Kauli ya DKT Shika Baada ya Kushindikana Nyumba Zake Kununuliwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 вер 2024
  • SUBSCRIBE NOW: / uwazi1 \
    Baada ya kupata taarifa kuwa mnada wa nyumba za Mfanyabashara, Said Lugumi, kushindikana kununuliwa leo Novemba 24, 2017, Bilioonea aliyetaka kununua nyumba hizo awali, Dkt Luis Shika, amesema kuwa amefurahi sana baada ya zoezi hilo kushindikana na hiyo inamaanisha kuwa nyumba hizo ni kwa ajili yake tu na baada ya wiki mbili atazinunua, kwa sababu pesa zake zitakuwa zimeshaingia.
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. . FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

КОМЕНТАРІ • 145

  • @alexlova4904
    @alexlova4904 6 років тому +2

    Uko vizuri Dr Shika , hata wazungu wanakushangaa ulivyozungukwa na wanahabari!

  • @susanruo8087
    @susanruo8087 6 років тому +3

    Itapendeza sana ukinunua izo nyumba..... Am praying for you Dr shikanishi... Nimekupenda bure... +254 representatives

  • @Daphne362
    @Daphne362 6 років тому +4

    I JUST LOVE THIS MAN❤❤❤❤❤

  • @stellaalphonsa4884
    @stellaalphonsa4884 6 років тому +2

    Mungu akakuwezeshe kwa yote

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 6 років тому +1

    Mungu akusimamie

  • @modestdickson1328
    @modestdickson1328 6 років тому +1

    Tajiri mtata kweli!

  • @abdulrahmanmussalonka4935
    @abdulrahmanmussalonka4935 6 років тому +1

    Hii move imefika sehem ya ngapi jamani?

  • @hamzawatheq2510
    @hamzawatheq2510 6 років тому +12

    walah chako ni chako shika, may God be wid you

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 років тому +14

    Love you Dr shika,nami nakuombea hili, ufanikiwe uweze kuzinunua zile nyumba

  • @samiriali2803
    @samiriali2803 6 років тому +4

    Mh ngoja movie iendeleeee kwa msanii wetu shika kamata

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 6 років тому +1

    we noma sana Grand thinks

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 років тому +1

    usjar mzee wetu nakupenda saaaana

  • @saidamjoghoma7067
    @saidamjoghoma7067 6 років тому +1

    Haaaaaa jamani wandishi waongo naminimeisikia hiyo umefukuzwa duh

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 років тому +5

    mungu akusimamie

  • @maryjulias6372
    @maryjulias6372 6 років тому +3

    jamani baba angu katakata daaaa mungu endelea kufanya yako

  • @yusuphgombera3753
    @yusuphgombera3753 6 років тому

    Mungu akubariki sana mzee.......najua hawataamini cku ukizinunua

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 років тому +5

    upendo wa mungu hupo na wwe amiin kwa sote Allah kareem

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 6 років тому +4

    Kama kweli unamwabudu mungu aliye hai hakika utanyamaza naye atakupigania.usijali msee wangu

  • @ommylisttz5539
    @ommylisttz5539 6 років тому +1

    saf mzee wangu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 6 років тому +1

    Kweli umdhaniae ndie sie

  • @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613
    @sara.wanjalaalipoyesuyotey3613 6 років тому +6

    Chako ni chako babu nimekubali kwani Mungu huniuwa ili apate kuaibisha kilicho na nguvu

  • @allymatimbwa9037
    @allymatimbwa9037 6 років тому +5

    fanya kweli mzee ipendeze zaid kwa wale walio kuwa wana kubeza waje waombe kibarua kwako.

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 6 років тому

    Dr. Shika unaonaje ukiachana na hizo nyumba ununue eneo majali upendapo na ukajenga nyumba zako nzuri hata zaidi ya hizo.!!!!!!

  • @basicbongo9322
    @basicbongo9322 6 років тому +24

    *GLOBAL TV. views kibao. hela mnapeleka wapi?? nunueni maiki nzuri*

  • @sharifa2274
    @sharifa2274 6 років тому +2

    Mungu akupiganie upate uliyoyatarajia

  • @shevalsonmikael5434
    @shevalsonmikael5434 6 років тому +1

    😀😀😀 hata wakipandisha nipo tayari

  • @latifaayoub5750
    @latifaayoub5750 6 років тому +4

    Dr Shika oyeeeee

  • @eligiusblack5742
    @eligiusblack5742 6 років тому

    aya

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 6 років тому +1

    nimejifunzakitu..kutokakwadoctashika...kimaishayangu..lakini..wengiwanachukululia..kamavichekesho

  • @prosperjohn6
    @prosperjohn6 6 років тому

    Dr shika nakukubali sana yaani

  • @rehemageorge9506
    @rehemageorge9506 6 років тому

    Kwa jinsi ulivyo pitia majaribu makubwa hizo nyumba Mungu amekupa tu

  • @gilbertalex1651
    @gilbertalex1651 6 років тому +2

    Dr Shika💪🏿🙏🏿

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 6 років тому +1

    Delusions are defined as fixed, false beliefs that are not shared by people of the same educational and cultural background.The guy needs an urgent Psychiatrist review. I

