"Nilianza Kujitegemea Nikiwa Na Miaka 17" AY Afunguka Maisha Kabla Ya Umaarufu | SALAMA NA AY PT 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    THE ARCHITECT
    Sasa ule usemi wa ukitaka kujua tabia za mtu waangalie Rafiki zake pengine unaweza kuanzia hapa kwa mtu ambaye atakua anataka kunifahamu mimi vizuri, maana hakuna mtu ambaye hajui ukaribu uliopo kati yangu na Ambwene Yessayah, kabla hatujakua na vitambi na kutambulika kwa majina yetu mawili sisi tayari ni marafiki, na pengine sasa tumeshakua ndugu.
    Yeye kazaliwa Mtwara huko nami nimezaliwa Unguja, wazazi wake ni kama wazazi walonilea mimi, mara nyingi kulikua na transfer za kazi kwao kwahiyo kuhama kutoka mkoa mmoja na kwenda mwengine kila baada ya miaka kadhaa ilikua jambo la kawaida tu, ingawa lilikua linakera haswa kwa kina Kaka na Dada zetu ambao tayari wao walishakua wakubwa kiasi na washajichagulia marafiki zao, ilikua tafrani tena kuanza kutafuta marafiki wapya na kuhamia shule mpya na mazingira mapya kabisa. Ila hili ndo pengine limemfanya Rafiki yangu Ambwene Allen Yessayah awe mbunifu na muerevu katika maisha yake na kazi zake ambazo amekua akizofanya kwa umahiri kwa zaidi ya miaka 18 sasa.
    Miaka ya karibuni AY atatimiza miaka 40 toka amekuja hapa duniani na kwa bahati mbaya wazazi ambao wamemleta duniani walishatangulia mbele ya Haki na Mwenyezi Mungu Awarehemu, ila AY anakumbuka mahusiano yake na Mzee wake, wakati anakua, ukaribu wao, kazi ambazo alikua anazifanya na pia alikua Baba wa aina gani. Mahusiano yake na Kaka yake na Dada zake wawili (Dada mmoja mkubwa na mwengine mdogo wake wa mwisho) ni ya karibu sana. Yeye alichukua jukumu la kuwa ‘Baba’ mara baada ya kuanza kutengeneza pesa kwenye fani yake na mpaka Marehemu Mama yake anatangulia mbele ya haki alikua anakaa kwenye nyumba ambayo Ambwene alikua anaiangalia.
    So nini kilimfanya achague muziki? Mama yake alikua radhi na hili? Kuhusu shule je ambayo alikua yuko vizuri nayo tu? Aliachana nayo vipi? Mahusiano yake na East Coast Team? Mwana FA? Muziki na pesa? Yeye kuwa wa kwanza kurekodi na kufanya shows nje ya Tanzania? Vipi kuhusu industry hii na maendeleo yake? Je tuko sehemu salama? Sehemu nzuri? Future yeye hasa anaionaje?
    Kuna mengi yalifaa kuongelewa humu ila kuna na mengine ambayo wakati wake wa kuyazungumza haukua muafaka, lakini suala la yeye kuwa Baba kwa mara ya kwanza hatukuweza kuliacha liende bila ya sisi kutoa hongera zetu. Aviel ndo jina la kijana wake wa kwanza, experience ya kupata mtoto kwa mara ya kwanza nayo hatukuiacha kuizungumzia.
    Yangu matumaini kama ilivyo ada, utayaelewa maongezi yetu haya na kutakua na mawili matatu ya kujifunza ndani yake.
    Nakutakia uangaliaji/usikilizaje mwema.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

КОМЕНТАРІ • 91

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 2 роки тому +14

    Dada Salama kweli una watu wengi,nafuatilia sana najifunza sana halafu unaleta watu ninao wakubali sana
    Mungu akupe umri mrefu ndugu yangu

  • @africanlife2331
    @africanlife2331 2 роки тому +17

    Salama i like the party always you want to let the one know that you love them. I didn’t get to hear that from anybody else. Salama I really want to let to you know that “nakupenda sana sana dada akee”na I really appreciate hiki kipindi chako. Hope utatuletea mama (Her Excellence) mwenyewe kabla hajaondoka madarakani. Nitakuwa hapa kukushukuru 🥰

  • @ChilonwaJr
    @ChilonwaJr 2 роки тому +7

    Mimi napenda interview zenu sana na ninafatilia sana nashauri tu kwenye upande sounds muweke mitambo freshi sauti inakua na mwangwi flani ivi! But all in all nice work & good energy 👍🏿✅🔥

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 2 роки тому +9

    Of course pesa inaleta furaha ktk maisha mm nikiwa na elfu tano tu bas amani ya moyo na furaha inapatikana

