Dr. Shika "MIMI SIO MBABAISHAJI" aonyesha Kampuni yake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 627

  • @hildakaaya6924
    @hildakaaya6924 7 років тому +67

    aisee mzee anajielewa sana...alaf msomi...kama kaweza kukaa nyumba mzuri na analipa kodi yule dada mpangaji mwenzie aliyejishaua babu haeleweki atapata aibu...salute kwa babu

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 7 років тому

      Hilda Kaaya ndo hapo sasa alijishauwa babu ajiwezi kumbi mjinga tu

    • @rahmamavura406
      @rahmamavura406 7 років тому

      Hilda Kaaya tena yule dada muongo hasaaa.ushahidi huu unamshushua

    • @kibokongurai4488
      @kibokongurai4488 7 років тому

      NIMEPENDA HIYO BABY TUU 950ITAKUFAA CHUKUA COKE NAKUJA KULIPA

    • @seurisanare8015
      @seurisanare8015 7 років тому

      sana Hilda

    • @ashuhunamohammed9258
      @ashuhunamohammed9258 7 років тому

      Mi simlaum yule Dada kwan kle ndo alichokiona

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 6 місяців тому +1

    Salute Dr Shika!, God bless you

  • @geraldgodfrey3680
    @geraldgodfrey3680 7 років тому +1

    Usije ukamdharau usie mjua hata kama ndugu yako unajua,,,mzee pole saana kwa yaliokukuta nimekuelewa mzee Shika pesa ipo hapo 👏👏👏👏👏👏👏👊👊👊👊👊

  • @saidndimbwa4976
    @saidndimbwa4976 7 років тому +14

    Don't judge the book by its cover...this old man is genuine...

  • @zadockjames1401
    @zadockjames1401 7 років тому +2

    Umdhaniae kumbe ndiye siye nakukubali sana Dr.Louis. Ingawa nabii hakubaliki kwao.

  • @naomikasembwela576
    @naomikasembwela576 7 років тому +1

    dah ! masikini ! yuko vizuri sana huyu mzee kwa maelezo yake, mungu ataonyesha utukufu wake kwako mzee,

  • @husseinmohamed9365
    @husseinmohamed9365 7 років тому +1

    amazing story.. nimekubal

  • @beijoozessence1048
    @beijoozessence1048 7 років тому +4

    am a bit schoked! OMG he seem very well learned and very bright

  • @marympango925
    @marympango925 7 років тому

    jaman asante mungu...naomba huyu baba aendelee kuudhihirisha ukuu wa mungu yan Kaka mirlad..duuh hatari!!!

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 років тому +91

    MASKINI wanampenda jirani zake n.a. watoto wao. Ningekuwa n.a. uongozi ngazi za juu ningemtoa siku si nyingi. Waziri wa Viwanda amtafute anaweza kupata mawazo mazuri zaidi Si wakawaida anatisha sana.

  • @amanimariki7631
    @amanimariki7631 7 років тому +1

    Mungu atusamehe sana binadamu kwa ndimi zetu.

  • @zainabbakari3603
    @zainabbakari3603 7 років тому +57

    Jaman tunaambia tusimzarau mtu usie mjuaaa ndo kama haya babu wawatu ana akili zake timamu kuliko hata hao waliokua wanamchekaa na sku zoote watu wenye akili na vipato vyao huwa hawapend kujionesha wao ninani wanapenda kuwa sawa na walio chini tuache mazarau jaman dah mi namkubal huyu mzee kwa.maelezo yke wala haumwiii

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 7 років тому +4

    safi babu,ushahid unaoo..mie nimekukubali

  • @joewasimony8778
    @joewasimony8778 7 років тому +8

    Huyu MZEE amesoma Sana kuliko Ww unae some comment yangu

  • @dicksonfrancis9808
    @dicksonfrancis9808 7 років тому

    umeziteka hisia zang Dr Shika uko vzrii mi naamini upo sahihi sio kila tajirii avae suti ajitangaze, awe na kitambi hapana tatzo letu bongo tusha zoea mabilionea wa vitambi na suti sasa watakukoma mi naiomba government yetu ikuchukue ukupeleke hospital ukasaidiane na ma doctor wengine kuokoa maisha ya watanzania

  • @selemanikassim7018
    @selemanikassim7018 7 років тому

    Dr. Luis shika namkubali sanaaaaa no matter what. Kiboko ya matajiri mjini...

