Azam TV - MAHOJIANO MAALUM (31/12/2017): Dkt. Shika, afunguka A-Z kuhusu maisha yake ya 'kiki'
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- VUNJA MBAVU NA DKT. SHIKA: Ni moja kati ya vipindi vilivyofanyika mbashara kutoka Mlimani City Dar es Salaam siku ya kuufunga mwaka 2017. Dkt. Louis Shika kama mmoja wa watu waliopata umaarufu katika mwaka huo, naye alikuwepo.
Tazama Mahojiano yake mwanzo hadi mwisho
Tatizo hawa madada wanadhani wanaongea na chizi kwaiyo wanataka kuchekesha tu, ila dr.shika nitofaut na wengi tunavodhania, i like him honestly
Hawa wanauliza maswali kwa lengo la kutaka kujua kama yuko timamu kiakili au la.
Acha wafanye kazi yao maana wanapima kama IQ yake iko sawa.
...naenda kufanya kazi Marekani...kuitumikia Dunia..
Keep in touch...
Iko siku tutaelewa...tu
Jeshi alafu mchoma mkaa..?
Why is everyone so negative here about this interview, you should all be ashamed of yourselves..This is fun or comic or whatever you want to call it and I think it's a great interview..They did it very well and Dr.Shika was right on point as always.....A.K.A a true comedian...😅😅😅😅
shikamo pesa
pesa pesa
Godfrey Raphael hawajui hao
Aaaaaaghhh!!! watangazaji mmezingua sana, Mme base kwenye maswali ya familia yake wakat Mzee anavitu vingi vyaundani vya kumuuliza. Acheni kuiangusha AZAM TV bhana
indeed hawajui hata kuinterview MTU
AZAM MEDIA ni moja ya vituo vya habari ninavyoviamini kwelikweli, ila kwa hawa watangazaji, hapa hakuna watangazaji aiseee, ujue mzee Shika ni mtu mzima na ana heshima zake, kiukweli huwezi ukamhoji maswali ya kitoto kiasi hicho aiseee, nyie wadada jifunzeni interview aisee is not any body can make an interview
Yaaani.....professionalism haipo kabisa hapo ....maswali hafifu , mpangilio sifuri
Ajira yenu inapaswa kuwa hatarini kabisa hamjui kazi yenu na huyo mzee mbababaishaji tuu
Tatizo Shule Nmegundua Kwa Hawa Wa Dada, Tuwape Pole Zao .
Watangazaji hamjui kuhoji, mngeandaa maswali kabla...yani hamjaandaa mtiririko mzuri wa maswali..mmeanza issue zingine hlf katikati mnaomba historia yake.
Naomba kujua, ivi Azam ao watangazi kabla ya kuwapa ajira mliwafanyia interview ?
ninawasiwasi taaluma za hawa madada
Mngemhoji kuhusu balozi aliyekataa kusaini ila nyie mmemrukisha mada ,ameanza vizur kuweka mambo hadharani ila nyie mnahoji vitu ambavyo tushavifahamu mda mrefu alivyohojiwa ,
Kama uko pamoja na mm like ACCOUNT YANGU
Sasa mbona ulikaa sehem mbaya sana huko tabata kweli we mzee mh!!!
hawa watangazaji wana uwezo mdogo sana wa kuhoji mada za msingi
Doctor shishika shavu dodo haya maswali kila siku nihaya haya? Shika kiukweli toa ajila kwa vijana maana huna kipya unachoulizwa kipya tofauti na kampuni yako unaishije unavaaje unaela kiasi gani bosi wako Nani
acheni upuuzi kusoma amjui hata picha izo mbanga za kichoko banaa
Wee VP! Kwan meno ndio alama ya MTU mwenye PESA. Allaa!
Dada zangu mmezinguwa
Chezea Dokta shika nyinyi mumeshindwa kumuuliza maswali yalioenda shule
Jamaa kadata kidogo
Hawa wadada hamna kitu.
