THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Kama ilikupita episode hii na Maalim Nash ambayo ilifanyika mwaka mmoja uliopita basi hii ni maalum kwa ajili yako,MC Mahiri Maalim Nash alifika na kutupa simulizi za kusisimu
Kuhusa muziki na maisha yake kwa ujumla.
Tuonyeshe ufuasi wetu kwa hawa kwa vitendo sio maneno matupu,hawa wana bidhaa kama album,eps,nguo kama tisheti,tununue kazi zao hiyo ndio sapoti ya kweli
Conscious! Nilikuwa namuona Nash sana kipindi naishi Temeke miaka ya 2016-17 sikuwahi jua ana knowledge kubwa kiasi hiki. Kipindi kizuri, nimejifunza mengi!
Mzee wa CBT (Chamazi Bamia TV)..majina mengi, Maalim Nash
Big toz we karid wa bongo kwa mziki huu we boss
Kk Saleh Jabir mlete Bonta Maarifa kwenye session yako
Bonta ni another Legend kwenye Huu Muziki ambaye watu wengi hawamfahamu... Watoto wa 2000 hawawezi kumjua
@@uwezokinahi7870 Umeonae Mtaalamu hiyo haina ubishi
Daah, kibongo bongo haheshimiki sijui kwa nn, Bonta ni noma sana
@@frankkajoba8372 Bongo unafiki ni mwingi unapewa Maua yako au unashindanishwa na kuambiwa ww ni Mkali ukiwa upo kwenye futi 6 za ardhi😥😥😥😓😓😓😓😓😓😓😓
Big toz boss wa hip hop
Mwanangu Nash Mc Zuzu mtoto wa Temeke
Respect to you brother Kuvi kwa kumleta Maalim Nash.......
Ilala Home ndio mnatokea.shout out to dully homeboy .all the from Brazil
Mwaka uliofuata nikarudi Masasi, Kijijini CHIGUGU kuanza maisha mapya
Respect Hiphop 👊✊
Amani wana🇰🇪 namkubali Maalim Oi Oi
Asante kaka kuvi kibonge tozi
Nash nimeanza kusikia nyimbo yake ya TABIA nikiwa simjui kabisa, ila badae nikamjua... kupitia tamaduni music
Nash Mc namkubali Kwa ngoma zake za Mitihani,Naandika,VVU,Tabia na Mwalimu Mashaka
@@emmanuelmayunga1518 Sana tu sema tu hizi Mainstreams media zinawabania Wasanii wa Hip Hop
Tafuta muhadhiri kaka
@@user-vy7zy8pb5c Hiyo nitaisaka
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼HESHIMA KWAKO #Nash_Mc Zuzu...✍️🎤🎧🎵🎶🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe huo wimbo wa kisa cha mwanafunzi umeimba we bro! Kumamamae wali, nilikuwa naupenda sana huu wimbo
Jinga wewe matusi ya nn
Maalim Nash King 🤴 TMK
Huyu jamaa ana akili siyo sana mungu amjaalie kila a kher
TOP SPIN
Mlete na Nikki Mbishi napenda wanaadisia toka walipoanzia
Nakubal zuzu
Maalim
Nash ni mmoja tu 🔥🔥
Kaka fanya mpango tupate na ile uliyofanya na MC Koko Kalapina. Haipatikani popote pale..
Tamaduni 🎶🎶🎤🫡
Kuvichaka 🐐
LEGEND
Mwalimu nash mc mtoto wa temeke madege maenee kata 14
Gadafi
Kipindi hicho naanza kumuona nash ni pale BRITISH COUNCIL kwenye harakati walizokuwa wanazifanya kina zavara na jamaa anaitwa evance..
Hac.15
Bomu la nuclear rejea historia
❤
Oyaa wanataka PIN CODE 😂😂😂 shwain zao
Nash mc