  • @elesianyondo7269
    @elesianyondo7269 7 років тому +38

    ni dhambi kubwa kumdharau mtu kwa kumuangalia physical apearance,huwez jua ...

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 7 років тому +17

    Daaah jamani,toka lini chizi akajielewa na kuelewa Mambo,Huyu mzee ana akili sana mpaka kapitiliza Aiseee,alafu anajiamini mnooo,

  • @daudimwidimakihanda5386
    @daudimwidimakihanda5386 7 років тому

    Mimi hapa kiswahili nitapita pembeni 😁😁😁 Dr Shika bhana ana vimaneno flani amazing

  • @emmanuelkanje7585
    @emmanuelkanje7585 7 років тому

    Naomba kuuliza
    Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha

  • @emahitube
    @emahitube 7 років тому

    Mnamzingua mzee wa watu mnataka awe chizi tens asee watanzania tunafuatiliaga vya ajabu Big up Millard Ayo for prove them wrong..

  • @mawazohashimu8010
    @mawazohashimu8010 7 років тому

    duuh kumbe Dr yupo vizuri ivyo!!!

  • @sharifa2274
    @sharifa2274 7 років тому +28

    Masikini mzee kumbe alikuwa na kazi zake

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 7 років тому +60

    Watu wanazani mpaka mtu uvae suti, mimi mwenyewe nakampuni uingereza ila nimekausha.

    • @bajukul6952
      @bajukul6952 7 років тому

      James Kaguo mamae

    • @prospermsanzi9276
      @prospermsanzi9276 7 років тому +1

      James Kaguo hahahah uchunguzwe ww

    • @Jameskaguo
      @Jameskaguo 7 років тому +1

      Kufungua kampuni uingereza ni kitu rahisi sana hakiitaji uchunguzi.

    • @theresiashilla5860
      @theresiashilla5860 7 років тому +1

      Hahahaaaaa!

    • @jeychengula2466
      @jeychengula2466 7 років тому +1

      James Kaguo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @mr.futurefrozie2558
    @mr.futurefrozie2558 7 років тому +1

    Ase huyo mzee ni Genious . ni hataree sana milad mpige tafu huyo mzee sku pesa zake zikiingia hata kuacha ase

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 7 років тому +1

    mungu akupinye baba

  • @alhamdulilhanybodyhave8755
    @alhamdulilhanybodyhave8755 7 років тому +47

    Huyu mzee anajielew nakale kadada kameumbuk

    • @maryamdounga2290
      @maryamdounga2290 7 років тому +1

      alhamdulilh Anybody have 😂😂😂😂

    • @mbumbulicomedians3286
      @mbumbulicomedians3286 7 років тому

      KWELI

    • @didamugya6039
      @didamugya6039 7 років тому +1

      kanasema babu anakula maji,😁

    • @mbumbulicomedians3286
      @mbumbulicomedians3286 7 років тому +1

      vidada vingine vinadharau sana, mtu akimfahamu vizuri kinajifanya kinatoa maelezo. kimeumbuka!!!!!!

    • @malandoelkana2378
      @malandoelkana2378 7 років тому

      karibu ujifunze elimu bora kwa lugha nyepesi mkaribishe mtoto wako ndugu yako marafiki zako karibu sana usisahau kuni subscribe

