Professor Jay: Tulikuwa tunakunywa maji ya bomba la chooni na kushindia mihogo tu (Part 1)
Вставка
- Опубліковано 2 тра 2021
- Professor Jay anasimulia miaka ya mwanzo ya muziki wake na jinsi ambavyo walifanya kazi katika mazingira magumu na umaskini mkubwa
#ChillnaSky
Interview ya kikubwa sana tunatazama na family kutoka Bahrain
Naona unazifuatilia sana habari za bongo flava bro. Ni Mangi
Sns na maximum TV team nawapenda sana,kwani mko on point,wakweli na high Q💪.Napenda Interview ya P'J(mheshimiwa).Mungu awabariki nyote❤️🔥🙏🇰🇪.
The stories are really touching and teaching. Peace.
Two legends✊🏿
My inspirations Sky for media and Jay for Hiphop. Tanzania we’re truly blessed
I realize I'm kinda off topic but do anybody know of a good site to stream newly released series online?
@Christian Caden I use Flixzone. You can find it by googling :)
@Christian Caden I would suggest FlixZone. You can find it on google =)
@Christian Caden I watch on flixzone. You can find it by googling :)
Dah nimeenjoy mnooo,memory ni nzuri sanaaaa,zinaburudisha,zinatukumbusha mbali sana.
Nairobi Kenya tunamkubali Proff Jeezy
Magwiji wawili juu ya meza moja! Noma sana
Mm nipo omani nawapata vizuri sana sky nakukubar mno hebu weka koment yako nifurai leo👌👌👌☺️
Asante sana Hameda
Nice interview, daaaah, huwe unakaa na hawa watupe Safari zao, zinavutia Sanaa
🇧🇮🇧🇮 love from burundi
I admire this guys, they are so humble. I have been following their interviews. Super proud of you Jay. Peace.
Have followed it to the end, very good interview. Indeed Jay aka Nigga Jay is talented. Peace.
Wakubwa kama wakubwa nyieee.... 👊✋
Forever the King. Jay God bless you. Jay wee ni Mwambaaa. Peace.
Yani interviews za Pro Jay uwezi choka kumsikiliza maana yuko vizuri anajua kujieleza na anatiririka kwelkweli.
Love from 🇧🇮🇺🇸 professor Jay ndie alinifanya nikaipenda Rap na hip hop kabisa 2006! Nikusaidieje ndo ilinifanya nimujuwe professor Jay! Mpaka sasa naipenda sana ile ngoma sana! I wish Bong hip hop ingerudi kuwa vile!
Profesa j umeua
Bless up kutokea Abu Dhabi
@simulizinasauti
Moja kubwa kuliko entervieu zote sky
Interview Kali mno
Sasa ngoja nkaangalie bongo dar es salaam na zali la mental upya
✊
Tunayeiangali 2024 hii intavyuu tujuane
Nature kupakwa powder😂😂😂
Chillna sky na kuwaka naku kubali Sana bro you know how to do interviews all the way from SA I wish to meet you when I come there in dar salama
Good Artist
Bcoz of this interview I have to go for the song bongo daresalam
Endelea kuwa darassa kwa vijana wanaokuja kwenye hii tasnia ya utangazaji bro! Hasa jins yakuuliza maswali
namkubali sana jay
Ngomanagwa & Joseph FamLeee
nakipenda sna hichi kipindi bro vp Adam mchovu anatakiwa aje kwenye hicho kipindi kwamana namkubarii sna
Nipeni like zangu 1k kama wewe ni team SnS
Mtafute na Afande Sele hapo leo namuona Profesa Jizzle
Safi sanaaa
Bunda nyumbani
Interview nzuri SANA hii!! 💯%!!
Chilly na sky🔥
It's was my favorite song on that time
Interview bora sana hii
Bonge moja la interview aisee
Anasema Story za Mwaka nilipo Zaliwa Dhuu ( Legend kabisa Ma 90 huko ) 🙄😁
Umempa idea yangu sky nlitaka nifanye part two
Nature 😂😂😂😂😂😂
Always +974 respect sky
Bunda Nyumbani Kipindi Iko Ndo Naanza Shule Ila Kuna Bro Wangu Alikuwa Anamsikiliza Sana Nigga Jay Kitambo Sana
Bnd home
Professor Jay mcheshi sana. Ndio maana hazeeki
Kama king waburundi big fizzo the Bantu bwoy
Bongo dsm
Mashabiki wa sns naombeni msaada wa ku subscribe channel yang ya you tube 👏👏
Bonge la kipindi 😍
Siri ya urembo ya bwana huyo ni mama lissa
Bunda kwetu
Nyumbani
@@panjumitindo1135 sehem gan om boy
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Utanambia nn
Dah... nimekuwa wa kwanza 🤣🤣
Hongera sana
@@SimuliziNaSauti mpeni hela sio hongera tuu...
@@shabanimanyank8950 😆😆😆😆
Intewiew kali ebu leteni lavalava na zuchu yani wcb tafuteni jamani tujue mengi