NAMNA NGUVU ZA GIZA ZINAVYOFANYA KAZI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Nguvu za giza hufanya kazi kwa namna nyingi.Sio zote hukaa ndani ya mtu,zingine hufanya kazi zikiwa nje ya mwili.Na watu wa aina hii mara nyingi hata wakienda kuombewa huwa hawakutwi na pepo hata moja ila wakiangalia maisha yao wanaona kabisa kuwa kuna sehemu nguvu za giza zimeshikilia.
    Unataka kujua ni jinsi gani unatoka kwenye tatizo hilo?Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our UA-cam: www.youtube.co....

КОМЕНТАРІ • 38

  • @user-sb4ok6db8c
    @user-sb4ok6db8c 4 місяці тому

    Allelujah nimepata ufunuo sana kupitia mafundisho yako,,my brother alikaliwa na udaifu miaka nane ivo hadi akafa,i wish ningekua nimepata mafundisho yako,angekufa ningemuombea hadi nitoe coz now nimekua so powerful kupitia all your teachings nilipoanza kufuatilia nikaanza kufunuliwa mengi

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Рік тому +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @starluzenja9861
    @starluzenja9861 2 роки тому +1

    I love this channel....

  • @annandossi1022
    @annandossi1022 3 роки тому +4

    Mungu umlinde mtumishi wako Sunbella siku zote! Mjalie maisha marefu azidi kutufungua.

  • @annahkiswili5325
    @annahkiswili5325 2 роки тому +1

    Niko Kenya PST mafuzo Yako yananiinua kiroho niombee sana mimi ni ANNAH Mwisiwa.

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 3 роки тому +1

    Ameen

  • @justusmusango9977
    @justusmusango9977 7 місяців тому

    Praise the Lord
    Mungu akubariki kwa mafundisho.Hakika rohi wa bwana anaudumia wengi

  • @maryjohn-pu9ci
    @maryjohn-pu9ci 3 роки тому +1

    Mbona mwishoni unapunguza sauti sana

  • @blessedaggie9159
    @blessedaggie9159 3 роки тому +1

    Amina.Mungu akubariki Mtumishi Sunbella

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 3 роки тому

    Nikweli mutumishi wa Mungu mimi Nina jitoa kumutumikia Muumba wangu kwa iwezo wa Roho Mutagatifu

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi 11 місяців тому

    Be blessed baba 🙏🙏🔥

  • @babumollel370
    @babumollel370 2 роки тому

    Amen

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna5233 2 роки тому

    Powerful word,God bless you mtumishi wa bwana

  • @jamesmhagale8794
    @jamesmhagale8794 3 роки тому +1

    Blessed is the name of the Lord Jesus

  • @stellanamunaba813
    @stellanamunaba813 2 роки тому

    Shalom Man of God.Thankyou so much for allowing God to use you to bless me with this deep knowledge of the word.This is what the church needs to understand.

  • @robertmakau1555
    @robertmakau1555 2 роки тому

    May God bless you most for your a good message to us growing youth

  • @robertpropheticchild2941
    @robertpropheticchild2941 3 роки тому

    Powerful message thanks Papa

  • @philipojangama
    @philipojangama 3 роки тому

    Ameen,Nimeelewa Pastor.

  • @marsianamsunza8172
    @marsianamsunza8172 3 роки тому

    Amen, Asante ubarikiwe

  • @jesusreignsrestorationministry
    @jesusreignsrestorationministry 3 роки тому

    Bwana Yesu Akubariki sana, Mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @elishasoka6692
    @elishasoka6692 2 роки тому

    emen

  • @dollamtui5849
    @dollamtui5849 3 роки тому +1

    Roho mtakatifu kanifungue mimi na familia yangu

    • @maggymutevu3305
      @maggymutevu3305 3 роки тому

      Roho mtakatifu nifungu mimi nafamilia yangu amen

  • @graceoisso3238
    @graceoisso3238 3 роки тому +1

    Tufungue ufahamu baba

  • @emilychisina1995
    @emilychisina1995 3 роки тому

    Roho mtakatifu anisaidie

  • @hassanbukambu8279
    @hassanbukambu8279 3 роки тому +4

    MI nashukuru MUNGU pepo la uzinzi limeiisha baada ya kukutana na pastor mmoja akaniombea hadi Sasahivi naona miujiza maana nilikuwa najiuliza inakuaje niko kanisani nasali halafu ikitokea ile akili ya kuchepuka inanijia nashindwa kuishinda nalia nasema MUNGU unioni nafanya nisichokitaka lazima nashukuru MUNGU Ile Hali imeisha hadi najiuliza ilikuwaje kuwaje hadi nafanya vile lakini Sasahivi nimeshinda nashukuru MUNGU

    • @Janekiboma
      @Janekiboma 3 роки тому

      Hongera na Mungu azidi kukulinda kwenye agano lako jipya

    • @ltoirenlekupanai1178
      @ltoirenlekupanai1178 3 роки тому +1

      Mungu abariki pasta na ampee nguvu

    • @dianaisack9202
      @dianaisack9202 3 роки тому

      Mtumishi una patikana wapi?? Mawasiliano napataje??

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому +2

      @@dianaisack9202 Kanisa lipo Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Karibu sana.

    • @dianaisack9202
      @dianaisack9202 3 роки тому

      Siku unazopatikan mtumishi ni zip,mbali na jpili??

  • @rwesimbibicharles8994
    @rwesimbibicharles8994 2 роки тому

    Amen

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence9983 2 роки тому

    Amen

  • @georgebugangazpoa4975
    @georgebugangazpoa4975 3 роки тому

    Amen

  • @winnieanan2773
    @winnieanan2773 3 роки тому

    Amen