NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2021
- Zaburi 74:20
[20]Ulitafakari agano;
Maana mahali penye giza katika nchi
Pamejaa makao ya ukatili.
Anaongelea eneo(location) katika nchi(ardhi) ambapo mambo yanayotendeka hapo ni ya ukatili,kama mambo hayo yanatendeka ina maana wapo wanaoyatenda hayo na wanakaa juu ya nchi.
Uchawi upo,wachawi wapo..na hawa watu wanaweza kuwa mtaani kwako na usiwajue ila ukabaki unajua kuna vitendo vya uchawi vinavyotendeka mtaani kwako.Hawa watu hufanya kazi kwa kujificha sana na ndio maana mchawi anaweza kukuroga ukashindwa kutembea na asubuhi ndio akawa mtu wa kwanza kuja kukusaidia.
Wakati Mungu anamtuma Musa kwenda kuwatoa waisraeli Misri alimpa pia ishara za kufanya ili Farao aamini kuwa ni Mungu aliyemtuma,na mojawapo ya ishara hizo ni kuangusha fimbo na kugeuka nyoka.Baada ya Musa kwenda kwa Farao akafanya hivyo kama Mungu alivyomuagiza,lakini Farao naye akawaita wachawi na waganga wake nao wakaangusha fimbo zao chini na zikageuka kuwa nyoka.Maandiko yanasema kuwa nyoka wa Musa akawameza wale nyoka wote wa wachawi.Ndani ya nyoka mmoja Mungu aliweka uwezo wa kuwameza nyoka wengi.Ndani yako kuna uwezo ambao Mungu ameuweka,ukiuangalia unaweza ukajiona kuwa una uwezo mdogo bila kujua kuwa kwa uwezo huo unaweza kutenda mambo makubwa sana kuliko fahamu za wanadamu zinavyofikiri.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our UA-cam: ua-cam.com/channels/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando UA-cam
/ @pastorsunbellakyando
tangu nianze kufuatilia mahubirii from reality church maisha yangu yamebadilika kwa wema sawa sawa na maombiii
Mungu akubariki pastor Sunbella,nami napokea kwa jina la Yesu!
Wisdom at peak. You are a blessing to this generation . I desire your Grace Sir
MUNGU nikonboe kupitia madhabah hii ameen
Somo tamu halichoshi kusikiliza... Nimebarikiwa na maarifa ya Neno la Mungu🙏
Nabarikiwa ila upande wa mkono wa kushoto hauko vizuri.Naomba maombi.
Amen
Amen 🙏🙏
Nmejifunza kitu Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
tuned from kenya
Mimi niko canada 🇨🇦 I am touched up by your messages
Wapi huko mie niko Montreal Quebec
@@trophywilson7211 ottawa
Roho mtakatifu nakusihi usinipte Bwana nijaze maarifa yako ndani yangu
Pastor Sunbella am so proud of you. Roho mtakatifu anakutumia sanaa, Mungu akubariki sanaa napata maarifa yakunivusha sanaa in many circumstances.... Utukufu kwa Bwana Yesu...
Hbb
Amina nafuatilia kutoka Kenya barikiwa mtumishi
Barkiwa Sana mtumish kwa fundisho zur
Ninachojua Mungu niliyenaye ni mkuu kuliko wachawi....waungane wachawi wote Tanzania au Africa...maadamu ninaye Yesu...ni sisimizi tu hao
@karolshirima8935 nilikuw na ufahamu kam wako Ila kilichonipat n huzun 😂😂upande wa giza wanamaarifa afu pia wanatumia kanuni zle zle ambzo Mungu alizitoa so n laxm uwe smart ili kuweza kudeal nao
barikiwa sana pastor!!!
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU nakufuatilia sana Baba una wanafunzi wengi sana online
Amina
I'm learning alot through this channel. We bless the name of the Lord.
GOD BLESS YOUR
Pastor naelewa mno!!unakarama ya ualimu endelea kutumika na Ubarikiwe mno!!
Mungu nikumbuke nami
nikumbuke kwa maombi pia uchumi wangu watawachia in jesus name
Pastor Leo natoa Kwa sadak kwajina layesuu naamin nitafanikiwaa amen
Yaani baba, sijawahi kuchoka kusikiliza masomo yako🙌
Asante kwa powerful message🙌
Mwenyewezi Mungu azidi kukutunza🙏
Amina BWANA YESU nirehem na kunisaidia
Namtukuza mungu kwa ajili yako mtumishi hakika nimepata kujifunza kitu.