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 7 років тому

    Millad mungu akujalie kila laheri

  • @nems-f2x
    @nems-f2x 7 років тому

    This man is genous

  • @footballworld981
    @footballworld981 7 років тому

    Mm nadhani kuwa huyu jamaa kafake jina,ila mm siwezi jua mungu anajua zaidi

  • @ibrahimomary550
    @ibrahimomary550 7 років тому +40

    Achene uxhambaa mnataka mpaka avaee suti ndo muamin jam mkwanjaa anao

    • @saidaali9379
      @saidaali9379 7 років тому

      Ibrahim Omary wanataka aseme kanunua shati millioni 10

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 7 років тому

      huyu mzee yupo sawa kabisa: watu wanamkejeli tu bure, ingekua ata vema waziri wa viwanda akutane nae aneza pata mawazo mazuri apa

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 7 років тому

      hyu jamaa alikuwa na mkwanja,ila kazurumiwa,Russia wameharibu watu wetu bright wengi tu,na mifano ninayo,hawa jamaa ni mbwa

  • @lengaymaida434
    @lengaymaida434 7 років тому +47

    Plz mliomdhalilisha Huyu mzee kwenye mitandao futeni post zenu

  • @zaifathussein8195
    @zaifathussein8195 7 років тому +1

    Am in love with huyu mbaba jamoooni,
    oooooh my gosh.
    mkinipatia no. yake #ITAPENDEZA

  • @shufaamohameed2603
    @shufaamohameed2603 7 років тому +43

    Wow nakupenda buleee

    • @enockmussa5819
      @enockmussa5819 7 років тому

      Shufaa Mohameed kumbuka Ni mzee huyo

    • @simonmwangi1057
      @simonmwangi1057 7 років тому

      Shufaa Mohameed pia Mimi bule tu

    • @shufaamohameed2603
      @shufaamohameed2603 7 років тому +1

      Enock Mussa 😂😂😂nampenda km babangu jmn

    • @shufaamohameed2603
      @shufaamohameed2603 7 років тому

      Simon Mwangi 😂😂😂sio na 900 ingependeza

    • @simonmwangi1057
      @simonmwangi1057 7 років тому

      Shufaa Mohameed hahahaa pesa anazo huyu anazitaja kama kitu kidogo hahahaa

  • @hollychriss7138
    @hollychriss7138 7 років тому

    Wooow....Nice sana mkuu

  • @loveness6732
    @loveness6732 7 років тому +1

    Babuuuuuu msomi..unafreestyle kingereza..haha
    gonga like kama unamwelewa toka mwanzo.
    Kuwa tajr sio mbaka uvae designer na kumiliki ghorofa.

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 років тому

    Nimekupenda bure mzee pole sana, kwa yaliyokukuta

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 7 років тому

    Mlivyo shindwa kuvila msivitie hira mzee Yuko vizuri sana

  • @abdallahomari8680
    @abdallahomari8680 6 років тому

    Buda mbabaishaji tuu, kilasoko halikosi mwenda wazimu, nahuyu ni mwenda wazimu wa mitandaoni, mungu amuongoze,

  • @yshamwilima3301
    @yshamwilima3301 7 років тому +25

    Mimi hapa kiswaili nitapita pembeni baby unaniuwa mieeeep😂😂😂😂😂

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 7 років тому +75

    Yule police alietangaza Dr Luice Hana uwezo wakumiliki yupooooo

    • @mickskillstechnology7511
      @mickskillstechnology7511 7 років тому +2

      Edina Chami atakuwa anaona aibu alivyokuwa anaropoka

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 7 років тому +3

      Mick Skills. Tena cyo aibu ndogo

    • @mickskillstechnology7511
      @mickskillstechnology7511 7 років тому +1

      Saumu Hassan karibu kwenye Chanel UA-cam yangu usisahau kusubsribe

    • @mrpj1030
      @mrpj1030 7 років тому +4

      Ni aibu sana kwa sector kubwa kama ile kutoa matamko bila kufanya uchunguzi ona sasa walimchukulia poa sababu ya muonekano hawajui alipitia mangapi

    • @idreamfoto
      @idreamfoto 7 років тому

      Huyo 👮‍♀️ nampa f’word!

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 7 років тому +3

    Kumbe babu ana akili timamu maskin mungu amsaidie ,mi niliona akili zake sio timamu

  • @faridkibavu2028
    @faridkibavu2028 7 років тому +3

    The man is genius

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 7 років тому +2

    Jamani usimzarau MTU. Maana hujui patano lake na mungu.

