Uraibu ni Adui mjanja Sana wa maisha brother ☝️ utegemezi wa hatari na ulazima wa kufanya hata usichotaka na kustahili kufanya rest in soul peace Ngwea
Msuli tembo matokeo sungura anamaanisha unafanya kazi kubwa sana compared to ukubwa wa tembo and matokeo ya kazi uliofanya yanakua ni madogo compared to sungura
Fidy we mwenyewe upo lever za mangaribi mzee baba kuna tofauti gani na unavyoviongea zaidi ya imani ya mungu
Fid Q: msanii bora kuwahi kutokea. Jamaa yupo vizuri sana.
Ngosha the Don saruti
ALWAYS....APPRICIET...TO U BRO..🙏🙏🙏🎧🎤🔥🔥🔥🔥🔥...EQ....KUBWA..CHANGE GAME BRO..TENA....BIG MAN....🔥🔥🔥🔥👌🎧 ON THE MAP 🔥🔥🔥🔥
Napenda interview ziko conscious kama hii.Sio kufocus tu kwa fake lifestyle halafu tunakosa kuangalia real issues
NGWEA ni tupac wa Tanzania uyo
Ushasema mkuu 🇰🇪🇰🇪
Upo vizuri sana mzee baba
Oyy Jr eeh! Fid ni story teller ujue !😂😂
Uraibu ni Adui mjanja Sana wa maisha brother ☝️ utegemezi wa hatari na ulazima wa kufanya hata usichotaka na kustahili kufanya rest in soul peace Ngwea
Hiyo ya msuli tembo matako ya sungura ....... Naipitia 😇😂😇😂😇
Msuli tembo matokeo sungura anamaanisha unafanya kazi kubwa sana compared to ukubwa wa tembo and matokeo ya kazi uliofanya yanakua ni madogo compared to sungura
Ukweli kabisa🔥✅
Rest in peace Albert magwair
fid we no noma speech ya ki profesa
Wakazi hana lolote hawezi kumfikia ngwer hata kidogo wakazi mlopokaji tu
Wajob hataki kabisa kukubali
Nasubiri tu kuona collaboration Yako mbuzi na kijana wako dizasta
Tena Chorus tunamupa Mr bleue
Respect May brother
Sout ipo chini kidogo 🙏
Fid q ile Ngoma ya I'm profeshino ile beat projuza gani alinyonga
DUKE
Msodoki anamuanaje fid
Daaaaaaaaaaaa huyu jamaa Ana akili gan duuuuuuu jiniaz
The don fid q
stor haina unafiki yan izi nyumbu za sk iz kumsfia mwenzie
fid Q HATARIII
Nakubali Fid
Kubwa sana hii
Ngosha the Don hauna aja na tuzo zao tumesha kupa tuzo mtaani
R.I.P Albert Mangwear
#bigman
Mzee mbuzi umeua
Vyima vimekutana
❤❤❤
Mimi binafs huyu mtuu natambua alicho nachoooo
Fid q mi ukianzisha dini nakua muumini wako
Ana converce Power huyu jmaa kkkkk
Ila huyu jamaa