#MEDANIZASIASA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

КОМЕНТАРІ • 175

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop5325 2 місяці тому +89

    GONGA LIKE KAMA UNAMKUBALI TUNDULISU

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 2 місяці тому +39

    Tundu Lissu for President 2025

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 2 місяці тому +30

    Rais halali wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas Mugwahi Lissu ✌️✌️✌️🇹🇿🇹🇿🇹🇿💖💖💖🙏🙏🙏

    • @protassilayo4200
      @protassilayo4200 2 місяці тому +1

      Mioyo ya watanzania wapi....mhhh sisi tutoe

  • @EmmanuelMassawe-c5g
    @EmmanuelMassawe-c5g 2 місяці тому +10

    ❤😂 nafurahi mpka nalia uyu jamaa nimtu nusu

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 2 місяці тому +11

    ukiwa unamuhoji Lisu unatakiwa ujipange sana

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 2 місяці тому +6

    Lisu nakuombea mema na Mungu akulinde na akushike mkono katika kutimiza ndoto zako

  • @AlexKAudax
    @AlexKAudax 2 місяці тому +11

    😮 chief Odemba congratulations 🎊 👏 💐. Tundu Lissu the genius 👏

  • @in-africastay9520
    @in-africastay9520 2 місяці тому +20

    Naonaga Odemba yupo vizuri sana ila TAL is the best

  • @OG_20
    @OG_20 2 місяці тому +6

    Ndugu mwanahabari jifunze kutulia na kusikiliza kwa makini acha kuuliza maswali ambayo unajua hata kisheria mtu hawezi kukujibu kwenye media...focus kijana

  • @gredatv554
    @gredatv554 2 місяці тому +19

    MOJA KATI YA MWANASIASA ALIYENICOMVISI KUISHABIKIA CHADEMA TUNDULISSU NAKUKUBALI SANA

  • @MkongweGabagendi
    @MkongweGabagendi 15 днів тому

    Hongera sana lisu kwa kujibu maswali vzr safi

  • @benethkatembwe1721
    @benethkatembwe1721 2 місяці тому +17

    Mwamba kwelikweli Mr TAL

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 2 місяці тому +4

    Mimi huwa nasema mh. Lisu huwa anahoja nzito na zenye mashiko, huyu anafaa kuwa kiongozi wa hii nchi.

  • @boneyez3884
    @boneyez3884 2 місяці тому +8

    Mr lissu ❤

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 2 місяці тому +9

    Hapana odemba mjanaja sana akijifanya kua msikilizaji jamaa wataonekana wanakandamwizwa upande wa pili na kipindi watakifanya KAMA kipo upande wa upinzan so ni nzuri anavyo fanya kikubwa anaeleweka sana😅😅😅

  • @tripletalcantara6531
    @tripletalcantara6531 2 місяці тому +5

    Chief Odemba, Ubarikiwe sana

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 2 місяці тому +15

    Lissu mwamba sana iseeh

  • @VascoMlimakifi
    @VascoMlimakifi 2 місяці тому +16

    Mh. Lisu ana mchango mkubwa sana katika Taifa letu ccm wakubali wakatae. Mabadiliko haya tuliyo nayo yanachangiwa na upinzani asilimia kubwa. Mungu akulinde na akufikishe mahali pa juu zaidi.

  • @RashidyRoggo
    @RashidyRoggo 2 місяці тому +5

    LISSU 4REVER

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 2 місяці тому +3

    huyu tundu lisu tumlinde sana watanzania, ni mtanzania mwenzetu pekee anaye elimisha mambo ya mazuri bila uoga, ameonyesha uthubuu, alinusurika kuuawa na magufuli amepona bado ameendlea kuamsha akili zilizo lala z watanzania wengi, tuamke nchi hii ni yetu sote, tuunge mkono mambo mazuri kama haya ya akina lisu na chadema kwa ujumla

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 2 місяці тому +16

    Lissu kiboko aiseee

  • @حكايةغد
    @حكايةغد 2 місяці тому +17

    Ndugu Odemba ujifunze kuwa msikilizaji mzuri kabla ya kuwa muulizaji maswali mzuri