  • @rahmaa.naim.9391
    @rahmaa.naim.9391 6 років тому +7

    Inshaallah jitahid tu kumuomba mungu wako atakusaidia na nyumba hiz hazitonunuliwa na mtu yoyote ispokuwa wew amin M/mung atakusaidia amin

  • @mushiinnocent7304
    @mushiinnocent7304 6 років тому

    N zako mungu yupo nawe xna

  • @salvatorymogesi8781
    @salvatorymogesi8781 6 років тому

    Unatisha Dr Shika!
    Ukikamilisha tu HAKIKA ITAPENDEZA na watakuelewa tu wanaokubeza ha ha ha ha

  • @rynesawaya7043
    @rynesawaya7043 6 років тому

    safiiii san dr shika mungu awe nawe

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 6 років тому +5

    Dkt shika kanishika ktk vichekesho vyte vya bongo hichi kiboko Kl cku nacheka Mpk usingizini 😀😂😂😂

  • @pmctv787
    @pmctv787 6 років тому

    leoleo hiiii!

  • @computertech4499
    @computertech4499 6 років тому

    Hayo mabilion yakitoka urusi na mm utanigawia kidogo.

  • @annmicheal2773
    @annmicheal2773 6 років тому

    aaahhhhhh

  • @mychanneltz4466
    @mychanneltz4466 6 років тому +1

    Kwa habari za mjini ...udaku ..michezo ..matukio mbali mbali karibu

  • @mamaaomar6041
    @mamaaomar6041 6 років тому

    Oyeeeee

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 6 років тому

    point ya mzungu gem ryne

  • @quenmichael7261
    @quenmichael7261 6 років тому +1

    👏👏

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 6 років тому

    Yaanu hawa wa mitandao kazi yao ni kuandika mauwongo tu.

  • @gusaunasesospiter5230
    @gusaunasesospiter5230 6 років тому

    Itapendeza ukizichukua kweli fanya vitendo

  • @mohammedally8569
    @mohammedally8569 6 років тому

    Huyu Mzee nikiboko

  • @roggerasili3089
    @roggerasili3089 6 років тому

    Dr.shika Washike Ur b,rong House

  • @lekangeze5543
    @lekangeze5543 6 років тому

    Endelea namaombi yatapokelewa nyumba hazitauzwa hats mnunuzi hatakuepo

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 6 років тому

    Hata wakipandisha nipo tayari😁😁😁😁😁changu ni changu...

  • @zaifathussein8195
    @zaifathussein8195 6 років тому +1

    mabilioni yakiingia husiwape tena 900 kwakuwa walikusotesha upandilie dau iwe Kwa #511itapendeza zaidi.

  • @mehysenmbanyi75
    @mehysenmbanyi75 6 років тому

    Wamekula mb zngu kunge kuwa na jela ya kushitaki

  • @erastojoackim4195
    @erastojoackim4195 6 років тому +1

    Ah kweli shika ni mtata, coz anasema anauwezo wakuzinunua na zaidii! 900 itapendezaaa

    • @bidiiyako6803
      @bidiiyako6803 6 років тому

      Dr. shika wewe kweli ni mtata, zinunue ata zaidi unazo hela wenye walikuwa wanakutharau, sasa ata sauti HAWANA.......WAKO KIMYAAAAAAA!!!!!

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 6 років тому +1

    fateni taratibu za kimataifa mzee achukue nyumba, yono mnazingua kiukweli

  • @mbwanarajabu1143
    @mbwanarajabu1143 6 років тому

    ahmedi IMA Ali demokrasi
    .

  • @melikiadikanyara6176
    @melikiadikanyara6176 6 років тому +1

    nimekuelewasana mzee

  • @santyhassan4186
    @santyhassan4186 6 років тому +3

    Kweli kabisa atanunua huyu Mzee

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 6 років тому

    Serikali imekusudia kuziuza nyumba za rugumi ili kukusanya kodi,kwa vyovyote iwavyo inamana nyumba hizo kwa sasa ni Mali ya umma,Ushauli wa bule kwa serikali yangu ni hu,1 kwakua kunampango wa kuvunja jengo la makao makuu ya tanesco pale ubungo ITAPENDEZA kama moja kati ya majumba matatu wahamie hawa Tanesco,2 kama biashara ya kuuza imeshindikana basi wapangishe kwa wafanya biashara au taasisi zisizo za kiserikali ili serikali iendelee kujipatia pato litakalo tokana na kupangishwa nyumba hizo na nimatumaini yangu haita chukua miaka mingi kurudisha hizo billion3 na majengo yataendelea kuwepo hata likipita tetemeko kubwa zaid ya bukoba.ITAPENDEZA.

