”Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;“ Efe 4:11, 13 SUV
Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!Unatakiwa kuokoka wewe mwanadamu, tubuni dhambi YESU KRISTO aliwafia,muda ndio Huu! Mwl CHRISTOPHER JACKSON SAMBAA
Muhammad ndio daraja la juu za mitume wote iliumbwa nuru yake kabla ya hata mbingu na ardhi kuumbwa jinsi Mungu anavyokipenda kiumbe chake hichi na hutakuwa salama abadani ukiwa against nae maana mitume wote walilijuwa hili kuna Mtume bora Allah atamleta baada ya sisi ila kwa hila ya mayahudi wakafanya fitna kuyabadili maandiko kulificha hili .
Wanataka wenyewe kuibiwa kuna mtu anawazimisha kwenda kwa wachungaji feki biblia agano la kale lilisema kutatokea manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk sasa ndiyo waache waliwe
Kabla hujafika kwa mitume wa uwongo ,anza kwanza na hili la mohamed ni mtume wa uwongo na shetani ni muislamu kwenye mkutano na wasabato ( ndacha) ulikubali hilo ni kweli Kwaiyo unapozungumzia mitume wa uwongo na matapeli usimsahau na huyo mwarabu
Mwamba hamna dini kama uislamu kwanza omba dua upo duniani na azabu inakusubiri fala ww fungua macho unaemuabudu sio mungu ni messenger wa allah ww chakramu akili koko ww
sawa majini walislimu wakawa waislamu kwani kiukirsto mtu akiwa jambazi afu akaokoka akabatizwa bado mtamuhesabu nijambazi ama... majini wakiislamun ni ndugu zetu katika imani ya kidini yetu hyo sio mbaya ila anaeabudu kiumbe yyte finar jahaanam na nyie mnamuabudu yesu mnamuita mungu wakati mungu nimwenye wivu maandiko yanasema katika bibilia mbona mnachukua sifa za mungu mnampea mtume wake ambaye ni yesu hamuoni kama hii nishirki
Kuna mwamba mmoja mwarabu alikuwa muisram tena Ana degree ya Uislam. Anaitwa Christian Prince. Yeyote atakae mpigia simu au kumsikiliza lazima awe Mkristo. Yeyote anae jiona mwamba ampigie simu au amsikilize tu.
Tafuta dini achana na ulithi yy kama alikuwa mwarabu aimanishi kuwa yy ni muislamu waoo watu walio muona mtume na mitume live lakini hawakusadick mpaka umauti mmoja wapo ni abjahar sasa ww wamshangaa huyo mwamba wako
Huyo asikusumbu hana lolote Mazinge hao waswahili kazi zao porojo tu aliyepewa kapewa ridhiki hupangwa na mungu acha Mwamposa awakombe Wajinga ndiyo waliwao kwani aliwaita
Ulishawahi kusikia hawa mitume feki wakiwa waislamu ... Hakuna so nenda kasome maandiko usikoment vityu usivyojua usimtukane Muhammad cos hujawahi kusikia ata siku moja waislamu wakimtukana yesu
Mohamad mwenyewe ni dalili ya kiama ,kwani Mohamad na mwamposa wanatofauti Gani ? Ujue tuu kua hakuna pesa za waislaam Wala wakristo pesa niza kaisari au za ulimwengu,wewe Lima mraba wako ,eti mwamposa alikua anavaa kaptula ulitaka avae Nini au apande ,mara ana gari ya bei ghali ulitaka apande Ngamia ?mazinge okoka Mohamad kakudanganya kua Dini yako ni ya Mwenyezi Mungu kama Mungu anadini basi nae ni Muumini ,YESU atamhukumu Mtume Mohamad mbele ya macho yako na hapo utastaajabu siku ya kiama.
Kwani huyo unayesema mwenye NYOTA tano ni MTUME AU NABII?! Kama mtu wa kawaida Kama mm na ww sawa. Utaperi wa kidini upo kote kote, ila Fikiria Upande upo upi Kati ya uislam na ukristo Huwa awanaga utani na Dini Yao na kupambana na mataperi wa kidini.!! Kama utakuwa timamu jibu utakuwa Usha lipata.
