Mungu ni Mungu Dada nakupongeza msamaha ndio umekufungulia njia zote hadi uponyaji Madaktari Mungu awabariki kwa ubigwa wabkazi yenu nimefurahi hadi siwezi kusimulia zaidi ya furaha yangu
Mimi kila nnapokutana na hii story tangu Mwanzo sikutaka kusikiliza Wala kufuatilia niliumia Sana na kuondoa Imani kwa ma house help kweli sikujua huyu mtoto angepona lakini MUNGU ni mkuu hakuna kama yeye
Oooooohhh Mungu wewe ni wa ajabu na uwezo wako hauelezeki. Tunawashukuru sana sana matabibu wetu wote na serikali yetu pendwa. Poleni familia sana sana. Mungu awatie nguvu. nimejikuta machozi yamenitoka kwa furaha nilikuwa natamani kujua maendeleo ya huyu mtoto. Im so happy naamini hata wengine wamefurahi sana kwa ajili ya mtoto huyu. Ahsante Mungu.
Kwakweli Mungu ambariki Mama Samia,Awabariki Madokta woote kwa Matibabu ya Mtoto huyo binafsi sina neno linaloweza kurusha kulisema zaidi ya Asante Mama Samia,Asante Madaktari kwa kazi nzuri
Mama Samia Mungu akulinde akupe nguvu kwa kujali wananchi wako wa hali na mali na matatizo yanayowatokea ndani ya familia nk utashinda Mama Samia kwa kishindo
Mungu ni mwema, asanteni sanaa team ya madaktari. Mama yetu Mh mama kipenzi, nakupenda hadi kesho, nakuombea mama, Mwenyezi Mungu aktunze na jamaa yako yote ikawe heri. Nakuombea kila siku mama yetu. Mengi umeyafanya your Legacy will live forever mama❤
Nimelia kwa furaha hongereni sana timu ya upasuaji kwa kazi nzuri Allah awalipe na pia raisi wetu mtoto maliki tunakupenda pole kwa majaribu yaliyokukuta 😢 tunakupenda sana mtoto maliki❤❤❤
Mmm ninamashaka na mabosss wengi hawatimizi haja na makubaliano ya wafanyakazi wao, pia wana wadharau some times kwani sio rahisi mtu ukamnunulia juice akaikutemea usoni bali ndani ya juice ukitia shubiri atakutapikia kabix ingawaje siungi mkono suala la kujichuiulia clsheria mkononi au kitendo kilicho fanyika
Rais wetu, Ana HURUMA mnooo, ni mama wa jamii nzima Tanzania mungu ampe mama maisha marefu na Familia yake kabisa kabisa. Malik amepitia pagumu lkn mungu amemficha kwenye mikono salama. Ataishi Sana naamini atasoma pia vizuri aje naye kusaidia wengine. Ameen
Mashallah hongeren media kwa updates, lkn pia hongeramadaktar kwa kazi nzuri hongera pia mama mtoto kwa kua na moyo wa subra wakati wote wa matibabu, nina ushauri kwa maboss wa aina zote pls take care na kueni makini dhidi ya wafanyakazi wenu mda mwingine huyo mfanyakazi unaye mdharau au kumchukulia poa huenda ndiye ameshikilia uhai wako baada ya idhini ya Allah,. tuwapende wafanyakazi wetu na tusinganganie pale unapoona ustahmilivu wa kukaa na mtu au kutumikisha mtu umeshindwa using'nganie yote tisa kumi Alhamdulillah mwenyezi mungu ahimidiwe daima
Alhamdulillah alhamdulillah alhamdulillah , ukweli nna furaha mno mtoto kupona, najiskia vizuri mno furaha yangu haina kifano, namuomba Allah anipe uhai aniamshe nikiwa mzima wa afya ili niweze kutekelelza ahadi niliyoweka Kwa mtoto huyu nakupenda sanaa Malik Mungu akuvue hili na jengine,
Asante sana , Mungu nlitamani tu nisikie sauti ya malki kweli iliniumiza sana lkn wewe Mungu ni mwema, pole sana mama malki na hongera mama Samia Mungu akutunze
DOCTOR NA MANESI WOTE HONGERA SANA KAZI NZURI, POLE SANA MAMA NA MTOTO, HIS SO CUTE LITTLE BOY 👌💐🙏🏾🙏🏾
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika Allah amlipe rais wa Tanzania 🇹🇿
Asante YESU Sifa kwako ee Kristo. Hongera kwenu ma Doctor na timu nzima kwa kazi nzuri MUNGU aendelee kuwatunza na kuwalinda kila mtokapo na muingiapo
Mungu ni Mungu Dada nakupongeza msamaha ndio umekufungulia njia zote hadi uponyaji Madaktari Mungu awabariki kwa ubigwa wabkazi yenu nimefurahi hadi siwezi kusimulia zaidi ya furaha yangu
Inshallah mwenyezi mungu atenda miujiza mpaka mtoto mzuri amepona amen
Nimelia kwa furaha. Mungu abariki kila aliyemtakia mema mtoto huyu kwa namna yoyote
Mimi kila nnapokutana na hii story tangu Mwanzo sikutaka kusikiliza Wala kufuatilia niliumia Sana na kuondoa Imani kwa ma house help kweli sikujua huyu mtoto angepona lakini MUNGU ni mkuu hakuna kama yeye
Naungana na wewe kuwa na furaha kubwa juu ya huyu mtoto na MUNGU azidi kumkuza
@@JescaRabson
Amina hakika Mungu azidi kunuliwa na azidi kumuimarisha zaidi
Maliki uwe dactari mwanangu ❤ TUNAKUDAII UJE KUTIIBU WATOTO❤❤
Oooooohhh Mungu wewe ni wa ajabu na uwezo wako hauelezeki.
