Dakika 40 za Mahubiri ya Mch. Hananja hakika utayapenda. (UDSM CCT CHAPLAINCY).
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Karibu usubsribe Channel maalumu kwaajiri ya video fupi tu. CHURCH MEDIA4K.
• Dakika 10 na Mch. Hana... . Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada Zinazofanyika Katika Kanisa la Wanataaluma Chuo kikuu cha Dar es Salaam. (UDSM CCT Chaplaincy).
Pastor Wewe ni Zawadi Ya Mungu,Sifa Azipokee Yeye Mungu,Amina
Very nice mchungaji kalirax halafu mungu anapenda watu wanyenyekevu kama huyu mchungaji anaomba kwa kulirax safi sana new levolution
Mchungaji hakika wewe una upako mkubwa sana wa Mungu . Nabarikiwa sana na mahubiri yako....kichwa chako kiko vizuri mno ...injili imekaa vizuri sana kichwani mwako. .Mungu akuinue sana katika huduma yake......Ameen
Amina. Ubarikiwe
Mimi nimusilamu lakini nampenda mno😂😂😂
@@ameenaameena1224 sio pekeyako voo
Nimeketi kama bosi flani. Ameen Mungu akupe maisha marefu huduma yako inatubariki sana.
Great Pastor ,Karibu KKKT USHARIKA WA KIMANDOLU-ARUSHA DKAK
Mungu akubarik mchungaj Yan tunabarikiwa San 🙌🙌
Hizo vifungu zinavyotolewa khaai Jesus is Lord 🙏 more grace mtumishi
Asante mchungaji,nmepaga amani ya moyo ubarikiwe 🙌
This man is a really comidian, best preaching
hakika mungu ni mkuu aapate kukubaliki na kukuongoza MCHUNGAJI HANANJA
Thanks to you who encourage the world to focus worship and believe in JESUS CHRIST rathan wasting time listing the Apostles and Prophets. Take this after all you have passed through ISIAH 12:2. GOD BLESS YOU MORE
Upo vizuri mchungaji
Tunasikiliza mahubiri huku tunacheka
Ubarikiwe
woooow tumebarikiwa 🙏
Amina Mungu azidi kukubariki zaidi
Sifa na utukufu ni Kwa Mungu,Muumba wa Vyote,Amina
Ubarikiwe sana mcungaji mungu akuongezeze mafuta unatubariki sana Amen
Jaman Mchungaj huyu nimempenda Jaman uwe unahubir kila cku ameeen
Amina mtumishi barikiwa sana
Asante mchungaji wangu
Jambo mchungaji na mupakaliwa wa bwana!
Unahubiri vizuri message nzuri lakini umevunja moyo huyu ndugu anaitaji musada wa maonbi yako pale Ukraine, Israel na inchi zingine zote zenye kuwa na vita, sasa umezibaguwa, najapo hiyo Mungu tunaye muomba anaka katika myoyo za watu, sa zingine barakazako na zangu zingelifunguliwa na mutu wa Ukraine , ama Israel, Mungu tunaye muomba hajawayi kuonekana ila ndani ya wanadamu, aksanti muchungaji na juwa mataifa yote ya mewekwa kwa mikono yako ili uziombeye .
Nashukuru Muchungaji🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
I'm Miss Rich Billionaire 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mchungaj Umetisha you are Prophetic
Unaona nini kwenye mateso?
Tunapokua kwenye mapito ndipo shetani hutuletea mapichapicha ya kutumalizia kabisa! Lkn kwa imani na tuuone ushindi..ameen..
Asante kwa Neno hili mtmsh.🙏
Bwana atukuzwe Milele🙏🏿
Amina Mungu akubariki sana mchungaj
Wewe niwa pekeee mungu aku bariki
Mungu akubariki sana.
Mchungaji ubarikiwe sana sana kwa dawa nzuri
Kwakweli asante paster kwa mafundisho ,, hii ni shule kuu
Ubarikiwe sana kwa mahubiri mazuri.
Nimefurahi mno...shilingi mia tano aipungui thamani ata ianguke chooni haiwi mia hamsini ..nimecheka unavyosema acha usela ujue we mtumishii..hahahaha
Mungu azid kukubarik
Shilingi haipotei thamani yake, hata ikichafuka, ikisafishwa inarudia thamani yake.
Nimeipenda hiyo.
Hakika ndugu yangu!
Ubarikiwe Sana pastor coz mahubiri yako yananijenga
God bless you nime cheka mwanzo mwisho nikweli tume choka tuna hitaji msaada wako tu
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
Hongera,.
mtumishi upo vizuri
This is serious and it's really happened kwenye Maisha yetu 🙌🙌🙌
Amen hallelujah.