Dah...haya maswali iseee not professional kabisa....huu ni upuuzi jaman dah
Nyie mademu mnazinguwa
Swali moja mnalirudia mara mbili amjuwi ata kdg kbs
900 itapendeza zaidi
Wanauliza wanachokijua...aibu sana
Kwa hiyo nyie ndo mmetumwa na Azamtv kufanya kipindi maalum na maswali mepesi hivo utasema mtoto wa std seven anahoji mwalimu.au mmekurupuka bila kujiandaa? Au mmekutana na Dr.shika bahati mbaya mkamdaka na kufanya kipindi? Yani hamjui kuhoji kiukweli.mmeizalilisha kampuni.hiko sio kipindi maalum kwa vijiswali hvo visivo na mpangilio khaa
hawa watangazaji tatizo wananyege sio kwa kujichekesha huko na kuuliza maswari vishawishi maybe wanaitaji sponser
Ninyi wanawake mbona mnahoji kama kasuku? Hivi mmesomea hiyo taaluma kweli
Duh jamma muongo
Mulio sikia Ni audio hii nivideo kuweni na tasmini watu wengine nyinyi
Doctor shika wakimbize
Mnapwaya kwenye maswali hamjipangi mnauliza uliza tu
Haya matangazaji, vitangazaji au ni watangazaji waliosomea??!! Mbn wanatia kichefuchefu kbs!! Mzee ana nondo za kutosha lkn hojaji hamn kbs.
Kuhusu baloziiii....
hicho kichwa sio saizi yenu
mjini shule dr. sahv kanenepa
hahaa😂😂
Jamani huyu Mzee yupo Sawa hali alionayo ni kutokana na background za Urusi, Kwa anaye fahamu watu wanaokwenda Urusi kusoma hasa science and engineering ni wa chache huwa wanarudi kwao wakiwa na akili timamu, wengi huwa walevi kupindukia nina ushahidi wa wasomi wawili walitoka huko wako hoi ni tabia ya Urusi kuhakikisha elimu usiende kunitumia huko uendako, Kwa huyu kuna mawili eidha walaitaka kumpokonya company na wampoteze au kampuni ilitumika vibaya na mataifa hasimu na Urusi hasa kwenye national security affairs.
Kuna maswali mhim mnameshimdwa kuuliza mnauliza ujinga tu! Kawaambia alikua balozi office ilikua Kenya eti imejamia marekani, swali lini na kwa nn hajawahi kwenda ofisini kwake na anapandishwa vp kz bila kuhudhuria kzn. Na kwa nn alipoendaga kahama aliahidi baada ya wiki mbili ama moja pesa itakua imeingia Tanzania mpaka leo haijaingia? Naahadi alizo ahidi kuke kahama suku zimeshapita anatoaje ama anafanyaje sasa maana ahadi ni deni. Na mengine mengi hamyahoji munahoji ujinga tu mabwege nyie...!!!
Aisee mnaiaibisha Azam TV. mtu makini kama huyo haitaji waandishi wenye mawazo mafupi kiasi hicho.
Hakuna jipya hapo
Hao watangazaji k tu
You guys are wasting airtime 😩
Eti kipindi maalum....!
Hawa dizaini wanajifunza kuhoji mtu na huyo mzee kawaheshimu tu ila kwakweli hawana taaluma hiyo.
Nyie watangazaji hamfai kabix
Yan hujafanya kaz halaf ukapandishwa cheo na hiii ya ubaloz imeanza lini
Sasa huyu muzee
anang'aa kweri kweri
🤣🤣🤣 tuvute subira ma_hela yaningia leo ni tarehe 30/01/2020 bado tuvute subira ...
Dr Shika una malikauli
Dr.Shika tunakuzubiri ulaya sisi tuna kula Bata
nyie wadada mngejiandaa kwa maswali before kumuita shika ..huyo jamaa sio level yenu .ona tuswali mnavo muuliza.yan km millard ayo na victor wanyama..
