"Nilianza Kujitegemea Nikiwa Na Miaka 17" AY Afunguka Maisha Kabla Ya Umaarufu | SALAMA NA AY PT 1
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
THE ARCHITECT
Sasa ule usemi wa ukitaka kujua tabia za mtu waangalie Rafiki zake pengine unaweza kuanzia hapa kwa mtu ambaye atakua anataka kunifahamu mimi vizuri, maana hakuna mtu ambaye hajui ukaribu uliopo kati yangu na Ambwene Yessayah, kabla hatujakua na vitambi na kutambulika kwa majina yetu mawili sisi tayari ni marafiki, na pengine sasa tumeshakua ndugu.
Yeye kazaliwa Mtwara huko nami nimezaliwa Unguja, wazazi wake ni kama wazazi walonilea mimi, mara nyingi kulikua na transfer za kazi kwao kwahiyo kuhama kutoka mkoa mmoja na kwenda mwengine kila baada ya miaka kadhaa ilikua jambo la kawaida tu, ingawa lilikua linakera haswa kwa kina Kaka na Dada zetu ambao tayari wao walishakua wakubwa kiasi na washajichagulia marafiki zao, ilikua tafrani tena kuanza kutafuta marafiki wapya na kuhamia shule mpya na mazingira mapya kabisa. Ila hili ndo pengine limemfanya Rafiki yangu Ambwene Allen Yessayah awe mbunifu na muerevu katika maisha yake na kazi zake ambazo amekua akizofanya kwa umahiri kwa zaidi ya miaka 18 sasa.
Miaka ya karibuni AY atatimiza miaka 40 toka amekuja hapa duniani na kwa bahati mbaya wazazi ambao wamemleta duniani walishatangulia mbele ya Haki na Mwenyezi Mungu Awarehemu, ila AY anakumbuka mahusiano yake na Mzee wake, wakati anakua, ukaribu wao, kazi ambazo alikua anazifanya na pia alikua Baba wa aina gani. Mahusiano yake na Kaka yake na Dada zake wawili (Dada mmoja mkubwa na mwengine mdogo wake wa mwisho) ni ya karibu sana. Yeye alichukua jukumu la kuwa ‘Baba’ mara baada ya kuanza kutengeneza pesa kwenye fani yake na mpaka Marehemu Mama yake anatangulia mbele ya haki alikua anakaa kwenye nyumba ambayo Ambwene alikua anaiangalia.
So nini kilimfanya achague muziki? Mama yake alikua radhi na hili? Kuhusu shule je ambayo alikua yuko vizuri nayo tu? Aliachana nayo vipi? Mahusiano yake na East Coast Team? Mwana FA? Muziki na pesa? Yeye kuwa wa kwanza kurekodi na kufanya shows nje ya Tanzania? Vipi kuhusu industry hii na maendeleo yake? Je tuko sehemu salama? Sehemu nzuri? Future yeye hasa anaionaje?
Kuna mengi yalifaa kuongelewa humu ila kuna na mengine ambayo wakati wake wa kuyazungumza haukua muafaka, lakini suala la yeye kuwa Baba kwa mara ya kwanza hatukuweza kuliacha liende bila ya sisi kutoa hongera zetu. Aviel ndo jina la kijana wake wa kwanza, experience ya kupata mtoto kwa mara ya kwanza nayo hatukuiacha kuizungumzia.
Yangu matumaini kama ilivyo ada, utayaelewa maongezi yetu haya na kutakua na mawili matatu ya kujifunza ndani yake.
Nakutakia uangaliaji/usikilizaje mwema.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Dada Salama kweli una watu wengi,nafuatilia sana najifunza sana halafu unaleta watu ninao wakubali sana
Mungu akupe umri mrefu ndugu yangu
👍👍
Wasanii wengi wazamani wanaeshima
Salama i like the party always you want to let the one know that you love them. I didn’t get to hear that from anybody else. Salama I really want to let to you know that “nakupenda sana sana dada akee”na I really appreciate hiki kipindi chako. Hope utatuletea mama (Her Excellence) mwenyewe kabla hajaondoka madarakani. Nitakuwa hapa kukushukuru 🥰
Mimi napenda interview zenu sana na ninafatilia sana nashauri tu kwenye upande sounds muweke mitambo freshi sauti inakua na mwangwi flani ivi! But all in all nice work & good energy 👍🏿✅🔥
Of course pesa inaleta furaha ktk maisha mm nikiwa na elfu tano tu bas amani ya moyo na furaha inapatikana
Mwanangu nimemuita ambwene yesaya
AY pesa ndio solution ya vitu lakini sio kupata furahaaa
This man is very smart
Ay anakaundugu na JAY Z angalieni vzuri
Dada salama mambo vip tunaomba tuletee prof.Abdul-razak Gurnah
I love this dude, a good thinker
Zee When he' is Around..It's a good vibes🙌🏾❤️🙈❤️Nice show Auntie kiduchu
Interview ya Sallama na AY hukuwa sio kama Interview iko kibeste sana 😀😀
One day I wish I can be having an interview with Salama,🙋🏻♀️ and these are the following questions about salama,1. Hu is your Dude 2.What is your level of education?3. What do you think is the place of originality in tanganyika
Unyama mwingi sana #SALAMA #MZEEWAKOMESHO
BONGE LA SHOW!
kweli AY ni rafiki mkubwa wa SUGU..mpaka unajua jamaa ni mtu wa Songea...ni wachache sana wanalijua hilo
😂😂sio wachache, kama aumfatilii mtu uwez kujua asili yake lakin ukisikia haule moja kwa moja unajua ni wangoni
Naamini bro.....
