🔴
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- 🔴#Live: ''ANATUITA MBWA'' - WAMACHINGA WAMLIPUA DC BOMBOKO MBELE ya RC CHALAMILA - MGOGOGORO SOKONI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
MACHINGA MSIMUAMINI SANA HUYU MKUU WA MKOA....MANENO MENGI!
Wabongo mnachukuliwa poa sana. Mnapelekwa pelekwa tu
DC Bomboka Kwa kuwakamata machangudoa amejitengenezea maadui wengi sana!
Ulitaka asiwatimue machangudoa?
@@ibnhassan9980 nenda shule
Wateja wao wamemchukia DC ahahaha
Mnaharibia mama utawala wake harafu kumbuka tunaelekea kwenye uchaguzi ebu acheni kuwasumbua wapigakula haoo
mnashagilia kama mazuzu inamaana akienda kuongea na hao aliowataja wanapanga namna ya kuja kama timu waongee sauti moja na mtaumizwa mpende maipende
Daaah siku mbaya kazini kwa mkuu wa wilaya najua maumiv aliyopitia kwa siku ya leo atakapofika nyumbani na kukaa mwenyewe na kujifikiria atakua na mawazo sana vdio hyo ikimfkkia mh Rais nn kitafata kwake kama mwanaume na bado umri wake ni mdgo ndo kwanza alianza kuaminiwaa na wananch pole yake sana binafsi kama baba sipendi kuona mwanaume mwenzangu amefukuzwa kazi kisaikogy inatesa sana.
Tatizo mnashangilia siasa badala msubirie vitendo ao watu waongo sanaaaa
Kwakweli siasa ni kitu kizuri sana😮
Kama hajachaguliwa na wananchi anawezaje kuwaongoza😂,huo mbona ukatili
Hili jamaa lina saikolojia kali sanaaaa
Mama Samia huyu jamaa anajazba hafai kuwa kiongozi
Anajazba nani?
Jazba gani mbonA anafanyA kz vizuri
Nice RC
Wewe hujitambui mama umeleta mabadiliko hawa ndio viongozi kweli
Ccm ni mchwa kila bumunda linabiringika na rushwa ni aibu kwa uongozi huu wa sasa
Uwingi wa watu hawa sio uwingi wa watu huu Rc
sijaelewa yaani wamachinga wanataka kukaa vituo vya DART? ama? Huu ni upumbavu sasa!
Aaa kumbe wa (W)Ubungo!
Picha linaendelea Wale waliokamatwa madada poa wamemtafuta mganga mmoja tu piga kazi tuone atafika wapi ndo mnacho kiona kila anachofanya watu wanamuona kama mdudu washa
Nilitabili kua magufuli alivisha kitanzi ccm machinga muliokalibisha balabalani milangoni mwawatu kupikia babalabalani mukakiuka sele za nchi itawagalimu machinga ndio wataleta mabadiliko na vita nchi inaendeshwa na sele siyo polojo za chalamila
Hongera sana upo sahihi mno,katika kosa kubwa alilofanya ni hili .Yaani limeharibu nchi nzima sio Dar es salaam tu bali Tanzania nzima. Chalamila anachezea watu akili yeye mwenyewe kachaguliwa kwani na watu ?yeye mwenyewe kachaguliwa na Raisi ila watanzania kwa kukosa Elimu wanadanganya kama watoto wadogo. Hawa wamachinga ni shida kubwa nchi nzima miji yote imeharibika kabisa kabisa. Itabidi iwe isiwe CCM wasiangalie ushabiki wa kura waangalie mipango miji usafi wa mazingira wawatafutie sehemu maalum za kufanya biashara. Kuna Mkoa fulani badala ya kuwatafutia sehemu ndio kwanza wamewaambia watoe sh alfu sabini ili tu wakae mabarabarani na kwenye njia za watembea kwa miguu.
Lugha sasa ndugu yangu!! Duh!! Tz kuna kazi
Kawavuruga wateja wa watu!
