"Naishi kama ndege" - Dkt. Shika afunguka kuhusu maisha yake ya kutangatanga na kulala stendi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Huyu ni Dkt. Louis Dkt. Shika, yule wa "mia tisa itapendeza" amenguka kuhusu maisha yake mapya, asema ndugu zake wamefumfukuza na hana pa kuishi, azungumzia ishu ya kulala kwenye kituo cha dalala, ajipa matumaini kuhusu mabilioni yake ya Uswisi.

КОМЕНТАРІ • 74

  • @twaibutwabibu8809
    @twaibutwabibu8809 Рік тому +1

    Sleep well Dad. Naamini japo ulikuwa urusu kuna mengi juu ya maisha yako. Hakika mwenyezi Mungu ndiye atujuaye tunayoyapitia waja wake.

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 роки тому +4

    Kweli kabisa ukitaka ujue ndugu sio wa kuwategemea ukipata tatizo,,ngoja uwe huna kitu ndio utawajua wao ni nani.tena watakupuuza na kukuona mjinga.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 4 роки тому +2

    Huyu Jamaa anafanana na Msanii mmoja pale Magogoni

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 4 роки тому +4

    Mie nakushauri ingia kwenye siasa mzee patakufaa sanaa

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 роки тому +2

    polee sana mzee wangu

  • @nemymtango4074
    @nemymtango4074 4 роки тому +2

    Daaaah jamani kama kuna watu wanaweza kumsaidia wamsaidie anasikitisha😥😥

  • @herrymwaipopo1170
    @herrymwaipopo1170 4 роки тому +2

    Jamani mbona mnazidi kumfuatilia huyu mzee kama hamtaki kumpa msaada simumuache achani kutake advantages na maisha ya watu

  • @firtekfluidconnector1537
    @firtekfluidconnector1537 4 роки тому +2

    RIP Dr, Shika

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 4 роки тому +6

    Nakumbuk kuna ck alipiga picha na pesa pamoj na vipande vya dhahabu akisema mzigo kdogo umeingia, na akionesha kuwa umebebwa na kiwango security... Sasa anachoongea sasahv simuelew isee.. Mm naon msaada wa kwanza angepimwa akili na kupatiwa msaada

  • @lazaroletion2420
    @lazaroletion2420 4 роки тому +7

    No way true, 😂😂😂😂 anaitaji msaada kiasi Kwa wanaojiweza

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 2 роки тому +2

    ACHA AYAPITIE HAYO KAMA WAZAZIWAKE WALIKUFA HAKWENDA KUZIKA

  • @salimmohamedsalim2837
    @salimmohamedsalim2837 4 роки тому +2

    Eti naishi km ndege na ndege huweza kuhama

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 4 роки тому +2

    Pumzika kwa amani Dk. Shika

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 роки тому +2

    amtafute piere wapige colabo

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 роки тому +4

    Nchi ya Tanzania ina watu wenye vituko sana

  • @muntazilusalum5377
    @muntazilusalum5377 4 роки тому +4

    Daah inamaana harakati zote kipindi kile ilishindikana kupatikana dola 200? Ebu Dr aseme ukwel kuhusu hali yake ya maisha ili watanzania tuone tunamsaidiaje lkn akiendelea kuwaza mabilion yake hayo ataendelea kutabika na sizan kama kuna ukwel hapo.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 роки тому +2

    Daah yani huo wimbo apo mwisho kidogo nianze kulia😭😭😥

  • @jumamwadin8986
    @jumamwadin8986 4 роки тому +4

    kwanini serikali kma anadai hela hio ughaibuni wasimsaidie akazipata

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 роки тому +3

    inatia huruma Sana.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 роки тому +3

    hakika kachoka sana yule maneja wa grobo yupo wapi?

  • @zahoromzee5417
    @zahoromzee5417 3 роки тому +1

    Amakweri nimsimi aliejitambua

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus6895 4 роки тому +3

    mgnjwa huyu. mbona kavimba mashavu sana

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 4 роки тому +3

    Labda anajua anachokifanya. Na ni siri yake

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 роки тому +6

    hakika huyu mzee kiukweli sasa anapata shida mpaka kavimba mashavu

  • @edsoniminani5785
    @edsoniminani5785 4 роки тому +3

    Haka kajamaa unajua katakosa hata msaada kwa sababu hakana ukweli wowote juu ya maisha yake anayoishi lakini aliwahi kuonekana akiwa anevaa suti ya mil1

  • @naimamwaibanje156
    @naimamwaibanje156 4 роки тому +5

    Anaoneka Pia hayuko sawa kama afya sio nzuri, kama kavimba uso🙁

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 4 роки тому +2

    Katepeliwa

  • @yusuphamani72
    @yusuphamani72 4 роки тому +5

    Huyu jamaa anayoyasema ni ya ukwel au mipango miji

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 6 місяців тому

    Yote maisha lakin na kuchanganyikiwa kupo

  • @rosejohn4666
    @rosejohn4666 Рік тому

    Rest in paradise

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison435 4 роки тому +2

    Huyu Tapeli tu

  • @cosmasmheshimiwanjoonamwan2846
    @cosmasmheshimiwanjoonamwan2846 4 роки тому +4

    mzee wewe ni ulikuja mjini na akili tuu sasa hata tabia imekuchenga

  • @lazarosule7761
    @lazarosule7761 2 роки тому +1

    Dah

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn8576 4 роки тому +1

    Catherine kahabi hebu mpangie huyu baba hata chumba kimoja kipindi kile we meneja wake vusenti vyake ulikula!

