VITA KWA WALIOBEBA MAONO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2021
- Watu wengi wenye vita kubwa ni watu waliopakwa mafuta.
Watu wengi wenye neno la Mungu, wenye maono ndiyo wengi wanao ongoza kuanza vitu na kuacha kwasababu vita inakua kali sana.
Adui huwa anatumia nguvu kubwa sana kuwakandamiza watu ambao wametengwa na Mungu.
Kuna aina ya upako ambao huwa unarudisha miaka iliyoliwa na nzige, upako ambao haijarishi nguvu za giza zimeharibu kwa kiwango gani! Kuna majira nguvu ya Mungu ikishuka juu ya huyo mtu, huyo mtu anageuzwa upya anakuwa na uwezo wa kufanya lolote.
Ulivyosubiri sana imetosha sasa, kuna vitu inabidi uvipate wakati huu. Wakati UKIOKUBALIKA ni SASA.#PastorSunbella#Vita#Maono
Amina Mungu akubariki mimi sio wa Tanzania to nitaenda nje kwa jina la Yesu
This man of God is anointed 🙌🙌hallelujah
Haleluya baba Mungu akunze sana sjawai skiliza nikabaki kamanilivyo Mungu ana kutumia kuponya roho yangu sana
Nagiunganisha na madhabahu ya upako wa Mungu ❤🇷🇼🙏🙌
Lazima nikanyage madhabahu hii yenye upako Mungu wangu nisaidie
Neno hili ni kweli Nina farijika kweli kweli. Ni mchungaji Gad kazembe kutoka Drc
Hakika Pastor Sunbella ninakufurahia sana. Mungu ajua moyo wangu unavyokufurahia. Wewe ni baraka sana maisha mwangu. Mungu akubariki sana baba
😅 14:57 😮😮😮😅😊😅😮
Asante Mungu kwa ajili ya huyu baba
Asante Mungu kwaajili ya huyu baba uendelee kumlinda na kumtunza ili mapenzi yako kwangu yatimizwe .
Ameen
I lost track on how many times nimeangalia haya mahubiri, na kila mara ni mapya masikioni mwangu... Mungu azidi kukutunza Pastor Sunbella, You are such a blessing to us
Am blessed with this anointing Hallelujah
Pastor sunbella 🙏🙏🙏your are a blessing to me,ipo siku 😭😭😭nitashuhudia ukuu wa Mungu kupitia haya mafundisho yako 🙏🙏
REMIND ME OF THIS SERIES
Ameen mtumishi unajua kutufunza
Amen I receive the anointing in Jesus mighty name from Kenya ...God bless you man of God Sunbella....I raise my hand ✋ up to receive that annointing.....
Amen amen it is my time
Mungu anakitumia sana kuuganga moyo wangu
Mungu azidi kukupa maisha marefu yenye afya tele, umekuwa baraka sana kwangu
Amen! I receive God's anointing for revival, renewal, breakthrough IJN 🙏
Amen adui naachie kiti changu kwa jina la Yesu
Mungu akubariki saana sana mtumishi wake Sunbella Kyando uzidi kuifanya kaz yake
Asantee baba
Amina nimekuelewa Mtumishi
I receive in Jesus name
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Hakika nimebarikiwa sana na hili neno na limenitia nguvu ya kusonga mbele.
Napokea mafuta ya roho mtakatifu juu yangu ktk jina la Yesu kristo aliye hai
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu napenda sana mafundisho yako mungu kakupa kipawa chatofauti unafundisha naunaeleweka fana
Asante sana Bwana abarikiwe nguvu ya roho mtakatifu yupo hapa
Wakati nasikiliza hili soma kichwa kiliniuma Sana... Barikiwa pia naomba nafasi ya kukuona nipo na changamoto Mtumishi...
Such a great surmon🙏
Am blessed
Amen mtumishi barikiwa sana
Amen Amen Amen Kwa Jina la YESU Kristo wa Nazareth ALIYE Hai Amina
yes lord this is what you have declared thankiu so much paster
I connect in Jesus name.
