RUBANI MDOGO TANZANIA: ATAJA BEI YA KUSOMEA URUBANI/ UNAVYOLIPA/ JINSI YA KURUSHA NDEGE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • #RubaniMdogo #Dar24Media #exclusive

КОМЕНТАРІ • 459

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 3 роки тому +9

    The best interview ever.
    Mimi mwalimu na nimeisevi hii ili nije niwasikilizishe wanafunzi wangu💪💪💪

  • @clara-ri9wt
    @clara-ri9wt 3 роки тому +10

    Hongera sana......unajua kujieleza na tukaelewa uhalisia wa unachokiongea ......happy for you broh

  • @abdulmalikhamadi8634
    @abdulmalikhamadi8634 3 роки тому +49

    Congratulations brother kwa mfano sisi tuna kwama wapi kwa mfano tuamkeni vijana wale wasoma comment nipeni like zangu niongezee ada🏃🏃🏃

    • @raineryduwe7588
      @raineryduwe7588 3 роки тому +3

      Vipindi kama hiki ni muhimu sana Kwani vinatoa hamasa kwa watu kujuwa afanye nn ili aweze kuwa rubani 'big up'

    • @abdulmalikhamadi8634
      @abdulmalikhamadi8634 3 роки тому

      @@raineryduwe7588 kweli kabsa my dear

    • @suleimansoud4575
      @suleimansoud4575 3 роки тому

      mauwAj yapembAchmba

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 3 роки тому +10

    Mungu akubariki sana Rubani Devid Na tangazaji pia mpo vizuri sana Namuheshim sana rubani✈️ maisha Mwangu mana wanakazi kubwa kwakweli From oman Arabun

  • @zahraramadhan2373
    @zahraramadhan2373 3 роки тому +7

    WOW oooo napenda watu kama Hawa amakweli elimu ni ufunguo wa maisha love you so much. Laki naogopa kazi hii nakuombea kila la heri katika kazi yako h 💖💖💖💯💯😀😀🖐️🖐️

  • @bas2823
    @bas2823 Рік тому +5

    PROUD OF U DEAR SON👌 MY SON IS A COMATIONAL PILOT ALSO! STUDED IN NEW ZEALAND👍 CONGRATULATINS SON👌 SUPER GREAT👍

  • @husnajuma5919
    @husnajuma5919 3 роки тому +15

    Wangap wamependa kaka akiongea pia yuko vzr

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Рік тому +6

    Hongera David unanifurahisha Sana, kwanza unaongea kiswahili kizuri bila kuchanganya na lugha za kigeni,eti kwa kuwa wewe ni rubani.

  • @vijiliamwakyelu1295
    @vijiliamwakyelu1295 3 роки тому +11

    Nimeipenda sana hii natamani wanangu wapigane mpaka hapa,congratration to you kaka

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 місяці тому

      Kikubwa nia malengo na kujipanga kumuomba Mungu

  • @reginapeter1625
    @reginapeter1625 3 роки тому +8

    Hongera sana sana David.ume relax wakati wa kuelezea na kujibu maswali pia nimejifunza mambo mengi ambayo pia nilikuwa siyajui.Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi

    • @nestoryremy8088
      @nestoryremy8088 Рік тому +1

      Hongera sana David mungu akupe maisha marefu na nataka there una roho nzuri ya kusaidia watu na taifa la Tanzania umetupatia mwanga wa kujuwa kuhusu gharama za urubani na ajira zake mungu akubariki sana.

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 3 роки тому +14

    Mungu akubariki mwanangu David! Mungu timiza ndoto za kijana wangu pia...amina!