    • @isacktesha6659
      @isacktesha6659 2 місяці тому +2

      Umeona kama mimi

    • @kenanem7513
      @kenanem7513 2 місяці тому +1

      Jamaa ni kama anataka kushindana, anakua kama anauliza maswali ambayo ana majibu

    • @FoudLysu
      @FoudLysu 2 місяці тому

      Ni beseni sana huyu jamaa,utazani huwa anatumwa

  • @AminaSadikiJuma
    @AminaSadikiJuma 2 місяці тому +25

    Pole sana kiongozi wangu tundu lisu

  • @richarddabryin9126
    @richarddabryin9126 2 місяці тому +12

    Penda sana raisi wa moyo wangu lisu

  • @JacksonNgimba
    @JacksonNgimba 2 місяці тому +7

    Lissu ni kichwa na urithi wa Taifa ❤❤❤

  • @Saeed-xu9sb
    @Saeed-xu9sb 2 місяці тому +5

    Mtangazaji kajifunze kwa wale wa hard talk kutoka bbc. Usichukuwe upande, huku unauliza Maswali magumu. Mbona maswali yako rahisi kabisa. Unamtengezea Njia ya kujibu. #Tubadilike

  • @yudathadey2875
    @yudathadey2875 2 місяці тому +6

    ODEMBA UWE UNAWAACHA WAGENI WAONGEE NA KUJIBU UNACHOWAULIZA USIWAWEKEE MANENO MDOMONI

  • @makanjicharles9860
    @makanjicharles9860 2 місяці тому +2

    TUNDU LISSU THE IDOL✊

  • @harunakanyugu9525
    @harunakanyugu9525 2 місяці тому +8

    Huyu odemba anamaswali ya kimtego mtego san usipokua smart kichwan unaweza kujikuta unavulunda vulunda

  • @AKWILINEKAWISHE
    @AKWILINEKAWISHE 2 місяці тому +5

    MWANDISHI UNATUCHOSHA.
    MWACHE TUNDU AMALIZE KUONGEA NDIPO UULIZE NEXT QUESTION

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 2 місяці тому

    Very technique question?and suparb answers good

  • @charlesjishuli4355
    @charlesjishuli4355 2 місяці тому

    Tazama pia waandishi wenzako kama skins Richard Quest, unifunze namna nzuri yakuuliza maswali

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 2 місяці тому

    Kichwa Cha Sheria hichi namwelewa sana uyu baba ,upcoming president

  • @DicksonNdalutv
    @DicksonNdalutv Місяць тому

    🎉🎉🎉

  • @wilfredalex7287
    @wilfredalex7287 2 місяці тому +1

    Odemba ametumia style ya kumpanikisha Tundu Lissu likin jamaa Bado yupo kwenye reli. Hajichanganyi Wala nn. Nikipata mwanangu namwita Tundulissu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 2 місяці тому +2

    ODEMBA umepuyanga sn hii interview mno a good leader must be a good listener why?? Bro mtaongea kwa kila mtu hutaki kutoa nafasi kwa mzungumzaji.

  • @nyimbozawatoto
    @nyimbozawatoto 2 місяці тому

    Mtangazaji kaa kimya usikilize, VInginevyo Ji-interview mwenyewe. UNAONGEA SAAANA. UNAHARIBU NTERVIEW

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 місяці тому +5

    A speech to remember.✌️

  • @MauBonde
    @MauBonde 2 місяці тому

    Nimekupa big up Sana kugusia mabaya ya Nyerere japo mwandishi alikua hataki,

  • @Diplomat-x6q
    @Diplomat-x6q 2 місяці тому +1

    Bora uyu mwandishi anahoji bila kuogopa yule salim kikeke ni mwandishi mzuri ila ana woga kwenye interview zake hasa anapohoji upinzani

