GONGA LIKE KAMA UNAMKUBALI MZEE SHIKA THE GREATESTMAN EVER. MZEE AFANYE MATANGAZO ATAINGIZA PESA SANA PIA WAFANYA BIASHARA WAMTUMIE HUYU MZEE. HIS COMFIDENCE ENOUGH TO WORK WITH HIM. TUMUINUE KWENYE MATANGAZO MZEE WETU
He is no doubt very intelligent, but it does not mean that he is not deluded. I.e. if a cheque was sent by a courier, then what was the insurance for?, he then contradicted himself with online transfer and cheque.
Janeth Jackson Au unamuonaje Dr Luis Dada Janet Kwanza huyo Rais wa company na hizo company ziko nje ya nchi halafu ana jiamini anapoongea ina maana ana uhakika na anachokifanya kama uliona siku ya Mnada yule dada aliyekuwa anatangaza Mnada alifanya kazi kubwa sana ya kumpepea wakati wanamalizia mnanda nyumba ya mwisho na kuna jamaa mmoja alipiga makofi mpaka jasho likawa linamtoka chezea Dr. Luis wewe
Huyu jamaa inawezekana akatiliwa shaka kwa mwonekano, lakini anajitambua sana, anaonekana kusongwa na mawazo, upweke na kudhulumiwa, anaonekana kukusudia kufanya mengi lakini kuna kitu kinamtatiza ama kilimtatiza, binafsi nadhani kati ya Watanzania wanao jua kujenga hoja na kujieleza huyu jamaa atakuwa kwenye top ten, nashauri serikali yetu ifuatilie kujua nini kilimpata huyu ndugu yetu huko ughaibuni!
Moses Kisingi @ umetoa wazo la msingi sana, serikali ifuatilie huko ughaibuni alipatwa na nini,, polisi waache kumuhusisha na lugumi na badala yake wachukue maelezo yake binafsi wayafanyie kazi.
MIMAH G Yani kama ameweza kujieleza kwao na wakamkubali kuwa mmoja wa wanunuzi ni Dr tena siyo wa mchezo mchezo. Hata hapa kwa maelezo yake, atawaingiza segerea😂😂😂😂
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe/ Mimi tu ni memuelewa Mzee alama yake ni ya msingi sana Hata Wale waliokuwa wa kitangaza mnada wajifuze kuuza Mali wao wanataka fedha mda huo huo wanafanya nyumba kama za kitapeli ama za wizi huu utaratibu wao wa kuuza Mali waweke taratibu zingine Mzee yupo fresh out kabisa sheria ya mnada ni mbovu ni mbaya
mzee shika yupo vizuri sana na kuhusu pesa au kampuni anazo .ulusi alienda kimasomo baada kuhitimu akaajiliwa huko huko .tena kama daktari bingwa na hakuna aliye jua mshahara wake .mke wake alikua murusi .hana sababu ya kujionyesha hali yakua anatafutwa na majambazi ilikuuwa .
ningekuwa kwenye nafsi ningemsaidia huyu mzee. tafadhali Millard na Ayo Tv tunaomba hili swala la mzee mlipenyeze kwa waheshimiwa serikalini waone namna ya kumkwamua pale alipokwama. inaonesha dhahili kuna mahali alikuwa disappointed then akaamua kukomaa nalo mwenyewe ,likasababisha kukosa furaha, huzuni na upweke ambao ulipokomaa alipata tatizo la kisaikolojia. chonde chonde huyu mzee tunamuhitaji katika ujenzi wa taifa letu. biko wampe afanye tangazo, na ninyi hakikisheni mnasaidia mzee kutoka hapo alipo.
Hajakurupuka tu siku ileile ya mnada Bali alianza kufatilia taratibu ktk sehemu husika. Kwa bahati mbaya sana watu wanakurupuka na kumsema vby kumbe wao hawakumuelewa! Dr Luis's strong Man
Haya maelezo ni hatari, huyu apewe ubunge wa kuteuliwa yaani anatoa maelezo kuliko maprofesa! Nimechoka. Siyo mweu ni mzima ila ana kasoro kidogo tu za kimaisha.
