGA MASWALI MAZITO - ''NIKALALAMIKE MSUMBIJI? TUNASAHAULIKA''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • DADA MARRY vs DC MAGOTI: AMTWANGA MASWALI MAZITO - ''NIKALALAMIKE MSUMBIJI? TUNASAHAULIKA''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 88

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 2 місяці тому +8

    Tanzania nchi nzuri sana,DC anaongea na wananchi in a very friendly way.hongera kwake

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 2 місяці тому +1

    Huyu ni miongoni mwa viongozi wazuri nchini wanaweza kuacha alama, Mungu akulinde.

  • @Oman-p8x
    @Oman-p8x 2 місяці тому +5

    Mama ❤❤❤ chukua mauayoko🌹🌹🌹🌹

  • @shaban6644
    @shaban6644 2 місяці тому +4

    DC Magoti Mungu azidi Kukupa Hekima,

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 2 місяці тому +6

    Huyu dada muuliza maswali alindwe pia ataftiwe nafasi yauongozi nijasiri pia anauchungu namkoa wake pia Kunamama kakaa meza kuu anakitambaa cha njano maneno ya mwanamke mwenzie yamemuuma

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 2 місяці тому +4

    Dada mashaallah upo vizuri

  • @yusuphchimwala4126
    @yusuphchimwala4126 2 місяці тому +4

    Mama yuko vzr sanaaa 🎉

  • @Luvingadecoration
    @Luvingadecoration 2 місяці тому +8

    Tena huyu ni mama mchumgaji nini 😂

  • @ally_tz96
    @ally_tz96 2 місяці тому

    Udada ajengewe sanam apo kisalawe 🎉🎉

  • @janemcharo5371
    @janemcharo5371 2 місяці тому +7

    Mama mchungaji😂😂😂😊

  • @Luvingadecoration
    @Luvingadecoration 2 місяці тому +4

    Yan kuna wanachi wanaakili jaman huyu dada Yuko vizur hatar

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 2 місяці тому +4

    Smart

  • @alipipijimmy7605
    @alipipijimmy7605 2 місяці тому

    SAFI KAKA MAGOTI DC MUNGU AKUBARIKI SANA HONGERA SANA KWA KAZI NZURI

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 2 місяці тому +9

    Huyu agombee udiwani, atapita bila upinzani; ikiwezekana atafute jimbo agombee ubunge

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 2 місяці тому +5

    DC siyo kweli kwamba Hakuna nchi nzuri kama Tanzania eti kwa sababu kuna majirani wanalisha wenye njaa😂

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 2 місяці тому

      Rais hajaleta pesa bali walipa kodi ndio wameleta fedha kupitia kodi zao zilizotoka hazina..Samia hana pesa za kujenga barabara

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 2 місяці тому

      Hongera sana kwa uelewa​@@hamisimuhunzi7916

  • @georgelusinde4972
    @georgelusinde4972 2 місяці тому

    MAGOTI UKIMCHUKUA HUYU DADA KAMA MTENDAJI WAKO, HAKIKA HATA KUANGUSHA' MUNGU ANANISHUHUDIA KUA HUYO DADA NIKIONGOZI MTENDAJI🙏

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 2 місяці тому +1

    Kisarawe imesahaulika kweli.Lakini mtoto wake Mkuranga inazidi kuendelea kuliko mzazi wake.Huyo Jafo ni mbunge wa siku nyingi lakini anashindwa kufanya harakati za kutosha za kuleta maendeleo. Akijaa kugombea CCM oyeee.Shame with us.

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 місяці тому

    Siasa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 місяці тому +2

    Hapo injili inaweza kuwaka mapepo yakatoka kwaa jina la Yesu.

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 місяці тому +2

    Wandali na Wanyakyusa siku zote ufahamu wao uko juu.

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv 2 місяці тому

    Huyu maneno yake kintu hongera unafaa kua mbunge

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 2 місяці тому +1

    Mungu fundi

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 2 місяці тому +6

    Mhe.Rais hajaleta hela bali ameidhinisha hela ziletwe huko bwana DC...achaneni na sifa nyingi baadala yake tuisaidie nchi.

    • @AndreaMtitu
      @AndreaMtitu 2 місяці тому +1

      We mwache dc afanye kazi una ongea nn ww

    • @jordanmwamlima7579
      @jordanmwamlima7579 2 місяці тому

      @@AndreaMtitu Shits ain't for me, but only sense are for me.

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 Місяць тому

    unatibu maria.sugu sawa ebutibu mgogoro wa kazimzibwa na wananchi wa DSM tumedhurumiwa aridhi yetu

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 місяці тому +1

    Asante mwanamke mwenzetu Jafo hafai kuwa kiongozi Wallah yaani kwao kupo km mkoani vijijini

    • @shijaenock7638
      @shijaenock7638 2 місяці тому

      Kwan pwan siyo mkoan? Ni wapi asa au maana ya kusema mkoan huwa unaelewa nn ndgu yetu kisarawe siyo kijijn

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 2 місяці тому

      @@shijaenock7638 Sasa Kisarawe anatoka Waziri ndy kuwe km vile na ww ht Mkuranga vijijini kuzuri

    • @MlingaSawack45
      @MlingaSawack45 2 місяці тому

      Mama ingia m4c hapo hapo hata kama elimu hakuna mbn akin msukuma wako bungeni

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 місяці тому +2

    Kabisa kisarawe imesahulika

  • @SaimonMoren-vw8ys
    @SaimonMoren-vw8ys 2 місяці тому

    Huyu dada apewe zawadi kabisa

  • @consolataaloycemgumba3735
    @consolataaloycemgumba3735 2 місяці тому

    🎉

  • @AbdallahOmari-z4n
    @AbdallahOmari-z4n 2 місяці тому +1

    Mh! Mama Samia!