  • @saviongaila3546
    @saviongaila3546 7 років тому +5

    Tatzo Wtz Tunapenda sana kuchukuliana poa....

  • @johaivenbyashara2665
    @johaivenbyashara2665 7 років тому

    Dr upo juu

  • @farajafaraja3494
    @farajafaraja3494 7 років тому +4

    dear Dr Shika nishike nikushikilie naombeni namba jmn nikamfariji babu baby

  • @TanzaniaTrendTV
    @TanzaniaTrendTV 7 років тому +1

    Mzee yuko vizurii

  • @nuurinkluge8239
    @nuurinkluge8239 7 років тому

    Ohooo jamani,,,Good bless you,,,

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende2388 7 років тому +31

    Akili ikipita sana inasababisha mtu kuwa chizi, uyu baba anaa kali sana.

    • @BennyChristian
      @BennyChristian 7 років тому +1

      kwanza alisema miatisa sio milioni miatisa inatakiwa apewe nyumba nawamrudishie chenchi katika buku yake sema tu hapa sharia hazipovizuri mzee kashinda mnada ule

    • @BenLeeBl
      @BenLeeBl 7 років тому

      Nabintu Kadende naungan na ww

  • @kuyambogoma3070
    @kuyambogoma3070 7 років тому

    looks can be deceiving big ups baba

  • @reggyjames4846
    @reggyjames4846 7 років тому +3

    big up mzee

  • @bongapointepic2917
    @bongapointepic2917 7 років тому +31

    Yule dada si alisema Hana simu

    • @maggymm7302
      @maggymm7302 7 років тому

      Yaani.. mzee ana kamchina chake hapo wala hn shida.

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck 6 років тому

    Dr shika oyeeeeeeeee

  • @jackwisdom9264
    @jackwisdom9264 3 роки тому

    ❣️ Luis

  • @fredyjohnwaifakaratanzania2536
    @fredyjohnwaifakaratanzania2536 7 років тому +28

    WEKA MIATISHA HAPO SASA ITAPENDEZA SANA...

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 7 років тому +1

    Pole sana baba lakini kwa warus jinsi walivyo mafia na makatili c zani kama una chako tena Huko urusi wale watu ni vichaa kwa ukatili

  • @salsweetypretty3471
    @salsweetypretty3471 7 років тому

    Kumbe mzee wawatu anajielew hivi wa tz bn mnapenda kundharau mtu msie mjua

  • @isackhnano3771
    @isackhnano3771 7 років тому

    Nimekukubali xana Mzee wangu "900 itapendeza" kwan uko vizuri kimaelezo pongez kwako.

  • @benbranco3688
    @benbranco3688 7 років тому

    My anko shika

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 років тому

    Kamanda Mambosasa ni zaidi ya Dr shika yaani,

  • @sanndyberg645
    @sanndyberg645 7 років тому

    I just pray to God if hope next year i will get a chance to speak with The with Go goverment and see IF I kan Work as terapiasta.

  • @triciaburavan9180
    @triciaburavan9180 7 років тому +8

    Kwarangi za chakula zitapendeza zaidi!😂😂😂😂

    • @ernestndauka9301
      @ernestndauka9301 7 років тому +1

      Tricia Buravan wanatengeneza na binzari kabisa mzee nux kweli kweli 😂😂😂😂😂😂

    • @mathiasmalimi4555
      @mathiasmalimi4555 7 років тому +1

      hahahahaaaaaaaa

  • @jaizahamin4882
    @jaizahamin4882 7 років тому

    Kuna mama moja tuna ishi nae nyumbani miaka 25 sasa hajulikani Katokea wapi ukimuuliza anataka Mali na myumba anasema mtu wa Mombasa She’s very good ntajaribu kutafuta ndugu zake inshaa allah

  • @najmanassoro308
    @najmanassoro308 2 роки тому

    Nabii akubaliki kwao hata yesu alisalitiwa

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 7 років тому +4

    Pesa yote hiyo bora ungejitafunia mwenyewe maana afya hiyo inabidi kupata msosi

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 років тому +56

    Sasa mjue matatizo ya akili siyo masihara, Tanzania muwe na vitengo muhimu au therapy kwa watu kama hawa ambao wamesoma akili ikajam kutokana na hali za kimaisha. Huyu jamaa angefanyiwa therapy kuna mambo muhimu angefanya ya maendeleo ya nchi na maisha yake. It's saddening.