  • @piusmedard1477
    @piusmedard1477 2 місяці тому +1

    Nakubali jembe langu hapo hamna cha no comment

  • @Innocentjoseph1988
    @Innocentjoseph1988 2 місяці тому +6

    Noma sana

  • @mathewtesha3139
    @mathewtesha3139 2 місяці тому +3

    TLA ni kichwa kingine. Hii ni hazina na mgodi unaotembea

  • @maisha24TV
    @maisha24TV 2 місяці тому +4

    Edwin katafute hao watu unaoambiwa ukawaulize. Usilazimishe mtu mmoja akujibu kila kitu Chama siyo cha mtu mmoja. Weka balance kwenye mahojiano yako

  • @djhamidujr798
    @djhamidujr798 Місяць тому

    Mtangazaji mjuaji sana hampi mtu nafasi ya kuelezea jambo

  • @maisha24TV
    @maisha24TV 2 місяці тому +4

    Odemba ukiwa unahoji na mhojiwa akaanza kujibu mpe muda wa kuongea hadi amalize. Una tatizo la kuingilia maongezi kabla hajamaliza. Hilo ndo tatizo lako

  • @josephlazaro2582
    @josephlazaro2582 2 місяці тому +2

    Lissu yupo vizur anajibu maswali ipasavyo

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 26 днів тому

    Huyu kilemba cjui odembavni host wa wapi? Mbona anamuingilia tundulisu

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 місяці тому

    Tunakupenda mh lissu

  • @SimonMayunga-e3y
    @SimonMayunga-e3y Місяць тому

    Naomba namba ya kuchangia Kwa lissu

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 2 місяці тому +1

    Jamaa naongilia mazungumzo mpk anaboa na kuweka assumptions zake

  • @Karembeuchristian
    @Karembeuchristian 2 місяці тому

    Huyu jamaa odemba hamna kitu,nikama kaja na tayari kusikia majibu anayotaka yeye,mpe mtu nafasi ajielezee we umeuliza swali na bado unachomekea majibu ndani,linakera sana

  • @حكايةغد
    @حكايةغد 2 місяці тому +8

    Mtangazaji hujui skills za mawasiliano?
    umesomea wapi uandishi?

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 місяці тому +1

    Mama samia hayupo wa kukupa kura hata tone tanganyika, yaani jiuzulu mwenyewe. Aibu tupu

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 2 місяці тому +2

    Lissu amenyooka Sana, huyu anaaminika upande wa upinzani

  • @subsasherkafulama722
    @subsasherkafulama722 Місяць тому

    Afu uyo mtangazaji ana ongeaje ivyo , embu ongeq vzr bhn

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 2 місяці тому +3

    Dunia Nzima ukibishana na serikari lazima uumie tumeona urusi na nchi zingine hujui tu

  • @JairosRashid
    @JairosRashid 2 місяці тому

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 місяці тому +4

    Tuletee abduli kwenye mahojiano.

  • @mcnyawanda7971
    @mcnyawanda7971 2 місяці тому

    kiukweli Lissu ni bidhaa fulani hivi yapaswa kulindwa na kuangaliwa sana kwa ajili ya manufaa ya taifa hili.

  • @InnertraderGreyson
    @InnertraderGreyson 2 місяці тому

    This man Tundu lissu is Gineus

  • @geraldndibinze6837
    @geraldndibinze6837 Місяць тому

    Big brained lisu👊

  • @josephmlazier1391
    @josephmlazier1391 2 місяці тому +1

    Kwa haya mahojiano mwandishi umenikera kwa kutompa m2 nafasi ya kumaliza kuongea

  • @FaithSimkoko
    @FaithSimkoko 2 місяці тому +1

    Kwan abduli ananafasi gan serikalin??au ndy mtoto wa raisi sasa anatuwakilisha kimataifa....daaah....alafu kunamichawa ipo kumpgia debe mama anaupga mwingi huku akiwaleta watoto wake watuwakilishe au sio😅😅😅😅😂mbn tutashtuka pashakucha???

