UWEZO WA NDACHA KATIKA KUJIBU MASWALI YA HAINA YA MTEGO KATISHA ZAIDI
Вставка
- Опубліковано 26 гру 2023
- WAISILAMU HAWAKUDHANI KAMA NDACHA NI MCHUNGU KIASI HICHI KWA MASWALI MAJIBU NA HOJA ZENYE NGUVU MUNGU AENDELEE KUMLINDA NA KUMVUSHA KATIKA YOTE #Pastor Francis Ndacha #islamic center #Dr Sulue
Ndacha umepewa uwezo huo na roho mtakatifu
Waislmu haiwez hii mada
Tayari mchungaji ubalikiwe. Bwana yesu asifiwe.
Ndacha niko msumbiji jimbo la caboDelgado nakupenda,napenda na kazi mungu amekupa ubarkiwe
Nakuombea sana Ndacha Mungu aendelee kukupa OPOLE, HEKIMA, BUSARA NA MAARIFA na kuepuka dhihaka zinazofanywa na watu hapa duniani juu ya Mungu. AMINA🙏🙏
Amina
Ndaaaaaachaaaaaa amazing teacher!!!
Ndacha ubarikiwe na mungu kwa kunena neno la mungu
Wakirsto ndacha abarikiwe sana
Kwanza unahoja nzito hakuna anaewez kuvunja hoja zako nahakuna swali ambalo unashindwa kujibu
Ubarikiwe sana Mwalimu Ndacha! Unafaa kupewa Honorary PhD ya Theology. Kitu ambacho nimejifunza hapa Mwalimu Ndacha anawaweza kwasababu anasoma pia vitabu vyao hivyo hoja zao kwa mwalimu zinakuwa nyepesi tu.
Uko sahii
Hapa alichemshwa!!!
Ndacha mungu akuongeze nguvu n'a elimi Pia ugongane na hao waislam
Thats. Why they hate him for he knows the truth ndacha tufundishe kabisa
Barikiwa
Pastor Ndacha, você é melhor, Dr. sule e Mazinge e outros nunca vão t conseguir.
Ndasha ni kali sana🇲🇿
Hatari saana Waislam
Swali rahisi sana kwa mwalimu wangu ndacha
asante ndugu
Mungu aendelee kukuelimisha
Hongera sana past ndacha
Wewe ndacha nakuerewa sana
Ndacha be blessed
Same to you
May God bless you ndacha
Yesu hoyeeee
Mdacha yesu akulinde sana
Siku zote mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe,wengi wanaushamburia ukristo na Shetani ameuingilia ukristo ili kuhuaribu mungu atusaidie sana wakristo.
Ndacha Mungu akubatiki sana mtumishi 🙏
Ndacha ubarikiwe wewe nimpambanaji kabisa Mungu akubariki n'a akuzidishiye baraka na elimu bora
Amina kaka
Ndacha hana elimu ya kutosha anajua ukweli ila anajibu swal lisilo haitoshi mboga ende asome
@@user-yr9jo9ow6j😂😂😂chiz kwel ww
Lll😊😊
Ndacha awache uongo wake tumechoka
❤ubarikiwe ndacha
Ndacha pongezi🙏
MUNGU akubariki mutumishi ndacha
Hakuna siku muislamu atashinda mkristo aliye wa rohoni.
Ubarikie sana mtumishi ndacha
Mwalimu ndacha mungo akubariki
Ndacha aiseee upo vizuri saana yani daar tukupe tuu uwe professor
Nampenda sana huu mtu wa Mungu Hakika Mungu akutie nguvu.
ukweli ushajurikana toctor sule hana elimu ya kupambana na ndacha
Kabisa
Sule muuni kama wauni wengine tu
Ndacha do mwalimu wao
Kabisa
Pastor nimekupa kidole,bwana yesu asifiwe
Mlicho haribu ni kutuwekea mziki kwenye haya mawaidha, 😢😢😢 hatusikii vizuri tunasikia maneno na makelele
Kubishana na watu kama hawa nisawa na kubishana na Shetani anaepingana na Mungu siku zote
Mwalim ndacha ubarikiwe
Ndacha ni mkamilifu kabisa katika neno la Mungu shetani hamuezi
Ndacha MUNGU Akubariki sana
Kuruani zipo tofauti wewe!!
