Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI
Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.
Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana
Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.
Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika
Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu
Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅
Mariam Oman Assalamualaikum! Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke! Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.
Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema
athman luanda , you are really true Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino
Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi. Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.
Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.
Mathayo Matondo Mambo vipi? Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah
pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua
naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii
I think this man is not only wealthier in terms of his money, but even the story he is telling is quite exciting.! True stories kama hizo ni chache sana duniani bwana!. If he manages to put that together in some kind of a book - he will make even more money!. VERY FEW PEOPLE ARE SUCH AS HIM!! - I challenge biographers to take that chance.
Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu) 2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa 3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha
Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.
To be honest nimekoma kufuata mkumbo na kuchukulia watu poapoa wallah tunajudge vitu kwa impression za physical appearance ndio maana si maisha,mapenzi na mengineyo "impression" inatesa watu na kuwa soooo judgemental...forgive my manners Dr louis
pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!
Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.
Naomba kuuliza Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
Tunaitwa nyani kilamaala, ata na india wanatuita nao nyani kipindi wao ni nyani weusi mno zaidi yetu... ila chaajabu South Africa wa india wapo Bungeni na hapa kwetu Tanzania wapo Bungeni pia tena uki cheki wapo kwenye u spiker wa Bunge South Africa na Tanzania pia. Yaani hii tabia yetu sisi weusi wakiafrica kuchukiana nakugombezana kati yetu yaani Mungu atuurumiye sana. Cheki unyama wa mzungu sasa hadi walimkata vidole. Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu nawapa pole.
KWANZA MAGUFULI MWAJILI HUYU MZEE PALE MUHIMBILI. PILI TUSIMDHARAU MTU TUSIYE MJUA TATU VYOMBO VYA HABARI MCHANGIENI HUYU MZEE MAANA MNAPATA PESA NYINGI KUPITIA YEYE.
*Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*
HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS
kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!
Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.
Mkuu POLE sana, ktk maisha kuna furaha na mateso, inatupasa kuyapitea, mkuu kwa sasa utasaidika na bora umesema na niveema umejitoa mhanga na sasa tumekufahamu veema, napenda Serikali ikusaidie kwani nayo utaisaidia kwa vijana wake kuwapa kazi
Nampa pole sana Huyu mzee kwa yote yaliyomkuta lakini pia nampongeza kwa kupambana na hali yake kisawasawa, hakika ni ngumu kuamini lakini ni nyepesi kuitafakari, mladi yupo nyumbani basi mengine tutayaona, ila anikumbuke siku kampuni yake ikitengemaa,
Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI
Benson Frank kweeeliiii kaka uyuuuu mzeeee kiboko
Benson Frank kwer
Dahhh nimemkubali huyu Mzee iinauma sana na itabid aangaliwwe jaman PhD sio mchezo mmchezo
good broo kwakumuelew mzee
Benson Frank Tell Them,,
Asee mzee nakuombea mungu akufanikishe uweze kulipa.iliwatu wanao jua kuhukumu waaibike
god otaru Mambo vipi?
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .
Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.
Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.
Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG
GOD BLESS YOU
Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana
Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.
Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika
comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Men Of The Year Dr Lewis I salute you
Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu
Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅
Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Bakari M Akida nimeelewwa
He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥
sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang
😘😘😘😘
Mariam Oman Assalamualaikum!
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Mariam Oman
+Elasto Msigala hi
hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana
TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi?
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Rip..
Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake
Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke!
Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.
Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema
mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy
Timoth Waitara o;in
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
BC akuoe
SEMA KAMA HAJAMCHAGUA BWANA YESU KRISTO IT IS NOTHINGG...😪😫😥
@@bbakzuvciIii mjinga tu wew
Aaaaahhh safi sana doctor.
Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote
athman luanda , you are really true
Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino
mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana
hilary mbewa
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi.
Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.
Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.
Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.
Bashiri Girro hata mim sijuwi kwanini but i trust him
Feeling so sad
duh noma aisee nmemuelewa Sana Dr Shika
Bashiri Girro kweli kabisa....
Alafu mtu muongo hawezi rudia kitu hicho hicho kila enterview angekuwa anasahau maneno mengine
Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.
Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!
Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli
Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.
Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng
Zainab Bakari polis walimdharau
Assalamualaikum!
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue
Mathayo Matondo Mambo vipi?
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"
Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo
Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah
Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina
R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏
Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako
Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.
Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa
pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua
Abdallah Hemed
Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Ooh my God ,mungu akusaidie buda
Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo
naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii
Pole saaana jamani inatia huruma
King Zed #pesamadafu AFANDE mwenyewe ni form four failure
msenge kweli
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji mifupa
0716651640
Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa
Wewe Kama Mimi vile
IMANI ELIAZARY mi pia
Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia
Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Imma Ruzige huyu Mzee muongo
OMG, I'm moved!
Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah
I think this man is not only wealthier in terms of his money, but even the story he is telling is quite exciting.! True stories kama hizo ni chache sana duniani bwana!. If he manages to put that together in some kind of a book - he will make even more money!. VERY FEW PEOPLE ARE SUCH AS HIM!! - I challenge biographers to take that chance.
nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee
Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu)
2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa
3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha
joji georige pamoja kaka, pamoja sana.
na ya nne "kukaa mwenyewe haikubaliki"
joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?
Dah
Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana
Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.
he is very smart and technical.......bt some shit happens..
To be honest nimekoma kufuata mkumbo na kuchukulia watu poapoa wallah tunajudge vitu kwa impression za physical appearance ndio maana si maisha,mapenzi na mengineyo "impression" inatesa watu na kuwa soooo judgemental...forgive my manners Dr louis
Wavanilla tz same as me mkuu mzee nimemuelewa
Wavanilla tz Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!
Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.
Naomba kuuliza
Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha
Dr Luiz Shika...👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍
kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo
Tunaitwa nyani kilamaala, ata na india wanatuita nao nyani kipindi wao ni nyani weusi mno zaidi yetu... ila chaajabu South Africa wa india wapo Bungeni na hapa kwetu Tanzania wapo Bungeni pia tena uki cheki wapo kwenye u spiker wa Bunge South Africa na Tanzania pia. Yaani hii tabia yetu sisi weusi wakiafrica kuchukiana nakugombezana kati yetu yaani Mungu atuurumiye sana. Cheki unyama wa mzungu sasa hadi walimkata vidole. Nyinyi wakujipendekeza kwa wazungu nawapa pole.
pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.
mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua
charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana
Nimemkumbuka wajinaaaa ,Kama unamkumbuka Dr wa falsafa like twenzetu tukanunue nyumba
KWANZA MAGUFULI MWAJILI HUYU MZEE PALE MUHIMBILI.
PILI TUSIMDHARAU MTU TUSIYE MJUA
TATU VYOMBO VYA HABARI MCHANGIENI HUYU MZEE MAANA MNAPATA PESA NYINGI KUPITIA YEYE.
Ebwana mambo vipi
Ningependa kusubscrube kwenye channel yako ila uko-SUBSCRIBE kwangu kwenye channel yangu ntafanya Hivyo kwako.
Sabas vLogs POA FANYA TU. HAKUNA WASI BRO
MBINGA TV
Pamoja mkubwa.Tumesomana
Managonga SUBSCRIBE kwako tayari.
Daah
Poleni mzee,mungu anakupenda sana!.Usije ukakoma kumuomba nakusii sana!.Hizi nchi za mbali jameni!.Live marekani,but hiyo story yako imenigusa sana!.
Dah! Nmeshindwa kumaliza hii video.. pole sana Babu. Somo la kujifunza lipo.
Kweli mkataa kwao mtumwa!
Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani
*Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*
HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS
Pole sana Dr.
Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa...
Si mchezo
Mungu akutie nguvu katika mambo ako
Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏
Mzeeeeee ukooo vzriiiii kbsaaa yaan
big up sana unahitaji kujiriwa serikalin
Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya
mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee
Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo
This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.
toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.
Wow, what an amazing story...
nimemuelewa sanaaa..Anahitaji msaada...wap mr presdent
So smart kichwani
Huyu mzee afuatiliwe vizuri inaonekana kuna mambo mengi ndani yake..ni kama msema kweli hiviii
900 Itapendezaaa 😊😊
sema mzee nipe ajira bn kwny kampuni yako life ngum xn... wa tz achen dharau umezoea xn
😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee
Tajiri Dr luis
Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza
kidole kimeniumaaa mimi hikooo!! hapana jamani.. mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yooote!! Unakwenda kupokea muujiza wako Dr Louis!!
pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.
Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.
Pole kwa matatizo mzee Wang
Winnie Choyo tumpe pole za kutosha na tumsikilize
Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.
Mkuu POLE sana, ktk maisha kuna furaha na mateso, inatupasa kuyapitea, mkuu kwa sasa utasaidika na bora umesema na niveema umejitoa mhanga na sasa tumekufahamu veema, napenda Serikali ikusaidie kwani nayo utaisaidia kwa vijana wake kuwapa kazi
He is ok he ever simple and cool talented people to win life
Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu
lugha yako mzee nimeipenda Sana kama kunauwezekano serekali yetu impe ajira mzee nakupongeza umesoma
Nampa pole sana Huyu mzee kwa yote yaliyomkuta lakini pia nampongeza kwa kupambana na hali yake kisawasawa, hakika ni ngumu kuamini lakini ni nyepesi kuitafakari, mladi yupo nyumbani basi mengine tutayaona, ila anikumbuke siku kampuni yake ikitengemaa,
Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda
Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana
This man is Genius
Daah Pole Sana dk shika