MASKINI wanampenda jirani zake n.a. watoto wao. Ningekuwa n.a. uongozi ngazi za juu ningemtoa siku si nyingi. Waziri wa Viwanda amtafute anaweza kupata mawazo mazuri zaidi Si wakawaida anatisha sana.
Jaman tunaambia tusimzarau mtu usie mjuaaa ndo kama haya babu wawatu ana akili zake timamu kuliko hata hao waliokua wanamchekaa na sku zoote watu wenye akili na vipato vyao huwa hawapend kujionesha wao ninani wanapenda kuwa sawa na walio chini tuache mazarau jaman dah mi namkubal huyu mzee kwa.maelezo yke wala haumwiii
umeziteka hisia zang Dr Shika uko vzrii mi naamini upo sahihi sio kila tajirii avae suti ajitangaze, awe na kitambi hapana tatzo letu bongo tusha zoea mabilionea wa vitambi na suti sasa watakukoma mi naiomba government yetu ikuchukue ukupeleke hospital ukasaidiane na ma doctor wengine kuokoa maisha ya watanzania
Naomba kuuliza Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
kwanza alisema miatisa sio milioni miatisa inatakiwa apewe nyumba nawamrudishie chenchi katika buku yake sema tu hapa sharia hazipovizuri mzee kashinda mnada ule
Kuna mama moja tuna ishi nae nyumbani miaka 25 sasa hajulikani Katokea wapi ukimuuliza anataka Mali na myumba anasema mtu wa Mombasa She’s very good ntajaribu kutafuta ndugu zake inshaa allah
Sasa mjue matatizo ya akili siyo masihara, Tanzania muwe na vitengo muhimu au therapy kwa watu kama hawa ambao wamesoma akili ikajam kutokana na hali za kimaisha. Huyu jamaa angefanyiwa therapy kuna mambo muhimu angefanya ya maendeleo ya nchi na maisha yake. It's saddening.
Limy Masele The guy is very smart kuna masahibu yalimkuta akiwa urusi inaonekana. Labda angepatiwa tiba au therapy hangekuwa katika hali hii. Inaumiza moyo kwa kweli kuona msomi kama huyu akitaabika namna hii.
Huyo Dr Mimi naomba angeendelea kuhojiwa vinzuri, inawezekana alikua mfanyakazi wa hyo kampuni aukweli ni mmiliki nnacho shauri Ikijulikana kweli in mmiliki wa hyo company basi wizara inayohusika na mambo hayo imtumie sio kumuacha MTU ana industrial idea km hyo ikizingatiwa tz tunawataalam wachache
Mmekosa kazi kweli kama ni tajiri sinijasho lake si lazima mjue amezipatavipi maana kila mmoja ameumbwa na nyota yake na akili yake ama kwakua amejieka rough ndio sababu mwamsumbua siolazima mtu kujiweka smart bwana mwenyewe hajataka kujiweka classic hebu mwacheni watubadala mpiganie maisha yenu nyinyi kazi ni kuchunguza wenzenu wanavyo ishi aki nyinyi watanzania mnashidakweli umbea tu ndio mlionao
Kwasisi tuliosoma Saikolojia tunajua huyu mzee ni zaidi ya Awareness,Anakitu kikubwa ndani yake naamini hata baadhi ya viongozi wetu hawana,huwenda kuna kitu kilimuathiri kwa muda mrefu lakini huyu Mzee ni zaidi ya Awareness
Huyu mzee ni fulsa, kama anadharaulika kwamba hana pesa, basi wenye pesa jitokezeni mzee ana idea na ujuzi wa kutosha, pia ana mengi ya kufundisha kama atapata muda wa kutulia na kuimalika kiafya, ni vijimambo tu vimemkuta
aisee mzee anajielewa sana...alaf msomi...kama kaweza kukaa nyumba mzuri na analipa kodi yule dada mpangaji mwenzie aliyejishaua babu haeleweki atapata aibu...salute kwa babu
Hilda Kaaya ndo hapo sasa alijishauwa babu ajiwezi kumbi mjinga tu
Hilda Kaaya tena yule dada muongo hasaaa.ushahidi huu unamshushua
NIMEPENDA HIYO BABY TUU 950ITAKUFAA CHUKUA COKE NAKUJA KULIPA
sana Hilda
Mi simlaum yule Dada kwan kle ndo alichokiona
Salute Dr Shika!, God bless you
Usije ukamdharau usie mjua hata kama ndugu yako unajua,,,mzee pole saana kwa yaliokukuta nimekuelewa mzee Shika pesa ipo hapo 👏👏👏👏👏👏👏👊👊👊👊👊
Don't judge the book by its cover...this old man is genuine...