  • @josephdomi9393
    @josephdomi9393 4 роки тому +1

    Hapa alimjibu kisomi

  • @mathewndunguru6340
    @mathewndunguru6340 4 роки тому +1

    Analeta ubabaishaji mwingi sana duh dkt shika bora atafute kijiwe cha kutibu wagonjwa tu

    • @munuoisaack418
      @munuoisaack418 4 роки тому

      Yy mwenyewe hapo INI lina shida tayari

  • @enockcharles6835
    @enockcharles6835 4 роки тому +1

    Jamaa bhana asitudanganye bhana, suti kali hivyo hana pakulala kweli!!!!

  • @gudluckndaro9027
    @gudluckndaro9027 4 роки тому +4

    mzee naona mashavu yamejaa utafikir anaongea nyagi

  • @walivyojuma7095
    @walivyojuma7095 4 роки тому +3

    Uyu mzee anamapungufu asaidiwe jamn hayuko timamu kabisa

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 4 роки тому +2

    kavimba mwili mzima

  • @ruphertz9207
    @ruphertz9207 4 роки тому +1

    Hahahahah sio siri kachoka mzee was watu mmuache tuu hahahah

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 4 роки тому +1

    Apambane na hali yake

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 роки тому +2

    Huyu babu ni tapel tuu maneno mengi hatar

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 4 роки тому

    Ungempiga show yule manager wako

  • @walivyojuma7095
    @walivyojuma7095 4 роки тому +1

    Mbona kafura mwili ivi jamn anakumywaga gongo au mbona yuko ivi uyu alishasemaga nimeneja uyu pia anamsanii wake bongo mbona tunamambo ivi

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 4 роки тому +1

    Maskini amevimba uso,,,, Ila ni muathirika kiakili

  • @sqs735
    @sqs735 4 роки тому +4

    Dr Shika, na kuuliza , huyo meneja wako ulikuwa una mlipa mshahara? Kama ulikuwa unaweza kumlipa mshahara meneja ,ulisahau kama unahela zako uswiss

  • @emanuelmbise6283
    @emanuelmbise6283 4 роки тому

    duuuuh

  • @florakankutebe3987
    @florakankutebe3987 4 роки тому

    Azame tv

  • @danielhaule155
    @danielhaule155 4 роки тому

    Saiv kafarik utaona hao ndgu waliomfukuza wanajitia unafiki kulia na kujifanya walimpenda, SOKAPO HAPA!

  • @shadidapikinini9230
    @shadidapikinini9230 4 роки тому +5

    Unakiburi mzee wewe sijawahi kuona,

  • @reubenbusanji2904
    @reubenbusanji2904 4 роки тому +2

    Mnahangaika na kichaa.

  • @mashakabakarabdallah6545
    @mashakabakarabdallah6545 4 роки тому

    Kumuimbia wimbo wa kalubandika haipendezi huyu ni docter si mbumbumbu yote kwa yote nimaisha tu.

  • @jonasluck5713
    @jonasluck5713 4 роки тому

    MZEE UNA HALI MBAYA, MBWEMBWE NYINGI MALA MENEJA, RUDI KIJIJINI KWENU USUKUMANI, UMEKWAMA KIMAISHA MZEE..

  • @robertnoel5232
    @robertnoel5232 4 роки тому

    Gonga like kama unasupport huyu jamaa kuchukua form za Ugombea Uchaguzi

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 роки тому

    Dr miaka yote bado ujapata dola 200!!!!!!????

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 4 роки тому

    Azam wachokozi sana.. hv huyu babu anashindwa kweli kwenda kufundisha pale Chuo cha MUHAS,KAIRUKI,KAMPALA I.U na IMTU maana alisomea udaktari kabisa sasa kulala standi maana yake nn..Anakuwa kama Dr Machibya yule tall aliechanganyikiwa pale Mhimbili..

    • @muntazilusalum5377
      @muntazilusalum5377 4 роки тому

      MUHAS we don't hav school of psychiatry aende zake uswis huko ahhahahahahahaha huyo itakua hata resen ya udaktar hana

    • @bakalinjechele8012
      @bakalinjechele8012 4 роки тому

      Duh makubwa

    • @metulucas3436
      @metulucas3436 4 роки тому

      Atafundisha nn sasa huyo hata akienda huko?

    • @onesmoakwilini6254
      @onesmoakwilini6254 4 роки тому

      Vichaa wanafundishaga vyuo cku hiz

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 4 роки тому +1

    Jaman alisema Ananua nyumba na mabilion yameingia yeye kasema hili tone tu akawa anasherekea na kahabi Mmmmmm ha ha ha ha ufala kabisaaaaa

  • @shadidapikinini9230
    @shadidapikinini9230 4 роки тому +2

    Majibu ya mkato tuu

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 роки тому +1

    Azam Tv mnamhoji mtu ambaye akili zake anazijua mwenyewe tu dah Tanzania ina watu wenye vituko sana

  • @h.rukuba7464
    @h.rukuba7464 4 роки тому

    maisha ni shida sana

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 4 роки тому

    Huyu tapeli wa kinataifa mbwa huyu

    • @belak999
      @belak999 4 роки тому

      Haya na maneno yako yakuhukumu, ameshafariki endele kuandika
      Shame on you

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 4 роки тому

    hakika kachoka sana yule maneja wa grobo yupo wapi?