Hapa tutasikia wauza ges wote wawe na mizani na eura wataweka kamati ya maintenance ya mizani kila miezi kadhaa na tutalipa hela ya maintenance ila kama wanataka kusolve hakuna haja kwenda madukani wawachunguze wanao sambaza kabla ya watu wa maduka
Tunaumizwa sana na hao wachakachakachuaji tunanunua Sh 58 elfu mtungi wenye gesi aumalizi mwezi matumizi ya kawaida tuu Orex Mbezi makabe Akuna mizani madukani
Yaani ndo maana nikiacha pesa ya gesi 22000 ndani ya wiki moja eti imeisha,nimeshagombana na wife sababu ya hii gesi kwisha haraka, hongereni sana kwa kukamatwa hili jizi
Hii kitu hata hapa dsm wasambazaji wa gace wawe wanakaguliwa , siyo baadae mnaanza kukagua madukani hiyo itakuwa si sawa. Kagueni ktk vigari vinavyosambaza mnaweza kukuta madudu.
Kama hayo magali aliyakodi hesabieni hasara kwa mwenye hayo magali serikali ikikukamata na mzgo haram asilimia 2 kurudishiwa hayo magali yatakaa ofcn ata miaka 6
Tunaumizwa sana na hao wachakachakachuaji tunanunua Sh 58 elfu mtungi wenye gesi aumalizi mwezi matumizi ya kawaida tuu Orex Mbezi makabe Akuna mizani madukani
Tunaumizwa sana na hao wachakachakachuaji tunanunua Sh 58 elfu mtungi wenye gesi aumalizi mwezi matumizi ya kawaida tuu Orex Mbezi makabe Akuna mizani madukani
Huyu ningekuwa na mamlaka ningempiga miaka 30 jela hana tofauti na mbakaji wa uchumi
Kuna rafiki angu alichukua mtungi mkubwa week tuu ushaisha na alikua mzazi jmn,,akafungwe uyo jambaz maisha yenyewe magumu bado anatuibia
Nikweli kabisa mkuu
Hapa tutasikia wauza ges wote wawe na mizani na eura wataweka kamati ya maintenance ya mizani kila miezi kadhaa na tutalipa hela ya maintenance ila kama wanataka kusolve hakuna haja kwenda madukani wawachunguze wanao sambaza kabla ya watu wa maduka
Tunaumizwa sana na hao wachakachakachuaji tunanunua Sh 58 elfu mtungi wenye gesi aumalizi mwezi matumizi ya kawaida tuu Orex
Mbezi makabe
Akuna mizani madukani
kweli kabisa tunapigwa
Yaan wiki gesi imeisha kumbe kuna fundi
Ni wa kuflisii huyoo niliwahii nunua wa 14kg walaii hataa mwezii haiku malizaa tokeaa sikuu hiyoo bilaa mizani nomaa
Yaani ndo maana nikiacha pesa ya gesi 22000 ndani ya wiki moja eti imeisha,nimeshagombana na wife sababu ya hii gesi kwisha haraka, hongereni sana kwa kukamatwa hili jizi
😂😂😂😂😂😂😊😊😊😊
Duh tuna walalamikia manjus kumbe watu wanachakachua
Wapo wengi sana tunananunua mtungi ujazj syo sawa
Wauza ges wawe na mizani bana ni waiz Sana
Ya ges hazikai
Misingi imeharibika mwenye HAKI atafanya nini???
Aiseee kumbe. Ndio maana unajujua gas siku 25 tu gas kwisha
Uwez kuwa tajiri ukitafuta pesa ya alali
Maskn ndo ananiletega ges nyumbn kwangu, kama ni kwel alikosea na kama kuna wivu Mungu amsamehe
Des Alouettes de personnes 😅😅😢
Mpaka DC nyie ewura wakala wa vipimo vp usingizi au
Vishoka wa gas wapo wengi mno,,
Gesi zinapimwa kwenye mizani, ukipigwa ni uzembe
Kama kuna mtu kamwonea wivu kila atakachofanya kisifanikiwe. Lkn km kweli amefanya hujuma basi ahukumiwe kwa sheria na taratibu
Menega Eura unafanya kazı gani ??????? Mpaka mkuu wa wilaya ndiyo akamate wewe kazi yako nini ?????? Kula Bata tu kusubiri mwisho wa mwezi ⁉️⁉️⁉️⁉️
Ni kweli mkuu wapo wengi na sio Arusha tu Mimi nilinunua mtungi mkubwa Huwa natumia three months lkn utajikuta unatumia wakati mwingine week 3 imeisha
Makampuni yote madukani hakuna Mizani kweli mnatuumiza sana watu wa chini
waacheni tu ruksa
Kilicho na mwanzo kakikosi mwisho.
Kuwepo na mzani katika ofisi yake
Nakubali hiyo tunapigwa sana
Hii kitu hata hapa dsm wasambazaji wa gace wawe wanakaguliwa , siyo baadae mnaanza kukagua madukani hiyo itakuwa si sawa. Kagueni ktk vigari vinavyosambaza mnaweza kukuta madudu.
Tushaibiwa mno ila ni hatari Kuna jamaa alikuwa anfanya hizi ishu SI akalipukiwa
Wizi wa kutojaza gesi ni kero kubwa kote kwny taifa tunaomba wote wanauza gesi wale na mzani wa kupimia
Ewura wanafuga vitambi tu ofisini mngepita kupima mitaani mngemkamata na sio mmoja
Hatuponi hao kakole wapo wengi Sana nchi hii
Mwamba mchongo umebuma!
Ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira ajira aaaaasss.
Uwizi mtupu watu hawasomi ili waajirwe
Kwa akili yako finyu huyu kakosa ajira? Unajua mtaji wa kumiliki mitungi yote hiyo na magari?
Ajira nini mshenz uyo anatuibia
Avuliwe hiyo kofia.alishatuibia sana huyo.!
Wanasheria waingilie kati maana sidhani kama ni kweli anaweza kupack gesi
Basi itakuwa hutumii ges kwa sis tunao tumia tunajua ujazo unapunguzwa nawapo wengi cyo huyo tu
Tupo tayari tunafuatilia kwa makini
Kama hayo magali aliyakodi hesabieni hasara kwa mwenye hayo magali serikali ikikukamata na mzgo haram asilimia 2 kurudishiwa hayo magali yatakaa ofcn ata miaka 6
Kamatahao mkuu yan tujajaza ges atamwez hauishi kazia hapo
Ningekuwa mm ni boss ww meneja usingekuwa na kazi muda huu, mpaka mkuu wa wilaya anajua ww ulikuwa wap?
Mh ukiona ivyo ujue ajapata chochote mfukon
Kuna jambo hapa, huyu dogo kateka biashara, ana customer care nzuri sana
Ni kweli kabisa, hiyo mitungi 300 na seal za kampuni katoa wapi??
Tunaumizwa sana na hao wachakachakachuaji tunanunua Sh 58 elfu mtungi wenye gesi aumalizi mwezi matumizi ya kawaida tuu Orex
Mbezi makabe
Akuna mizani madukani
Tunaumizwa sana na hao wachakachakachuaji tunanunua Sh 58 elfu mtungi wenye gesi aumalizi mwezi matumizi ya kawaida tuu Orex
Mbezi makabe
Akuna mizani madukani