MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
    Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
    Subscribe to Top5Tz: / top5tz
    Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
    Tutajibu maswali yako yote kama:
    nani tajiri namba moja tanzania?
    nani msanii mkubwa tanzania?
    msanii gani tajiri tanzania?
    wasanii matajiri tanzania forbes?
    wasanii matajiri duniani?
    nani tajiri namba moja tanzania?
    wasanii matajiri tanzania 2022?
    wasanii matajiri tanzania 2023?
    Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
    TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
    Wasanii na magari yao
    • TOP 5 WASANII WENYE MA...
    • Listi ya magari ya bei...
    • WASANII MATAJIRI TANZA...
    Angalia video zetu zingine hapa:
    VIpengele vyetu
    0:15 Number 5
    0:58 Number 4
    1:37 Number 3
    2:11 Number 2
    2:58 Number 1
    4:10 Like comment and subscribe
    #Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
    #wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri

КОМЕНТАРІ • 157

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 4 місяці тому +2

    Mungu awahifadhi yarab amen 🙏

  • @MagilaiLobangutii
    @MagilaiLobangutii 7 днів тому

    Hongera yao

  • @Evodiuskaijage
    @Evodiuskaijage 9 днів тому

    Gud

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 7 місяців тому +2

    Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin

  • @BoniphaceNzenga
    @BoniphaceNzenga 15 днів тому

    Nimeipenda.endelea mienderezo

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Місяць тому

    Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿

  • @KINGSAGENCYCOMPANYLTD
    @KINGSAGENCYCOMPANYLTD 2 місяці тому +1

    Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa

  • @theplateboy-ym9xz
    @theplateboy-ym9xz 4 місяці тому +2

    Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 місяці тому

    Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah

  • @SalminRahis-kd9sv
    @SalminRahis-kd9sv 2 місяці тому +5

    We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 4 місяці тому

    Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 5 місяців тому +3

    na mimi taingia soon kwenye hii orodha

  • @CynthiaEsekon-s6u
    @CynthiaEsekon-s6u Місяць тому

    Bless

  • @WamburaBruno
    @WamburaBruno 27 днів тому

    Yupo sawa mo

  • @user-th9ut7ro8p
    @user-th9ut7ro8p 5 місяців тому +1

    Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.

  • @DenisHaule-g2y
    @DenisHaule-g2y 25 днів тому

    Napenda kuwapa ongera sana

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 7 місяців тому +12

    Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi

    • @ramahaji2395
      @ramahaji2395 Місяць тому

      Ingia google nawe acha ubishi

  • @henrynuhu2557
    @henrynuhu2557 8 місяців тому +5

    miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote

  • @samiboybb
    @samiboybb Місяць тому

    Nme ipenda

  • @jaxmkada6797
    @jaxmkada6797 5 місяців тому +2

    We muongo na takwimu zakoooo.

  • @josephatbonifaceclemence1154
    @josephatbonifaceclemence1154 17 днів тому

    Mbona Taarifa ZAKO zauongo Sana HUYO Ally Mafuruki slifariki miaka mitano ilio pita.