Life is about hardworking and creativity
#SalamaNaAY ZEE" I'ts a Big Big "CONVERSATION" S/O Kwao ni "MADINI" TU.📌💯🔥🔥🔥🔥🔥
Tunashukuru kwa interview nzuri!!! Tunaomba utuletee Jimmy mafufu
Neno la shukrani, nimependa AY anavyomshukuru Mungu kwa ajili ya maisha yake🙏🙏🙏
Salama na Eiwai 💪🙏
ay ndio mwana muziki namkubari sana anavutia kwa kilanyanja
ila salama et vipi nywele za sehemu zingine fresh lakini au uko umepunguza 😂😂😂🙌🏻
Something wrong with the audio... still enjoyed but not salama quality
Legendary AY
Safi sister salama mungu akupe heri zake Engineer
Such a nice interview with my all-time favorite Tanzanian emCee
Refreshing
Ay ft salama Jabiri duuh akiri nyingi Sana hapo
Salama mungu amekataza kuweka nywele shm za siri kwa muda mrefu ikifika siku40 hajanyowa unapata dhambi lkn yale malika hutakiwi kutowa
Masta
Big up A-y 😍🔥🔥🔥💯
Best show in tz
BARBERIAN PARK GO KART @ DAR ES SALAAM TZ
Cjui hata mamake daimond anasikilizaje nyimbo za mwanae maan duh nyimbo nyingine hadi mtoto akiimba unaona aibu unabakia tu kumwambia usiimbe huu wimbo mbaya😣
Yessayyah
Profesa j ndio wasongea
Joseph Mbilinyi asili yake ni Songea pia
Na sugu ni songea pia haujui
Salama da
My Dawg ALLEN the GREATEST
Tuletee interview ya sallam banaaa
Master
daah leo wamekutana watu wawili wenye majibu ya mkato hahaaa
😂😂😂😂nawapenda
Salama mlete Mr Pimbi 😁
Naomba unandae kipindi cha salama na fetty
Ukiwa huna pesa unatamani kua na pesa ila pesa so furaha ya kila kitu
Hellow.
Pongezi sana kwa kipindi hiki kikubwa sanaaa...
Nawakubali mnoo...
My question is...
"That SendTip MPESA LIPA NO...."
What is it for....?
(Seems we have to work on it through your muongozo)
Thanks...
salam, nimeipenda hiii
😂😂 really Nice ❤ from Kenya
Machapion kweli hao
24/04 hao jamaa na share nao
Mimi pia asee 24/04
Salama naomba umhoji feza kessy ww ni presenter no1 kbs na naamini itakuwa interview ya kibabe
Feza kessy beautiful girl "My Papa" was 🔥🔥🔥
Sauti iko chini madam!
Hmmm
Kalasinga hawaruhusiwi kukata nywele zozote
Yaani mpaka leo sijajua kwanini salama anazifunika ushungi hizi spika wakati yeye havai???
Dah! umefikiria nn?
🤣🤣🤣
hahahahaha umeanzaje kuwaza hivyo?
amna kitu apo anajifanya tom boi kaenda marekani wakamla😂
Nina share birthday na ndugu zake AY 🤩😎 24 April
Me too
😁😁
Zee 🤓
Mzee wa commercial
Tangia mkasi mpaka Leo unamuoji mpka Leo kitu kile kile badilisha wengine km akina Nash mc Nikki mbishi p mawenge p funk majani master jay
Kakwambia rafiki yake Sasa hao ulio wasema Sio rafiki zake
@@kwisa4899 elewa bwn mdgo sanaa ni ya wote sio kikundi fulan
@Humai_d8 usinge mjibu
Nawewe andaa kipindi chako uwalete hao akina P mawenge usimpangie kitu cha kufanya
Mavi wewe
Salama huo upaja
😁😁
wa kwanza
👊👊👊
Dugu mkinga bwana
Sugu ni mtu wa Madaba kijiji cha Maweso Songea hata Matehemu Baba yake mzee Osmund kazikwa huko
Unyakyusa mwingi
Unyama sana mwaisa Lol
😂😂😂😂😂
Ila pua ya A.y inanipa wasiwasi sana ni sample ya Rwanda, pia kuna msiba tulienda kuzika mrwanda sinza makaburin A.y alikuwepo, 3, A.y kaenda kuolea kulekule Rwanda huyu jamaa sema basi tuu.
Mama yke kwao Rwanda
Mama ake ni Mrwanda pia kapata mtoto huko huko Rwanda
Think tanks. Powerful. 🔩Millard , January M.K, H.Bashe, J.kusaga, Kaligraph. just thinking