AY afunguka urafiki wake na SALLAM, FID Q, THE JOINT, kwanini aliachana na collabo za nje (PT 1)
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- AY anafunguka kuhusu kipindi cha TV cha The Joint ambacho amekianzisha akiwa na Sallam na Fid Q, ngoma yake mpya Stakaba, kwanini ameacha kufanya collabo za nje na mambo mengine
#ChillnaSky
Tusiopenda maswali ya kiatu chako bei gani au video bei gani na scandals tunachill na sky... Kipindi kimetulia vibaya
Hahahahah we bwan
@@jacksonsabana2150 hutakaa uskie sky anauliza "kiatu bei gani hiki"😂
😂😂
Rashid umenfurahisha khaswaa maana mie namkubali hyu Fredrick Bundala (skhy walker)ni mtu mwnye weledi mkubwa ktk kazi yke kusema ukweli...
@@abdullahomarabdullah6921 Sky tulietoka nae enzi zile mpaka sasa tunaelewa ni kiasi gani ana umakini kazini. Kusema ukweli wale madogo wanaouliza bei za vitu ni vizuri wangeenda kwa wafanyabiashara wadogo wawaulize changamoto wanazokutana nazo ila ndo washachagua kuuliza ujinga
nyakyusa boy""among the few smartest artists in this part of the world"""AY👌👌👌👌
Legend AY 'mzee wa Commercial'
a very cool guy.....huyu angekua mkenya, his reasoning is too fast for Bongo
Ay mzee wakula kwa macho
Aya na Skywalker. The best interview. Swahili nation
The best interview
Kidago Pouwa sana walinialika!
Namalizaga bando kuangalia the joint nasijawai jutia
Always be the best guys sky walker
i like ur confidence brother kama unajua unajua tu
AY. Huyu kijana nampenda Sana Toka alipokufa ameanza mziki wakati anasoma pamoja na ndugu ya Mwanafalsafa hawa vijana nawapenda Sana , popote walipo Mimi ni shabiki yao Kindakindaki. Mungu awajaalie watoto wangu.
Toka alipikufa
Au wrong typing
Ndio alipokufa
Better interview
Mr Genius AY
Mwambie Baba anakusalimia
Masta
Msanii wangu bora wakati wooo9ote
Uko vzur kaka Skywalker
I like his bibs AY namkubali.
Watu na mziki wao! Waasisi wa kuipeleka bongo fleva anga za kimataifa halafu wala hawana habari! Waliopokea kijiti Sasa!! 😂😂😂 Utasema wao ndio kila kitu kwenye huu mziki!
Haswaaaa 👌👌👌
Ay Mzee WA commercial unakamuaga bila Hirizi Siyo Kama wadwanzi wengine hawatambi mpaka wavae Kikukuu and Kisketi 🤣🤣🤣 Tumezoea Mziki bila 666
Stakaba
Kaka!..
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Huna tena jipya ay
Nyooo