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe uyu mzee yupo vzr mie nimeshaazakumuelewa kunakitu kimejificha ndani yake ila sio mgonjwa tena akili zake zimetulia vzr snaa ila yapi mambo ambayo kisakoloji yameachanganya
GONGA LIKE KAMA UNAMKUBALI MZEE SHIKA THE GREATESTMAN EVER. MZEE AFANYE MATANGAZO ATAINGIZA PESA SANA PIA WAFANYA BIASHARA WAMTUMIE HUYU MZEE. HIS COMFIDENCE ENOUGH TO WORK WITH HIM. TUMUINUE KWENYE MATANGAZO MZEE WETU
Wazo zuri sana sana. Asaidiwe jamani apate kazi ya kutangaza.
😂 😂 Nimekapenda bule mzee
the man is strong
Despite of everything...The man is so bright....I learn a bg stuff from this precious
Silwano Sihha true!!!!...
Silwano Sihha m with u
Aki jamani. Mh...!
Huyu mzee sio mchezo hatakama hao madalali wa TRA. (YONO) WAKISEMA WASIMAME NAE MAHAKAMANI. ATAWATUPA NJE YA ULINGO VIBAYA SANA. BORA WAKUBALI YA ISHE WAANZE MNADA UPYA
+Mjomba Malaki
Tena kabisaaaa kabisaaaaaa mzee
Huyu mzee sio chizi ila ni genius, ukiwa genius kupitiliza halafu ikawa hujawa utilized kuna changamoto kama hizi
Thats true,anything in excess is harmful.Na wengi wenye akili za kupitiliza wanakuaga hivyo.
joji georige to bad
mzee genius,huo uongo siyo mchezo
joji georige true genious kupitiliza huyu mzee big up to him
daaah kwl
Huyu jamaa ni kiboko kha. Yaan hata ukisimama nae mahakamani anakupiga chini 😅😅
mike erick
Cri yako
mike erick tena wimaaaaaaaaaaaa yuko vzr atareee tena yupo njema kwakweli ila kunakitu kimejificha ndani yk
mike erick 🤣🤣
mike erick yupo sawa
mike erick kabisa coz yuko vzr
Mzee yuko smart....they shouldn't judge u...so bright##
jmn kupanga so kwamb huna hela dah
the man got something they call self confidence
Mzee Nimetokea kumpenda tu yan ✊ Hafu Ana Akili zake TIMAMU kabisa
Benson Frank unishindi mimi nimempenda bureeee😂😂😂😂😂Santee Dr Luis upo vzr sanaaa bb
Benson Frank yupo vzr sanaa,uelewa A
hahaha,,, mzee konki huyuuu,,, namwelewa sana dadeq
Na ana confidence pia
Benson Frank watu alikuwa wameisha hanza kutusi mtu wawatu jamani tuwe waungwana
He is very intelligent and I wonder to some guys who used to say he is not well minded!!
He is no doubt very intelligent, but it does not mean that he is not deluded. I.e. if a cheque was sent by a courier, then what was the insurance for?, he then contradicted himself with online transfer and cheque.
He's mentally unstable but looks like he did go to school.
The earlie the beter yuko sawa mpeni nyumba zake
Mc Tidoh Ondoa hahahahahahaha msomi kabisa hana tatizo la kiakili ila anamapungufu kidogo tu
Dr. Luis shika anaonekana hela anayo wacheni dharau nyumba anachukua hizo fanyeni subira kidogo
hahaha m nilijuwa Hana akili kumbe anajielewa vizur kabisa
Rajabu Mofi hahahaaaa! Umenipa raha dia....