Pole sana ndugu inaonekana wewe umeshakufa ingawa unatembea, hujui hata unalolisema kumkataa muhammad utambue kuwa umemkataa yesu, na umemkataa mussa, na umemkataa ibrahimu, mtume wa mwisho aliyetumwa na Mwenyezi Mungu ni Muhammad, waliojiita mitume na manabii baada ya Muhammad hao sio mitume ila ni mawakala wa shetani ibilisi, mwamposa sio mtume ila wakala wa shetani ibilisi
Huo ndio ukweli
Utabaki ukweli daima asietaka shauriyake ashukuriwe Allah subuhana wataalah
MashaAllah Jazakallahu khayr Allah akuweke Shekhe wetu inshaAllah
Sheikh mazinge Allah akulipe mara dufu nakupenda sana
”Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;“
Efe 4:11, 13 SUV
Wanawaibia watu, kwakupitia jina la mungu
Voce é muito talentoso você é muito importante para gente Allah vai ti proteger insha-Allah ❤❤❤
Tatizo elim hatuna wengi hatukusoma Ndomaana makanisa yamekua mengi na Mitume wengi mataperi tupu
naawo mashee wenu wauongo mtu akijua kiarabu2 nishee acha zarauww
Maashaallah
Malizia sentensi,imeandikwa heri maskin wa roho,siyo maskin tu,maskin wa roho n mtu mwenye kiu ya kujifunza neno la Mungu.
Mwaminini Yesu Kristo Aliyeangikwa pale Msalabani akuokoe na udumu kumtegemea!Unatakiwa kuokoka wewe mwanadamu, tubuni dhambi YESU KRISTO aliwafia,muda ndio Huu! Mwl CHRISTOPHER JACKSON SAMBAA
Muhammad ndio daraja la juu za mitume wote iliumbwa nuru yake kabla ya hata mbingu na ardhi kuumbwa jinsi Mungu anavyokipenda kiumbe chake hichi na hutakuwa salama abadani ukiwa against nae maana mitume wote walilijuwa hili kuna Mtume bora Allah atamleta baada ya sisi ila kwa hila ya mayahudi wakafanya fitna kuyabadili maandiko kulificha hili .
Kwenda uko mnafk mkubwaww
"Lakum diinukum waliadiin". Nyinyi mna dini yenu na mm Nina dini yangu".
😂😂😂
Ni kweli kabisa Tz kuna mitume feki wengi.
Mwenyezi akutakie maishamalefu
Wewe ndo huna Mungu, Na utaenda motoni
Imekuchoma nn
Unatesekaukiwa wapi😅😅
😂😂😂😂😂😂kweli hii Dunia basi tu tatizo nierim hata serekal inachangia watu wanaibiwa sanaaa Elim nikitu bora sanaaa
Wanataka wenyewe kuibiwa kuna mtu anawazimisha kwenda kwa wachungaji feki biblia agano la kale lilisema kutatokea manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk sasa ndiyo waache waliwe
Tumswalieni mtume 😢😢
Mtume muhammad.S.A.w.ndie mtume wamwisho
Hivi n sahihi kukashifu iman za dini nyungine? Mm nafikiri n vzuri kuheshimu imani dini nyingine
Muhammad( SAW) ni mtume wa kweli. Tubu kwa ulilosema. To a ushahidi wako kama unapinga Hilo.rudia maandiko ilikiwemo quran
Acha mambo yako unatafuta kiki huna lolote kwaiyo ulitaka awe maskini au fanya mambo yako acha kufuatilia watu
😳😳😳
Kweli kabisa nakuunga mkono wala hujakosea
🤣🤣🤣umetisha sana sheikh wetu that true
Kwa hiyo kwa aya hiyo ya maneno ya Bwana Yesu uliyosoma kwamba tajiri hataingia peponi Je Waislamu wote walio matajiri hawataingia peponi?!!
Waache watumishi wa mungu wa utangaze uflme wa mungu
😂😂😂😂 ety yesu aliniletea papai😂😂
Yuko mungu mwanamke mwanza
Ni sawa kwa sababu na wapumbavu ni wengi tz kuliko sehemu yoyote duniani
Wewe ni muongo si kweli kuwa matajiri hawataingia ufalme wa Mungu,kasome vizuri utaelewa vizuri hiyo Mathayo.
Hivi wewe hujijui kama ndiye muongo hasa kuliko mazinge! Nakushangaa.
Alwa hakibalu
hivi nyie bila kuzungumzia ukristo hamuwezi kuhubiri yanayowahusu? husda tu yesu ni kweli na uzima ukokeni
Kweli hiyo mazinge Tanzania mitume wengine 😂😂😅
Kwa hy sheikh, mtume anatakiwa kua Mwarabu au?
