EXCLUSIVE: MASTER JAY - kwa mara ya kwanza afunguka kuvunjika kwa Ndoa yake/ mahusiano yake na SHAA
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Hii ni sehemu ya kwanza ya Interview yetu ambayo ameongea mambo mengi sana sana kuhusiana na maisha yake binafsi ambayo hakuwahi kuyaongea popote na mengineyo, uchaguzi alioshiriki wa ubunge na mengi mengineyo
kuna sehemu ya pili ambayo ameongelea mengi itakayokujia hivi punde
Kwa nini master j asiwe mwenyekit wa basata embu nipen like zangu
Anaweza kwel!!
Unasikiliza Interview had unatamani isiishe siyo wale wengine.......
Halaf wametupunja muda dk46🤔
Naogopa
cheeefu kukunja nne iyo vpi mnakera
I think mtu akiongea kwa utulivu anakuwa real na unamjua mwenyewe halisi.Master ur a gentleman.
Mishono ya vitenge MAHARUSI nk
Bonyeza link pia usisahau kusubscribe
ua-cam.com/video/XJhHfxDpRdQ/v-deo.html
Zama pls huyu aliyokuremba ndio kaupatia haswa mshikilie huyo awe anakutemba kila siku,
Yaani make up imekaa vizuri sana
Umeonaeeeh
Kapendeza sana leo
Nikweli kabisaa amemremba vizuri sana
Ata mm nmeona
MJ is such a gentleman. Natamani wanaume wote wawe kama yeye. You just love your family a lot na hujataka ugomvi wenu na your ex wife watoto waathirike psychologically may God bless you for that
Master J umezidi kua young en handsome. BG up Mtu wangu .
Wewe ni baba bora Wa kwanza nimekuona hasa kujali familiya
Zama uwashe hata feni basi ama sehem iwe na AC au kaupepo..... Wageni wako wanajifuta sana jasho, na kaglas kamaji kawepo piaa
Kabisa.. maana Master J anaonekana kuteseka kila saa anajifuta uso sjui ndo mapoz yake ya kuongea
@@janemhagama1925 sio mapozi yake hata, angalia hata interview ya Lukamba atlist alikua na tissue anajifuta jasho. Nadhan Zama aliangalie hilo kwa wageni wajao....
Hasomagi comments naona
Labda ipo
Yanii kuhusuu maji tissue kashauriwa sana sjui hasomi comment
Boresha kipindi chako sana, yaani najikuta nafoward
Sauti,sijui na camera man wako...mara tunaona miguu tu...
Yani kipindi kizuri sana ila zamaradi unanong'ona sana unae muoji anatoa sauti wew upo chini sana
Hay ndio mamb tunayatak unawalet wakin uchebe hawajuw hat kujibu maswali ila hap tunaenjoy kabisa
🤣🤣🤣🤣
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@@najmakikula4929 😂😂😂😂dah
UtasemA hana mdomo
Zama watu kaa uchebe usituletee ten tunapenda watu wanaojielewa maan ya intev
Umeongea 100%hajui mana ya intv kma muhuni wa manzese mamae
Kabisa yaan umeongea point dear
Hahaha yan wewe
Interview ni nzuri, japo sauti ya host Zamaradi ipo chini, ni kama unanong'oneza, kuna mpishano mkubwa kati ya mtangazaji na Master Jay.
Kama anatongozwa bwana🤣🤣🤣
Yani master j kama gadner... Yani kabla ajajibu anatafakari... MaJibu yake ndio maana point tupu
Master your so Genius 🙌 Maproducer wanamaisha magumu sanaa fanya Uwasaidie maana master wewe ni msomii najua Unawezaa
Nakukubali Sana Kaka kuna mijanaume ikiachana na mkewe anamfukuza na watoto anawatelekexa yeye anabaki ndani na mke mwingine watoto wanabki wanaangaik
Enterview km hizi ndo tunataka sio zakina harmorapa iseee.