Laana za wanawake zimeanza kazi
Wasiyo mpenda mkuu wawilaya ubungo niwale watejaa wanao nunua dada poa
Unataka wakununue wewe
We mjinga tutaenda popote sio lazma kuish Kariakoo shez ww
Huyu ni Chawa tu hana Jipya musiwe Wajinga.Komaeni ili mupate haki zenu Musimkilize huyo Mlevi.
Asikwambie Mtu Uchaguzi Ukikalibia Usiwaze Eti Machinga Kufukuzwa Uyo DC Sijui Ajui Kuongoza Yeye Mawazo Yake Kwa Machangudoa2 Ajui Sifa Za Kuongoza Mkuu Wa Wilaya Achana Na Makahaba Isipokua Ukiwaona Inje Ya Nyumba Yako Timua Lakini Uko Walipo Achana Nao
Hajakosea ni mbwa tu
Ukahaba tu, umalaya aaaaaaaaah
Mkuu kumbe mnatambua umuhimu wa wafanyabiashara...Sasa bona 2015 hadi 2020 hamkuona Hilo na mliwamaliza wafanyabiashara wote
Kueni kama ma Genz uku Kenya anaongea ty utumbo na ndio maana Kuna haja ya katiba mpya Leo hii asingekua mtu wa kuteuliwa bali awe wa kuchaguliwa angewa anawatumikia wananchi ingewa ilo swala ni la gavana ama senator ama diwani katiba mpya ni muhimu
Watanzania aliewaroga.....😂😂😂😂
Yuko vzr alosema Jiwe yuu mzima,na kuwa aliongea nae jana yake usiku na akamplekea hela za maendeleo?
Lbd useme:kwa hili yuko vzr' maana hata mbya ni mzr pengine!
Wamachinga wanadharaulika sana na wenye maduka wakati wenye maduka nao walitokea kwenye umachinga waacheni wamachinga wafanye kaz watakuwa kama nyie tu n wao hawapendi haya manyanyaso wanajitafuta ili wawe na mitaji ya kuingia kenye maduka waanze kulipa kodi haise kuweni na huruma nchi yangu
siasa tu hizi
Anawaita watu mbwa mbona mkuu wa mkoa hapo husikilizi watu kuwa kwann wanalalamika ? Kwann usingesikilza?
Huyo kama anovoonekana ndie mkuu wa (W) kinondoni?
Ndie alowakamata "wa dada/mama wafurahishaji"
Kazi ipo!
Chalamila umemkingia kifuwa mkuu wa wilaya
Uyo DC Mbn kama Kanywa dabo kiki🤣🤣🤣
Unaweza kufikiria uongozi kama ni kazi kuuuubwa!!!Kumbe ni busara tuuuuu!! Kwa akili za kawaida mtu mmoja huwezi kushindana na kundi kubwa la watu.Watu wakiwa wengi wanakuwa na mawazo meeeeeengi.Nishauri tuu viongozi jamani tumieni busara kushughulika na watu. Ebu jadilianeni kupata makubaliano. Hongera comrade Chalamira
dar Salam wamepata mkuu wa mkoo Yuko VIZUR na wab
Anauzurigani hivi tutadanganywa mpaka lini na Hawa wezi wa ccm acheni kuamini Kila kitu
Hakuna lolote
Si ulipewa jukumu la kuwapanga? Ilikuwaje sasa?
Bomboko anachukiwa kisa kawakamata makahaba
Wamemsingizia hizo ni bifu za watu kwa vile aliwakamata machanguo doa mkuu wa wilaya kwa nafasi yake kuwaita wananchi mbwa ni uongo mtupu wamemsingizia lazima sasaiv hawe na maadui wengi
Angewa mtu wa kuchaguliwa angetumikia wananchi katiba mpya ni ßssss
Ili likuu la wilaya cjui uyu Mama kaliokota wapi? Yani Halina hata maono Yani maono yake nikutafutaga machangudoa tu