Mazinge wewe humjui Mungu, Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu,unapoteza muda kumsema Mwamposa
Kutangaza biashara TV hio shiling ngapi
Musisahau kumswalia mtume😂😂😂😂
Radhma tumtakie rehema na amani mtume wetu najua haujui tofaut ya kumswalia mtume na kumswalia mungu pole
@@saphinalutaha9077 haya kumekuch Mungu unamswalia au umekosea kuandika
@@saphinalutaha9077 mmutakie rehema za nn Kwan alifanya nin mpk mmutakie hizo rehma
@@saphinalutaha9077 kumswalia Mungu??? Hee mbon balaa hii Mungu aswaliwe au umekosea kuandika
Mnyamwezi na Mnyakyusa
Alisha was playing with dolls Aisha was a child Aisha ali lawitiwa soma hadith 😢😢😢😢
Huo n uongo mie najua Nigeria 🇳🇬 ndy kiboko ya matapeli dunia nzima.
User hata Tanzania wamejaa sanaaaa
Wewe mwenyewe ni feki.
Kabla hujafika kwa mitume wa uwongo ,anza kwanza na hili la mohamed ni mtume wa uwongo na shetani ni muislamu kwenye mkutano na wasabato ( ndacha) ulikubali hilo ni kweli
Kwaiyo unapozungumzia mitume wa uwongo na matapeli usimsahau na huyo mwarabu
Mwamba hamna dini kama uislamu kwanza omba dua upo duniani na azabu inakusubiri fala ww fungua macho unaemuabudu sio mungu ni messenger wa allah ww chakramu akili koko ww
sawa majini walislimu wakawa waislamu kwani kiukirsto mtu akiwa jambazi afu akaokoka akabatizwa bado mtamuhesabu nijambazi ama... majini wakiislamun ni ndugu zetu katika imani ya kidini yetu hyo sio mbaya ila anaeabudu kiumbe yyte finar jahaanam na nyie mnamuabudu yesu mnamuita mungu wakati mungu nimwenye wivu maandiko yanasema katika bibilia mbona mnachukua sifa za mungu mnampea mtume wake ambaye ni yesu hamuoni kama hii nishirki
Wewe mwenye tapeli
Mazinge NI mjinga tu,
Mazinge ana wivu wa kichawi.
Mazinge NI 0 Tu.
Wewe mwenyewe NI njaa
Wewe ni mwongo..
Jenga na wewe hotel km NI rahisi
Nayey amechangish hapo
Haya huyo Mwenye nyota tano wakati naye mwislamu halisi tusemeje
Dili nawaumini wenu kila siku kuwasema wakristo sasa wewe ndiounazambi nyingi hufai kuwa kiongozi
Yaani hapo mmechangusha pesa kiakili sana😂😂😂
SASA hapo nyie na huyo mchungaji mliomtaja kuna tofauti gani??? Hapo ni swala la Uelewa tu
Huna lolote wew
Kweli kabisa tena wote mitume ya wakristo
Kwani unataka kusema Wanyakyusa hawana hadhi ya kuwa watumishi wa Mungu?
Mazinge ni Mnyamwezi
Kuna mwamba mmoja mwarabu alikuwa muisram tena Ana degree ya Uislam. Anaitwa Christian Prince. Yeyote atakae mpigia simu au kumsikiliza lazima awe Mkristo. Yeyote anae jiona mwamba ampigie simu au amsikilize tu.
Kweny uisilam hakun digree
😅😅😅😅😅eti degree ya uislam 😂😂😂oya uislamu hauna degree lete hapa kwa mazinge
kondoo ulopotea kwa kukosa maarifa
Tafuta dini achana na ulithi yy kama alikuwa mwarabu aimanishi kuwa yy ni muislamu waoo watu walio muona mtume na mitume live lakini hawakusadick mpaka umauti mmoja wapo ni abjahar sasa ww wamshangaa huyo mwamba wako
@@mlyomikilonzo5897 Yan huyo jamaa ni anazngua yy anaangalia mtu sio maandiko na jao wengi wao wantengenezwa
Tumswalieni mtume
Utakua na bf na Mwamposa wewe, mbn wapo wng kwa nn unamtaj huy hy tu mmoja
Huyo asikusumbu hana lolote Mazinge hao waswahili kazi zao porojo tu aliyepewa kapewa ridhiki hupangwa na mungu acha Mwamposa awakombe Wajinga ndiyo waliwao kwani aliwaita
Ukiona malumbano yako ivi jua Kuna mmoja ni muongo ngoja inyeshe
Hampondi ila anaelimisha
Umeathirika kichwani,kuwahusudu waarabu,unadharau waafrika wenzako
Kwa hiyo nawe Kwa akili Yako unasadiki mwamposa ni mtume wa mungu?