Kukupenda Dad Sanbella kyando.tu ndo najuwa...toka nmekujua sijawai choka kukufatilia on line....Niko nakusubir ukienda Dom..tu.nakujaa..wallah!barikiwa Sana pastor Sanbella kyando 🙏🙏
Asante sana unafundisha vizuri sana imekuwa destuli silali bila kukusikiliza najifunza
YESU ni BWANA!!!!!
Asante Bwana Yesu kwa jinsi unavyomtumia mtumishi wako kutufundisha.
Najiungamanisha na madhabah hii
Barkiwa saana
Muendelezo wa hili somo 🙏🏽 Mungu akubariki pastor Sunbella
May God continue blessing you Mtumishi wa Mungu,
Huna Mungu huna shetani haki nmecheka 🤣🤣 Tunashukuru sana kwa Somo tukutane kesho kanisani
Ni usiku Niko chumbani usingizi imekosa watoto wangu wanajirusha rusha ,siku nyingine nakuta wa kiume amegeuzwa,Asante Sana nimejifunza kitu, muombee na familia yangu,najisikia kuokoka!
Amen 🙏
I bless the name of the Lord God Almighty. Thank you Lord for the my redeemer and Saviour Jesus Christ and your Holy Spirit one God forever and ever 🙏
Thanks for your servant. Bless and keep him safe in Jesus name 🙏
Amen 🙏
Nabarikiwa Sana mchungaji
Powerful preaching and teachings , am learning something
Ninaamin utumishi ulionao,Ni really!!!
Muendelezo wa somo pastor
Amen from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
waaaa waaa ufunuo wa ajabu ...
napenda sana....
Jesus is lord amen
Thank you so much dady🙏🏻Mungu akutunze
Mtumishi mimi nakukuelewa amen
Very insightful
God Bless you
Amen Amen 🙏
Shaloom pastor! Mungu aendelee kukutumia...
Songa mbeleeeee dadyy
Mtumishi Mimi napatikana morogoro nidreva wa mabasi makubwa nakuelewagasanaaaaaa haisee nafunguka kupitiawewe
Always a blessing to be here
Thanks alot Man of God ,it have much blessed teaching
Asante Yesu kwa somo hili. Nijalie kujifunza na uelewa zaidi.
Amen 🙏
Amen🙏🙏🙏👏👏🇰🇪
The bible says my people are perished for the lack of knowledge.
Nimebarikiwa na hili somo nakufatilia muendelezo wake mtumishi.
Nakupenda Sana mtumishi wa mungu
Asante sana kwa hili Somo lenye ufunguo mkubwa
Haleluya Amina
mtumishi na mimi nataka kuachana na waganga ila naogopa madhara yake ya kushughulikiwa au kuandamwa maisha yangu....nashukuru wa neno hili...
Usiogope Mungu ni kila kitu kwenye maisha yetu
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI
Amen my mentor
Asante kwa kuachilia maarifa
Always blessed when hearing your teachings ,be blessed 🙏🙏🙏
Amen Ndugu yangu.
Ameni, nabarikiwa sana sana nikiwa Kenya🇰🇪
Gilbert you will be blesssed
Amen
Unatumaje sadaka yako kutoka kenya to Tanzania maelezo tafadhali
@@christinesavai884 tumia hiyo namba kuwa Chek whatsapp utapewa maelekezo mpedwa
@@christinesavai884 kutumia hizo namba zao hapo juu kwenye iyo video utapewa njia zote
Powerful
Ameeeeeeeeeen
Powerful word
Amen amen
🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️
AMEN
Plz mwendelezo hamjaweka wa hili somo
Ameni babaa
Pastrer jamani Mimi namfuatilia mafundisho jamani ni siku TU ya tati ila du mafungiliwa sanaa
Amen nakufuatilia Baba
Dear Man of God,
Mm kama wengine ni mfuatiliaji, na mafundisho haya yananisaidia sana, natamani siku moja nipate nafasi ya kuabudu nanyi. UA-cam humu tupo pamoja. Wekeni humu kwa ajili yetu tuliombali.
Mungu awabariki na kuwatunza
Amina.
Rgrds
Isaac Mathayo
Mungu anikomboe kupitia Nadhabahu hii.
