Ustadh mazinge Allah akujaalie kila la kher unafanya kazi nzur sana . Achana na watu wanaokukashifu kiukweli unafanya kazi nzur sanaa Allah akulipe kher❤
Vikundi vya ukaidi,ndio picha halisi anayoongea huyu mzee,Mbona sisi wakristo tuna aman sana,hatuna chuki na wakristo,nenda Zanzibar asilimia 90 ya wanawake Wana majini,shuleni na vyuo ,wanapandisha majini kelele shule nzima
@@savinosalamba9174 Sawa inawezekana wakawa na majini ni kweli hayo maneno ni ya Mtume wetu Mohammad S.A.W alisema majini yanawashambulia wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa sana kuliko wanaume hata upande wenu kwa Mwamposa wanawake wenye mapepo ni wengi sana na watoto ukilingalisha na wanaume,mapepo wa chafu kwa lugha nyingine ni majini waasi yaani masheitani,sasa point yako imerenga nini?
Naaam!!!! wewe ni mtumishi wa Mungu mzurii lakini okoka leo ili ujiepushe na moto wa milele maana umejaa CHUKI, FITINA NA DHARAU lakini sisi tunakupenda Sanaa wakristo wote 💕
Ww tatizo ujui maana ya kuokoka nenda ukatafute kamusi utafute ni nini maana ya kuokoka maana ya kuoka ni mtu ambaye yupo kwenye moto unamunguza ndio anatoa neno hilo kwamba nitoeni nimeokoka na moto yaan nitoeni naumia lkn wakriato wanaona kuoka ndio kupona akili zenu bure sana
inashangaza sana kukashifu dini zawenzao ivinabi anajua atauona ufalume wamungu dinizote kwasasa zinatuacha njiapanda walimwengu tusimame wenyewe kukuomba mungu hizi niskuzamwisho tuwemakini sana
Ahaaaaa au sio kumbe inawagusa nyie mnaojiita mitume hv ata we ndgu yangu unakuwa tunakuona unahtaj uje uwe na mtume kama huyu mnyakyusa mwenzako au unahtaj uje uwasameh wazazi wako dhambi zao
Kiukweli watu wengi sana wanahubiri kwa masilah yao wenyewe ila shehe nataman sana umihubiri Yesu kristo ndio Mfalme wa wafalme hakuna na wala hata kuwepo wakimzidi yeye kwa mamlaka aliye pewa na Mungu karibu sana umpokee Yesu akae ndani yako
Acha kuhukumu watu fanya kazi uliyo tumwa na mungu hiyo Kaz ya kuhukumu siyo Kazi Yako ni KAZI ya mungu ,kemea watu waache maovu kama huwa uwezo waachie wenye uwezo
Bado wengi hamjui maana ya nabii nabii ni mtu yeyote anaye peleka ujumbe wa Mungu kokote wa kuhubiri habari ya toba na juu yakurud kwa Mara ya pili Bwana Yesu kristo
Hakuna cha Mtume wala nabii kwa sasa hivi ni vyeo mwenyezi Mungu aliwapa waja wake kwa kazi maalumu. Acheni kujiita Nabi wala Mtume labda kama mtume wa kutumwa na shetani
We huna iman yeyot we ungekuwa na iman usingekubali kudanganywa na mwamposa hv hjiulzi toka umezaliwa mpak unafika umri huo ulishawah kuskia au kumuona mtume katika taifa lako na tz? Mitume wte waliishi uarabuni huyu mtume huyu mtume anayeish tz tena mnyakyusa katokea wapi? Ukinijibu hilo swali kw ufasah nitaamin unaiman na huko ulipo walokpoteza
Mazinge na ndio maama Wakrto hawakupendi kwakuwaunasema kweli kwakuwana wewe ulitokea kwenye ukristo unayajuwa mengi Yao nanakuombea Duwa Waslaam wote Duniani uishii Maisha malefu sana
@@faridfrefre35 simkafatilie vyadini yenu ya kislamu? Kila siku nikuwafatilia wakristo.mlishaona mkirsto anamfatilia muislamu? Alafu mashehe wengi ndio waganga wakienyeji Ila hakuna mkiristo anausemea uganga wa masheshe kwakua kila mtu anadini yake nakila mwanadamu atakufa nakuhukumiwa. Namungu kwamungu hatuendi nadini tunaenda. Na roho tu.