Tunawashukuru sana sana matabibu wetu wote na serikali yetu pendwa.
Poleni familia sana sana.
Mungu awatie nguvu.
nimejikuta machozi yamenitoka kwa furaha nilikuwa natamani kujua maendeleo ya huyu mtoto.
Im so happy naamini hata wengine wamefurahi sana kwa ajili ya mtoto huyu.
Ahsante Mungu.
Mungu ana uweza sio uwezo
Alhamdulillah ..Hakuna kinachoshindikana mbele ya ALLAH.ALLAH akupe afya njema na maisha marefu mtoto wetu
Aamin Aamiin
Mama samia ni mama yetu mungu Akulinde mama mimi nakupenda mama
Kwakweli Mungu ambariki Mama Samia,Awabariki Madokta woote kwa Matibabu ya Mtoto huyo binafsi sina neno linaloweza kurusha kulisema zaidi ya Asante Mama Samia,Asante Madaktari kwa kazi nzuri
Sifa na utukufu vimrudie Mungu pekee
Hongera kwa madaktari,manesi kwa kazi nzuri na wengine kwa maombi pia
Ma daktariii Munguu awabarikii sana❤❤❤
kwakwel yani madaktat kiukwel wana tupambania sana wana Mungu sana ndani Yao🙏🙏🙏🙏
Mwenyenzi Mungu Aendelee Kumlinda mtoto wetu!!!!!
Mbarikiwe sana Madaktari na Manesi mliohusika kumhudumia huyu mtoto!!!!
Alhamdulillah hakika Mungu ni mwema,Allah ampe afya njema mtoto wetu mzuri ❤.
Marahaba pole sn mtoto mzuri mungu akuvushe hapo na penginepo
Pole Sana Dada na familia Kwa ujumla lkn kikubwa Tumshukuru Sana Mungu
Mama Samia Mungu akulinde akupe nguvu kwa kujali wananchi wako wa hali na mali na matatizo yanayowatokea ndani ya familia nk utashinda Mama Samia kwa kishindo
Marahaba mtoto mzuri tunakupenda sana ❤❤❤
Umeona ee
😂😂😂😂😂ameona salamu😂@@lilianwaflotina1288
Madoctor mungu awabariki
Asante sana MUNGU kwa uponyaji
Mungu ni mwaminifu sana❤ acha tumshukuru sana
Pole sana Mwanangu Mungu akupe maisha marefu
Mungu ni mwema, asanteni sanaa team ya madaktari. Mama yetu Mh mama kipenzi, nakupenda hadi kesho, nakuombea mama, Mwenyezi Mungu aktunze na jamaa yako yote ikawe heri. Nakuombea kila siku mama yetu. Mengi umeyafanya your Legacy will live forever mama❤
Marahaba baby boy Malik! Ashukuriwe Mwenyezi MUNGU muweza wa yote, Asante kubwa kwa madaktari 🙏
Nimelia kwa furaha hongereni sana timu ya upasuaji kwa kazi nzuri Allah awalipe na pia raisi wetu mtoto maliki tunakupenda pole kwa majaribu yaliyokukuta 😢 tunakupenda sana mtoto maliki❤❤❤
Asante sn Yesu kwa kuokoa maisha ya mtt huyu n greatest thanks to MOI team,
Wadada wa kazi ni changamoto sana ingawa cyo wote
Yani mmmmmm
Bila kusahau pia na wamama nao wananyanyasa sana ma house girl...
Na mama wa madada nao huwa sio some times.