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 6 років тому +1

    gombea ubunge mkuu.tunakupa fastaaaaa jimbo la kafulila

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 6 років тому

    Pambana na hali

  • @elizabethmwandu287
    @elizabethmwandu287 6 років тому

    Mmmmhu 900 itapendeza, Kahama to Mwanza with fastjet

  • @mussamussamussa8444
    @mussamussamussa8444 6 років тому

    Nakuombea sana ununue hili utu tower wasiwasi maana mpk MUDa huu bado 50/50

  • @djonetz2730
    @djonetz2730 6 років тому

    Haaaaaaaaaaaaa dr unajua kunipa raha

  • @mimiliism
    @mimiliism 6 років тому

    Yan hadi wazungu uwanjan wanajiuliza Mbna jamaa wanapiga nae picha sana

  • @raphaelfadga9639
    @raphaelfadga9639 6 років тому

    😂😂😂😂😂😂chako ni chako mzeeeee

  • @leotena8456
    @leotena8456 6 років тому

    itapendeza kama utaomba escort kutoka bank kwa yule askali alisema humiliki hata milioni Moja#!!

  • @syldionrwakyaya9698
    @syldionrwakyaya9698 6 років тому

    Mr shika

  • @isackhnano3771
    @isackhnano3771 6 років тому

    Kwel Mzee Wang wiki hii pesa yetu ikiingia kutoka urusi itapendeza xaxa.

  • @emmanuelmbelenzi3077
    @emmanuelmbelenzi3077 6 років тому

    Acha kuzingua

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini6254 4 роки тому

    Umeshanunua sasa

  • @khalingumu9999
    @khalingumu9999 6 років тому

    NINAHAKIKA MKWANJA UKISHAFIKA UKISHANUNUA IZO NYUMBA .....ITAPENDEZA ZAIDI

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp8314 6 років тому

    Movio imefik pati ya ngapi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 6 років тому

    ndo maana ni tajir unajua kuishi na wanafki...saf Dr

  • @ahabrondy2713
    @ahabrondy2713 6 років тому +1

    ukweri

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 6 років тому

    Huyu mzee namfananisha na Mheshimiwa Seif sharif hamad kila siku anasema atakua raisi lakini hawi.

  • @martinmngeni2092
    @martinmngeni2092 3 роки тому

    Mzee wa itapendeza zaidi

  • @eliavedasto4537
    @eliavedasto4537 6 років тому

    mzee kweli anahela? au in kuzingua tu

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 років тому

    Waliokubeza wataona aibu kubwaaaa

  • @emmanuelmbelenzi3077
    @emmanuelmbelenzi3077 6 років тому

    Unapenda kiki km msanii vile

  • @rachellebahati6510
    @rachellebahati6510 6 років тому +1

    wenye kukuceka watapata aibu

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 6 років тому +1

    😅tuna kiombea hizo pesa uzipate

  • @aminarashid4474
    @aminarashid4474 6 років тому +1

    mkali wetu uyooo

  • @halilisalum2222
    @halilisalum2222 6 років тому

    changu ni changu

  • @shafiihchongowe2221
    @shafiihchongowe2221 6 років тому

    900 itapedeza

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 6 місяців тому

    Tanzania nchi ya kicgekosho kwel

  • @samkissay1155
    @samkissay1155 6 років тому +1

    changu ni changuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 років тому +1

    😃😃😃😃😃😃haya tunasubiri babu

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 2 роки тому

    Kama wanavyo imba wimbo wa dini changu ni changu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sofienahimana4788
    @sofienahimana4788 6 років тому

    Mzee kwani hunahela wacha mambo ya kusingizia mungu, kila siku zinakuja eti. Wacha kunipotezea bandali zangu. Kumbe mimi nakutaka na huna hela tutakula nini tukiendelea kungoja mzee. Sasa sikutaki tena. ...nkt jiangalie unavyo jikosea heshima

    • @sofienahimana4788
      @sofienahimana4788 6 років тому

      Njoo nikupe hela basi. Halafu unirudishiye zikija zako. Lakini masharti yangu ni tukae pamoja. ..sawa mzee? ??

  • @sharabilirajabu9276
    @sharabilirajabu9276 6 років тому

    Changu ni changu

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 років тому

    😂😂😂hatareeeeeee

  • @mwakanyikijosephy8126
    @mwakanyikijosephy8126 6 років тому

    namba ya cm ya Dr.shika

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 6 років тому

    atamuigize..sisitunamtaka.yeyemwenyewe

  • @mashakamakungu8434
    @mashakamakungu8434 6 років тому

    acha MANENO weka vitendo
    washike wakamate hahahahhahaha

  • @makalamadumba6253
    @makalamadumba6253 6 років тому

    tunamtakayeyeshikasio.nyiemnaeigiza.sautiyake

  • @awadhiawadhi6188
    @awadhiawadhi6188 6 років тому

    UNAUZASURA TU UNAPENDAEEEH

  • @hamismabula2307
    @hamismabula2307 6 років тому

    yaonyesha sisi tunaendekeza sana comedy hata ktk masuala ya msingi yaani wanahabari wooote hao kwenda kymsikiliza tapeli na comedian Mkuu kama huyu

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena9873 6 років тому

    😀😀😀😀😀😀

  • @frankbrandan8039
    @frankbrandan8039 6 років тому +1

    Huyo mzeee nae akae atulie tushamchoka