Mathayo 19:23-24 BHN Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu Hii ni bibilia ndio imesema Ivo sisi tunanukuu tu
Sisi sote hatujui lolote Mungu atusamehe tu maana hakuna tujualo sisi ni wadhambi tu sisi sote hakuna mtakatifu ata Yesu alikataa kuitwa Mwema tulikumbuke Hilo Mimi ni Nabii wenu Nabii Coco
Shekhe mazinge sikujui hunijui lakini kuhusu mtume mwamposa ule sio mkono wa mwanadamu ni mkono wa Mungu ♥ kibaya zaidi wanao Amini na kuponywa na kufunguliwa na wanawake wanopokea ujauzito wengi wao ni waslam zaidi ya 75% wanao swali kwa mwamposa ni waslam ,kwahiyo Shekhe mazinge acha Mungu aitwe Mungu.,wachawi waganga nk nk wanarudisha na kuacha uchawi .Acha kubeza Shekhe
Unaweza kuona mtu mzima kama huyu mzee mzima kama huyu mrefu mnene lkn anaongea mambo ya kipumbavu ya umbea kutukana imani za watu wengine za kikiristo kila siku kila siku asimamapo misikitini ndo ujue kuna wazee wa hovyo sana tanzania. Mazinge ni mzee wa hovyo sana na anawivu wa kimaendeleo kuona viongozi wa dini ya kikiristo tena wenye umli mdogo wamempita maendeleo ya kidunia na ahela. maana yeye na waislamu wote wanajua dini yao ya uislamu ni watu wa motoni na waKiristo ni watu kwenda kwenye uzima wa milele. Kwaiyo ana tapatapa mzee wawatu anajuta kwanini alizaliwa kwenye uislamu dini ya shetwani ndomana kila siku anawaonea wivu wakiristo anajua wakiristo ndio watakao kwenda kulithi uzima wa milele
Astakafilullah hujielew ww mungu ni mmoja Allah na unadiliki kuiita dini yetu dini ya shetan hakika umepotoka pia nyinyi ndo hamjielew mnapelekwa pelekwa tuu
@@NasraMudy-ik1vj kweli dada hawa waislamu wana laana ya Mungu. kitendo cha kumkataa mwokozi wa ulimwengu Yesu kristo na kumfuata mhammad wamesha laaniwa na Mungu moja kwa moja na moto wa jehannam una wangoja
wallah kuna watu kweli ni inalilah wainaa ileyh rajiuna mtu unamwambia shekh Mazinge aende isio kuwa pepo kwanza unajua shekh kabla hajasem Mungu nisameh anasemehewa madhambi arobaini wewe na mimi jeee
Ni vema mkajikita kufundisha juu ya Mungu na rehema zake,lkn kuzungumzia watu eti walivaa kaptura sasa inahusu nini juu ya imani yenu kwa mwenyezi Mungu? Haya tunakubali alivaa kaptura ni ilikuwa lini? Na ni nani ambaye hakuvaa kaptura huko siku za nyuma? Jingine,eti aliuza udongo akapata milioni 900 wewe ndiye ulikuwa mweka hazina wake hata ukajua mapato?
Ustadh mazinge Allah akujaalie kila la kher unafanya kazi nzur sana . Achana na watu wanaokukashifu kiukweli unafanya kazi nzur sanaa Allah akulipe kher❤
Huyo Mzee moto jehanam unamhusu,
Vikundi vya ukaidi,ndio picha halisi anayoongea huyu mzee,Mbona sisi wakristo tuna aman sana,hatuna chuki na wakristo,nenda Zanzibar asilimia 90 ya wanawake Wana majini,shuleni na vyuo ,wanapandisha majini kelele shule nzima
MDA WOTE WAKRISTO MAKAFIRI WAKRISTO HAWANA HAKI YA KUISHI ,MWISLAM NDIO ANA HAKI YA KUISHI,MMEKUA MUNGU KILA MTU AHESHIMU DINI YAKE,
@@savinosalamba9174 Sawa inawezekana wakawa na majini ni kweli hayo maneno ni ya Mtume wetu Mohammad S.A.W alisema majini yanawashambulia wanawake na watoto kwa kiasi kikubwa sana kuliko wanaume hata upande wenu kwa Mwamposa wanawake wenye mapepo ni wengi sana na watoto ukilingalisha na wanaume,mapepo wa chafu kwa lugha nyingine ni majini waasi yaani masheitani,sasa point yako imerenga nini?