Hahaha Master umenifurahisha sana et nimebaki na kipara changu dah hahahah
Hahahaha
Hahahaaa
🤣🤣
Zama jitahidi kua unapandisha sauti yako kidogo
Kweli kabisa zama kwenye Sauti unaboa sana my jitahidi kwahilo ukitaka kumckia vizur uvae foni
Nikadhani labda simu yangu
Madai yake.. yuko sex and romantic.. mxiuuu
umependaza sana zile rasta zilikua zinakuzeesha
Kweli
Kapendeza sana pia
Nu Zamaradi Mukatema? Awo ni Zamaradi Mukashema. According to your relative u have Rwandese blood. Yr real name is Rwandese name Mukashema . Jinaclako halisi Zamaradi Mukashema unchanged to be Tanzania name Zamaradi Mukatema. Ni kweli .
😅😅😅😅😅😅 shaaaa ni mpumbavu unakubali kuwekwa kimada miaka 15 na mkewewe wa ndowa yupo hai loooo😅😅😅😅😅
ila we ni Mwanaume 🙌
Jamani naweza kupata number ya master j, for construction business
Katika watu niliowahi kuwaona wana rasta Master J pekee zilikuwa zinampendeza wengine naonaga vituko tu. Nimesikitika alivyozikata jamani
🔥😂😂🔥huyo mwanamke anakupenda bdo ndo maana alikuwa atak umpe talaka leo ndo nimepata jibu kwann mmekaa na shaaa mda mrefu kwenye mahusiano usingeweza kumuoq shaaa wakat hujampa talaka mke wako
Unajua kujibu maswali sana
Master daah hakika Mungu ndio kila kituuuu
Pole poppppppplopppppppppppppppppppppppppppppppppppp
Hongera sana master J kua na msimamo kwenye mahusiano yako Shaah ndie mkeo halisi mungu awasimamie muweze kufunga ndoa hongera yake shaa kwa uvumilivu mkubwa mungu mungu awasimamie inshaallah
Aliyemsikia Master J anasema amebaki tu na KIPARA CHAKE, agonge "like" hapa. Hahahaaaa.
Zamaradi ongeza sauti kwenye interview zako
sijui kwanini, vipindi vyote vya TV afrika havina sauti ya kutosha, wamelogwa??
Hongera sana Zama hasa kutoa ile back sound ilokuwa inapugwa yani ilikuwa inaharibu sana maana interview ilikuwa hasikiki kabisa, sasa hivi tunakia mazungumzo yenu vizuri sana kama tuko sitting room wow. Good job
Bravoooo...ucfe moyo penye uhai mbele ya safari naamini utawakilisha InshaAllah
Yani zama sikuizi interview zako ata siangalii kwajili ya sauti jaribu kurekebisha hilo jamani 😢
Inaonekana chumba anachofanyia interview hakina vitu vingi sauti inajirudi ndani
anaboa kweli sauti anabana
Master saut inasikika lkn huyo zama kam anatongozwa vile kisaut cha hiniiiiii
Body language mikono imefungwa Zamaradi...` open yourself up watu wa nchi za nje wana angalia hii shoo sio wabongo tu
zama punguza pozi pandisha sauti hatukusikii
Kamuon mwanaum nd man saut vhin
Kumbe master j,unaekima ivyo
Excellence interview, I like the way the man is answering the question, it is professional
Nc
Dada zama tunaomba , interview nyingine uongeze sauti yako ,ni ndogo Sana hatusikii
Yani hapo umeongea, na tushukuru hata ametoa ile back sound walokuwa wanapiga wakati wanaongea
Zamarad umependeza sana sana.naomba uwe hv kila cku..sio yale mapodoz ya cku za nyuma kw kweli hapana .Wewe ni mrembo sana Chunga sana uvaaji wako..na huyu aliekupamba Leo shkamoo yke ,hongera sana.sisi mashabik wako tunakupenda tukuone hvi kila cku hutuangush.
Wanaume wa kichaga ni kaka zang na baba zangu wanajua kupenda sana especially familia zao sisem wengine hawajui sijui upande wa wengine lakin wanaume wa kichaga kweny familia zao
Yani anaakili uyu interview hadi raha
Sauti ya tangazo iko good ila ya kwako sasa hm?!
Dd zama (dada wakazi vp mbona kimny
Dread na Rasta wht is different?