  • @AbubakaryMizora
    @AbubakaryMizora 2 місяці тому

    Sisi wapwani serikali imetudharau kila sekta elimu maji barabar

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 2 місяці тому

    She can be a politician!

    • @ckcollections255
      @ckcollections255 2 місяці тому

      She might be....she is smart than some of mps...

  • @ROBERTMGOGOSI
    @ROBERTMGOGOSI 2 місяці тому +2

    Huyu binti agombee ubungee

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 2 місяці тому +4

    Huyu mama ni mwinjilist

  • @HUSSEINALLY-b7f
    @HUSSEINALLY-b7f 2 місяці тому +4

    Huyu mama anafaa kuwa Mkuu wa wilaya

    • @joshuamsaki7734
      @joshuamsaki7734 2 місяці тому

      Upo sawa kwanza anajiamini,anafaa kuwa kiongozi anatakiwa kubustiwa kidogo atakuwa mtambo,washauli wa mkuu wa wilaya muangalieni huyo mama kwa jicho la tatu.

  • @BuddhimanerDhadha
    @BuddhimanerDhadha 2 місяці тому

    What man uses after he is established is his real character.😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @melvinkanje
    @melvinkanje 2 місяці тому +2

    Huyu Dada Anajua na Anaweza Apewe Kazi huyu

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 2 місяці тому

      Mbona Kazi anayo mpaka sasa najua hana mme ila watoto anao hivyo kuwatunza tu ni kazi😂😂😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 2 місяці тому +4

    Huyu dada ajengewe mnala hapo kisarawe

  • @constantinochalle856
    @constantinochalle856 2 місяці тому

    Big upo boss !

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 2 місяці тому +1

    Huyo mama namkubali wanawake wa mbeya wanaakili kupita kiasi

  • @prophetev.josephatfarasimw8445
    @prophetev.josephatfarasimw8445 2 місяці тому

    Huyo dada ni mbunge WA kisarawe akigombea apite

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 місяці тому +2

    rais hana pesa pesa Nizenu nyinyi wananchi mama anapesa anafanya biashala ipi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 місяці тому +5

    🤔Hii lugha ya wasaidizi kusema Mama kaleta wakati ni fedha za watanzania,inatia ukakasi mno!🤭. Hizi ni kauli za kisiasa zinazopotosha uhalisia na wajibu wa wananchi kugeuzwa kuwa wajibu wa mtu mmoja kufadhili nchi nzima!

    • @josayajohn7324
      @josayajohn7324 2 місяці тому +1

      Utashi wa kurejesha fedha kwa mlipa kodi ni wakiongozi anayekusanya kodi.
      Anaweza amua kulipa madeni ya nje badala ya kujenga barabara

  • @festoaidan8955
    @festoaidan8955 2 місяці тому

    Naomba namba yake nimtumie hela

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 2 місяці тому

    Kimeumana kudadeki 😅😅

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do 2 місяці тому

    Mnampongeza WA nn wakati anakataza mkaa na gesi yote warisha chukua mabeberu

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 2 місяці тому

    Magoti lakini na wewe una mikwara inaonekana.

  • @MkomboziMwachanga
    @MkomboziMwachanga 2 місяці тому +2

    dada huyo apewe ubunge

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 2 місяці тому +1

    Huyu DC muongo sana kama huna majibu ya uhakika na yakweli usidanganye watu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 місяці тому +1

    Wekeni lami tuhamie huko. Huku Dar msongamano

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 2 місяці тому +1

    Mama una nguvu

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 2 місяці тому

    anasitahili Ubunge

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 2 місяці тому

    Usiseme Hela ya Samia unatukosea wananchi sema Hela yenu walipa kodi

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 2 місяці тому +1

    Raisi hana hera kabisa mfanya kazi wetu hera anatoa ni za kwake au kodi zetu nyie ndio mnatakiwa mtushukuru sisi kwa kulipa kodi vizuri

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 2 місяці тому

    Acha siasa ww Fanya kziuongo tuuu

  • @edwarddaniel7459
    @edwarddaniel7459 2 місяці тому

    Wanawake wa mbeya wna iq kubwa sanaa,mh dc na comrade wangu najua utaliweka sawa mkuu

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 2 місяці тому

    Ongea kidogo usirefushe sana kuna wengi wanataka kuchangia.

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 2 місяці тому

    Kwan yule mwanamuziki alihamishwa kisarawe?

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255 2 місяці тому +2

    Wazaramo na rami wap na wap

  • @EdwinRutunda
    @EdwinRutunda 2 місяці тому +1

    Huyo chadema

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 2 місяці тому +1

      Mjinga kabisa ww! Umelogwa au!

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 2 місяці тому +2

      Umepigwa akili wewe, puuzi kabisa, watu wanataka maendeleo, ccm na chadema vinahusiana je na madai yake

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 2 місяці тому

      DC hongera sana kusikiliza changamoto za wananchi safi sana kiongozi

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 2 місяці тому

      Msamehe hajielew
      ​@@zebedayokatamaduni9676

    • @dadamuebrania1539
      @dadamuebrania1539 2 місяці тому

      Ujinga mzigo