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 7 років тому

      Damaris Zuckschwert h

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 7 років тому +3

      Limy Masele The guy is very smart kuna masahibu yalimkuta akiwa urusi inaonekana. Labda angepatiwa tiba au therapy hangekuwa katika hali hii. Inaumiza moyo kwa kweli kuona msomi kama huyu akitaabika namna hii.

    • @istikhamampanga3896
      @istikhamampanga3896 7 років тому

      Naafadhali aseme ukweli ili asaidiwe hata pesa ya kula anaonekana mwili unakauka kwa kukosa lishe

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 7 років тому

      Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe Exactly my dear

    • @HASASON
      @HASASON 7 років тому +1

      Damaris Zuckschwert kwa akili yako finyu huyu mzee anaumwa yawezekana wewe ukawa maiti

  • @jumamofu2641
    @jumamofu2641 7 років тому

    Duh kweli

  • @khamismachemba7600
    @khamismachemba7600 7 років тому +4

    huyu mzee ni hatariii sn tumemchukulia poa zaidi kumbe cc ndio hatujui

  • @jennyjayne5745
    @jennyjayne5745 7 років тому

    See how billionaire live a simply life... Na hapa kaka akishika millioni watu hawaongei
    Salute sana baba

  • @luciasenga7914
    @luciasenga7914 7 років тому

    we love u.

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 7 років тому +29

    Wanadamu tumeumbwa
    ili tuhurumiane sio kudharauliana mallady msaidieni

    • @sanndyberg645
      @sanndyberg645 7 років тому +1

      Huyu mr inaelekea amesom sana tu na alisha wahi Kuwa na campany yake na familia pia.ila kuna kitu tu kilimpitia Kati katika maisha yake.

    • @maziramusa9450
      @maziramusa9450 7 років тому +1

      emaus bendi

  • @barakasimon2613
    @barakasimon2613 7 років тому +1

    waaibshe babaa.......mana walzid sn kukuiga....na kukuaibsha

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 7 років тому

    yule asikari alomzarau kaumbukaaaa
    alimsema lois nihohehahe

  • @miamiamia4491
    @miamiamia4491 7 років тому +1

    safi
    ndo tujifunze kuacha kuropoka

  • @prospermsanzi9276
    @prospermsanzi9276 7 років тому +4

    Huyo Dr Mimi naomba angeendelea kuhojiwa vinzuri, inawezekana alikua mfanyakazi wa hyo kampuni aukweli ni mmiliki nnacho shauri Ikijulikana kweli in mmiliki wa hyo company basi wizara inayohusika na mambo hayo imtumie sio kumuacha MTU ana industrial idea km hyo ikizingatiwa tz tunawataalam wachache

  • @asherinashoni4526
    @asherinashoni4526 5 років тому

    Sasa mbn mpk asoma kwani company activities hazijui vzr,lkn big up sana mzee

  • @sportsextratz9169
    @sportsextratz9169 7 років тому

    Kila mtu hufany kitu kwa kusud fulan mzee naye aliamua kufanya vile kwa maana yake tusiojua big up sn umeonyesha ujasr

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 7 років тому +4

    Huyu mzee KASOMA sana yaan Serikali Wamtumie atawasaidia sana

  • @mustaphahassan589
    @mustaphahassan589 7 років тому

    sidhani kama ana hizo fedha ila akili anayo. anajua kuapproach. this guy is really genius. ila psychologists wanasema magenious wana matatizo yao