Umdhaniae kumbe ndiye siye nakukubali sana Dr.Louis. Ingawa nabii hakubaliki kwao.
dah ! masikini ! yuko vizuri sana huyu mzee kwa maelezo yake, mungu ataonyesha utukufu wake kwako mzee,
amazing story.. nimekubal
am a bit schoked! OMG he seem very well learned and very bright
jaman asante mungu...naomba huyu baba aendelee kuudhihirisha ukuu wa mungu yan Kaka mirlad..duuh hatari!!!
MASKINI wanampenda jirani zake n.a. watoto wao. Ningekuwa n.a. uongozi ngazi za juu ningemtoa siku si nyingi. Waziri wa Viwanda amtafute anaweza kupata mawazo mazuri zaidi Si wakawaida anatisha sana.
Yaani nimenyoosha mikono! Dr katisha
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe ana akili sana
Da huyu jamaa namkubali
Epuka sana kununuwa kitabu kutokana na kava ya nje
Mungu atusamehe sana binadamu kwa ndimi zetu.
Jaman tunaambia tusimzarau mtu usie mjuaaa ndo kama haya babu wawatu ana akili zake timamu kuliko hata hao waliokua wanamchekaa na sku zoote watu wenye akili na vipato vyao huwa hawapend kujionesha wao ninani wanapenda kuwa sawa na walio chini tuache mazarau jaman dah mi namkubal huyu mzee kwa.maelezo yke wala haumwiii
Zainab Bakari ni kweli kabisa
Zainab Bakari umeongea point 😍😍😍
Zainab Bakari kweli kabisa
kweli bhana
safi babu,ushahid unaoo..mie nimekukubali
Huyu MZEE amesoma Sana kuliko Ww unae some comment yangu
umeziteka hisia zang Dr Shika uko vzrii mi naamini upo sahihi sio kila tajirii avae suti ajitangaze, awe na kitambi hapana tatzo letu bongo tusha zoea mabilionea wa vitambi na suti sasa watakukoma mi naiomba government yetu ikuchukue ukupeleke hospital ukasaidiane na ma doctor wengine kuokoa maisha ya watanzania
Dr. Luis shika namkubali sanaaaaa no matter what. Kiboko ya matajiri mjini...
ni dhambi kubwa kumdharau mtu kwa kumuangalia physical apearance,huwez jua ...
Daaah jamani,toka lini chizi akajielewa na kuelewa Mambo,Huyu mzee ana akili sana mpaka kapitiliza Aiseee,alafu anajiamini mnooo,
Mimi hapa kiswahili nitapita pembeni 😁😁😁 Dr Shika bhana ana vimaneno flani amazing
Naomba kuuliza
Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
Mnamzingua mzee wa watu mnataka awe chizi tens asee watanzania tunafuatiliaga vya ajabu Big up Millard Ayo for prove them wrong..
duuh kumbe Dr yupo vizuri ivyo!!!
Masikini mzee kumbe alikuwa na kazi zake
Watu wanazani mpaka mtu uvae suti, mimi mwenyewe nakampuni uingereza ila nimekausha.