  • @ndizeyeradjabudillan2954
    @ndizeyeradjabudillan2954 Рік тому +3

    Mwanangu nimemuita ambwene yesaya

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 2 роки тому +9

    AY pesa ndio solution ya vitu lakini sio kupata furahaaa

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu2076 2 роки тому +5

    This man is very smart

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 Рік тому +4

    Ay anakaundugu na JAY Z angalieni vzuri

  • @khamishaji9224
    @khamishaji9224 2 роки тому +3

    Dada salama mambo vip tunaomba tuletee prof.Abdul-razak Gurnah

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 2 роки тому +5

    I love this dude, a good thinker

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 роки тому +4

    Zee When he' is Around..It's a good vibes🙌🏾❤️🙈❤️Nice show Auntie kiduchu

  • @skulfees5453
    @skulfees5453 2 роки тому +3

    Interview ya Sallama na AY hukuwa sio kama Interview iko kibeste sana 😀😀

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 Рік тому

    One day I wish I can be having an interview with Salama,🙋🏻‍♀️ and these are the following questions about salama,1. Hu is your Dude 2.What is your level of education?3. What do you think is the place of originality in tanganyika

  • @LeJayTai
    @LeJayTai 2 роки тому +6

    Unyama mwingi sana #SALAMA #MZEEWAKOMESHO
    BONGE LA SHOW!

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 2 роки тому +7

    kweli AY ni rafiki mkubwa wa SUGU..mpaka unajua jamaa ni mtu wa Songea...ni wachache sana wanalijua hilo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 місяці тому

      😂😂sio wachache, kama aumfatilii mtu uwez kujua asili yake lakin ukisikia haule moja kwa moja unajua ni wangoni

  • @msafirikilongo7429
    @msafirikilongo7429 2 роки тому +6

    Naamini bro.....
    Life is about hardworking and creativity

  • @abduly.snootie
    @abduly.snootie 2 роки тому +3

    #SalamaNaAY ZEE" I'ts a Big Big "CONVERSATION" S/O Kwao ni "MADINI" TU.📌💯🔥🔥🔥🔥🔥

  • @edinamkubwa2629
    @edinamkubwa2629 5 місяців тому

    Tunashukuru kwa interview nzuri!!! Tunaomba utuletee Jimmy mafufu

  • @ednamwakalundwa7895
    @ednamwakalundwa7895 2 роки тому +2

    Neno la shukrani, nimependa AY anavyomshukuru Mungu kwa ajili ya maisha yake🙏🙏🙏

  • @wanzakleruu
    @wanzakleruu 2 роки тому +4

    Salama na Eiwai 💪🙏

  • @amribihoga5127
    @amribihoga5127 2 роки тому +1

    ay ndio mwana muziki namkubari sana anavutia kwa kilanyanja

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 роки тому +2

    ila salama et vipi nywele za sehemu zingine fresh lakini au uko umepunguza 😂😂😂🙌🏻

  • @KilimoNaBiasharaTz
    @KilimoNaBiasharaTz 2 роки тому +4

    Something wrong with the audio... still enjoyed but not salama quality

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +3

    Legendary AY

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Рік тому

    Safi sister salama mungu akupe heri zake Engineer

  • @michaelmallya5622
    @michaelmallya5622 2 роки тому +7

    Such a nice interview with my all-time favorite Tanzanian emCee

  • @speciozapius1115
    @speciozapius1115 2 роки тому +2

    Refreshing

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 2 роки тому +1

    Ay ft salama Jabiri duuh akiri nyingi Sana hapo

  • @MudaMasoud
    @MudaMasoud Рік тому

    Salama mungu amekataza kuweka nywele shm za siri kwa muda mrefu ikifika siku40 hajanyowa unapata dhambi lkn yale malika hutakiwi kutowa

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 2 роки тому +1

    Masta

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 2 роки тому +2

    Big up A-y 😍🔥🔥🔥💯

  • @yonas.johnson
    @yonas.johnson 2 роки тому +1

    Best show in tz

  • @kaisamjunior3692
    @kaisamjunior3692 2 роки тому +2

    BARBERIAN PARK GO KART @ DAR ES SALAAM TZ

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 2 роки тому +1

    Cjui hata mamake daimond anasikilizaje nyimbo za mwanae maan duh nyimbo nyingine hadi mtoto akiimba unaona aibu unabakia tu kumwambia usiimbe huu wimbo mbaya😣