    • @DrMbonea
      @DrMbonea 14 днів тому

      Yawezekana hata hamfahamu

  • @AdiliLadislaus
    @AdiliLadislaus 4 місяці тому +1

    Mafuruki kashafariki

  • @user-cj7oo7mi1x
    @user-cj7oo7mi1x 2 місяці тому

    Msanii gani anaongoza utajili Tanzania

  • @JaphetyLubasha-vw5hr
    @JaphetyLubasha-vw5hr 7 місяців тому +3

    😂😂😂 tatzoo la UA-cam waongooo sana yaan daaahh 😊

  • @user-ql6fg3bs8y
    @user-ql6fg3bs8y 4 місяці тому

    Wee bado sana

  • @ayobuyusuphu7641
    @ayobuyusuphu7641 15 днів тому

    Mufuruki Alli,hayupo namba hiyo,Kuna Zakaria,

  • @frankmajila7632
    @frankmajila7632 7 місяців тому +2

    Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana

  • @RogersRange
    @RogersRange Місяць тому

    Tuletee tajiri wa africa

  • @kibambiibrahim5714
    @kibambiibrahim5714 Місяць тому

    Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 8 місяців тому +3

    Wizi tuuu

  • @mr.jcubic1554
    @mr.jcubic1554 Місяць тому

    Matajili

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 4 місяці тому

    Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 7 місяців тому +2

    Tunaomb na list ya maskini watano TZ

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 6 місяців тому

      Lazima watatoka dodoma wote wa5

    • @EnocyDaud-xt8vj
      @EnocyDaud-xt8vj 6 місяців тому

      Wa kwanza ni wewe

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 6 місяців тому

      @@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 3 місяці тому

      ​@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn

  • @kasibalisaid7036
    @kasibalisaid7036 23 дні тому

    Rostam aziz si mhindi ni mbulushi .

  • @MasterGrouptz
    @MasterGrouptz 18 днів тому

    Huna data maskin liongo

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka3413 7 місяців тому +2

    Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?

  • @MayanziBubinza
    @MayanziBubinza Місяць тому

    GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?

  • @iddkaoneka7485
    @iddkaoneka7485 4 місяці тому +1

    Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4i 3 місяці тому

    Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 2 місяці тому

    We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom

  • @SimionMajaliwa-wg8xi
    @SimionMajaliwa-wg8xi 3 місяці тому

    Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus

  • @williamkimweri2293
    @williamkimweri2293 23 дні тому

    Sisi wa tz tuko wapi mbn wote matajili ni wageni tu

  • @user-so5jf8nf3e
    @user-so5jf8nf3e 8 місяців тому +1

    Liongo kweli ilo

  • @SengaSenga-fe4gw
    @SengaSenga-fe4gw Місяць тому

    Hajajajha mshkajkaj haina mambo

  • @MwalimTumeniAhmada
    @MwalimTumeniAhmada 5 днів тому

    Mbona hizi tathmin zenu feki zko tafaut man juz alipost mtu akasema 2024 tajir namba 1 ni bakhresa lkn naona leo amewekwa namba 2 hii vp jamn?

  • @SaidMaganga-yi4ez
    @SaidMaganga-yi4ez 2 місяці тому

    Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 7 місяців тому +2

    Ww muogo😊

  • @khalfanseif8027
    @khalfanseif8027 Місяць тому

    Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa

  • @mohamedhussein3583
    @mohamedhussein3583 27 днів тому

    Acheni chuki kwa Mo hata mkienda kwa fobes bado Mo anapngoza why amkubali takwimu

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis4149 6 місяців тому

    Ana asili ya Uajemi,Iran

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q 4 місяці тому +1

    Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 8 місяців тому +2

    Ally Mafuruki alifariki 2019

  • @AginesKihoo-zw3yf
    @AginesKihoo-zw3yf 7 місяців тому

    Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 8 місяців тому +2

    Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa

  • @habibrizzyone
    @habibrizzyone 2 місяці тому

    Takwimu zako za kifala

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 7 місяців тому

    N I utajiri cash, auvitu

  • @user-br1fc9xn2u
    @user-br1fc9xn2u 4 місяці тому

    Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 7 місяців тому +1

    Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe
    Afu ali mfuruki ni marehemu

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 8 місяців тому +1

    acheni ukuma wenu

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 6 місяців тому

    Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe

    • @davisfidelis4149
      @davisfidelis4149 6 місяців тому

      Hakika! Matajiri wengi TZ utajiri wao mh!

  • @salehkhamiss2449
    @salehkhamiss2449 7 місяців тому

    we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri4586 3 місяці тому

    Mo hawezi kuwa na hiyo hela

  • @KilimanjaroBand
    @KilimanjaroBand 3 місяці тому

    Hii list katoa mkundu kwake

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 8 місяців тому +2

    Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi

  • @talalballeth4330
    @talalballeth4330 3 місяці тому

    Hujui lolote angalia unachojua

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 21 день тому

    Matajiri tano ndio nini? Hiki kiswahili fyoko kimetoka wapi😂

  • @OfficialMsamiboy-zh4tu
    @OfficialMsamiboy-zh4tu 8 місяців тому +1

    Tajir ni Mungu pekee yake.