Washike maana washazoea kushikwa
Huyu docta wambuzi umeona wapi muda mchache kapitia taaluma zote
academically zero
Nyie mademu niwasenge kweli, km ningekua boss wenu mngemaliza kipindi na kuunganisha kwenu kz hamna.
muogo huyo
Yaan wako wawili na DR kawapoteza chaka
Nakubali
Dr shika anasema suti anazo nyingi
Hii sheria ya watangazaji kuwa na degree ina umuhimu sana hapa nchini
juma ramadhani nafikiri unapotosha hakuna sheria inayozungumzia kuwa na degree bali diploma.
juma ramadhani 😂😂😂😁😁😁 true kabisa
Amesoma mpaka kawa chizi le profeser
Watangazaji vipi hawa tudisha shule jamaaaa
swali la kuuliza moja wapo lilikua aoneshe wapi kunasema yeye in balozi na amepandishwa cheo . no rahis tu kujua huyo in muongo au mkweli . wewe mtu anateuliwa kuwa baloz miaka yote hiyo hafanyi kaz arafu anapandishwa cheo tena yeye nani bwana
Mazuzi haya yanahoji utumbo kabisa
hawa watangazaji hawajui kumhoji mtu....tunamashaka na taalum yenu.
wadada mnaboa sana
Duuh huyu mtu fala
Hawa watangazaji fake... Hawajui kuhoji mtu vzuri.... Inakuwa kama mtu na wajukuu zake
Urusi! urusi! urusi!kunani hapo lakini.😂😂😂😂wote waliosemea urusi akiri zao zote km doctor shika tu.
😏😏rudini shule mkasomee hiyo kazi sio mnakurupuka tu hajui jinsi ya kuuliza maswali Shika ana wazidi akila,
yani nyimadada wote wehu pamoja nauyo kibwengu mwezenu Elim hamnamaswali yamana
Shule muhimu hawa madada ni mabogus, hakuna kitu hapo waandishi gani wanahoji maswali ya kipumbavu mfyuuuuuu 😧😧
Eti wanasema shenzi kesho uje😁😁😁
Hivi kweli tupo serious. kuna matatizo mengi huko vijijini hbr zao hasikiki huyu jamaa anazingua
stoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooop
#Shika bwana😂😂😂😂😂eti nataka mpya
huyu mzee anatufanya sisi sote mapimbi
Umeua. Haaaaaaaaaa
nyie wadada hamjaitendea haki taaluma yenu
tapeli mkubwa huyo hana chochote
Dkt shika mzee wa maneno huyo
nyie wadada washamba mnakera maswali ya kipuuzi
Muongo tyu uyo
stupid have no limit and ginius has limit madada nendeni shule
Watangazaji hovyo kabisaaaa maswali yakipumbavu tuu mfyuuuuuu
pumbavu wote nyny watangazaji Low IQ mkakojoe mkalale
Huyu mzee ananikera kweli! Ye mjinga na anafanya watu wote wajinga! Hata pesa ya kula hana, anakwambia kaajiriwa na UN! Hata meno hana bwege
Ed Lumala 😧
Huyu haujui ni CIA ndo maaana warusi walimshutukia
nyie madada hata hamjui kabisa kuhoji. Malaya nyie.
Wee acha ujinga kosoa ili wajirekebishe matusi yann
Shika hatar
maswali gain hayo hamjuikuulizamaswali
Nimemaliza mb zangu bure, wadada mnaulizia mpaka suti
Jamani, kwel form 4 anawezaje kumuoji mtu wa degree 4!....ivi nyiee wadada bado mmeajiriwa tu???
huyo mzee noma sana mungu amuongoze
Nimeshindwa kumaliza kipindi hawa wadada wamenichefua fyuuuuu
huyu jamaa ni tapeli. simwamini.
Hahahahahahahaha