Nakupenda Baba Mungu azidi kukutumia
Amen amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sanaaa
😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Pastor ubarikiwe kwa neno la mungu uzid kutufungua akili
Wakipatikana viongozi wa dini 5 kama huyu wakutuambia Ukweli waumini mwenyezimungu amtunze zaidi
Hongera sn mtumishi
Goog amorden Pastor
Amina mtumishi
The best pastor in town
Nabarikiwa sana mafundisho yako mchungaji hanaja,❤😂😂
nakupenda sana mchungaji wetu hubalikiwe
Mhuuu. !!! kazi a mungu haina makosa
Mzee Mungu akutunze San ila unaenda haraka hasa unapotaja mistari ya biblia 🤣🤣🤣
my bestie 💗 pastor ananipa raha
Amen this man has the holy spirit ❤
Nakubali sana mchungaji
Amina
Uyu bahariaa mkwaraaa sanaa😁😁😁😁
Halafu anajua all verses off head in th whole Bible both Old & New Testament....maajabu ya mtumishi wa Mungu
Barikiwa Mtumkishi
Corona yenyewe gym hahahaha
Mchungaji tukuone ukihubiri UPENDO TV siku moja. Amen
Safi sana mtumishi
Mchungaji upo vizuri sana ,mbona mwanzo tulikuwa hatukusikii
Kweli mungu ni mwema nimetoka kazini nimechoka rkn nipoangalia mahubili haya nimepata nguvu
Mungu azidi kukupa nguvu. Ameni
Hiki kichwa Mungu azidi kukubariki Hongera saana
Big up mchungaji. Hufundishi mambo ya kiroho pekee. Unatufindisha maisha halisi ya binadamu. Ubarikiwe sana mchungaji
😊😊
Mungu AKULINDE
Na huyu mchangaji anayafahamu maandiko matakatifu vizuri sana.He is very real in his preaching.
Mafundisho yako kiongozi ni mazuri sn
Mungu akutuze
Muchungaji amenifurahisha nacheka sana Muchungaji anamengi nahitaji kitabu baba
Umenipa nguvu sana 🙏
Nampenda.mchungaji.una.maneno.mazuri
upako usio na mfano. MUNGU AKUBARIKI SANA MCHUNGAJI HANANJA
Kwa hakika Mch.Rich anafanya yale Mwenyezi Mungu anayataka HASWA! Hachanganyi mambo. Mara mizizi mara mchanga
Umebarikiwa
Asant nimefurai amem
Nakubali
unanichekesha sana na haya MAHUBIRI kweli
Asante baba
❤
Bibilia imelala kwa kichwa ya huyu pastor . 🔥🔥
Genius 🙌😂🤣
Napenda kwel anavo fundsha uyu baba
Natamani tungekua na wengi Wachungaji kama Huyu. Ni Raha Sana Jamani. Unahubiri kinamna flani inaeleweka Zaidi
Mchungaji hatari sanaMungu akuzidishie
Amina
Thiki zipo lakini Yupo Yesu Ameeen
😂😂😂😂aah we mchungaji mselaaaa jamaniiiiii mmmmmh unahubiliii vz mungu akubarikiiiiiiiii
Aaah katoto akatakishule kanataka kuza chips tumechoka
Mchungaji nakubali unaweza nimecheka kalibu nife
Woow natamani kumjua Mungu kiasi hiki
Kwa Neema twaokolewa na kusamehewa dhambi ,🙏
Nimesikiliza mwanzo mwisho, ninahisi moyo wa dhiki kuu unabubujika. Mchungaji, ubarikiwe sana...
GREATFUL
Eti mkiogelea mnaonekana vichwa tu 😅😅😂🤣
Mchungaji wangu kipenzi I love baba napenda Sana mahubiri.
Woo.nabarikiwa.sana.ameni
Amina Amina Amina 💥💥💥💥💥
Amina baba
Mchungaji upo kanisa gan ili na Mie niamie kwny ilo kanisa nimependa xn mahubiri yak baba
Kanisa la wanataaluma chuo kikuu cha Dar es Salaam. Karibu
Genius huyu Mchungaji.Ninafurahia sana huduma yako mtumishi wa Bwana
Amina ubarikiwe piah
Kupenda pesa ni dhambi lakina kuwa na pesa si dhambi
Mungu edelea kumfunika mtumishi wako kwa kipaji ulicho mpa
Mchungaji Genius, akili nyingi na kipawa cha kuchekesha watu hawachoki.Mungu ana watu wa kila dizaini
Hallelujah Hallelujah Ubarikiwe Pst.
Mojawapo ya mahubiri bora kuwahi kuyasikiliza..... anahamasisha sana na kukumbusha wewe ni nani na unapaswa ufanye nn
Amina
Mchungaji noma
😂😂 Bless your heart Pastor! ❤
Natamaningi kuona nyumba za watu wa zamani wakina Suleiman Abraham Jacob nawengine tu,hivi zilikua zinajaaje kwakweli 😹😹😹😹😹ubarikiwe sana mchungaji 🙏🙏