James Kaguo mamae
James Kaguo hahahah uchunguzwe ww
Kufungua kampuni uingereza ni kitu rahisi sana hakiitaji uchunguzi.
Hahahaaaaa!
James Kaguo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Ase huyo mzee ni Genious . ni hataree sana milad mpige tafu huyo mzee sku pesa zake zikiingia hata kuacha ase
mungu akupinye baba
Huyu mzee anajielew nakale kadada kameumbuk
alhamdulilh Anybody have 😂😂😂😂
KWELI
kanasema babu anakula maji,😁
vidada vingine vinadharau sana, mtu akimfahamu vizuri kinajifanya kinatoa maelezo. kimeumbuka!!!!!!
karibu ujifunze elimu bora kwa lugha nyepesi mkaribishe mtoto wako ndugu yako marafiki zako karibu sana usisahau kuni subscribe
Millad mungu akujalie kila laheri
This man is genous
Mm nadhani kuwa huyu jamaa kafake jina,ila mm siwezi jua mungu anajua zaidi
Achene uxhambaa mnataka mpaka avaee suti ndo muamin jam mkwanjaa anao
Ibrahim Omary wanataka aseme kanunua shati millioni 10
huyu mzee yupo sawa kabisa: watu wanamkejeli tu bure, ingekua ata vema waziri wa viwanda akutane nae aneza pata mawazo mazuri apa
hyu jamaa alikuwa na mkwanja,ila kazurumiwa,Russia wameharibu watu wetu bright wengi tu,na mifano ninayo,hawa jamaa ni mbwa
Plz mliomdhalilisha Huyu mzee kwenye mitandao futeni post zenu
Lengay Maida wamemdhalilisha sanaa
Am in love with huyu mbaba jamoooni,
oooooh my gosh.
mkinipatia no. yake #ITAPENDEZA
0624836169😋😋😋
Wow nakupenda buleee
Shufaa Mohameed kumbuka Ni mzee huyo
Shufaa Mohameed pia Mimi bule tu
Enock Mussa 😂😂😂nampenda km babangu jmn
Simon Mwangi 😂😂😂sio na 900 ingependeza
Shufaa Mohameed hahahaa pesa anazo huyu anazitaja kama kitu kidogo hahahaa
Wooow....Nice sana mkuu
Babuuuuuu msomi..unafreestyle kingereza..haha
gonga like kama unamwelewa toka mwanzo.
Kuwa tajr sio mbaka uvae designer na kumiliki ghorofa.
Nimekupenda bure mzee pole sana, kwa yaliyokukuta
Mlivyo shindwa kuvila msivitie hira mzee Yuko vizuri sana
Buda mbabaishaji tuu, kilasoko halikosi mwenda wazimu, nahuyu ni mwenda wazimu wa mitandaoni, mungu amuongoze,
Mimi hapa kiswaili nitapita pembeni baby unaniuwa mieeeep😂😂😂😂😂
Faheem Ahmed nataka niwahi fursa mwendo wa m900 tu apaaa
Ysha Mwilima kiswaz aachiwe baba naniii
Ysha Mwilima
😁😀
Ysha Mwilima baby anakuua sio
Mick Skills. Yeye atapita tu kinampa shida jmn
Yule police alietangaza Dr Luice Hana uwezo wakumiliki yupooooo
Edina Chami atakuwa anaona aibu alivyokuwa anaropoka
Mick Skills. Tena cyo aibu ndogo
Saumu Hassan karibu kwenye Chanel UA-cam yangu usisahau kusubsribe
Ni aibu sana kwa sector kubwa kama ile kutoa matamko bila kufanya uchunguzi ona sasa walimchukulia poa sababu ya muonekano hawajui alipitia mangapi
Huyo 👮♀️ nampa f’word!
Kumbe babu ana akili timamu maskin mungu amsaidie ,mi niliona akili zake sio timamu
The man is genius
Extremely genius......