  • @MwandosyaMajele
    @MwandosyaMajele 4 місяці тому

    Mayele 0:23

  • @MuhsinJuma-wo2bg
    @MuhsinJuma-wo2bg 2 місяці тому

    Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti 4 місяці тому

    Gsm anashika nafasiyangapa ndugu

  • @danielmweta8716
    @danielmweta8716 7 місяців тому +2

    Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji

  • @qariuzzamaantanzania7074
    @qariuzzamaantanzania7074 2 місяці тому

    Taarifa nyingi c kamilifu.....

  • @mndewaog990
    @mndewaog990 Місяць тому

    We huyo ali mafuruki mbn ashafariki

  • @Meky-of9vy
    @Meky-of9vy 4 місяці тому

    Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 місяці тому

    Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu

  • @hamadhamis9763
    @hamadhamis9763 8 місяців тому +1

    ivi we jamaa unaakili kweli

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 7 місяців тому

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 7 місяців тому

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 7 місяців тому

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 7 місяців тому

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

    • @salehkhamiss2449
      @salehkhamiss2449 7 місяців тому

      uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂

  • @user-fo5bg6tv5s
    @user-fo5bg6tv5s 7 місяців тому

    Waongo asas na abud

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya6991 6 місяців тому

    Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 6 місяців тому

    Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India

  • @erodasterrichard1535
    @erodasterrichard1535 6 місяців тому

    Mhhh.....mjomba, uongo umezid

  • @exaudyjm5170
    @exaudyjm5170 7 місяців тому

    1 uyo ndio 2 kaka acha zako

  • @user-ok9ls1qs7x
    @user-ok9ls1qs7x 6 місяців тому

    Moo bakhalesa amuwezi musitudanganye

  • @dinamossy5149
    @dinamossy5149 7 місяців тому +1

    Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu

  • @kamamussa6792
    @kamamussa6792 5 місяців тому

    Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 7 місяців тому

    Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo

    • @hamzamfyagidzi6344
      @hamzamfyagidzi6344 4 місяці тому

      Et utajiri wa mo trion4 cash
      Sasa wewe huoni kama anakwambia
      Usiku wakati jua lina waka
      Amiliki trion5 cash
      Amekuwa banck

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 2 місяці тому

    We n fala kiazi ww

  • @ayobuyusuphu7641
    @ayobuyusuphu7641 15 днів тому

    Bulush not hindi

  • @Jumapili-ws5em
    @Jumapili-ws5em 2 місяці тому

    Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 8 місяців тому

    Mailing au mzima mfuruki

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w 7 місяців тому

    Siokweri wengine umechapia

  • @user-se2xp8vv4h
    @user-se2xp8vv4h 7 місяців тому

    E

  • @user-ls6bd6ft4v
    @user-ls6bd6ft4v 6 місяців тому

    Ali mufuruki alifariki miaka kadhaa iliyopita!..

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 8 місяців тому

    Gsm vp 😮😮

  • @kismarthashvan
    @kismarthashvan 7 місяців тому +1

    Basi 30 unaakili matakoni😂😂😂

  • @RichardKatani
    @RichardKatani 4 місяці тому

    Ali Mfuruki alishafariki nani anamilki makampuni yake?

  • @hashimmwipallo120
    @hashimmwipallo120 8 місяців тому

    Uyu boya anakalili

  • @fx3.0
    @fx3.0 5 місяців тому

    duh acha uongo bro😂

  • @user-ce8qf3nc3s
    @user-ce8qf3nc3s 7 місяців тому

    Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr

  • @user-du1ls3zf4s
    @user-du1ls3zf4s 6 місяців тому

    Kwendraaaaa acha kutudanganya ww

  • @kassimjakaya6991
    @kassimjakaya6991 6 місяців тому

    Achane uongo