  • @starlight8794
    @starlight8794 7 років тому

    Mmekosa kazi kweli kama ni tajiri sinijasho lake si lazima mjue amezipatavipi maana kila mmoja ameumbwa na nyota yake na akili yake ama kwakua amejieka rough ndio sababu mwamsumbua siolazima mtu kujiweka smart bwana mwenyewe hajataka kujiweka classic hebu mwacheni watubadala mpiganie maisha yenu nyinyi kazi ni kuchunguza wenzenu wanavyo ishi aki nyinyi watanzania mnashidakweli umbea tu ndio mlionao

  • @kbdmsafi_tz8094
    @kbdmsafi_tz8094 7 років тому

    mzee katoka kinouma sanaaaa

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 7 років тому +2

    bashite nae angeonyesha vyet ingekuwa ingependeza sana

  • @andrew29468
    @andrew29468 7 років тому

    huyu jamaaa anajitambua,watu wanapenda sana kutukana watu bila kuwasikiliza kwanza.

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 років тому +1

    mpeni basi japo hata kiti akae jamani mbona amesimama sana ila pole sana baba.huyo mzee anajielewa jamani nebu tuache kudharau watu jamani.

  • @clarafussi8149
    @clarafussi8149 7 років тому

    Wow jaman huyu babu

  • @sabriaalzadjali9328
    @sabriaalzadjali9328 7 років тому +1

    Kwasisi tuliosoma Saikolojia tunajua huyu mzee ni zaidi ya Awareness,Anakitu kikubwa ndani yake naamini hata baadhi ya viongozi wetu hawana,huwenda kuna kitu kilimuathiri kwa muda mrefu lakini huyu Mzee ni zaidi ya Awareness

  • @moseskisingi9625
    @moseskisingi9625 7 років тому +36

    Huyu mzee ni fulsa, kama anadharaulika kwamba hana pesa, basi wenye pesa jitokezeni mzee ana idea na ujuzi wa kutosha, pia ana mengi ya kufundisha kama atapata muda wa kutulia na kuimalika kiafya, ni vijimambo tu vimemkuta

  • @fathmahassanfathma7481
    @fathmahassanfathma7481 7 років тому

    Maskini ningekuwa na uwezo huyu mzee ninge mlea km mzazi wangu I mean my BABA...pole xn Luis ..Ila Duniya imekufahamu nikiwemo Mimi mmoja wapo

  • @merekaale2599
    @merekaale2599 7 років тому

    Huyu mzee anaakili sana afu kasoma ile mby

  • @mustafamaulidi869
    @mustafamaulidi869 7 років тому

    itapendeza sanaaa

  • @winnievesso116
    @winnievesso116 7 років тому +2

    Inatia uchungu sana

  • @alimsela2019
    @alimsela2019 7 років тому +1

    Tumekuelwa mzee Baba

  • @fauziaabraham3732
    @fauziaabraham3732 7 років тому

    unawezekana alijificha akihofia kusakwa na hao maharamia na ndo mana aliamua aish maisha ya kawaida sana

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 років тому

    mh Magu mpeni kazi Dr.Luis maan sio mtu wa spot

  • @yuscowakitojo1080
    @yuscowakitojo1080 7 років тому

    Jaman kumbe anakazi zake wakamtesa hivo mungu atawalaan

  • @luqmaansaleh5399
    @luqmaansaleh5399 7 років тому

    Kazi ipo kweli kweli😂😂😂😂

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 років тому

    Mackini namuonea huruma, mzee yuko vizur sana

  • @abrahamanimajilanga261
    @abrahamanimajilanga261 7 років тому +2

    Anaonekana kujiamini vilivyo lakini hamna kampuni hapo hizo ni free web host inatengenezwa ndani dakika 5 tu lakini shule ipo hapo

  • @gospelextramusic6734
    @gospelextramusic6734 7 років тому

    Mungu anisamehe kwamaana Mimi ni moja kati ya walio mmbeza bila kujua aiseeeee
    Huyu jamaa serikali imtumie vzuri wasimwache apoteee.