Furaha ya mtu ndio muhimu Leo hii nashangaa kina chuchu Hans wadhalilika kwaajili ya kitoto kimoja tu
Nimependa Sana ulivyomtaja mungu kuwa nguzo wengine wangetaja RICKROSE, DAVIDO, NICKMINAJ
Umeongea point. Ndoa ikiwa na ugomvi ni bora mmoja aondoke.. Inaharibu hata watoto
Nice interview. Sasa hawa ndio watu wa kuwahoji...ukimalza kuona una gained MADINI
nimejifunza
Wow shaa umebahatika masha Allah mufunge ndoa tu ndio nawaombea
Tume enjoy na *Master J* c haba one love 👍
Ubunge I guess 🙋🙋🙋
Kwa kweli Zama wewe husikikikabisa sauti ndogo
Fanya kinachokupa Raha shaaaa ndyo fulaha yako asntee Sanaa
Mama works with the UNDP
Sauti da zama,sauti ndogo sana
Zama ur voice is too low jmn , Master J anasikika vzr sn
Kweli haskiki
Kama anamtongoza bana
...duh Zamaradi toa sauti tafadhali, sauti kama ya kitandani bana😬
Wow, interview nzuri kama kawa
Master Jay
Master J amependeza sn,Grey Suit with Raba,so smart,
Dhuuuh Zama kama ipo chumbani
Sauti yako Zama ipo chini sanaaaa
🔥🔥🔥🔥🇬🇧🇬🇧🇬🇧 master J ❤️
Exactly umoja ni nguvu, powerful words Master J
Zama unaboa kipenzi changu sauti yako ndogo mtu simu ashike tu anasikika mmoja wewe usikiki
Master J big up bro🥂👏🏽👏🏽
Zamarad saut yako ipo chini Sana unaongeya kidogokidogo kama upochumbani na mmewako bahn
Kosa sana kuachana, na MUNGU BABA hapendi na hajawahi kupenda, kunakutolea hesabu. Hakuna jambo lisilokuwa na toba au msamaha! Kuweni makini.
Imekuwa kubwa
Kweli kabisa watu wanaiga mambo ya dunia na kuona n kitu cha kawaida
Ni Zamaradi Mukatema? Awo ni Zamaradi Mukashema?.According to one of your relative he told me you u have Rwandese blood . Jinalako kawaida ni Mukashema imegeuzwa Mukatema to sound Tanzanian name: ni kweli ? Awo amenidanganya? But I can Rwandese blood on u ( zura)
Wajumbe wabaya sana 🤣🤣
Dada jamani sauti inasumbua hebu jaribu kulifanyia kazi Dada, I'm watching you from Reunion island, Amejielezea vizuri sana kuna mengi ya kujifunza ila sauti yako iko chini na sauti ya upande wa pili iko juu sana❤
Nakupenda dada zamarad
Hahaha kanitajaa
Woooow
Nasubiri sehemu ya pili
Bora uliambulia kura 2., Unaonekana unazarau ETI CROWN sio gar.? Ni baiskeli au.?
Yn dd zama hatukuckii kbs improve mice zko plzzz
Grate father hongera Sana
Crown ya WCB
Da zama fen pls,sio kwa kujifuta jasho
Anafunguka mpaka raha
Zama huyo sound nn sijui yupoje ina maana yeye hasikii km ww husikikii
Interview tamu hii jamani
Wewe ni kweli ulitaka kumsapoti mwenyekiti wa Chama chako tunajuwa.!!
Interview hadi laha so wale kina uchebe kujieleza hawajui
Sauti ndogo sana zama
Mmh leo namtetea sauti ilikuwaga ndogo kwenye other interview...but now sauti ipo poa.
Zama sauti yako ndogo sana ,uwe unaongeza sauti
Duh Yan zamarad anaongea sauti ya mahaba Sana duh unazingua sister toa saut sister utasema kipind Cha mahaba.
Zama sauti yako inakua ndogo sanaa...Jitahidi uongeze saut.
Zama una host vizuri Sana dia
Ila zama unaboa bwan, ww saut kila cku iko chin why yan husikik jmn, mbona hao unawahoj wanatoa saut
Mbona minamsikia au ww kiziwi
@@sarahtony3937 kama ww unamsikia bac kama ulivyo sema itakuw mie kiziwi kwel
Master j kafanan na salim kikeke wa bbc
Dah.....upo vizurii jamanii unamuamini Mungu safi sana!!
Master you talk madiniii
Nampenda Master Jay sana na huyo Shaa.
Anaongea vizuri, Interview iko poa sana.
Fanya namna umhoji Salama na Lea Mwendamseke plse!.
Ľ
Ila zama sauti ipo chini