THE CLASSIC MAALIM NASH :TOKA NASH Y HADI MAALIM/NILIWAHI FUKUZWA STUDIO KAMA MBWA /KUTAPELIWA ZENJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Kama ilikupita episode hii na Maalim Nash ambayo ilifanyika mwaka mmoja uliopita basi hii ni maalum kwa ajili yako,MC Mahiri Maalim Nash alifika na kutupa simulizi za kusisimu
    Kuhusa muziki na maisha yake kwa ujumla.

КОМЕНТАРІ • 44

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 9 місяців тому +10

    Tuonyeshe ufuasi wetu kwa hawa kwa vitendo sio maneno matupu,hawa wana bidhaa kama album,eps,nguo kama tisheti,tununue kazi zao hiyo ndio sapoti ya kweli

  • @medardsotta5211
    @medardsotta5211 9 місяців тому +11

    Conscious! Nilikuwa namuona Nash sana kipindi naishi Temeke miaka ya 2016-17 sikuwahi jua ana knowledge kubwa kiasi hiki. Kipindi kizuri, nimejifunza mengi!

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi952 9 місяців тому +5

    Mzee wa CBT (Chamazi Bamia TV)..majina mengi, Maalim Nash

  • @HumudJuma
    @HumudJuma 6 днів тому

    Big toz we karid wa bongo kwa mziki huu we boss

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 9 місяців тому +7

    Kk Saleh Jabir mlete Bonta Maarifa kwenye session yako

    • @uwezokinahi7870
      @uwezokinahi7870 9 місяців тому +1

      Bonta ni another Legend kwenye Huu Muziki ambaye watu wengi hawamfahamu... Watoto wa 2000 hawawezi kumjua

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 9 місяців тому

      @@uwezokinahi7870 Umeonae Mtaalamu hiyo haina ubishi

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 9 місяців тому +1

      Daah, kibongo bongo haheshimiki sijui kwa nn, Bonta ni noma sana

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 9 місяців тому

      @@frankkajoba8372 Bongo unafiki ni mwingi unapewa Maua yako au unashindanishwa na kuambiwa ww ni Mkali ukiwa upo kwenye futi 6 za ardhi😥😥😥😓😓😓😓😓😓😓😓

  • @HumudJuma
    @HumudJuma 6 днів тому

    Big toz boss wa hip hop

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 9 місяців тому +4

    Mwanangu Nash Mc Zuzu mtoto wa Temeke

  • @Chemba67
    @Chemba67 9 місяців тому +2

    Respect to you brother Kuvi kwa kumleta Maalim Nash.......

  • @lawrencedeocary9940
    @lawrencedeocary9940 9 місяців тому +1

    Ilala Home ndio mnatokea.shout out to dully homeboy .all the from Brazil

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 9 місяців тому +2

    Mwaka uliofuata nikarudi Masasi, Kijijini CHIGUGU kuanza maisha mapya

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 9 місяців тому +5

    Respect Hiphop 👊✊

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 9 місяців тому +2

    Amani wana🇰🇪 namkubali Maalim Oi Oi

  • @nasrikileo
    @nasrikileo 9 місяців тому +3

    Asante kaka kuvi kibonge tozi

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz 9 місяців тому +3

    Nash nimeanza kusikia nyimbo yake ya TABIA nikiwa simjui kabisa, ila badae nikamjua... kupitia tamaduni music

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 9 місяців тому +4

    Nash Mc namkubali Kwa ngoma zake za Mitihani,Naandika,VVU,Tabia na Mwalimu Mashaka

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 9 місяців тому +1

      @@emmanuelmayunga1518 Sana tu sema tu hizi Mainstreams media zinawabania Wasanii wa Hip Hop

    • @user-vy7zy8pb5c
      @user-vy7zy8pb5c 7 місяців тому +1

      Tafuta muhadhiri kaka

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 7 місяців тому

      @@user-vy7zy8pb5c Hiyo nitaisaka

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 8 місяців тому

    👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼HESHIMA KWAKO #Nash_Mc Zuzu...✍️🎤🎧🎵🎶🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q 9 місяців тому +3

    Kumbe huo wimbo wa kisa cha mwanafunzi umeimba we bro! Kumamamae wali, nilikuwa naupenda sana huu wimbo

  • @enezacleopa6272
    @enezacleopa6272 9 місяців тому +4

    Maalim Nash King 🤴 TMK

  • @tahfifdilham3688
    @tahfifdilham3688 2 місяці тому

    Huyu jamaa ana akili siyo sana mungu amjaalie kila a kher

  • @mariodattany
    @mariodattany 15 днів тому

    TOP SPIN

  • @jumajuma6612
    @jumajuma6612 9 місяців тому +3

    Mlete na Nikki Mbishi napenda wanaadisia toka walipoanzia

  • @jumazinga941
    @jumazinga941 9 місяців тому +2

    Nakubal zuzu

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 9 місяців тому +4

    Maalim

  • @Ndi_little
    @Ndi_little 9 місяців тому +2

    Nash ni mmoja tu 🔥🔥

  • @francismsobi3893
    @francismsobi3893 9 місяців тому +2

    Kaka fanya mpango tupate na ile uliyofanya na MC Koko Kalapina. Haipatikani popote pale..

  • @enezacleopa6272
    @enezacleopa6272 9 місяців тому +2

    Tamaduni 🎶🎶🎤🫡

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 9 місяців тому +2

    Kuvichaka 🐐

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 9 місяців тому +1

    LEGEND

  • @ahmedmudric9546
    @ahmedmudric9546 8 місяців тому

    Mwalimu nash mc mtoto wa temeke madege maenee kata 14

  • @briangodfrey1487
    @briangodfrey1487 9 місяців тому +1

    Gadafi

  • @user-cb9us5oi6d
    @user-cb9us5oi6d 9 місяців тому +1

    Kipindi hicho naanza kumuona nash ni pale BRITISH COUNCIL kwenye harakati walizokuwa wanazifanya kina zavara na jamaa anaitwa evance..

  • @mtuporicharles9110
    @mtuporicharles9110 9 місяців тому +3

    Hac.15

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 9 місяців тому +1

  • @warrapgtimamuskillz6872
    @warrapgtimamuskillz6872 9 місяців тому +2

    Oyaa wanataka PIN CODE 😂😂😂 shwain zao

  • @kessylyuma2593
    @kessylyuma2593 9 місяців тому +1

    Nash mc