  • @elizabethbenedict3049
    @elizabethbenedict3049 2 місяці тому +1

    Natamani huyu Odemba aache kumkatiza anavyoongea. Lissu anatiririka vizuri yeye anamkatiza na kuharibu utamu wa interview

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 2 місяці тому

    Nakuunga mkono tundulisu usiache kugombea uraisi mama anakuogopa Kwa ilo mheshimiwa

  • @daisythetech
    @daisythetech 2 місяці тому

    Odemba uko vizur ila uwe unampa mtu nafasi ya kuzungumza mpaka amalise pale anakupatia majibu unayokuwa unamuuliza

  • @yamesulle2057
    @yamesulle2057 2 місяці тому

    Pamoja sana❤

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 місяці тому +3

    Hongera sana mheshimiwa lissu kiongozi wetu tunayemuamini

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 2 місяці тому

    Mwamba Tundu Lissu nataman uwe rais na makamo awe Boniface Mwabukuzi hiyo combination ni hatar

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 2 місяці тому

    ❤❤❤

  • @MgishaMt
    @MgishaMt 2 місяці тому

    Ninakupenda sana tudu

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 2 місяці тому

    Mwandishi Odemba bado sana, ni mwandishi maandazi kabisa. Ajitahidi kufanya mentorship bado ni kichaa

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 26 днів тому

    Jeshi la polisi liko kama mali ya sisiemu .....it is the fact

  • @omaiyakitto
    @omaiyakitto 2 місяці тому

    Mtoto wa Rais ana Maguvu na Hayuko kwa Gavoo. Shtuka 2025 Hatutaki Tricks.

  • @PapaaEric
    @PapaaEric 2 місяці тому

    ❤❤❤✌️✌️ 4 life

  • @yudathadey2875
    @yudathadey2875 2 місяці тому +1

    ODEMBA UWE unaelewa MAPEMA

  • @AnitaKway
    @AnitaKway 16 днів тому

    Bila utafiti Huna haki ya kusema tupe data za watu waliowekwa kizuizini

  • @musamsangi1610
    @musamsangi1610 2 місяці тому +1

    Mimi swali langu anayetaka kujua hela za matumizi ya Chama labda awe meanachama ila Kila mtu kuuliza matumizi ya Chama inakuwa ngumu sana pia ifahamike CHADEMA ni Chama kikubwa kuhifadhi Kila kumbukimbu ya pesa ni ngumu sana labda kuwe na Malaika wanaohifadhi pesa vinginevyo hapa duniani makosa yatatokea .

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 місяці тому

      Msigwa alikosa hoja tu, vp huko CCm Je atataka kujua matumizi ya pesa za ccm

  • @nestoryfrancisco3528
    @nestoryfrancisco3528 2 місяці тому

    Ni moja kati ya mwanasiasa mweredi kuwah kutokea nchini

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 місяці тому

    StarTV mnafeli sana kwenye interview zenu mnapenda sana kukatisha katisha watu mnao wahoji jambo ambalo watazamaji linatukera ebu jaribuni kuiga interview za ITV kwenye kipindi cha KIPIMA JOTO au kipindi cha DAKIKA 45 wenzenu wana weledi wa kuuliza maswali na kuacha nafasi ya wageni wanao hojiwa

    • @dannysommy4118
      @dannysommy4118 2 місяці тому

      Sio kweli....actually hiki ndio kipindi bora zaid cha mahojiano ya siasa Tanzania kwa sasa.....na station hizi nyingine e.g itv ndio wanapaswa kujifunza maswali ya MSINGI na yenye TIJA kutoka kwa startv