  • @priscakabeya1184
    @priscakabeya1184 3 роки тому +13

    Natamani angekuwa Mwalimu wavijana wenzake, ni role model nzuri sana kwa vijana Wenye ndoto kama hii

  • @user-qm1eu5kp7n
    @user-qm1eu5kp7n 4 місяці тому +1

    Asante kwa maherekezo yote nilitamani kuwa rubani nanitakua Heiman

  • @yusuphmathias4729
    @yusuphmathias4729 3 роки тому +3

    hongera sana kaka nimefurahi umeereza vizuri sana mungu akutangurie katika kazi yako

  • @sophiakaaya8290
    @sophiakaaya8290 3 роки тому +9

    Hongera sana Mungu akusaidie sana na akuongoze katika maisha yako umetimiza ndoto zako.

  • @lwihurazakayo3864
    @lwihurazakayo3864 3 роки тому +2

    Mtangazaji unayemhoji rubani kijana,uko vzr .Mungu akubariki usonge mbele

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 роки тому +6

    Ubarikiwe kijana mungu akilinde kwenye kazi yako akuweke mukononi mwake nikiwa nakijana mwenye ndoto ya urubani

  • @abellabv
    @abellabv 3 роки тому +14

    Lovely. God bless you mightily Captain David Matonya. You are a good role model for aspiring youth.

    • @maihussein3553
      @maihussein3553 3 роки тому

      Weeeeeeee wagogo tupoooo mbali akina matonya

  • @Williamjamessr
    @Williamjamessr 3 роки тому +5

    Kipindi kizuri sana, nampongeza sana Mtangazaji kwa kuuliza maswali vizuri yenye mashiko pia nimpongeze David kwa uweledi mkubwa alionao katika taaluma yake ya urubani! 👏👏👏

  • @mariethangoma6317
    @mariethangoma6317 Рік тому +2

    Congratulatoins Boy...your drea m has come true...be blessed❤and all the best in your journey to drive a big one❤

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 2 роки тому +1

    Kipind kizuri snaa mtangazaj na pilot wtee mpoo vzr I have enjoyed much

  • @abdillaahimatthew9414
    @abdillaahimatthew9414 3 роки тому +13

    Maashallah nimeipenda hii interview imetulia sana, big up bro even me I wish it but there is no way. Therefore I'm so grateful to hear it. 👏

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 3 роки тому +24

    Nimetiwa moyo sana, Mungu nakuomba umujalie Eliya Mwanangu kwani kusomea Urubani ndiyo ndoto na maono yake. Mungu tunakuomba utujalie sisi Wazazi wake neema ya uzima, afya njema, uhai na kuishi miaka mingi ili tuweze kumfikisha Eliya kwenye malengo yake. Mungu tunakushukuru kwani umefanya tayari umesikia Anima.

  • @muznahmuznah8601
    @muznahmuznah8601 3 роки тому +18

    Mtoto wng wa kwanza wa kiume pia ana ndoto ya kua rubani wa ndege hv sasa yko ktk mitihan ya kumaliza 4 baba yke alimuahidi akimaliza 4 atampeleka kusomea hicho anachokitaka ktk nchi yyte itakayotoa mafunzo vzr nasubir aje akimaliza mitihan yke nimuoneshe hiki kipindi ili aone kijana mweziwe

  • @margrethemanuel7501
    @margrethemanuel7501 3 роки тому +4

    Very smart n calm...kuna vijana wadogo but very calm, bright

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 3 роки тому +6

    Wow uko vizuri Rubani wetu, unajua kujieleza....Hongera sana

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 Рік тому +1

    Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟

  • @MrTouch-rm4rh
    @MrTouch-rm4rh 3 роки тому +17

    Congratulations bro wish you all the best mungu akubaliki upate mstari wa 4

  • @ashuraselemani5979
    @ashuraselemani5979 3 роки тому +5

    Mashaalahh mungu akusimamie kila la kher mtoto mzur

  • @RajabKAMIS
    @RajabKAMIS 3 роки тому +12

    Asante sana kwa lesson nzuri David. Tumejifunza mengi kwenye hiyi interview. Mungu awe nawe katika carrier yako God bless 👍

  • @servantkombo8225
    @servantkombo8225 3 роки тому +4

    Good job from DCT Sec to South Africa. Mgogo wa kwanza kuwa rubani😁😁😁

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 3 роки тому +7

    Mashallah mungu akuzidishiye elimu yko n akupe maisha marefu sana akuondolee husdaa Inshllah hongera sana 😍😍

  • @christinakomba3524
    @christinakomba3524 3 роки тому +3

    Asante Sana nimejifunza kitu maana nilizani kua rubani mpaka usomesana kumbe atakidato cha 4 Asante Kaka umejieleza vizuri Sana bilahata majivuno barikiwa Sana.