  • @msuag3754
    @msuag3754 2 роки тому +2

    Yessayyah

  • @salvinampagama4503
    @salvinampagama4503 2 роки тому +5

    Profesa j ndio wasongea

  • @hassanesaide8469
    @hassanesaide8469 2 роки тому +1

    Salama da

  • @Wiliyamu
    @Wiliyamu 2 роки тому

    My Dawg ALLEN the GREATEST

  • @twayzo12
    @twayzo12 2 роки тому +1

    Tuletee interview ya sallam banaaa

  • @georgeludakulo4750
    @georgeludakulo4750 2 роки тому +1

    Master

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 2 роки тому +2

    daah leo wamekutana watu wawili wenye majibu ya mkato hahaaa

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 роки тому +3

    😂😂😂😂nawapenda

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 2 роки тому +1

    Salama mlete Mr Pimbi 😁

  • @jacobshani70
    @jacobshani70 2 роки тому

    Naomba unandae kipindi cha salama na fetty

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 Рік тому

    Ukiwa huna pesa unatamani kua na pesa ila pesa so furaha ya kila kitu

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 2 роки тому

    Hellow.
    Pongezi sana kwa kipindi hiki kikubwa sanaaa...
    Nawakubali mnoo...
    My question is...
    "That SendTip MPESA LIPA NO...."
    What is it for....?
    (Seems we have to work on it through your muongozo)
    Thanks...

  • @abdulnuruhassan8611
    @abdulnuruhassan8611 2 роки тому

    salam, nimeipenda hiii

  • @abdulhakimmuhammad2895
    @abdulhakimmuhammad2895 Рік тому

    😂😂 really Nice ❤ from Kenya

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Рік тому

    Machapion kweli hao

  • @rrchidy6208
    @rrchidy6208 2 роки тому +2

    24/04 hao jamaa na share nao

  • @wedream7506
    @wedream7506 2 роки тому +3

    Salama naomba umhoji feza kessy ww ni presenter no1 kbs na naamini itakuwa interview ya kibabe

  • @josephk90
    @josephk90 2 роки тому +2

    Sauti iko chini madam!

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 роки тому

    Kalasinga hawaruhusiwi kukata nywele zozote

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 2 роки тому +2

    Yaani mpaka leo sijajua kwanini salama anazifunika ushungi hizi spika wakati yeye havai???

  • @hunchotv2011
    @hunchotv2011 Рік тому

    amna kitu apo anajifanya tom boi kaenda marekani wakamla😂

  • @azzannassor6080
    @azzannassor6080 2 роки тому

    Nina share birthday na ndugu zake AY 🤩😎 24 April

  • @franktigi1495
    @franktigi1495 2 роки тому +1

    Zee 🤓

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 роки тому +1

    Mzee wa commercial

  • @sabanajunior9938
    @sabanajunior9938 2 роки тому +1

    Tangia mkasi mpaka Leo unamuoji mpka Leo kitu kile kile badilisha wengine km akina Nash mc Nikki mbishi p mawenge p funk majani master jay

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 роки тому

      Kakwambia rafiki yake Sasa hao ulio wasema Sio rafiki zake

    • @sabanajunior9938
      @sabanajunior9938 2 роки тому

      @@kwisa4899 elewa bwn mdgo sanaa ni ya wote sio kikundi fulan

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 роки тому

      @Humai_d8 usinge mjibu

    • @josephstephen1079
      @josephstephen1079 2 роки тому

      Nawewe andaa kipindi chako uwalete hao akina P mawenge usimpangie kitu cha kufanya

    • @victornjwango9683
      @victornjwango9683 Рік тому

      Mavi wewe

  • @josephstephen1079
    @josephstephen1079 2 роки тому

    Salama huo upaja

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Рік тому +1

    😁😁

  • @lucyprimi1409
    @lucyprimi1409 2 роки тому +2

    wa kwanza

  • @jamesmakame3491
    @jamesmakame3491 Рік тому

    👊👊👊

  • @salvinampagama4503
    @salvinampagama4503 2 роки тому +1

    Dugu mkinga bwana

    • @batholomeowella2055
      @batholomeowella2055 2 роки тому

      Sugu ni mtu wa Madaba kijiji cha Maweso Songea hata Matehemu Baba yake mzee Osmund kazikwa huko

  • @m9official685
    @m9official685 2 роки тому +2

    Unyakyusa mwingi

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 2 роки тому

      Unyama sana mwaisa Lol

  • @mylesaman1319
    @mylesaman1319 2 роки тому +2

    😂😂😂😂😂

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 2 роки тому +2

    Ila pua ya A.y inanipa wasiwasi sana ni sample ya Rwanda, pia kuna msiba tulienda kuzika mrwanda sinza makaburin A.y alikuwepo, 3, A.y kaenda kuolea kulekule Rwanda huyu jamaa sema basi tuu.

    • @owenmutale6691
      @owenmutale6691 2 роки тому +2

      Mama yke kwao Rwanda

    • @wanzakleruu
      @wanzakleruu 2 роки тому +1

      Mama ake ni Mrwanda pia kapata mtoto huko huko Rwanda

  • @patraychriss5723
    @patraychriss5723 2 роки тому

    Think tanks. Powerful. 🔩Millard , January M.K, H.Bashe, J.kusaga, Kaligraph. just thinking