Muslim respect ❤❤❤❤
Nakkubali sana mazinge mungu akujalie mwisho mwema
Naaam!!!! wewe ni mtumishi wa Mungu mzurii lakini okoka leo ili ujiepushe na moto wa milele maana umejaa CHUKI, FITINA NA DHARAU lakini sisi tunakupenda Sanaa wakristo wote 💕
Lakini mimi nawaambia waombeeni wanaowaudhi
Ww tatizo ujui maana ya kuokoka nenda ukatafute kamusi utafute ni nini maana ya kuokoka maana ya kuoka ni mtu ambaye yupo kwenye moto unamunguza ndio anatoa neno hilo kwamba nitoeni nimeokoka na moto yaan nitoeni naumia lkn wakriato wanaona kuoka ndio kupona akili zenu bure sana
Acha usenge ww ukirsto ni dini?
Umerogwa au umetumwa sikuhizi mnapenda uongo mkiambiwa ukweri munaanza visa yani rugha ambao imekutoka sio nzuri
😂😂😂😂😂 mazinge iyo baba
Hubiri habari za Mungu... Watu waache maovu watende mema....
inashangaza sana kukashifu dini zawenzao ivinabi anajua atauona ufalume wamungu dinizote kwasasa zinatuacha njiapanda walimwengu tusimame wenyewe kukuomba mungu hizi niskuzamwisho tuwemakini sana
Wonderfully, mazinge.mungu akuzidishie maisha na akuĺipe mema dunia na akhera .
Nyinyi mnamtukanashehe nyinyi washenzi acheni ujinga shehe mazinge hongerasana wambie makafiri wazidi kuumwa presha haowajinga
Allah akufanyie wepesi Kwa kila Jambo lako ostadh mazinge
Mazinge mungu anakuona achahivo
Mungu hamjaribu hasiye wake
Bwana akurehemu sheikh wetu
Mungu akuongoze❤❤❤❤
FANYA DHARAU,KEJELI,ONA WIVU MAENDELEO YA WATU,MUNGU AKUBARIKI SANA
Tuache kuingiria kazi ya Mungu wakuhukumu ni mungu pekeyake tufanye yakwetu mwenyezimungu atujalie mwisho mwema hakuna binadamu aliyekamilika
mazinge we Wachane achana na wanao kukashifuu na tunakuombea Kwa allha akupe maisha marefu ili uendelee kutoka dawa
Sema professor 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nampenda San mwamposa n nitaendelea kumuamin kwa maombi yake amen 🙏
We mzee Mungu anakuona.fitina 2
Amna kazi ninyi. Bora mngetafuta kazi ya kufanya..
Allah akulinde inshaallah
Waambie watu habari za ufalmme Mungu watakuelewa habari za Mwamposa ziache
Ahaaaaa au sio kumbe inawagusa nyie mnaojiita mitume hv ata we ndgu yangu unakuwa tunakuona unahtaj uje uwe na mtume kama huyu mnyakyusa mwenzako au unahtaj uje uwasameh wazazi wako dhambi zao
Mazinge mpokee yesu acha ukafili
Uyo ndo profesa.hakika usilam ni dini ya haki.siyo makafiri
Wee ujuw ila kunasiku utajuwa atakama ushakufa
Tena we unaejifanya mtu mwema sana ndio mchawi mkubwa mbwa wewe fanya maisha yako wew wivu utakuua
Mungu Akusameh makosa Yko,Mnyama Kumfananshia Mwanadam,Allah atamlnda Shekhe Wet2 Maznge,Allahu Akbar,Mnaambuwa Kwel Mnaumia
Yani kweriii safiii sana wachungaji wamchongo
Ujumbe mzito sana.
Kiukweli watu wengi sana wanahubiri kwa masilah yao wenyewe ila shehe nataman sana umihubiri Yesu kristo ndio Mfalme wa wafalme hakuna na wala hata kuwepo wakimzidi yeye kwa mamlaka aliye pewa na Mungu karibu sana umpokee Yesu akae ndani yako
We nd hujui ata dunia inaendaj hvi nabii issa anaweza akawa mfalume wa ulimwengu wte zaid Allah?