Amina
Amen Mungu naomba uwe upande wangu wamenigandhamiza vya kutosha bwana yesu kupitia somo hili Mungu ikawe ni siku yangu nikakalie kiti changa
Amen mtumishi wa mungu
Amen this word has touched me this is what exactly is happening to me i can't wait for my anointing may God see me through
Mungu mbona wewe huwa unashangaza iv,lv u God
Amen nipakwe kwa mafuta kwa jina la Yesu
ubarikiwe sana pasta kwa ujumbe wenye nguvu sana ..nilibarikiwa sana na ujumbe faida za kukaa kimya
Baba uishi milele
Amlna
Amina amina
Mtumishi Pastor Sunbella naomba msaada wako wa Maombezi n muda mrefu Sasa... Naomba msaada wa Maombezi
Tuma ujumbe kwa namba hii 0658173322
Amen
Mungu akubariki mtumishi wa MUNGU mafundisho Mungu anayokupa hakika yamenisaidia
Ashukuriwe MUNGU kwa Neno lako mtumishi,Napona ROHONI na mwilini
Barikiwa Pastor Mungu akutunze kwaajili ya kuvusha maelfu ya watu.
Amen..thank you Jesus for this is the right time for me to get this word
🙏🙏🙏🙏 hallelujah
Mbona nayaona maisha yangu kabisaaaa
I need that anointing in my life,🙏🙏
AMEN UMEONGEA NA MIMI KABISAA NASHUKURU MUNGU KWAKUWA NIMEWEZA KUSIKILIZA HILI NENO KUTOKA KWAKO MTUMISHI WA MUNGU
Hallelujah 🙏🙏🙏 barikiwa sana mutumishe wa mungu
Thanks again my pastor my God bless you 🙏
Nakupenda Sana Pastor sunbella Mungu akubaliki sana 🕊️🕊️🕊️
Shalom Mtumishi, Amen Man of God , hili neno ni la kwangu kabisa napokea haya Mafuta katika hii mathabahu kwa Jina kuu la Yesu.
Mungu anajibu kwa wakati wake
😭😭😭😭💔💔💔Adui wewe imetosha kwa mateso ipo siku Mungu atayafuta haya machozi 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙏🙏
This was Me Lord 🙏🙏🙏
Nabarikiwa San na mafundisho yako yananikuza iman yangu baba mungu asikupungukie
Amina Mungu akaniponye kwa Imani nitashinda
❤
Mchungaji mafundisho yako yanibariki sana.....ila Niko na tatizo Moja linansumbua sana ni hofu na woga
Asante Yesu🙏🙏🙏
ameeeen mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI UBARIKIWE
Nabarikiwa mnoo na mahubiri ( mafundish ) mar nyng yana ukwl mtupu ktk maish ye2 ila hatuach kumtegemea na kumuamn Mungu
Yan pastor unaongea mambo ambayo ndo yananitokea kwenye maisha yangu...yan kuna muda naumia sana katika mapito nayopitia..kiukweli MUNGU anipumzishe...kuna muda moyo wangu unachoka sana kwa kuumia...naumia sana mpaka kuna muda na mwambia MUNGU naomba unipumzishe..kama kweli wewe ni Baba wa yatima..basi nionekanie yatima wako nimechoka sana..Naomba msaada pia uniombee mtumishi.
Kilichopangwa na mungu nwanadamu hawezi kukizuia🙌🏻
Be blessed Pastor.
Mtumishi wa Mungu anaongelea maisha yangu
Amina mtumishi mungu akubariki Sana sijuwi nsemenini nimebarikiwe Sana mimi ninyehu naomba elisha ajenamafuta jamani nimechoka maigodo
HILI NI NENO LANGU MIMI BWANA WETU YESU ANAENDA KUNIPONYA NA KUNIFUNGUA NA UZAO WANGU
Mungu akuinue kwa viwango vingine mtumishi wa Mungu
Nimeelewa sana pastor
asante naitaji kutoka nilipowekwa kwa damu ya yesu
Barikiwa xana
Man of God this is what I am going through now ..for a long time...what do you think I can do about this,.. advice.
May the almighty God bless you pastor for this message
I received that oil in Jesus name
Ameni I receive it is me man of God
Amen Baba ubarikiwe
Be blessed pastor
Mtumishi ubarikiwe na mafundisho natamani kukutana na wewe by solomoni from mwanza
🙌🏼🙌🏼 Anoint me afresh Lord🙏🏼
Amen, pastor ooh I take my massage
Ameen Thank you for your help .me men
Amina sana nakwekewasana pasta
Nimebarikiwa sana mtumishi.Listening from Mbezi beach Dar
Ameen 🙏
Amen amen pastor..am receiving the annointing in Jesus name
Dah
I received
🙏🙏🙏
🙌🏾
Blessed Pastor. u touch me
Ubarikiwe saaana baba
Amen thank you
Ameeeeeeeeen
Amen amen 🙏🙌🙏🙌🙏
IMETOSHA YESU