Kauli ya DKT Shika Baada ya Kushindikana Nyumba Zake Kununuliwa
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- SUBSCRIBE NOW: / uwazi1 \
Baada ya kupata taarifa kuwa mnada wa nyumba za Mfanyabashara, Said Lugumi, kushindikana kununuliwa leo Novemba 24, 2017, Bilioonea aliyetaka kununua nyumba hizo awali, Dkt Luis Shika, amesema kuwa amefurahi sana baada ya zoezi hilo kushindikana na hiyo inamaanisha kuwa nyumba hizo ni kwa ajili yake tu na baada ya wiki mbili atazinunua, kwa sababu pesa zake zitakuwa zimeshaingia.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. . FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Uko vizuri Dr Shika , hata wazungu wanakushangaa ulivyozungukwa na wanahabari!
Itapendeza sana ukinunua izo nyumba..... Am praying for you Dr shikanishi... Nimekupenda bure... +254 representatives
I JUST LOVE THIS MAN❤❤❤❤❤
Mungu akakuwezeshe kwa yote
Mungu akusimamie
Tajiri mtata kweli!
Hii move imefika sehem ya ngapi jamani?
walah chako ni chako shika, may God be wid you
wanichekesha sana mimi (from Doha city Qatar )/Kenyan girl
+Hamza Watheq vipi huko gal grom kenya but in saudi
Love you Dr shika,nami nakuombea hili, ufanikiwe uweze kuzinunua zile nyumba
Saumu Hassan ili muishiwotee hahahaha
Mh ngoja movie iendeleeee kwa msanii wetu shika kamata
we noma sana Grand thinks
usjar mzee wetu nakupenda saaaana
Haaaaaa jamani wandishi waongo naminimeisikia hiyo umefukuzwa duh
mungu akusimamie
jamani baba angu katakata daaaa mungu endelea kufanya yako
Mungu akubariki sana mzee.......najua hawataamini cku ukizinunua
upendo wa mungu hupo na wwe amiin kwa sote Allah kareem
Kama kweli unamwabudu mungu aliye hai hakika utanyamaza naye atakupigania.usijali msee wangu
Moses Kayan 👏👏👏👊👊👊
saf mzee wangu
Kweli umdhaniae ndie sie
Chako ni chako babu nimekubali kwani Mungu huniuwa ili apate kuaibisha kilicho na nguvu
fanya kweli mzee ipendeze zaid kwa wale walio kuwa wana kubeza waje waombe kibarua kwako.
Dr. Shika unaonaje ukiachana na hizo nyumba ununue eneo majali upendapo na ukajenga nyumba zako nzuri hata zaidi ya hizo.!!!!!!
*GLOBAL TV. views kibao. hela mnapeleka wapi?? nunueni maiki nzuri*
Gem Ryne 😂😂😂maik inaumiza masikio
Gem Ryne 😂😂😂😂
Gem Ryne hahahahaha
Rahima Juma #Haa haa😄😄😄
Gem Ryne tembeeni majoe kwa Mpemba mpate habari Nzuri za barabara
Mungu akupiganie upate uliyoyatarajia
😀😀😀 hata wakipandisha nipo tayari
Dr Shika oyeeeee
aya
nimejifunzakitu..kutokakwadoctashika...kimaishayangu..lakini..wengiwanachukululia..kamavichekesho
Dr shika nakukubali sana yaani
Kwa jinsi ulivyo pitia majaribu makubwa hizo nyumba Mungu amekupa tu
Dr Shika💪🏿🙏🏿
Delusions are defined as fixed, false beliefs that are not shared by people of the same educational and cultural background.The guy needs an urgent Psychiatrist review. I
Inshaallah jitahid tu kumuomba mungu wako atakusaidia na nyumba hiz hazitonunuliwa na mtu yoyote ispokuwa wew amin M/mung atakusaidia amin
Rahma Rahma nimempemda bure huyu bw
Rahma Rahma kweli naona untk ukakae nae
Rahma Rahma amina
N zako mungu yupo nawe xna
Unatisha Dr Shika!
Ukikamilisha tu HAKIKA ITAPENDEZA na watakuelewa tu wanaokubeza ha ha ha ha
safiiii san dr shika mungu awe nawe
Dkt shika kanishika ktk vichekesho vyte vya bongo hichi kiboko Kl cku nacheka Mpk usingizini 😀😂😂😂
leoleo hiiii!
Hayo mabilion yakitoka urusi na mm utanigawia kidogo.
aaahhhhhh
Kwa habari za mjini ...udaku ..michezo ..matukio mbali mbali karibu
Oyeeeee
point ya mzungu gem ryne
👏👏
Yaanu hawa wa mitandao kazi yao ni kuandika mauwongo tu.