  • @AnnaLucas-dh7dg
    @AnnaLucas-dh7dg 4 місяці тому

    ❤❤❤ hongera Yako mwenyezi Mungu akulinde

  • @10gb27
    @10gb27 3 роки тому +3

    interview nzuri sana, nime enjoy kuiskiliza. David anaonekana ni mtulivu kiakili licha ya umri wake, ni taswira inayohitajika kwa mapilot. inaleta amani unapopanda ndege ukakutana na utulivu huu. nina swali moja, unaushaur wowote kwa anaetaka kuingia kwenye u-pilot akiwa na umri above 35

    • @deucecadico1879
      @deucecadico1879 3 роки тому

      Very interesting,nimefurahi kusikia kijana mdogo Kama David Matonya akinieleza with more confidence kubwa kiasiki hiki... Good boy utafika mbali na Mungu akubariki Sana...

    • @ashashaban6484
      @ashashaban6484 Рік тому

      MASHALLAH MASHALLAH. ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH NDUGU YETU MUNGU AKUONGOZE INSHALLAH

  • @sudaydaudi1079
    @sudaydaudi1079 3 роки тому +5

    Congratulation brother david plus udoba family,,msalimie sana aunty lucy

  • @priscakabeya1184
    @priscakabeya1184 3 роки тому +5

    Yuko vizuri sana congrats to his parents 👌

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 роки тому +9

    Jamaa yupo smart sna

  • @mariamagoa7686
    @mariamagoa7686 3 роки тому +6

    Interview nimeipanda sana. Imeniamsha mno

  • @NuruKabia-bx9nh
    @NuruKabia-bx9nh Рік тому +2

    Daaaah can't believe congratulations dav

  • @amnegharib5196
    @amnegharib5196 3 роки тому +3

    Mashaallah Allah akuongoze....

  • @paschalmugabe2226
    @paschalmugabe2226 3 роки тому +4

    Hongera mtangazaji na pilot wetu kiukwel mpo vizur mno

  • @happyfabian7399
    @happyfabian7399 3 роки тому +10

    Nimempenda uyu kaka anaongea vizur

  • @is-hakabinruweikh3833
    @is-hakabinruweikh3833 Рік тому +1

    Ebwaba kwnz nimekufanyia uchunguz una akili sana u are so skilled big up xana

  • @rogasianmarandu537
    @rogasianmarandu537 3 роки тому +6

    Hongera sana kijana kwa kusimamia ndoto yako yakusomea urubani angalia Mungu alivyo mwema umefanikiwa Mungu azidi kuku onyesha njia zaidi

  • @teresiamgimba5498
    @teresiamgimba5498 Рік тому

    Asante sana kwa elimu nzuri nimejifunza mengi

  • @mlengineeringconsultancylt5250
    @mlengineeringconsultancylt5250 3 роки тому +2

    Umetisha

  • @kingelieshabani7235
    @kingelieshabani7235 Місяць тому

    Asante sanaaa kwa majibu yako rubani

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 3 роки тому +1

    Mungu ambariki David matonya mungu akuzidishie kiwango namtakia kla la gheri dereva ndege.