Kumsema mtuuu alafu ye akujibu kama unajibiza. Najiwe vile inamaana kakupuuza
Mungu ni mwema
Acha kuhukumu watu fanya kazi uliyo tumwa na mungu hiyo Kaz ya kuhukumu siyo Kazi Yako ni KAZI ya mungu ,kemea watu waache maovu kama huwa uwezo waachie wenye uwezo
Pesa zina nguvu sana
Uwo niwiv mungu amemubalik
Ustaze Mazinge Mungu Akubariki Masha Allah 🤗🤗
Mimi ni mkristo Ila huyu comedian nampenda sana
Bado wengi hamjui maana ya nabii nabii ni mtu yeyote anaye peleka ujumbe wa Mungu kokote wa kuhubiri habari ya toba na juu yakurud kwa Mara ya pili Bwana Yesu kristo
Hakuna cha Mtume wala nabii kwa sasa hivi ni vyeo mwenyezi Mungu aliwapa waja wake kwa kazi maalumu.
Acheni kujiita Nabi wala Mtume labda kama mtume wa kutumwa na shetani
Endeleeni ugaidi duniani na kuua watu,kulipua maeneo ya mikusanyiko ya watu,na kudharau wakristo,MUNGU WENU HUYO ATAWAPELEKA MOTONI MOJA KWA MOJA
Jihad jihad,motoni Moja kwa moja
usimseme mtumishi mwezio na kuwashawishi watu tofauti
Hakika 🙏🏾 allah atupe mwisho mwema 🤲
Mungu ni mmoja acha zarau,, kuzarau imani za wengine
We huna iman yeyot we ungekuwa na iman usingekubali kudanganywa na mwamposa hv hjiulzi toka umezaliwa mpak unafika umri huo ulishawah kuskia au kumuona mtume katika taifa lako na tz? Mitume wte waliishi uarabuni huyu mtume huyu mtume anayeish tz tena mnyakyusa katokea wapi? Ukinijibu hilo swali kw ufasah nitaamin unaiman na huko ulipo walokpoteza
Dhahir shekhe
Shehe masikini sana wewe rohombaya unalana unachuki na wakristo Anza nawewe na huna roho mungu
Hawachukii ila nyinyi ndio mnamchukia yeye kutokan na ukwel anaowaambia
Si kanakwmba mazinge anachukia apan wakristo apan bali anaeapenda nd maan anawapigania ili ata nyie muingie kweny dini ya haki na dini ya kweli
she mungu akusamehe mana huwo ni usengenyejaji shee na chuki
Yesu akuponye mazinge
Hahahahaha 😂
Nampenda mtumishi mwamposa na nitaenderea kumpenda kwa muumini wake
badilika ndugu yangu tuliza akili Yako Ili umjue m/mungu
tuliza akili utamjua mungu wa kweli.mungu ni mmoja tu jamaniiiiiiiiiiiiiii
DAH imewatach sana iyo
Mazinge n tapeli
Mwanadamu mwenzio anakwambia yesu mungu ,hivi akili huna maarifa pia ,unakubali ,mungu ulimuona wapi ,yesu kaonekana yesu ni mtume wa mungu c mungu
Kuhusu mwamposa bado hamjasema mtasena sana alfu acheni uongo udogo hauuzwi hata siku moja
Una mawaidha mazuri ila sio vizuri kuponda dini za watu
Wao hawajawahi kusifia
Toa mawaidha ya kuacha mabaya na kufuata mema achana na maisha ya watu na kutaja majina ya watu na cashfa
Mazinge na ndio maama Wakrto hawakupendi kwakuwaunasema kweli kwakuwana wewe ulitokea kwenye ukristo unayajuwa mengi Yao nanakuombea Duwa Waslaam wote Duniani uishii Maisha malefu sana
Hizo kejeri zako subiri moto mungu atakavyokuchooma
Sasa nawewe kweli kwaakili zako kuna mtume mnyakyusa
@@faridfrefre35 simkafatilie vyadini yenu ya kislamu? Kila siku nikuwafatilia wakristo.mlishaona mkirsto anamfatilia muislamu? Alafu mashehe wengi ndio waganga wakienyeji Ila hakuna mkiristo anausemea uganga wa masheshe kwakua kila mtu anadini yake nakila mwanadamu atakufa nakuhukumiwa. Namungu kwamungu hatuendi nadini tunaenda. Na roho tu.