Rajabu Mofi kweli kabisaa,tatizo la tz watu wanadanganyika na mwonekano
Janeth Jackson Au unamuonaje Dr Luis Dada Janet Kwanza huyo Rais wa company na hizo company ziko nje ya nchi halafu ana jiamini anapoongea ina maana ana uhakika na anachokifanya kama uliona siku ya Mnada yule dada aliyekuwa anatangaza Mnada alifanya kazi kubwa sana ya kumpepea wakati wanamalizia mnanda nyumba ya mwisho na kuna jamaa mmoja alipiga makofi mpaka jasho likawa linamtoka chezea Dr. Luis wewe
mtanzania mzalendo umeona huyu atasaidia nchi kujenga viwanda Kama ana company nchi mbali mbali kwanini asijenge viwanda nchini kwetu mzee yuko vizuri
mbona anajieleza vzr tuu jamani😂😂😂😂
Usimdharau usie mjuwa kweli...!
He is a good presenter.....Ukifuatilia utukuta harukii maneno yaan anakumbuka A to Z tena kwa fact.
Naamn atapangiwa kazi nyingine.
huyu mzee yuko vizuri sana hongera baba kwa kujieleza vizuri Mungu akubariki binadam acheni zarau
Baada ya kifo chake nimelazimika kuja hapa R.I.P our legend😭😭
The man is smart
He is full of wisdom and understanding! Tunashukuru kwa maelezo mazuri sana.
itakuwa sio chizi kama wanavyosema ni timamu tu baba wa watu
Fatia Chiduli jamani mbona huyu mtu ni timamu? SERIKALI imsaidie. JAMANI mbona sijielewi kuhusu huyu mtu?
Fatia Chiduli tena napesa pia ipo ila tu itakua anamambo yanamchanganya uenda ya kimaisha au family
Fatia Chiduli sanaaa ana akili kabisaa anajua anachokifanya,yupo fit,wampe muda anaweza lipa hizo hela,atakuwa ana wadau wake nje
Nilijua aslay ndio atafunga mwaka Kumbe ni Dr Luis haha umeisha Dr Luis
Mzee wangu maelezo kayapiga rula ... aisee ila yote Kwa yote usimdharau mtu usiyemjua wala usihukumu Kwa kumjadili bila ya evidence.
ally bububu sahihi
ally bububu nikweli kabisa mzee nimzima kabisa
Uko sahihi ndg huyu mzee yuko vzr
kweli kabsa
very true bububu
he's so bright.... huyu Mzee yuko safi aseee
ebwan mzee huyuu hatar yan ankumbuka kila kilicho kua kinaendelea aseee wasukuma juuuu san tu km unakbali mzee ni genius gonga like 👍👍👍👍
Huyu jamaa inawezekana akatiliwa shaka kwa mwonekano, lakini anajitambua sana, anaonekana kusongwa na mawazo, upweke na kudhulumiwa, anaonekana kukusudia kufanya mengi lakini kuna kitu kinamtatiza ama kilimtatiza, binafsi nadhani kati ya Watanzania wanao jua kujenga hoja na kujieleza huyu jamaa atakuwa kwenye top ten, nashauri serikali yetu ifuatilie kujua nini kilimpata huyu ndugu yetu huko ughaibuni!
Moses Kisingi @ umetoa wazo la msingi sana, serikali ifuatilie huko ughaibuni alipatwa na nini,, polisi waache kumuhusisha na lugumi na badala yake wachukue maelezo yake binafsi wayafanyie kazi.
Moses Kisingi mzee anaonekana alidhurumiwa hela mingi huko urusi ndo kilichomchanganya
Moses Kisingi
I concur with you. Atakua kunakitu kadhulumiwa aisii wachunguze apate haki yake.
Eng. Mathemagician huyu mtu asaidiwe kiafya kwanza mengine badae
Mzee yuko vzr
Appreciated u not only logical thinker but critical thinker
kwa anaye jua vizur atagundua kwamba huyu mzee n msomi sana....kuliko
LUMINARY sure
Kwelii
A great person!
A great mind!