  • @JacknJacksosanga
    @JacknJacksosanga Місяць тому

    Brother hongera sana

  • @joelagala8914
    @joelagala8914 8 місяців тому

    Ooo9h!!!! So nice jmn lazma ndoto tutimizeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤ love u gud role model

  • @zacharianicodemas184
    @zacharianicodemas184 2 роки тому

    David ungetutajia range ya mishahara ya ma rubani pia na masono yanayohusiana na urubani but thank you in All 👏👏👏👏👏👏

  • @mwahiyalitunaisubiriykwaha9503
    @mwahiyalitunaisubiriykwaha9503 3 роки тому +5

    Hongera sana kk mungu akutangurey kwakirakit

  • @elynekaakyoo3142
    @elynekaakyoo3142 3 роки тому +2

    Kaka mungu akupe maujuzi zaidi barikiwa

  • @sultanalnaamani2156
    @sultanalnaamani2156 3 роки тому +4

    Hongera sana co pilot jitahidi uwe full pilot Mungu atakujalia utafika unapopataka muombe Mungu sana pia uwemwangalifu unadhamana ya roho nyingi katika ndege.

  • @rose44ngotee33
    @rose44ngotee33 3 роки тому +8

    Hongera sana kijana mwenzangu am really proud of you

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 Рік тому

    All the Best Brother. Always simamia Kile unachokitaka Ndo unawezq kua tofauti na Wengine Na kupokea mafanikio yako Kutoka kwa mungu

  • @mamounmamoun7877
    @mamounmamoun7877 3 роки тому +2

    Safi sana Mungu akubariki na azidi kukuongoza

  • @carenkachecheba5538
    @carenkachecheba5538 3 роки тому +8

    Hongera sana David.. Mungu akutangulie ktk kila hatua maishani mwako

  • @suleimanmrita1992
    @suleimanmrita1992 7 місяців тому

    so nice to you umejielezea vizuri sana na akili yako ipo tumamu sana ndomaana ukawa rubani nimekupenda sana na kz yko ni nzuri sana komaa bro uwakika wa maisha upo sawa kwako mungu akuongoze sana

  • @swafiyamansur4326
    @swafiyamansur4326 3 роки тому +7

    Mashallah

  • @joshuastephano9150
    @joshuastephano9150 3 роки тому

    So Cong my bro your speech is as a lesson to me and other s,thanks alot

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Рік тому

    Mashallah mashallah Mungu akulinde mdogowa.

  • @abdallaabedi2354
    @abdallaabedi2354 3 роки тому +36

    Inapendeza sana kusema ukweli.maana kuanzia anaehoji na mhojiwa wote wamejieleza vizuri mno na hakika mm binafsi nimeenjoi sana kipindi 👊👊

  • @MuhammadiMnyawi
    @MuhammadiMnyawi 14 днів тому

    Masha a llah kila hatua dua

  • @kanaanimkisi5290
    @kanaanimkisi5290 Рік тому +1

    Napenda Sana kuskiriza Story Za Maruban Jinsi Ya kuendesha Ndege Sjui Kwann yaan Ningekuwa Na Uwezo wa Hela Ningeenda Kusomea

  • @mzeemuhsin7891
    @mzeemuhsin7891 3 роки тому +4

    Good Job David .Kwa kweli umetufungua sana katika kutimiza ndoto za vijana ambao wangependa kufikia hapo ulipo.Mwenyezimungu akuongoze kufikia malengo yako..

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Рік тому

    Maa shaa Allah hongera San

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 3 роки тому +1

    Hongera sana Allah akuhifadhi

  • @user-pg5ir7wl6v
    @user-pg5ir7wl6v 4 місяці тому

    Mtangulize Mungu unakuwa. Juu zaidi

  • @azizahamadi8414
    @azizahamadi8414 2 роки тому

    Hongera sana mungu akuongeze kaka ang katika kazi yako

  • @andrewmsenga308
    @andrewmsenga308 3 роки тому +2

    Jamaa anajua sana kunyoosha maelezo 👊

  • @aishahassan9812
    @aishahassan9812 3 роки тому +4

    Masha Allah Masha Allah nakuombea kher hongera san

  • @falesikitumbo4308
    @falesikitumbo4308 3 роки тому +5

    ok dogo nime kuelewa soma sana nita kukodi uje kuendesha ndege yangu

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 3 роки тому +1

    Amepresent vizur sana

  • @deouskulinduka5717
    @deouskulinduka5717 Рік тому +1

    Safi sana mdogo wangu umesom lakini haujisikii unaongea kiswahili kizuri San hakika wew in mtanzania halisi Mungu awe nawe ktka maisha yako yote

