Professor Jay: Tulikuwa tunakunywa maji ya bomba la chooni na kushindia mihogo tu (Part 1)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 тра 2021
  • Professor Jay anasimulia miaka ya mwanzo ya muziki wake na jinsi ambavyo walifanya kazi katika mazingira magumu na umaskini mkubwa
    #ChillnaSky

КОМЕНТАРІ • 82

  • @edwardyaa6956
    @edwardyaa6956 3 роки тому +9

    Interview ya kikubwa sana tunatazama na family kutoka Bahrain

    • @albertomolo8147
      @albertomolo8147 3 роки тому +2

      Naona unazifuatilia sana habari za bongo flava bro. Ni Mangi

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 роки тому +3

    Sns na maximum TV team nawapenda sana,kwani mko on point,wakweli na high Q💪.Napenda Interview ya P'J(mheshimiwa).Mungu awabariki nyote❤️🔥🙏🇰🇪.

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 4 місяці тому

    The stories are really touching and teaching. Peace.

  • @SWAHILINATION
    @SWAHILINATION 3 роки тому +8

    Two legends✊🏿
    My inspirations Sky for media and Jay for Hiphop. Tanzania we’re truly blessed

    • @christiancaden1278
      @christiancaden1278 3 роки тому

      I realize I'm kinda off topic but do anybody know of a good site to stream newly released series online?

    • @achillesgabriel6847
      @achillesgabriel6847 3 роки тому

      @Christian Caden I use Flixzone. You can find it by googling :)

    • @zaneari4730
      @zaneari4730 3 роки тому

      @Christian Caden I would suggest FlixZone. You can find it on google =)

    • @forrestdarren2039
      @forrestdarren2039 3 роки тому

      @Christian Caden I watch on flixzone. You can find it by googling :)

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 3 роки тому +1

    Dah nimeenjoy mnooo,memory ni nzuri sanaaaa,zinaburudisha,zinatukumbusha mbali sana.

  • @noxiousmashairi
    @noxiousmashairi Рік тому +1

    Nairobi Kenya tunamkubali Proff Jeezy

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 3 роки тому +2

    Magwiji wawili juu ya meza moja! Noma sana

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 роки тому +3

    Mm nipo omani nawapata vizuri sana sky nakukubar mno hebu weka koment yako nifurai leo👌👌👌☺️

  • @freddieelice6377
    @freddieelice6377 3 роки тому +2

    Nice interview, daaaah, huwe unakaa na hawa watupe Safari zao, zinavutia Sanaa

  • @mozeytherealalien5634
    @mozeytherealalien5634 3 роки тому +2

    🇧🇮🇧🇮 love from burundi

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 4 місяці тому

    I admire this guys, they are so humble. I have been following their interviews. Super proud of you Jay. Peace.

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 4 місяці тому

    Have followed it to the end, very good interview. Indeed Jay aka Nigga Jay is talented. Peace.

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 3 роки тому +2

    Wakubwa kama wakubwa nyieee.... 👊✋

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 4 місяці тому

    Forever the King. Jay God bless you. Jay wee ni Mwambaaa. Peace.

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 3 роки тому +1

    Yani interviews za Pro Jay uwezi choka kumsikiliza maana yuko vizuri anajua kujieleza na anatiririka kwelkweli.

  • @billnemess9369
    @billnemess9369 3 роки тому

    Love from 🇧🇮🇺🇸 professor Jay ndie alinifanya nikaipenda Rap na hip hop kabisa 2006! Nikusaidieje ndo ilinifanya nimujuwe professor Jay! Mpaka sasa naipenda sana ile ngoma sana! I wish Bong hip hop ingerudi kuwa vile!