Mmm ninamashaka na mabosss wengi hawatimizi haja na makubaliano ya wafanyakazi wao, pia wana wadharau some times kwani sio rahisi mtu ukamnunulia juice akaikutemea usoni bali ndani ya juice ukitia shubiri atakutapikia kabix ingawaje siungi mkono suala la kujichuiulia clsheria mkononi au kitendo kilicho fanyika
Na bila kusahau mababa utembea na wadada hao na kuwa party hela kwa siri@@GeofreyMtensa
Rais wetu, Ana HURUMA mnooo, ni mama wa jamii nzima Tanzania mungu ampe mama maisha marefu na Familia yake kabisa kabisa. Malik amepitia pagumu lkn mungu amemficha kwenye mikono salama. Ataishi Sana naamini atasoma pia vizuri aje naye kusaidia wengine. Ameen
Pole mtoto mzuri
Mashaallah tabarak Allah M mungu amzidishie uzima na afya njema na azidi kumlinda na mahasidi
Madaktari wa Muhimbili ni balaaaa MUNGU awabariki sanaa nina ushuhuda na nyinyi kuhusu mwanangu 🙏🏻🙏🏻
Dr mfinanga anaupendo sanaaaa na wagonjwa..Alinihudumiaga vizuriiiiii yaniiii simsahau.MUNGU awabariki
Mungu awabariki mnoo ...pia mama yetu samia hassan suluu ...mungu ammbariki sana tumefurahi kumwona maliki akiwa na afya❤
Jamani Nimefurahi kumwona , Mungu Ni Mmoja Tuu. Asante nyingi kwa madaktari , Mungu Ampe maisha Marefu Mtoto Wetu.
Alhamdulillah mashaallah! Malik nimefurah sana kukuona ukiwa na furaha pamoja na mama mashaallah ❤❤nakupenda malik
Tunamuombea mungu sana mtoto. kwa ujumla uyo binti wa kazi afungwe maisha ili ajue machungu ya watoto
Chakwaiza nikumushukulu mweyezi mungu nakuwashukulu madakitali kwajitahidi kiukweli nawapogezasana madakitali wetu mugu awabariki ishalhaaa
Alhamdulillah mashallah nimefurah. Maliki Allah akufanyie wepec kipenz
Alhamdulilah Kwa kumponya huyu mtoto mungu amponye azidi ampe afy njema
Mungu Ni Mwema Sana Sana Ahsante Mungu Kwaajili Ya Uponyaji Wa Mtoto Wetu Amen
Mashallah hongeren media kwa updates, lkn pia hongeramadaktar kwa kazi nzuri hongera pia mama mtoto kwa kua na moyo wa subra wakati wote wa matibabu, nina ushauri kwa maboss wa aina zote pls take care na kueni makini dhidi ya wafanyakazi wenu mda mwingine huyo mfanyakazi unaye mdharau au kumchukulia poa huenda ndiye ameshikilia uhai wako baada ya idhini ya Allah,.
tuwapende wafanyakazi wetu na tusinganganie pale unapoona ustahmilivu wa kukaa na mtu au kutumikisha mtu umeshindwa using'nganie yote tisa kumi Alhamdulillah mwenyezi mungu ahimidiwe daima
Dahhhh
Asante MUNGU wetu mwema kwa uponyaji wa mtoto.pole toto pole wazazi asante MAMA SAMIA.Mungu tunakuomba utulindie watoto wetu Amina.❤❤🎉🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Mashaallah❤' ALLAH Azidi kukupa Afya njema Mwanangu
Mungu ni wetu sote Mungu awabariki sanaa wauguzi , madoctor na wote walio mkumbuka kwa namna yoyote mtoto huyo❤
Mungu ashukuriwe kwa kumponya mtoto Marki, hongereni Madaktari wote mliyomsaidia huyo mtoto Mungubawabariki sana.
Mungu ni mwema hongera kwa Uponyaji marik Mungu akulinde sana jmn 🙌❤️🙏
Allah ampe maisha marefu shukrani Madaktari WA Muhimbili wakarimu na wachapa kazi.
Utapona vizuri Kabisa Mjukuu wangu.👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Alhamdulillah alhamdulillah alhamdulillah , ukweli nna furaha mno mtoto kupona, najiskia vizuri mno furaha yangu haina kifano, namuomba Allah anipe uhai aniamshe nikiwa mzima wa afya ili niweze kutekelelza ahadi niliyoweka Kwa mtoto huyu nakupenda sanaa Malik Mungu akuvue hili na jengine,
Wallah kaz nzito sana imefanyika wallah hongeren sana Dr na manesi 😢 inshallah mariki utapona mwanangu
Asante Mungu Wngu gusa Watoto wetu 🙏🙏
Mashallah tabaraka llah Alhamdoulillahi Mungu ni mwema kila wakati
Utukufu ni kwa Mungu wetu, hongera kwa madaktari na wauguzi kwa kupambania uhai wa mtoto Malik huyu ni Shujaa na Mungu ana kusudi juu ya maisha yake.