Huyo yesu mwenyewe alikua muizrael halafu mnaambiwa kanisa kuu lipo Roma italy
Nyie sadaka mnato shs 5 hamna lolote kama ni mti mpapai
Wewe mhongo milioni Mia Sita unaigahamu wewe au umechaganyikiwa
Mtu ana towa uponyaji awe feki wasinge ponya wewe nikuletee kipofu kama uta mponya una fiki mwenye macho ambiwe ona 😊
Awaponye wagonjwa..madaktari wapumzike hospitalini
Inawezekana ikawa ukweli ila kwenye kabila umefeli ungemsema mtu so kabila
Mazinge ni Mnyamwezi
kwhyo mitume yote tumeaminishwa waarab na wazungu afrika hakuna hata mmoja
Mtume wa mwisho kuja ni Muhammad baada ya hapo hakutakuwa na mitume wengine na ukiona mtume mwingine izo ni dariri za kiama
Tena njaa kweli haswa sisi wanawake ndiyo tunaokombwa sadaka wsjinga ndiyo waliwao
Kiki2 wewe mwenyewe amna kitu😏
Wangemhoji Kila mtume amekuja na kitabu chake yeye chakwake alicho kuja nacho ni
Yes kila mtume amekuja na kitabu chake je mwamposa chake kiko wapi na andiko aliloshushwa nalo ni lipi
Hivi kuna tofauti gani Kati ya Muhammad alie oa bint wa miaka 10, alikuwa na biashara ya slave, 😂😂😂
dunia nzima akuna mashee wauongo kama Tanzania Kwanza wanafki wambea shrk bongo
Serkali ipo kimya mtu anamtja mtu je naye hyo ana watu weng akijubu kutakuwa na Aman kwel
Elika achana naye hujui waswahili wanasema sana kama kasuku hawana lolote angalia hata wakishika madaraka jibu utalipata tu
Akuna mashee bongo kaziyao kupandikiza chuk2 yenu yawashinda washrkina wakubwa nyny kupandkiziana chuki2 nyoo
Nyie wote wezi tupu ukiwepo ww apo tapeli
Ulishawahi kusikia hawa mitume feki wakiwa waislamu ... Hakuna so nenda kasome maandiko usikoment vityu usivyojua usimtukane Muhammad cos hujawahi kusikia ata siku moja waislamu wakimtukana yesu
Mohamad mwenyewe ni dalili ya kiama ,kwani Mohamad na mwamposa wanatofauti Gani ? Ujue tuu kua hakuna pesa za waislaam Wala wakristo pesa niza kaisari au za ulimwengu,wewe Lima mraba wako ,eti mwamposa alikua anavaa kaptula ulitaka avae Nini au apande ,mara ana gari ya bei ghali ulitaka apande Ngamia ?mazinge okoka Mohamad kakudanganya kua Dini yako ni ya Mwenyezi Mungu kama Mungu anadini basi nae ni Muumini ,YESU atamhukumu Mtume Mohamad mbele ya macho yako na hapo utastaajabu siku ya kiama.
Kwaiyo mwamposa ni taperi
Inaongoza ukiwemo na wewe mazinge, mchawi wewe kwaiyo shida ni mnyakyusa? Typical of african kwaiyo mzungu au mwarabu ndo wanapendwa na Mungu
Utaenda motoni wewe,utachomwa
Tuache utumwa Wa mapokeo Africa tuwe na Chetu
Kwani huyo unayesema mwenye NYOTA tano ni MTUME AU NABII?! Kama mtu wa kawaida Kama mm na ww sawa. Utaperi wa kidini upo kote kote, ila Fikiria Upande upo upi Kati ya uislam na ukristo Huwa awanaga utani na Dini Yao na kupambana na mataperi wa kidini.!! Kama utakuwa timamu jibu utakuwa Usha lipata.
Sikiizeni hata nabii nuh alivyo tangaza dini watuwengi hawakumuelewa
Ili liongo halifai
Hana akili mamaako
akiwemo Muhammad mtume wauongo!
😢Pole Kwa kauli zako ukifa ndio utajua hujui
Pole sana ndugu inaonekana wewe umeshakufa ingawa unatembea, hujui hata unalolisema kumkataa muhammad utambue kuwa umemkataa yesu, na umemkataa mussa, na umemkataa ibrahimu, mtume wa mwisho aliyetumwa na Mwenyezi Mungu ni Muhammad, waliojiita mitume na manabii baada ya Muhammad hao sio mitume ila ni mawakala wa shetani ibilisi, mwamposa sio mtume ila wakala wa shetani ibilisi
Muhammad is the way period not Jesus Christ family of the Jews only
Laanatul LLah huyu
@@mohafarah8569 nipeye andiko Muhammad is the way period nyie mumepotezwa kitambo!
Tumswalieni mtume 😢😢
Mpuuzi ww fanya yk archana na iman yet itisha naww watu waje