Ndacha ubarikiwe,unauhakika na unaye mtumikia,huwezi babaishwa Wala kukokotwa
Ndacha nishetani. Anaepoteza watu
Kumbali ukwl broo Uislam.n dini ya Mohammed fuata MUNGU @@abuuhassani497
Alafu mbona Awana utulivu .
Unayesema Qur'uan kwa kiarabh ni moja umepitwa sana na wakati. Kuna zaidi ya Qur'uan 26 tafautitafauti za kiarabu.
Ndacha ana jibu, bibilia inamgongano sana😮😮😮
Waslam ni majini
Pastor Ndacha ako sawa kabisa.naulliza Ndacha anashiriki kanisa gani?Please mtu anijibu
Wana matengezo
Sabato
Sabato la wanamatengenezo mpendwa
The truth is the 2 books used the 2 different calendars. One uses Julien calendar that's 25 and the other is Gregorian calender that is eastern calender .
Uwislamu nimzigo wamavi tu
Alhamdullilah najivunia kuuwa Muislamu ni neema kubwa ambyo Allah amewakosesha wegne
Allah amewakosesha....nani mbaya
Allah sio mungu
Na wewe kelele
@@hirammbugua7593😅😅Allah amemkoseasha nani? Kwahiyo unataka kuniambia huyo huyo Allah aliyekupa wewe ndo kakosesha wengine ..... hebu tusiongee upuuzi kumuhusu Mungu jamani ......
duh kwahiyo alla anaupendeleo?
Umeulizwa tu umesoma aya gani unakuja na pressure sana
Ndacha unafichua ukweli w kuruan wakina mwaipopo tanzania waliwonea wachungaji ilala mwaipopo akikutana na wew kwa hizo hoja zako lazima akimbie
Ndacha kwani kanisa lako liko wapi nije kuanzia leo mi msabato tena wa zaman sio hawa wapya
Hakuna swali wa waislamu mwalimu Ndacha anawezashindwa kujibu swali nyepesi sana. Jameni bibilia ina vitabu 66 sasa utaulizaje swali kwenye vitabu hatuvitambui kama andiko rasmi ilhali Ndacha anawasomea quaran.
Acha uongo
Ata Mimi nashindwa, eti pastor mkorofi, ni wao wakorofi ama ni huyo pastor Tena anajiita mkorofi???😂😂😂😂
@@hirammbugua7593 😩🤣🤣 labda alikua modi ..huyo pastor mkorofi..🤣
Wakatoliki na wakristo Ni vtu viwl tofaut
Uongo
Sema wakristu ni Wakatoliki nyiye ndiyo sielewi
Sio yesu ni nabii issa kwn nyny wkristo mungu wenu anaitwa nani? Na huyu yesu ni yupi?
Hiyo ni dalili ya kushindwa waislam mnapokuwa mnapiga kelele
Kwanza hakuna kitabu cha mungu usituongopee
Mauwa ni ya kwako ndacha unatisha.
Shetani anawachezea waislamu!
wanakwambia hawaamini Biblia halafu kutwa kucha wanaisoma😂😂 na Hapo ndio wanazidi Kuvurugwa sababu wanakula faida...siku ya hukumu watajikuta wana ushahidi kama wote
Kabisa
Huyo muhuni tu
Tatizo watunzi wa biblia ni wengi sana
Mm niwe muislam mm huyuuu, hata mganga aniroge ninavyouchukia muislam hta dawa za mganga zitaniogopa, hta majini wanishawishi siwezi kua muislam aixeee uislam ni ⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️
Allahu Akbar najivuniya kuwa n'a neemah ya uislam
I hope hujaoa mtoto wa 6 yrs
Uislam ndo ulivyo yaani bila maswali ya uongo huwez jibu
Kabisa
Ukristo nikupoteza mudatu
Siku zote waisalim ni wavurugaji ona wanavwo piga kelele
Kabisa kaka
😂😂😂 utasikia Quran ni mojaaaaa
Sasa mbona jamaa anauliza kama ugomvi, hii ndio shida ya waislam wao ni vurugu tu
afadhali umeona kaka
Ndacha Huwa Hana hojo, kitabu anacho kikataa ndicho baadae anakitumia kujenga hoja zake
Sasa Kitabu cha mungu kinasura ya majini mungu ana uhusiano gani na majini na shetani🤣🤣