Mimi ni mkirsto Hila kwa Sasa hivi akuna nabii ni wapigaji tu
Duh unaongea kama vle karb na Allah mnaambiwa ukwel hamtaki kuelewa hakuna mtume mtamzani tena mnyakyusa
Unauniri au unagobana. Ubiri a watu neno la mungu acha uduanzi
wivu mbaya sanaaaa
Comedian huyu daa ana chekeshaa sanaaa ndaro 😂😂😂😂
Wewe unaesema ostadhi kaongea uwongo sema wewe hauna unaro lijua muombe mungu sana akupe ufahamu
Ostadhi wenu,umaskini,roho mbaya,life ngumu,watoto 15,lazima awe na roho mbaya,
Hacha wivu Fanya mambo yako tangaza Imani yako
Hayo ndiyo mawaidha toka msikitini au vijembe
Mazige acha unsfiki Mtume Mwamposa hauzi udogo Wewe ni poropagada tu.
You're just a comedian. Wewe ni muigizaji tu
Why
Tatz Lako umezaliwa kuwasem wakristo na huwezi kubadili chcht kw wakrsto
Mtume wenu Muhammad kawapoteza sana mungu awasaidie muijue kweli ya kristo
Mathayo 19:23-24 BHN
Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
Hii ni bibilia ndio imesema Ivo sisi tunanukuu tu
Angalia mathayo iyo kwanza Kisha ndio useme mtume muhammad
.
Mathayo 19:23-24 BHN
Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbingu
barikiwa sana mpendwa umenena vyema kbs Mungu azidi kukulinda,wenzetu awa wamepotezwa kitambo kazi wamebakiza ni kelele mtupu!
Sisi sote hatujui lolote Mungu atusamehe tu maana hakuna tujualo sisi ni wadhambi tu sisi sote hakuna mtakatifu ata Yesu alikataa kuitwa Mwema tulikumbuke Hilo Mimi ni Nabii wenu Nabii Coco
Hapa umekoseaa ndugu
Kwani kuna watu kila siku wanasema dini za watu wengine wao hawana dini au sio nzuri
Shekhe mazinge sikujui hunijui lakini kuhusu mtume mwamposa ule sio mkono wa mwanadamu ni mkono wa Mungu ♥ kibaya zaidi wanao Amini na kuponywa na kufunguliwa na wanawake wanopokea ujauzito wengi wao ni waslam zaidi ya 75% wanao swali kwa mwamposa ni waslam ,kwahiyo Shekhe mazinge acha Mungu aitwe Mungu.,wachawi waganga nk nk wanarudisha na kuacha uchawi .Acha kubeza Shekhe
Umepotea sana ndgu
Allahumma amin
Waslam mmezid majungu
HUYU SHEKHE HANA AKILI HAJUI ANACHOKIONGEA AMEKOSA MANENO HUYOO, MTU AKIKOSA CHA KUSEMA NI KAWAIDA KUSEMA WATU.
Wee unazoo?
Ww akilihuna atahaufikirii nn anachomaanisha
Kweli Hana akili hotuba zake nyingi ,kudharau wakristo,anatuita makafiri
Pole sana ,chukii tuu zinakuendesha
Hii video haikuhusu wewe
we unatamaa sana
😂😂😂 jazaqallah khair
mnapenda kuwahukum binadam wenzenu mtadhani nyie ni wakamilifu sana
Wewe naye mmoja wapo
Wivu wako juu ya ukristo ni mkubwa sana,na hapo ndiyo unajua kabisa ukristo ndiyo njia ya kweli na uzima
Mtume wa mungu amechaguliwa na mungu kwa sasa hakuna mtume labda katumwa shetani
Hata mhammad hakuwa mtume wa Mungu alijitangaza tu kuwa mtume kama alivyo jitangaza mwamposa
Kweri kabisa wakristo
Wanamtania sana #nabii issa
Hila watapata zambi sana
Hebu kila mtu azungumzie kile chake tuachane na mambo ya wengine
Na mashoga tuwanyamazie tuwaache
Uyu mzee Hua anawivu wa kijingajingaaaa
Kwer sanaaaa
@@NasraMudy-ik1vj yaan mpaka anaacha kutoa mawaidha anabaki kuwasema watu.na Mungu hapendi wasengenyaji
Eti yesu kakanyaga udongu nasi tuununue kauze na wew