Jamani usimzarau MTU. Maana hujui patano lake na mungu.
Tatzo Wtz Tunapenda sana kuchukuliana poa....
Dr upo juu
dear Dr Shika nishike nikushikilie naombeni namba jmn nikamfariji babu baby
Ok
Mzee yuko vizurii
Ohooo jamani,,,Good bless you,,,
Akili ikipita sana inasababisha mtu kuwa chizi, uyu baba anaa kali sana.
kwanza alisema miatisa sio milioni miatisa inatakiwa apewe nyumba nawamrudishie chenchi katika buku yake sema tu hapa sharia hazipovizuri mzee kashinda mnada ule
Nabintu Kadende naungan na ww
looks can be deceiving big ups baba
big up mzee
Yule dada si alisema Hana simu
Yaani.. mzee ana kamchina chake hapo wala hn shida.
Dr shika oyeeeeeeeee
❣️ Luis
WEKA MIATISHA HAPO SASA ITAPENDEZA SANA...
Fredy John Waifakara Tanzania hahaha
Fredy John Waifakara Tanzania hahahahhh
Pole sana baba lakini kwa warus jinsi walivyo mafia na makatili c zani kama una chako tena Huko urusi wale watu ni vichaa kwa ukatili
Kumbe mzee wawatu anajielew hivi wa tz bn mnapenda kundharau mtu msie mjua
Nimekukubali xana Mzee wangu "900 itapendeza" kwan uko vizuri kimaelezo pongez kwako.
My anko shika
Kamanda Mambosasa ni zaidi ya Dr shika yaani,
I just pray to God if hope next year i will get a chance to speak with The with Go goverment and see IF I kan Work as terapiasta.
Kwarangi za chakula zitapendeza zaidi!😂😂😂😂
Tricia Buravan wanatengeneza na binzari kabisa mzee nux kweli kweli 😂😂😂😂😂😂
hahahahaaaaaaaa
Kuna mama moja tuna ishi nae nyumbani miaka 25 sasa hajulikani Katokea wapi ukimuuliza anataka Mali na myumba anasema mtu wa Mombasa She’s very good ntajaribu kutafuta ndugu zake inshaa allah
Anaonekana alizulumiwa mali N
Nabii akubaliki kwao hata yesu alisalitiwa
Pesa yote hiyo bora ungejitafunia mwenyewe maana afya hiyo inabidi kupata msosi
Pius Japhet Kwa kweli. Duh..!
Sasa mjue matatizo ya akili siyo masihara, Tanzania muwe na vitengo muhimu au therapy kwa watu kama hawa ambao wamesoma akili ikajam kutokana na hali za kimaisha. Huyu jamaa angefanyiwa therapy kuna mambo muhimu angefanya ya maendeleo ya nchi na maisha yake. It's saddening.
Damaris Zuckschwert h
Limy Masele The guy is very smart kuna masahibu yalimkuta akiwa urusi inaonekana. Labda angepatiwa tiba au therapy hangekuwa katika hali hii. Inaumiza moyo kwa kweli kuona msomi kama huyu akitaabika namna hii.
Naafadhali aseme ukweli ili asaidiwe hata pesa ya kula anaonekana mwili unakauka kwa kukosa lishe
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe Exactly my dear
Damaris Zuckschwert kwa akili yako finyu huyu mzee anaumwa yawezekana wewe ukawa maiti
Duh kweli
huyu mzee ni hatariii sn tumemchukulia poa zaidi kumbe cc ndio hatujui
See how billionaire live a simply life... Na hapa kaka akishika millioni watu hawaongei
Salute sana baba
we love u.
Wanadamu tumeumbwa
ili tuhurumiane sio kudharauliana mallady msaidieni
Huyu mr inaelekea amesom sana tu na alisha wahi Kuwa na campany yake na familia pia.ila kuna kitu tu kilimpitia Kati katika maisha yake.
emaus bendi
waaibshe babaa.......mana walzid sn kukuiga....na kukuaibsha
yule asikari alomzarau kaumbukaaaa
alimsema lois nihohehahe
safi
ndo tujifunze kuacha kuropoka
Huyo Dr Mimi naomba angeendelea kuhojiwa vinzuri, inawezekana alikua mfanyakazi wa hyo kampuni aukweli ni mmiliki nnacho shauri Ikijulikana kweli in mmiliki wa hyo company basi wizara inayohusika na mambo hayo imtumie sio kumuacha MTU ana industrial idea km hyo ikizingatiwa tz tunawataalam wachache
Sasa mbn mpk asoma kwani company activities hazijui vzr,lkn big up sana mzee
Kila mtu hufany kitu kwa kusud fulan mzee naye aliamua kufanya vile kwa maana yake tusiojua big up sn umeonyesha ujasr
Huyu mzee KASOMA sana yaan Serikali Wamtumie atawasaidia sana
serikal inawasomi kibao
Benson Frank Tanzania ya viwanda
sidhani kama ana hizo fedha ila akili anayo. anajua kuapproach. this guy is really genius. ila psychologists wanasema magenious wana matatizo yao
🤦🏾♂️ Unamaanisha nini?!
Mmekosa kazi kweli kama ni tajiri sinijasho lake si lazima mjue amezipatavipi maana kila mmoja ameumbwa na nyota yake na akili yake ama kwakua amejieka rough ndio sababu mwamsumbua siolazima mtu kujiweka smart bwana mwenyewe hajataka kujiweka classic hebu mwacheni watubadala mpiganie maisha yenu nyinyi kazi ni kuchunguza wenzenu wanavyo ishi aki nyinyi watanzania mnashidakweli umbea tu ndio mlionao
mzee katoka kinouma sanaaaa
bashite nae angeonyesha vyet ingekuwa ingependeza sana
huyu jamaaa anajitambua,watu wanapenda sana kutukana watu bila kuwasikiliza kwanza.
mpeni basi japo hata kiti akae jamani mbona amesimama sana ila pole sana baba.huyo mzee anajielewa jamani nebu tuache kudharau watu jamani.
Wow jaman huyu babu
Kwasisi tuliosoma Saikolojia tunajua huyu mzee ni zaidi ya Awareness,Anakitu kikubwa ndani yake naamini hata baadhi ya viongozi wetu hawana,huwenda kuna kitu kilimuathiri kwa muda mrefu lakini huyu Mzee ni zaidi ya Awareness
Huyu mzee ni fulsa, kama anadharaulika kwamba hana pesa, basi wenye pesa jitokezeni mzee ana idea na ujuzi wa kutosha, pia ana mengi ya kufundisha kama atapata muda wa kutulia na kuimalika kiafya, ni vijimambo tu vimemkuta
Maskini ningekuwa na uwezo huyu mzee ninge mlea km mzazi wangu I mean my BABA...pole xn Luis ..Ila Duniya imekufahamu nikiwemo Mimi mmoja wapo
Huyu mzee anaakili sana afu kasoma ile mby
itapendeza sanaaa
Inatia uchungu sana
Tumekuelwa mzee Baba
unawezekana alijificha akihofia kusakwa na hao maharamia na ndo mana aliamua aish maisha ya kawaida sana
mh Magu mpeni kazi Dr.Luis maan sio mtu wa spot
Jaman kumbe anakazi zake wakamtesa hivo mungu atawalaan
Kazi ipo kweli kweli😂😂😂😂
Mackini namuonea huruma, mzee yuko vizur sana
Anaonekana kujiamini vilivyo lakini hamna kampuni hapo hizo ni free web host inatengenezwa ndani dakika 5 tu lakini shule ipo hapo
Mungu anisamehe kwamaana Mimi ni moja kati ya walio mmbeza bila kujua aiseeeee
Huyu jamaa serikali imtumie vzuri wasimwache apoteee.