Likaongezeka laziada neno Leo leo hii. Ebwana huyu mzee hatari ndo maana amejizamini
LUKONGE RAJAB
Usimdharau usiyemjua mzee yuko stable
Very bright
Baba yuko vizuri kuliko waliokuwa wanapiga mnada na wakicheza atawaingiza segerea😅😂
Damaris Zuckschwert 😂😂😂😂mbavu zanguuu😂😂😂😂
MIMAH G Yani kama ameweza kujieleza kwao na wakamkubali kuwa mmoja wa wanunuzi ni Dr tena siyo wa mchezo mchezo. Hata hapa kwa maelezo yake, atawaingiza segerea😂😂😂😂
Duuh! tunafunga mwaka kwa m900
David Maige itapendeza.😄
Damaris Zuckschwert hahahahaaaaaa
mbna yupo vizuri tu jaman wabongo dont judge a book by its cover.
Uyo ndo dr luis bwan
Lilian Jremiah
huyu ni tajiri wa akili itapendeza ukiwatapeli
😢😢😢 pole babangu
Dee Wallance habari
paul Mathias Salama vee
Hii ndio maana sanifu ya neno
"KIPUSA" Bofya hapa kutizama
>>goo.gl/ipWUzm,
Then Toa maoni yako
Dee Wallance ntumie number yako
HD TEAM MEDIA mm nafanana na grandpa wako jmn,
Mzee yupo poa mwachien tu jamn
Mzee yuko sawa kimaelezo mpeni mda nyie TRA #ITAPENDEZA .
ibrahim humbo TV anaweza lipa may b ana wadau wake,msimdharau na kumkashifu,wampe muda.
Hakika mzee anajua vitu
Yeah nashangaa jamaa ana akili sana asee na anajua kujieleza haswa hata baadhi ya wanaombeza hawawezi kujieleza namna hii.
ameshaionyesha kampuni yake na ni kwel: ameongea ukwel kabisa, apa ndo pale msemo wa dont judge a book by its cover unaonekana
Dah pole. Dr Luis
...usikate tamaa...inabidi wakulipe ....
..
dah uyu mzee nimemwelewa sana yupo vzr
He is confident, humble and good expression with vision i like that 👏👏👏👏👏
msukuma yupo safi yupo juu police wajipange mahakamani msukuma atawabwaga
Joshua Samson YAAANI ANATISHA. HATA YONO HA WAMUWEZI.
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe/ Mimi tu ni memuelewa Mzee alama yake ni ya msingi sana Hata Wale waliokuwa wa kitangaza mnada wajifuze kuuza Mali wao wanataka fedha mda huo huo wanafanya nyumba kama za kitapeli ama za wizi huu utaratibu wao wa kuuza Mali waweke taratibu zingine Mzee yupo fresh out kabisa sheria ya mnada ni mbovu ni mbaya
huyu aitaji Mwanasheria at a kdgo.
WAHISIA TV tunawafaham matajiri wengi hawavai vizuri wanamuona Mzee masikini na police waache kupelekeswa na baadhi ya watu
apewe mda atanunua mnada ujao
nimemskiaa vzuri huyu mzee ni maumbile kasoro ila yuko sawa sawa kabisaa .....jamani .watanzania.msimkejeli mtu na wakati ako na manufaa yake plzzzzz
hatagh👏👏👏👏👏dr. Luis 🙌🙌🙌🙌🙌 maelezo yamenyooka kipro
His English though.... Better than Magufuli
huyu jamaa yuko vizuri kwamajibu
yuko vizuriii tu jamni watuu wachen mambo zenu Dr Luis nunua nyumba tuishi Mimi na wewe Bby Wang Tuoane kabisaa ehehheh ehee 😹😹😹😹
Amina Abuu 😀😀😀😀😀😀😀😀Mwambie baby wake akarekebishe meno!!! Hakuna tajiri kibogoyo duniani!!!!! 😀😀😀😀😀
ndauka mbavu zang jamni 😹😹😹😹😹 sipka tukisha nunua nyumba jamni. 😹😹😹
Huyu kwa maelezo yake anaweza kununua nyumba hewa kama meno yalivyo hewa kwenye mdomo wake 😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂
ahahahhha jamni mbn wamufanyai hilaa ivyooo mpz Wang 😹😹😹😹
Boss anavaa shati za waimba kwaya!!! 😁😁😁😁😁 nywele zime nyonyoka kama zimepigwa bom la atomic!!! Uzee gharama
Daaaah mzee yuko safi kwa Maelezo kajipaga vizuri Sana
Huyu mzee yuko vizuri,siku ya kutoka ilikuwa haijafikaa!Ongera Professor!!!
jamaniii polee xna my dady
Huyu mzee ana elements za u-genius
Kweli kabisa
Said Ndimbwa kweli kaka upo sawa
ni kweli kabisa
kie kie kie kie! hongera saaaana mzee kwa kujieleza vizuri
Pole Mzee wangu Mungu yuko nawe na kama kuna sehem yoyote umedhurumiwa au vp ridhika God will will do something in your life,
But uko genius for real
cheki demu anavompepea..mademu wa kibongo wakishajua kunapesa they dont care bout ur face
ally kawawa kabisa aseeeee hahahaha
All around the world money is top do not Tz only Mr.
😂😂😂😂
ally kawawa Chezea pesa, watu hawaangalii sura.
😂😂😂😂😂😂
Huyu mzee anajieleza vizuri ila maelezo yake kama anaongelea hela hewa
kma umemuhelewa Dr luis gonga like hapa 🙌🙌🙌shikamoo mzee Luis
Babu Ni genius uyu awajamuelewa tu,kuna watanzania Ni matajiri sana sema wapo kimya tu
Atar huyu mzee
Milady ayo mi naona ni tajiri
Milady ayo hahahah mirdayo Leo unecommet nakukubali sana from zenj
Milady ayo afadhal umejua hilo
Milady ayo mzee Yuki vizuri sana sema usimmuangalie MTU kwa kawaida tu
Milady ayo kweli wenda nikweli ni tajiri😂😂😂😂🤣🤣🤣😃😃
Huyu mzee kanifundisha kujiamini na kudhubutu kwa jambo ambalo ni kubwa kuzidi uwezo wako wa kulikabili.
umeona mzee baba
mzee shika yupo vizuri sana na kuhusu pesa au kampuni anazo .ulusi alienda kimasomo baada kuhitimu akaajiliwa huko huko .tena kama daktari bingwa na hakuna aliye jua mshahara wake .mke wake alikua murusi .hana sababu ya kujionyesha hali yakua anatafutwa na majambazi ilikuuwa .
Ila so kwa stahi by duhhh
Mzee ana utajiri wa kujiamini na kujua kujieliza!! Hongera kwa hilo
This man has alot of confidence
Mh huyu apewe tu uongozi jamani
...de guy is good ..he has Mastered well philosophy... He knows how to reason........
Huyu kweli ni doctor, the way he's speaking tu utajua kuwa huyu MTU sio mwenzetu, sure!
Excellent!!!....
Mzee amejitetea fresh sana
Huyu mzee mzima kabisaaaaaaaa
very bright this man.
This man is genius...........he z a real Dr. and He knows what he z saying. Great minds discuss ideas.
Dokta ee achana na hao Yono tujengee tu hizo viwanda 300... hahahaa kweli PhD ya Urusi si ya Ulaya!
ningekuwa kwenye nafsi ningemsaidia huyu mzee. tafadhali Millard na Ayo Tv tunaomba hili swala la mzee mlipenyeze kwa waheshimiwa serikalini waone namna ya kumkwamua pale alipokwama. inaonesha dhahili kuna mahali alikuwa disappointed then akaamua kukomaa nalo mwenyewe ,likasababisha kukosa furaha, huzuni na upweke ambao ulipokomaa alipata tatizo la kisaikolojia. chonde chonde huyu mzee tunamuhitaji katika ujenzi wa taifa letu. biko wampe afanye tangazo, na ninyi hakikisheni mnasaidia mzee kutoka hapo alipo.