Waislam MTACHELEWA SANAAAA TENA SIO KIDOGO kwanza kaa ukijua pepo yenu na yetu ni tofauti kabisa na mungu wenu na wetu ni tofauti pia .polen sana
Unaweza kuona mtu mzima kama huyu mzee mzima kama huyu mrefu mnene lkn anaongea mambo ya kipumbavu ya umbea kutukana imani za watu wengine za kikiristo kila siku kila siku asimamapo misikitini ndo ujue kuna wazee wa hovyo sana tanzania. Mazinge ni mzee wa hovyo sana na anawivu wa kimaendeleo kuona viongozi wa dini ya kikiristo tena wenye umli mdogo wamempita maendeleo ya kidunia na ahela. maana yeye na waislamu wote wanajua dini yao ya uislamu ni watu wa motoni na waKiristo ni watu kwenda kwenye uzima wa milele. Kwaiyo ana tapatapa mzee wawatu anajuta kwanini alizaliwa kwenye uislamu dini ya shetwani ndomana kila siku anawaonea wivu wakiristo anajua wakiristo ndio watakao kwenda kulithi uzima wa milele
Astakafilullah hujielew ww mungu ni mmoja Allah na unadiliki kuiita dini yetu dini ya shetan hakika umepotoka pia nyinyi ndo hamjielew mnapelekwa pelekwa tuu
😊
Waislam hawajielew kabsaa
@@NasraMudy-ik1vj kweli dada hawa waislamu wana laana ya Mungu. kitendo cha kumkataa mwokozi wa ulimwengu Yesu kristo na kumfuata mhammad wamesha laaniwa na Mungu moja kwa moja na moto wa jehannam una wangoja
Jamani kweli kaburini hakuna amani
Ukiona unamwongelea mwezio sana jua kuna kitu kakuzid
Ni kwel mwamposa kamzid mazinge uongo tyu hicho nd alichomzid kw7b anawadanya san lakn nyie hamtaki kuambiwa ukwel
Jamani, jamani
Yesu ni njia sahihi uwezi kumpangia MUNGU maamuzi yake fundisha hizo Hadith zako
We mzee achakujihesabia haki hata we Ni mkosefu
Mazinge ni shoga
Kama alivyo babaako
Waambie mazinge
Mnamba ujinga
LAKINI brother,unachuki sana na wakristo, MUNGU anakuona,
😂
@@abuusufian6506Mungu amulaani
Sio chuki ila anasema kweli
@@ibniabdalla4817 kumbe sikuiz kukashifu dini za watu wengine ni kusema ukweli?
Waikati mwngine ana sema yakweli hapa tujifunze🎉🎉
We shehe soma ISAYA 47:10-15 then uokoke, uijue kweli na umpokee BWANA YESU uwe huru
wallah kuna watu kweli ni inalilah wainaa ileyh rajiuna mtu unamwambia shekh Mazinge aende isio kuwa pepo kwanza unajua shekh kabla hajasem Mungu nisameh anasemehewa madhambi arobaini wewe na mimi jeee
We mzee sikia mwache mwamposa afanye yake na wew hubiria watu wako kwa staili yako ili waende mbinguni
❤❤❤
We mzee ongea kwa hekima acha izo maneno
Hubiri dini yako ya shetani usichafue dini za watu Mzee... Wewe !wenyewe huna uhakika na unachokiabudu
ALLAH NISAMAHE MADHAMBI YANGU YAAH ALLAH
Yani anvyo ongea utazani anamjua mwamposa kweli acha sisi tunao mjua tukae kmy
❤❤❤❤❤
Ni vema mkajikita kufundisha juu ya Mungu na rehema zake,lkn kuzungumzia watu eti walivaa kaptura sasa inahusu nini juu ya imani yenu kwa mwenyezi Mungu?
Haya tunakubali alivaa kaptura ni ilikuwa lini? Na ni nani ambaye hakuvaa kaptura huko siku za nyuma?
Jingine,eti aliuza udongo akapata milioni 900 wewe ndiye ulikuwa mweka hazina wake hata ukajua mapato?
Wivu umemzidi mazinge na ndio maana aachi kumzungumzia mwamposa na mwenzie anasonga mbali yeye asubiri contena la tende
Maandiko wanayema watakuja nabii wa uongo ndo ayooo wakina mwamposa
Unachuki sana na wakristo