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 11 місяців тому

    Profesa j umeua

  • @erickmweta8215
    @erickmweta8215 3 роки тому +1

    Bless up kutokea Abu Dhabi
    @simulizinasauti

  • @niyongendakosamuel4674
    @niyongendakosamuel4674 3 роки тому +1

    Moja kubwa kuliko entervieu zote sky

  • @binarytanzania
    @binarytanzania 3 роки тому +1

    Interview Kali mno
    Sasa ngoja nkaangalie bongo dar es salaam na zali la mental upya

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 Рік тому +1

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 Місяць тому

    Tunayeiangali 2024 hii intavyuu tujuane

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 Рік тому +1

    Nature kupakwa powder😂😂😂

  • @janvierramazani2189
    @janvierramazani2189 3 роки тому +1

    Chillna sky na kuwaka naku kubali Sana bro you know how to do interviews all the way from SA I wish to meet you when I come there in dar salama

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 3 роки тому +2

    Good Artist

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 3 роки тому +1

    Bcoz of this interview I have to go for the song bongo daresalam

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 3 роки тому +2

    Endelea kuwa darassa kwa vijana wanaokuja kwenye hii tasnia ya utangazaji bro! Hasa jins yakuuliza maswali

  • @afreecastzaxie
    @afreecastzaxie 3 роки тому +1

    namkubali sana jay

  • @ThaFunkHouse
    @ThaFunkHouse 3 роки тому +1

    Ngomanagwa & Joseph FamLeee

  • @masungajames4250
    @masungajames4250 3 роки тому

    nakipenda sna hichi kipindi bro vp Adam mchovu anatakiwa aje kwenye hicho kipindi kwamana namkubarii sna

  • @vibeanytime8783
    @vibeanytime8783 3 роки тому +7

    Nipeni like zangu 1k kama wewe ni team SnS

  • @hamadeddy3046
    @hamadeddy3046 3 роки тому

    Mtafute na Afande Sele hapo leo namuona Profesa Jizzle

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 роки тому +1

    Safi sanaaa

  • @eliassabbath2480
    @eliassabbath2480 Рік тому +1

    Bunda nyumbani

  • @Femksful
    @Femksful 3 роки тому

    Interview nzuri SANA hii!! 💯%!!

  • @samuelezequiel7612
    @samuelezequiel7612 3 роки тому +1

    Chilly na sky🔥

  • @AMwamzola
    @AMwamzola 9 місяців тому

    It's was my favorite song on that time

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 3 роки тому

    Interview bora sana hii

  • @emmanmollel8886
    @emmanmollel8886 3 роки тому

    Bonge moja la interview aisee

  • @itNeza
    @itNeza 3 роки тому

    Anasema Story za Mwaka nilipo Zaliwa Dhuu ( Legend kabisa Ma 90 huko ) 🙄😁

  • @hamimualmas9663
    @hamimualmas9663 3 роки тому +1

    Umempa idea yangu sky nlitaka nifanye part two

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 3 роки тому +3

    Nature 😂😂😂😂😂😂

  • @qualitydon7753
    @qualitydon7753 3 роки тому

    Always +974 respect sky

  • @panjumitindo1135
    @panjumitindo1135 3 роки тому +1

    Bunda Nyumbani Kipindi Iko Ndo Naanza Shule Ila Kuna Bro Wangu Alikuwa Anamsikiliza Sana Nigga Jay Kitambo Sana

  • @kahawathungu
    @kahawathungu 3 роки тому +1

    Professor Jay mcheshi sana. Ndio maana hazeeki

  • @kinani_bwoy
    @kinani_bwoy 3 роки тому +2

    Kama king waburundi big fizzo the Bantu bwoy

  • @AMwamzola
    @AMwamzola 9 місяців тому

    Bongo dsm

  • @breezy9398
    @breezy9398 3 роки тому

    Mashabiki wa sns naombeni msaada wa ku subscribe channel yang ya you tube 👏👏

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 3 роки тому

    Bonge la kipindi 😍

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga6313 3 роки тому +1

    Siri ya urembo ya bwana huyo ni mama lissa

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo656 3 роки тому +1

    Bunda kwetu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 3 роки тому +1

    Utanambia nn

  • @vibeanytime8783
    @vibeanytime8783 3 роки тому +1

    Dah... nimekuwa wa kwanza 🤣🤣

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 3 роки тому +2

    Intewiew kali ebu leteni lavalava na zuchu yani wcb tafuteni jamani tujue mengi