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 місяці тому

      @@dannysommy4118 hujanielewa mimi na watazamaji wengine tunasema watangazaji wa StarTV wawapo kwenye kipindi cha interview na wageni huwa anaingilia ingilia sana mazungumzo ya wanao wahoji jambo ambalo linatukera baadhi ya sisi watazamaji kawaida ya mahojiano huwa inatakiwa mtangazaji aulize swali ajibiwe na sio kukatisha mtu kabla haja maliza swali liliko ulizwa haitakiwi mtangazaji awe muongeaji zaidi kuliko mgeni mpk kunatokea mabishano kati ya mtangazaji na mhojiwa... mimi binafsi huwa navutiwa na mijadala ya watangazaji wa ITV kama vile vipindi vya kipima joto na dakika 45 mtangazaji wa ITV akiuliza swali kwa mgeni huwa anaacha nafasi kubwa kwa mhojiwa kujieleza na akimaliza ndipo anauliza swali lingine mpa mtazamaji unafurahishwa na mijadala. siyo kama watangazaji wa StarTV kwenye vipindi vya the big ajenda au medani za siasa huwa wanabebanisha maswali kabla mgeni hajamaliza swali la kwanza anaulizwa swali lingine kifupi ni kwamba watangazaji wa star TV wanapenda nao wazungumze badala ya kuwaacha wageni wawe wazungumzaji

  • @mbishiwakitaa2590
    @mbishiwakitaa2590 2 місяці тому +1

    Mtangazaji nimekunyooshea mikono juu, unajua kuuliza na umeitendea haki interview hii 😮

  • @amedeusleonce-hg7qf
    @amedeusleonce-hg7qf 2 місяці тому

    Mwambye mama yako anipe ela yangu 😅😅😅😅😅😅😅

  • @thabit5775
    @thabit5775 2 місяці тому +5

    Sana kaka tu.ndu

  • @mwili_wa_ndoto_yangu
    @mwili_wa_ndoto_yangu 2 місяці тому

    TAL for President 2025

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 2 місяці тому +1

    Mtangazaji siku hizi ameshapotoka. Anaingilia mazungumzo.

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 2 місяці тому

    ODEMBAA BEBA HIZO POSTIVE .... ASWENSWRS ,COMMENT ZA KUJARIBU KUSIKILIZA KWANZA MTOA HOJA HADI AMALIZE KUONGEA NDIPO UJE NA SWALI LINGINE HAPO MJADALA UTAENDA VYEMA ZAID ,

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 2 місяці тому +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿

  • @AnitaKway
    @AnitaKway 16 днів тому

    Wengi wangapi.Na ni akina nani?

  • @samsonshayo9789
    @samsonshayo9789 2 місяці тому

    Odemba Muoga sana wewe, Relax ukiwa unaongea na Muheshimiwa. Unamkatisha alafu unauliza maswali yenye matege. Relax Kaka.

  • @jubilatembise8431
    @jubilatembise8431 2 місяці тому

    Sema hii nchi inachezewa jamani uwiiiii!!

  • @benny4345
    @benny4345 2 місяці тому

    Odemba jifunze kuwa na utulivu! Just let a person make his/her point. Hii kuingilia ingilia watu wakati wanaongea is crap! Hata ladha ya kusikiliza mjadala inapotea!

  • @babalad983
    @babalad983 2 місяці тому

    Mwandishi muscle mgeni aonge

  • @andrewmbwiga1389
    @andrewmbwiga1389 2 місяці тому

    Kinachonishangaza ni kuw lisu ana imani ccm itakuja iondoke madarakani😢

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 місяці тому

    Utapataje maendeleo bla kuanamfumo mzur ? hivo, hata nchikuendelea na watuwake pia haiwezekan bla katba mpya

  • @henrykimaro6842
    @henrykimaro6842 2 місяці тому +1

    Nimeondoka na neno Madalali

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 місяці тому

    Hivi yule aliyeanza kumkaribisha Lisu ccm anasemaje?!!

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 2 місяці тому +2

    Nenda kagombee marekani huku unapoteza Muda wako

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 місяці тому

      We unapoteza Nini ndugu kuandika hii sms. Au unapoteza mapumbu yako!

    • @fmbilinyi5137
      @fmbilinyi5137 2 місяці тому

      😂😂😂😂​@@yosephatMasanyiwa-oh1rl

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 2 місяці тому

    Rais ni wa vyama vyote, sawa kabisa ina Tija.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 2 місяці тому

    Kama watanzania tunaitaji katba mpya sio hiii ya ccm