Itapendeza ukizichukua kweli fanya vitendo
Huyu Mzee nikiboko
Dr.shika Washike Ur b,rong House
Endelea namaombi yatapokelewa nyumba hazitauzwa hats mnunuzi hatakuepo
Hata wakipandisha nipo tayari😁😁😁😁😁changu ni changu...
mabilioni yakiingia husiwape tena 900 kwakuwa walikusotesha upandilie dau iwe Kwa #511itapendeza zaidi.
Wamekula mb zngu kunge kuwa na jela ya kushitaki
Ah kweli shika ni mtata, coz anasema anauwezo wakuzinunua na zaidii! 900 itapendezaaa
Dr. shika wewe kweli ni mtata, zinunue ata zaidi unazo hela wenye walikuwa wanakutharau, sasa ata sauti HAWANA.......WAKO KIMYAAAAAAA!!!!!
fateni taratibu za kimataifa mzee achukue nyumba, yono mnazingua kiukweli
ahmedi IMA Ali demokrasi
.
nimekuelewasana mzee
Kweli kabisa atanunua huyu Mzee
kabisa
Serikali imekusudia kuziuza nyumba za rugumi ili kukusanya kodi,kwa vyovyote iwavyo inamana nyumba hizo kwa sasa ni Mali ya umma,Ushauli wa bule kwa serikali yangu ni hu,1 kwakua kunampango wa kuvunja jengo la makao makuu ya tanesco pale ubungo ITAPENDEZA kama moja kati ya majumba matatu wahamie hawa Tanesco,2 kama biashara ya kuuza imeshindikana basi wapangishe kwa wafanya biashara au taasisi zisizo za kiserikali ili serikali iendelee kujipatia pato litakalo tokana na kupangishwa nyumba hizo na nimatumaini yangu haita chukua miaka mingi kurudisha hizo billion3 na majengo yataendelea kuwepo hata likipita tetemeko kubwa zaid ya bukoba.ITAPENDEZA.
gombea ubunge mkuu.tunakupa fastaaaaa jimbo la kafulila
Pambana na hali
Mmmmhu 900 itapendeza, Kahama to Mwanza with fastjet
Nakuombea sana ununue hili utu tower wasiwasi maana mpk MUDa huu bado 50/50
Haaaaaaaaaaaaa dr unajua kunipa raha
Yan hadi wazungu uwanjan wanajiuliza Mbna jamaa wanapiga nae picha sana
😂😂😂😂😂😂chako ni chako mzeeeee
itapendeza kama utaomba escort kutoka bank kwa yule askali alisema humiliki hata milioni Moja#!!
Mr shika
Kwel Mzee Wang wiki hii pesa yetu ikiingia kutoka urusi itapendeza xaxa.
Acha kuzingua
Umeshanunua sasa
NINAHAKIKA MKWANJA UKISHAFIKA UKISHANUNUA IZO NYUMBA .....ITAPENDEZA ZAIDI
Movio imefik pati ya ngapi
ndo maana ni tajir unajua kuishi na wanafki...saf Dr
ukweri
Huyu mzee namfananisha na Mheshimiwa Seif sharif hamad kila siku anasema atakua raisi lakini hawi.
Mzee wa itapendeza zaidi
mzee kweli anahela? au in kuzingua tu
Waliokubeza wataona aibu kubwaaaa
Unapenda kiki km msanii vile
wenye kukuceka watapata aibu
😅tuna kiombea hizo pesa uzipate
mkali wetu uyooo
changu ni changu
900 itapedeza
Tanzania nchi ya kicgekosho kwel
changu ni changuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😃😃😃😃😃😃haya tunasubiri babu
Kama wanavyo imba wimbo wa dini changu ni changu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee kwani hunahela wacha mambo ya kusingizia mungu, kila siku zinakuja eti. Wacha kunipotezea bandali zangu. Kumbe mimi nakutaka na huna hela tutakula nini tukiendelea kungoja mzee. Sasa sikutaki tena. ...nkt jiangalie unavyo jikosea heshima
Njoo nikupe hela basi. Halafu unirudishiye zikija zako. Lakini masharti yangu ni tukae pamoja. ..sawa mzee? ??
Changu ni changu
😂😂😂hatareeeeeee
namba ya cm ya Dr.shika
Mwakanyiki Josephy 0744079715
atamuigize..sisitunamtaka.yeyemwenyewe
acha MANENO weka vitendo
washike wakamate hahahahhahaha
tunamtakayeyeshikasio.nyiemnaeigiza.sautiyake
UNAUZASURA TU UNAPENDAEEEH
yaonyesha sisi tunaendekeza sana comedy hata ktk masuala ya msingi yaani wanahabari wooote hao kwenda kymsikiliza tapeli na comedian Mkuu kama huyu
😀😀😀😀😀😀
Huyo mzeee nae akae atulie tushamchoka