Mashaallah Allah mwingi wa Rehema aendelee kumwekea wepesi mja wake Inshaallah
Mwenyezi Mungu ni mwingi WA Rehema..pole Mtoto mzuri.
Millard Ayo! You are the best! Keep it up!
Mungu ni mwema pole sana mtoto, na ongereni kwa uduma nzuri Masha Allah Rais ashukuriwe sana
Asante Mungu umemponya mtoto asiye na hatia, Mungu amsamehe he huyu aliyetenda ubaya huyo mtoto
Ooh God is good hongereni sana ma doctor
Asante Mh Raisi Samia Allah akubariki mama yetu kipenzi
Asante sana , Mungu nlitamani tu nisikie sauti ya malki kweli iliniumiza sana lkn wewe Mungu ni mwema, pole sana mama malki na hongera mama Samia Mungu akutunze
Kwakweli Mungu Awabariki sanaa maana kiukweli mmepandana sanaa hongereni mandatory
Cha kwanza kumshukuru Allah alihamdulilah na ma doctor na manesi pamoja na mama samia tunakushukuru mama kwa msaada wako mola awazidishie wote
Alhamdulilah. Mungu ni mwema
I Love so much my country Tanzania Hongereni sana madaktari na maness kwa kuokoa maisha ya mtoto huyo ❤❤❤❤
Asante Mungu kwa ajili ya uponyaji wa mtoto malik ni Mungu 2
Mashallah jaman Allah akulinde mdogo wangu
Mungu amtunze azidi kumpa maisha marefu
Amina!
Hongera wauguzi na madaktari 👏👏hongera serikali yetu ikiongozwa na our president Samia suluhu hassani
Pole Sana Mama ni maumivu ya moyo. PONGEZI kwenu Wataalamu wa Afya
Alhamdulilah ALLAH Akuzidishie Afya
Allah ampe umri mrefu mtoto wetu mzuri Maliki na amuongezee mamasamia alipotoa amuongezee
Nimelia adi kichwa kinaniuma..Asante rais wetu na asanteni madaktar wote mungu awabariki!
Mungu mkuu sifa kwako eeh kristo 🙏🙏🙏 pole baby boy
Mungu nimwema sana mbarikiwe wote mlioweka mkono wenu mpaka uyu mtoto kapona
Mashaallah Mungu akuvue hili na jengine Allah akukuze
Mama Samia nakupenda, mama mlezi mwema. Mungu akubaliki
Mungu awabariki madokta na wauguzi wote mlioshiriki matibabu ya huyu mtoto.
Mashaallah nimefurahi sana kweli Mungu ni mwema sana
Tuseme Alhamdhulillah pia manesi madoctar wa muhimbili mungu awalipe
Nimefurah sanaaa asante munguu mudog wanguu nakupendaa sanaa ❤❤
Mheshimiwa tunakuelewa japo mwazo hatuja kuelewa Mungu akutangulie uwe na maisha malefu
Asante sana mungu kwa uponyaji
Hongereni sana madaktari wote mlio simamia zoezi hilo mungu atawalipa kwa juhudi zenu
Mungu azidi kukupa nguvu mwanangu upone kabsa Mungu anakupenda🥰
Mungu Ni mwema alifanya kila njia kuokoa maisha ya malik poleni sna
Mungu ni mwema ,mungu atukuzwe mtoto ataishi katika jina la yesu
Ashukuriwe Mungu mwenyenzi kwaajili ya huyu mtoto.
Hongera sana sana
Jina la bwana lihimidiwe . Pole sana Malik
Mmmmm Mungu ni mkuu sana hakika, kama siku yako ya kufa haijafika hufi kwakweli!
Asante Mungu kumbe huyu mtoto alipona Glory be to God🙏🙏
Asante Mungu kwa kuwapa nguvu akili na hekima waguzi hawa we Mungu Asante
Mungu ni mwema tulifurahi pamoja like hapa
Mungu akupe umri mrefu wenye faida maliki tunakupenda
Alhamdulillah hongera Rais hongereni Mafaktari AllahAwalipe kila lakheri
Mashallah mungu akulipe amma samia hingera kwa madaktar kwa juhud zao pia❤
Namshukuru mama Samia kwa ajil ya msaada wa matibabu japo simfaham lakin nasema asante kama mzaz wa kitanzania
Alhamdulilah mungu ni mwema kila wakati
Mungu awabariki sana wote pamoja na mama samia