HAUTAAIBIKA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Kuna wakati shetani anakupitisha kwenye hali ngumu sana,na lengo lake kubwa sio wewe bali mlengwa ni Yesu unayemtumikia.Anataka ufike mahali ambapo utaona kuwa kumtumikia Mungu hakuna faida.Neno la Mungu linasema shetani ni muongo,na tena baba wa huo.
Wakati akitaka akuaibishe,Mungu hukuheshimisha,akitaka ukate tamaa na usione tena njia mbele,Mungu hukuhuisha.Safari ya wokovu tunaiendeleza na kamwe hatutarudi nyuma.
Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando namna ya kuzitambua mbinu za shetani na jinsi ya kutoka katika njia na mitego yake.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our UA-cam: www.youtube.co....
Unafafanua vizuri neno la Mungu .. Mungu azidi kukuinua mtumishi
I will not be ashamed in my life....
Mchungaji nakuelewa sana
I really love your teachings and sermons always watching from Kenya ,,may God continue blessing you 🙏🙏
Sitaaibika kwa Jina la yesu Amen 🙏
Sitaabika kwa jina la yesu wataabika wao
I shall not be put to shame in Jesus name
Ni kweli aise Mtumishi
I love your preaching's.
There is so much truth in each and every sermon.
I will be forever greatfull.
Sitaaibika katika jina la yesu amen 🙏🙏
Amen amen amen
Amen nimebalikiwa sana na ili somo.
Mungu aendelee kukutunza mtumishi.
Am so blessed pastor 🙏. I reside in Kenya 🇰🇪. But I have been following the sermons online. I request for prayer for my husband, my children and my job.I look forward to hearing from God.God bless your ministry.
Mungu akubaliki mtumishi
Hakika we Baba nakupenda mpaka sijielew nataman nikuone mafundisho yako yananiingia Sana
Sitaaibika kwa jina la yesu
Amen
I love the translater she must have schooled in Kenya. Soft English and easy to understand with no jargons. Congratulations
Watching from Arusha
Am so blessed
MUNGU AZIDI KUKUTUMIA MTUMISHI WAKE
Mungu Baba unirehemu mimi kudhani hufanyi kitu. Asante Yesu Kristo ungali ukiandika nipe subira na Roho Mtakatifu anisaidie nitulie tu huku washitaki wangu wakiaibika kiwango cha mafarisayo na waandishi. Mimi sitataharika wala kufadhaika wala kuaibika. Asante Pastor Kyando na wote watendao kazi nawe mabarikiwe na mtumiziwe haja ya mioyo yenu.
Sitaibika maishani mwangu na familia katika jina la yesu Christ.
YESU KRISTO ni Baba na rafiki mzuri sana nakupenda sana Bwana wangu, , Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA 🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Mungu naomba neema ya kusamehe na kuachilia
Ohoooo Yes, halleluyah🙏 Yesu bado anaandika kwa ajili yangu..wakati unakuja sitawaona Tena🙇🙇🙇
Mambo
Ee Bwana uandae meza yangu machoni pa watesi.wangu.
Amina. Sitaaibika mimi na familia yangu kwa jina la Yesu.
Ahsante sana mchungaji toka nikujue miezi mitatu ulio pita umekua wa msada kwangu
I will not be ashamed in my life and family in Jesus Christ name.
Nakuelewa sana mtumishi hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu kiwango changu cha imani kinakua
Mungu najua mm c mkamilifu unisamehe dhambi zangu unifunike n damu yako kwa ajili ya Neema yako.barikiwa mtumishi
Sijui la kusema eh Mungu unirehemu.nijifunze vyema kuwa ni wewe unaandika yote
Jambo mgumu kweli lakini utawezesha.
Sitaaibika nimepokea na umekuwa kwangu amin
Yeeeee nimetambua kwanini wananidharau nitasimama na Bwana mpaka mwisho..SITAHAIBIKA
Zile aibu mwisho mda huu .SITAAIBIKA KWAJINA LA YESU KRISTO.KUDHARAULIKA MWISHO SAAHII IN JESUS NAME 🙏🏻
Ameen 🙏 🙏🙏 Asante kwa mafunuo Aya, sitaaibika katika jina la Yesu
Mungu ni mwaminifu sintaabika kwa jina la Yesu Amen🙏🙏
Baba wa Mbinguni uzidi kunipa neema ya kusamehe na kuachilia.
Nikweli mtumishi wa
Mungu🙏🙏🙏 ubarikiwe nikusamehe tu ili yaendelee kuandikwa
Amen baba.mungu azindi kukuinua ulishe koondoo wako
YESU ANAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.
Neema ya Mungu ni kubwa 🙏🙏🙏
ASANTE kwa somo zuri
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu ,hakika ww n mpakwa mafuta
Be blessed mtumishi
I have learned a lot may God bless you man of God
Nimebarikiwa sana naomba NEEMA inibebe
Niko kenya natembelewa na nyoka mwilini nahisi tu...mwili wangu unanona na siku moja kesho nakonda... nimeskiza neno nalia tu sijui chanzo lakini ni mahangaiko sina namna ya kufika tzd
Amen mtumishi akika unasema n mimi 😭😭
Listening and watching from Kenya Diani beach
You are good teacher
Amen mtumishi barikiwa Sana
Ameeen Ameeen Sitaaibika🙏🏽
Amen ubarikiwe kwa somo nzuri
Amina.Mungu akubariki Mtumishi
Aaaamen barikiwa kamanda lindoni
Ameen Naisubiri hiyo siku
Barikiwa sana Mtumishi
Amen,sitaabika kamwe
Kwa jina la yesu sitahaibikaa
Amen I am blessed
watching from Manyonii
Amen🙏 Ubarikiwe Sana Mtumishi ur Gifted 🙌
Good teachings .May God bless you
Amen Amen hakika Sintoaibika tena
So powerful
barikiwa sana baba
AMINA Sihaibika milele
Amenii 🖐️
Amen 🙏🏿
ahsante Yesu kwa ukombozi wako katika Manisha yangu
Ameni🙏🙏
Yees
Ameen
Hata ikitokea tumeaibika hatumpi utukufu shetan kwa kulalamika tuna bali tunamtukuza MUNGU yeye alie tupenda nakutuwazia meme
Nimejifunza kudeel na wa kwanza habari yyte mbaya inayonijia natafuta chanzo chake kwanza
🙇🏻♀️🙇🏻♀️🙇🏻♀️🙏
Haleluyah!!!! Amen 🙌🏾 Amen🙌🏾
Thanks rrrrrr57r6rrrrrrr r. Noc. Okkkk kkkkkkk. Kk kk. KkkIkumbarr66rr k8mxkknknkiioxk.
Sitaaibika kwa jina la YESU AMEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hatutoayibika kwa Jina la Yesu Christ Amen Amen 🙏🙌👏❤
sitaaibika katika jina la yesu... Amen
Staaibika kwa jina la Yesu
Sitaabika kwa jina la yesu
Amen
Siaibika kwa jina la yesu.Amen
Sitaaibika kwa jina la yesu
Amen kwanzia leo nitamngoja Bwana Yesu aandike 🤐🤐
Amen
Amen
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Naamini yesu bado anaandika kwa kidole chake.