Eeeh wakati sulle anasoma pastor mkorofi unaiona hoja ya msingi saana Hadi unachapa takbir😂😂😂😂
@@LovelyComputerChip-cj4wzwee unasema hivo na wanafuga majini,enda mombasa uone, hata Mimi hushangaa Tena shetwani alisilimishwa na mhmd na wanajivunia hiyo😂😂😂😂
Mbona quran yenyewe chenga😂😂😂😂😂😂
Huwa nina sema siku zote. Usione watu wamekunyamazia ukazani uko salama ni vile tu hawatak kuangaika na wew. Quran yenyewe inajichanganya hiyo moja hahahaha haha Quran 2:2 zote ziko tofauti
BarikiwA
ndacha hoi kujibu swali ameshindwa kati ya 15 na 25 ipi sahihi
Sasa nyinyi mnasoma vitabu zenye wakristo hawaamini eti ni hoja ,mpaka pastor mkorofi?? Wee unaona ni pastor alijiita hivo??????mmetunga kītabu mnaandika yesu alirogwa saabu tunasoma Quran mhmd alirogwa eti ni tit for tat,jinga za mwisho,soma vitabu tunavyokumbaliana navyo,, aaaiiii 😢😢😢😢
ww umelewa nn mbona ueleweki
Ndacha kajibu swali kitambo,nyie mbona kuna quran zilichomwa na hiyo yenye mwatumia pia haieleweki,quran 2:2 kuna utashi kwaio quran pia ni chenga tu😂😂😂😂😂😂
Ila hao ndugu zetu hao wavaa kobasi maarifa madogo kabisa... Mwalimu ndacha anajibu... Wao takbiiiiriii!! 😅😂 Sasa sijui takbiri ya nini sijui....
Hao waislamu ni ushabiki tu😊
Ndo kawaida yao makelele .... hata ukiwakuta kwenye mashuhuri hadi wanaume wanakata mauno ndani ya kanzu na kucheza taarabu vidole juu ..... tuwazoee tu kiukweli wengi wao hawajaumbiwa utulivu
…
Waizilamu waliandika Quran kutoka kwa biblia.
Biblia takatifu haina kitabu kama makabayo...waka tobit...haya ni makala ya wakatoliki...si biblia.
Huu ni ukweli
Hakuna haka ya malumbano hebu ubilini Mungu mmoja swala huyu dini furani na anatumia kitabu furani sizani kama lina maana sana, mmtoka kwenye kutoa mafundisho yenye tija katika jamii mmbaki kutuchanganya na mmekuwa kama wana siasa kila mtu anavutia kwake mwisho tutawaona woote wababaishaji
Ndugu haya Yana msingi sana ,haiwezekani mmoja aende mashariki mwengine magharibi alafu useme wanaenda sehemu moja.
Kuna maelezo yanayotubabaisha halafu hawafundishi ipasavyo ila ni mabishano tu,kwa mfano waislamu wanasema nabii issa as ndio yesu lkn wakiristo wanakataa issa na yesu ni tofauti,waislamu wanasema nabii issa amezaliwa na Mariam,wakiristo wanasema,mariamu wa kwenye biblia sie wa kwenye koran na wakitaka kuweka hoja wanatoa kwenye suratul Mariam,jee hapa tuelewe vp sisi tunaotaka kujifunza?
Toka Kwa hii page uhubiri kikwako boss
Ukiwa na uhakka na unachokiamin lazma ufurah nyie
Uzuri tuliambiwa wao wana dini yao na sisi tuna dini yetu, ivyo uislam ume yatangulia yoteeeeee, watu hata hawajielewi yani dini moja ila vitabu kibao
Samahani naomba nikuulize,mbona jina lako limekuja la kikiristo au jina ni alama tu
Huna akili Kwan waislam wao wanavitabu vingap? Au unaandika tu hata hujui unachoandika
😂😂😂 UISILAM UMEYATANGULIA MADINI YOTE WAKATITI QURAN IMEANDIKA HAPO MWANZO POMBE/ HAUKUWA HARAMU ALAFU MKASEMA ADAMU ALIKUWA MUISILAMU SASA KABLA YA ADAMU ALIYEKUWA MUISILAMU NA MLEVI ALIKUWA NANI ? WEWE AU?😂😂😂😂
Huyo kijana ndacha hajui kujibu hujajibu hilo swali mbona unazungusha tu
Hawezi jibu utakavyo anajibu kulingana na hoja.