  • @catherinebosibori7977
    @catherinebosibori7977 3 роки тому +4

    Thanks to the Lord

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Рік тому

    Daah yani brother unauliza maswali vizuri sana 🙏

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +1

    Hongera sana pia ahsante kwa kunitia moyo kijana wangu ana ndoto hyo ila changamoto ndio hyo pesa ila tangu ana miaka 2 alianza kuonyesha hicho kipaji hadi sasa japo bado mdogo ila bado yupo ktk hyo ndoto

  • @johanitharugeiyamu6598
    @johanitharugeiyamu6598 3 роки тому +1

    Hongera sana dev,am interested

  • @mwanakombojuma9029
    @mwanakombojuma9029 3 роки тому +3

    Kweli kabisa maisha yanataka uvumilivu🥰

  • @deogratiustimoth4070
    @deogratiustimoth4070 2 роки тому

    Dogo rubani name kukubali sana unajielezea vizuri sana katika fani yako

  • @danielngomuo
    @danielngomuo 4 місяці тому

    wow nafurahishwa kusikia ivo bro, hata mimi nina ndoto kama zako

  • @editaamosichiwanza9796
    @editaamosichiwanza9796 3 роки тому +1

    Hongera sana munguakusimamie

  • @jacklinebenezeth4169
    @jacklinebenezeth4169 Рік тому

    Congrat sana my brotber

  • @PatsonGeoffrey
    @PatsonGeoffrey 2 місяці тому

    ❤brother unajua

  • @thadeolukinisha9623
    @thadeolukinisha9623 3 роки тому +1

    Nimeipenda hiyo.hongera pia

  • @festofrank1886
    @festofrank1886 2 роки тому

    My brother god blessed you

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 3 роки тому +1

    Uliamuwa broo endelea mungu atatoa njia

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 3 роки тому +3

    Utakuta mswahili anamkosoa wazungu anarusha tan 300 yeye ukimwambia arushe hata jiwe la kilo moja litamrudi na kumtoa ngeu ya kujuta salute mzugu

  • @radar41
    @radar41 3 роки тому +4

    You Did it Bro... Ila kwa gharama hiyo watoto wa buza wataishia kurusha ungo tu asee haina jinsi

  • @rhodahj7121
    @rhodahj7121 3 роки тому +1

    Congrats be blssd for sharing.

  • @balizahuibrahim3187
    @balizahuibrahim3187 2 роки тому

    Asante sana kwa kutushawishi na sisi tunatamani kuwa marubani

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 роки тому +2

    Dream comes True

  • @tagomshana4032
    @tagomshana4032 12 днів тому

    Hongera devi

  • @triciamkwawi5170
    @triciamkwawi5170 3 роки тому

    Be blessed sana David also my son like this fun

  • @rehemamgongwe300
    @rehemamgongwe300 Рік тому +1

    Umefanya vizuri mwanangu huo niujasiri mzuri

  • @stephenmanyala7377
    @stephenmanyala7377 Рік тому

    Hongera sana Rubani Matonya.

  • @user-mq6sc5ct1s
    @user-mq6sc5ct1s Рік тому

    Hongera sana kijana wetu💯💯💯💯

  • @user-es2yt1jc4i
    @user-es2yt1jc4i 5 місяців тому

    Niombe kila anaesikiliza animée mimi niweze mtumikia mungu.niweza wapa nguvu.niombeen saana iman