Nilipata usingizi alasiri ya leo jumapili sebuleni,niliota kuwa kuna mtu anakata ndizi kwenye shamba langu hapa nyumbani,mara nikaota nikitoka chubani ili nimchungulie kwa sieiahani.Nilikutana nae,mwanamke amekaa kwenye kigoda uchi mtupu,ana chata ya tatuu ya nyota ubavuni mwake, anachobga kiazi alichonionesha amekichimbua shambani mwangu.
Niliona yuko pia na kijana.Nilijitahidi kumtoroka ili nikawaite majirani ila nilipotoka nje kuelekea nje ya boma langu yule kijana alinishtukia ninachotaka kukifanya akaanza kunidhibiti.Alikuwa na nguvu za ajabu kwani nilichukua ubao nikaanza kumpiga nao kwa nguvu kubwa kichwani hadi nikamjeruhi ila aliendelea kunibana hasa vidole vya mkono mmoja akaving"ata kama vile anavinyonya damu hadi nikaishiwa nguvu.
Nilishtuka usingizini nikaanza kutafakari hadi sasa namwomba Mungu anilinde na kunipatia ushindi dhidi ya nguvu hizo.
Nimekuwa natafakari hadi sasa sijaweza kuhisi atakuwa ni nani.Jirani au ni kutoka wapi.
Naombeni maombi yenu watumishi wa Mungu na mlioko kwenye hii huduma.
JESUS REIGNS, ASANTE YESU
👏
Mweshimiwa Mchungaji MUNGU Akurefushie siku za kuishi ukiendelea na kazi yake ipasavyo. Hakika nimepata musada kupitia somo hili. Lakini baba tafadhali nipe fursa tuzungumze baba tafadhali. Nilisha tuma ujumbe kwa ile namba lakini naona bado tafadhali nipokee.
Ameeeen
Nimebarikiwa sana Mtumishi Amina sana
Naomba huduma
Nimejifunza kitu hapa Mungu akutunze mtumishi
Mamangu siku sote huniambia mweshimu tena mwogope mchawi nimeamini maana nawajua watesi wangu hao wachawi ni watu wangu wa karibu sana ombi langu nikujazwa na roho mtakatifu ili niweze kuyashinda haya majaribu
Natafakari kitu
Kwanini Mungu hakumponya Mussa kigugumizi hadi amtuma Aruni aende nae?
Natamani kujua mahali kanisa. Hili lipo
Pastor umeogelelea kuusu kufukuzwa na kitu dotoni alafu mwisho unapaa juu....halo sijaelewa hiyo do to pls
Mchungaji ameshiba hasa
Samahan mwendelezo wa hili somo uko wap..
Somo litaendelea sehemu ya pili, likiwa tayari tutaliweka UA-cam.Karibu sana.
ECCLESIASTES 10:19....but money answerth all things
All traps failed to catch Jesus Christ but when Chief of Priests gave 30 silver coins (money) to Judas they succeed (Mathew 16:15)
Abraham the Father of Faith when he was in lack and want, this means he had no money for buying food (when there is famine we can buy from far countries) his wife Sarah was taken because she told kings Abraham is her brother in order to get favour Genesis: 12:16, 20:2, 26:6-11.
A rich man got miracle because he gave to people and built a synagogue Luke 7:5.
Next an altar of blessings built by Abraham Genesis 12, Galatians 3:13......In the mighty Name of Jesus Christ....
Urongo mtupu huo Biashara hiyo mchangieni azidi kutajirika.
Ali Salim wewe nimchoyo Kama mwanasiasa waccm!!!!!
Kweli hujielewi wewe 🤣
Utakuwa mchawi mkubwa wewe
Ni semina au mahubiri??mbona mtumishi hatumii Biblia anatumia Tablet jamani??
Elewa technolojia hiyo Bibla imewekwa humo kwenye tablet ndio Ile hajakosea
@@dastanmboera8445 hee kweli wewe umetekwa na shetani,aliyekwambia Biblia Takatifu imekosewa ni nani?naona unamsindikiza Ant Christo wewe,pole saana,na Mzungu hatumii tablet madhabahuni sembuse black huyo
@@trophywilson7211
Kwani mzungu yeye si mtu???? Unaongea nn sasa ww
Napend San mafndisho yako mtumishi wa MUNGU
Mchawi mwingine huyu,sisi tunaamini hiyo biblia ipo kwenye tablet Sasa hivi Dunia ipo kiganjani tembelea na biblia Yako kama huna Imani huna tu
Amina
Amen
Amen
Amina
Amen