Hasa si anajibu kutumia vitabu. 🤣🤣 ama wamngoja profesa na dokta ..wa kuuza samaki hapo buza...waje waongee..ndo utoe pamba maskioni..😩🤣
😅😅Mlipoulizwa kwamba kama ulevi ulikuwa sio harama kabla ya uisilamu kama Quran ilivyoandikwa na mkasema adamu alikuwa muisilamu ..... mmeulizwa kuwa kabla ya Adamu hao walevi kabla yake walikuwa wakinanani ...... hamjajibu mpaka leo/ Mpaka mnakufa Mnajichekesha tu😂😂
Ukiona mhubiri anaikataa biblia ujuemada hawezi itabidi midahalo mingine muwe mnachagua vitabu kabisa tuwe tunajua madahii hamtumii agano jipya au lakale
Hapana wakistro wote ukiwatoa romani katoriki wanatumia yenye vitabu 66 tu hiyo ya makabayo siyo ya wakristo bali ni wakatoriki
Sasa wewe pastor mkorofi ni biblia??? Acheni upastor mkorofi alafu mnatusomea makabayo aiseee hizo hutuzijui, tafuteni hoja Kwa 66 books bible buana😂😂😂
Ndacha atakwepa ukweli mpaka?
Mpaka Mungu atakapompa taji ya kutetea imani yake❤❤❤
Na wewe jibu mbona quran yenu pia kumbe chenga😂😂😂😂😂😂
Ndacha is just a liar quran ni moja wewe unasoma tasfiri tu anawalisha tango pori wasiojua biblia zipo nyingi hakuna nabii aliepewa biblia biblia mara 78 mara 66 mara 72 ndio nini sasa
Ndacha Hana Uwezo Mtoto Mdogo Anajibu Pumba Tu
Mwenye mchele ni yupi ? Ipo tofauti ya mwezi wa 12 na mwezi uitwao Desemba.
Makabayo? Ndo kitabu kipi 😂
Ni waislamu wanajua
Maccabees..kwenye bibilia ya katoliki
Makabayo...😩🤣🤣🤣😒 Duuuh balaa ...mara pastor mkorofi..🤣
Wanatumia vitabu vya kumdhihaki Mungu sijui pastor mkorofi na wanajuwa kabisa kuwa hivyo vitabu sio sahihi ..... hakika wanamkosea sana Mungu tena wanafurahi kwa hilo kifupi hawajamuheshimu Mungu bado .... wanavuka mipaka
Ndacha Ana akili sana kuruka maswali, Ila kajibu kwa usahihi zipo bibilia katika ukristo hazitambiliki
Qur'an Iko moja tu haina tofauti.
Majini pia Wana akili Sana siku ya hukumu mtakuwa nao motoni Imani moja
@@LovelyComputerChip-cj4wz kama moto umeumbwa ajili ya wanao muabudu Mungu wa kweli basi hakuna atakaye ingia katika bustani za milele, sabab wachungaji wa wakristu wanakubali kuwa bibilia zipo ambazo hazitambuliki halaf zote ni za wakristu wakiamin ni za Mungu huoni kuwa hii sio dini ya kweli?
Majini n VIUMBE kama wew na mm wanaabudu kama sisi Wana damu ispokua wapo walio muasi Mungu kama wew unaye jion uko kwenye dini ya kweli.
Unapo fatilia mambo ya midahalo wacha ushabiki mbembeni kisha elewa nini kinajadiliwa halaf jitahid kuelewa hoja.
@@ibnayub2374mkuu Biblia ni moja tu, yenye vitabu 66, hivyo vitabu vyote alivyosoma muuliza swali ni vitabu vya maelezo tu, na ndio maana bado vinakopi kwenye Biblia takatifu. Wanachokifanya hao waalimu ni kupotosha tu ili washangiliwe, lakini kama kila mtu angesema ukweli tungepata dini nzuri ya kuifuata
Shinda sio Quran mbili shinda ni zenye mlichapa moto.
@@ibnayub2374majini ni roho chafu za shetani na ni malaika waliofuata shetani,hakuna jini mzuri acha kutufundisha mapya soma yaliyokuwa kabla ya quran
Ndacha mungu akuongeze nguvu n'a elimi Pia ugongane na hao waislam
Waislam hamna Mungu ndo maana mnatafuta tafuta hamna uhakika
Mungu ulie nae wew ni yupi
anataka baba ake ndo awe mungu wetu
Sio mzima www