Bongo Freemarket umeongea vizur wangu
big up Dr
Hajakurupuka tu siku ileile ya mnada Bali alianza kufatilia taratibu ktk sehemu husika.
Kwa bahati mbaya sana watu wanakurupuka na kumsema vby kumbe wao hawakumuelewa!
Dr Luis's strong Man
Haya maelezo ni hatari, huyu apewe ubunge wa kuteuliwa yaani anatoa maelezo kuliko maprofesa! Nimechoka. Siyo mweu ni mzima ila ana kasoro kidogo tu za kimaisha.
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe uyu mzee yupo vzr mie nimeshaazakumuelewa kunakitu kimejificha ndani yake ila sio mgonjwa tena akili zake zimetulia vzr snaa ila yapi mambo ambayo kisakoloji yameachanganya
This Man is just exceptional. He speaks like a Real-International Director.
hajasahau kitu chochote. Ill just conclude that wamemuonea kabisa
Asante doctor wa mazombii
mzee umezaliwa lini?
mzee umezaliwa lini?
Aiseeeee kumbe yono walimtafuta wenyewe dahaa pole doctor Luis
Sarah Minja Dr Luis mie nmeshaaza kumuelewa
Kwa kuwa alionyesha interest tangia mwanzo, Yono wasingeacha kumtafuta...maana hiyo ndio kazi yao.
Very clever this Man
salut kwako Dr Luis....Mungu akusaidie jmn maana naona kama ulitapeliwa huko urusi.
Him nahisi itakua delusional problem,Hila mzee yupo safi Just imagine Kama angekua baba yako?
huyu mjama ako chonjo
Shikamoo doctor shika,, nimekuelewa sana
good your strong
Wamwache mzee wa watu bhana.....
huyo mzee ako chonjo nwatu hawamuelewi
He's bright bna
full confidence.
Nikarelax
Aisee natamani hiyo interview ingeendelea,,,millard ayo itabidi siku afanye nae interview ndefu tufahamu background yake,,,
James Mwakyusa nenda kwenye website ya jamii forums walimuelezea maisha yake
Umetishaaaa sana mzee baba ebu nyie yono na TRA mpeni muda wa malipo
Nakuelewa vzr Dr
Mbona ajielezea vizur icjekua mipesa anayo kwel huyu😂
subilia azinunue wataumbuka weng 😅😅😅
Yani ni raisi ajaye!👀
Thaurat Ali
Muangalie kwa jicho la Pili japo anajieleza vyema tu hapo 😀😁😂😂😁😁😀 mbavu zng
Thaurat Ali inawezekana
Mmmmmh mbona anajua kujielezea vzr halafu anaonekana kasoma
unasikia Dr.tena alikua urussi asijue kujieleza tena.. kixungu ichoo
Uyo mzee kasoma ni dr na alikua urusi sasa cjui kime mpata nn mpaka kuangukia pua
Mpen I muda Hugo Mzee yuko fiti
Daddy uko sawa kabisa 👊👊👊👊👊👊👍👍👍
Mungu akusaidie Sana Dr shika. Ufanikishe Marengo yako
Mzee katisha Hahahaha nimempenda
Ajuavo kizungu wow😂
jomooooon bab mbon kam ukovizur tofaut na tyunavyo zan?
Dr. Salute, unakipaji
let's promote him dis Dr shika yupo vizuri sana aisee kweli dkt yupo vizuri @millardayo
maelezo ya Dr Luis na maelezo ya majirani zake ni vitu viwili tofauti,,itakua ni majirani fake,,mbn yuko vzr Dr hahahaha
Inatia huruma jamani
0783873108 dayana
0783873108 dayana # vp
Alfeyo Kumwenda pw
Mshen Mduma yes
0783873108 d
good English grand pa
Yuko vizuri mzee tanzania full majungu