WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лип 2024
  • ‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

КОМЕНТАРІ • 103

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 29 днів тому +7

    Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY.
    #Armie2Palestine
    #WorkForChange
    #WorkForPeace
    #WorkForKhilafah

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 29 днів тому +6

    Mashallah mungu awaongozea wakristoo

  • @morallyify
    @morallyify 16 днів тому +1

    Subhanallah

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f 11 днів тому

    Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri

  • @aishaali9583
    @aishaali9583 12 днів тому

    Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 29 днів тому +2

    Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran

  • @twaine40
    @twaine40 29 днів тому +1

    Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah

  • @josemu870
    @josemu870 29 днів тому +2

    Barikiweni sana sana

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 29 днів тому +2

    Mashaallah Allha 💖

  • @MohammediSemndili
    @MohammediSemndili 29 днів тому +1

    Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep

  • @ashrafnuru6402
    @ashrafnuru6402 18 днів тому

    Yaaan Bibilia n mtihani

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z 28 днів тому +1

    Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.

  • @morallyify
    @morallyify 16 днів тому

    😊

  • @user-fr6rv2yb4s
    @user-fr6rv2yb4s 29 днів тому +6

    Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 27 днів тому +2

    Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu5778 29 днів тому +1

    Mashallah

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 29 днів тому +1

    Sawa

  • @seifissa9705
    @seifissa9705 29 днів тому

    Yaani hao jamaa mungu awasamehe

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 29 днів тому +1

    Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d 25 днів тому

    Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊

  • @dominicwafula3997
    @dominicwafula3997 26 днів тому

    Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊

  • @Mimein-vn7or
    @Mimein-vn7or 28 днів тому

    Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5u 26 днів тому

    😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa

  • @Adm9464
    @Adm9464 29 днів тому +2

    Confusion continues. Wakristo hawasikisani.

  • @peterthuo1404
    @peterthuo1404 23 дні тому

    Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 29 днів тому

    Tomaso ni chizi! hio ni kali

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 27 днів тому

      NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mohamedmaina2279
    @mohamedmaina2279 28 днів тому

    Shukuran

  • @MullasKhamis
    @MullasKhamis 20 днів тому

    Dalodi

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 27 днів тому

    Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 29 днів тому +1

    Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂

  • @Ozihamza
    @Ozihamza 29 днів тому +2

    Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 27 днів тому

      Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah

  • @samxx411
    @samxx411 29 днів тому +3

    Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu3905 23 дні тому

    Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.

    • @AzizaNurdin
      @AzizaNurdin 19 днів тому

      Vita ni Vita muraa

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 19 днів тому

      @@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 19 днів тому

      Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 19 днів тому

      @@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.

  • @Inagole4233
    @Inagole4233 25 днів тому

    Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 26 днів тому

    Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 29 днів тому +1

    HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.

    • @abdulJambe
      @abdulJambe 29 днів тому +3

      Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  29 днів тому +4

      Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 29 днів тому

      @@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote

    • @samxx411
      @samxx411 29 днів тому +1

      Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.

    • @mahmudmugarura2175
      @mahmudmugarura2175 29 днів тому +1

      ​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge

  • @namasakajuniorke3886
    @namasakajuniorke3886 28 днів тому

    Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza

  • @benwambua902
    @benwambua902 25 днів тому

    Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans