Dakika 40 za Mahubiri ya Mch. Hananja hakika utayapenda. (UDSM CCT CHAPLAINCY).

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • Karibu usubsribe Channel maalumu kwaajiri ya video fupi tu. CHURCH MEDIA4K.
    • Dakika 10 na Mch. Hana... . Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada Zinazofanyika Katika Kanisa la Wanataaluma Chuo kikuu cha Dar es Salaam. (UDSM CCT Chaplaincy).

КОМЕНТАРІ • 546

  • @januaryvicentmtandika1738
    @januaryvicentmtandika1738 2 роки тому +13

    Pastor Wewe ni Zawadi Ya Mungu,Sifa Azipokee Yeye Mungu,Amina

  • @davidmbwilo4954
    @davidmbwilo4954 2 роки тому +6

    Very nice mchungaji kalirax halafu mungu anapenda watu wanyenyekevu kama huyu mchungaji anaomba kwa kulirax safi sana new levolution

  • @rosembwambo6079
    @rosembwambo6079 2 роки тому +12

    Mchungaji hakika wewe una upako mkubwa sana wa Mungu . Nabarikiwa sana na mahubiri yako....kichwa chako kiko vizuri mno ...injili imekaa vizuri sana kichwani mwako. .Mungu akuinue sana katika huduma yake......Ameen

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro9081 2 роки тому +6

    Nimeketi kama bosi flani. Ameen Mungu akupe maisha marefu huduma yako inatubariki sana.

  • @MrOLEMUNGU
    @MrOLEMUNGU 2 роки тому +6

    Great Pastor ,Karibu KKKT USHARIKA WA KIMANDOLU-ARUSHA DKAK

  • @vivianshoo642
    @vivianshoo642 2 роки тому +2

    Mungu akubarik mchungaj Yan tunabarikiwa San 🙌🙌

  • @stephen-CEO
    @stephen-CEO Рік тому +1

    Hizo vifungu zinavyotolewa khaai Jesus is Lord 🙏 more grace mtumishi

  • @lovergar3833
    @lovergar3833 2 роки тому +8

    Asante mchungaji,nmepaga amani ya moyo ubarikiwe 🙌

  • @kelvinwanjo186
    @kelvinwanjo186 9 місяців тому +2

    This man is a really comidian, best preaching

  • @akibajoseph3842
    @akibajoseph3842 2 роки тому +12

    hakika mungu ni mkuu aapate kukubaliki na kukuongoza MCHUNGAJI HANANJA

  • @beatricemaganga7282
    @beatricemaganga7282 2 роки тому +3

    Thanks to you who encourage the world to focus worship and believe in JESUS CHRIST rathan wasting time listing the Apostles and Prophets. Take this after all you have passed through ISIAH 12:2. GOD BLESS YOU MORE

  • @ibrahimsanga3857
    @ibrahimsanga3857 Рік тому

    Upo vizuri mchungaji
    Tunasikiliza mahubiri huku tunacheka
    Ubarikiwe

  • @vailethkilawe6476
    @vailethkilawe6476 2 роки тому +6

    woooow tumebarikiwa 🙏

  • @januaryvicentmtandika1738
    @januaryvicentmtandika1738 2 роки тому +6

    Sifa na utukufu ni Kwa Mungu,Muumba wa Vyote,Amina

  • @mukandoricecile8881
    @mukandoricecile8881 Рік тому

    Ubarikiwe sana mcungaji mungu akuongezeze mafuta unatubariki sana Amen

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 роки тому +12

    Jaman Mchungaj huyu nimempenda Jaman uwe unahubir kila cku ameeen

  • @bahatimwitike4701
    @bahatimwitike4701 2 роки тому +4

    Asante mchungaji wangu

  • @JamalMusiala-k8q
    @JamalMusiala-k8q 5 місяців тому

    Jambo mchungaji na mupakaliwa wa bwana!
    Unahubiri vizuri message nzuri lakini umevunja moyo huyu ndugu anaitaji musada wa maonbi yako pale Ukraine, Israel na inchi zingine zote zenye kuwa na vita, sasa umezibaguwa, najapo hiyo Mungu tunaye muomba anaka katika myoyo za watu, sa zingine barakazako na zangu zingelifunguliwa na mutu wa Ukraine , ama Israel, Mungu tunaye muomba hajawayi kuonekana ila ndani ya wanadamu, aksanti muchungaji na juwa mataifa yote ya mewekwa kwa mikono yako ili uziombeye .
    Nashukuru Muchungaji🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @happynessdavid7921
    @happynessdavid7921 2 роки тому +7

    I'm Miss Rich Billionaire 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @happynessdavid7921
    @happynessdavid7921 2 роки тому +3

    Mchungaj Umetisha you are Prophetic

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 роки тому +12

    Unaona nini kwenye mateso?
    Tunapokua kwenye mapito ndipo shetani hutuletea mapichapicha ya kutumalizia kabisa! Lkn kwa imani na tuuone ushindi..ameen..
    Asante kwa Neno hili mtmsh.🙏

  • @franciscoexavery291
    @franciscoexavery291 2 роки тому +3

    Bwana atukuzwe Milele🙏🏿

  • @patrickhoya2873
    @patrickhoya2873 2 роки тому +1

    Amina Mungu akubariki sana mchungaj

  • @clavernassefu8101
    @clavernassefu8101 2 роки тому +2

    Wewe niwa pekeee mungu aku bariki

  • @pereszablon8534
    @pereszablon8534 2 роки тому +6

    Mungu akubariki sana.

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya3231 2 роки тому

    Mchungaji ubarikiwe sana sana kwa dawa nzuri

  • @joyceaponius8499
    @joyceaponius8499 2 роки тому +5

    Kwakweli asante paster kwa mafundisho ,, hii ni shule kuu

  • @upendombilinyi6509
    @upendombilinyi6509 2 роки тому +3

    Ubarikiwe sana kwa mahubiri mazuri.

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 2 роки тому +24

    Nimefurahi mno...shilingi mia tano aipungui thamani ata ianguke chooni haiwi mia hamsini ..nimecheka unavyosema acha usela ujue we mtumishii..hahahaha

  • @betikimati2024
    @betikimati2024 2 роки тому +5

    Mungu azid kukubarik

  • @ericksagara1719
    @ericksagara1719 2 роки тому +31

    Shilingi haipotei thamani yake, hata ikichafuka, ikisafishwa inarudia thamani yake.
    Nimeipenda hiyo.

  • @jenniferandrew5262
    @jenniferandrew5262 Рік тому

    Ubarikiwe Sana pastor coz mahubiri yako yananijenga

  • @rosemarru3903
    @rosemarru3903 2 роки тому +6

    God bless you nime cheka mwanzo mwisho nikweli tume choka tuna hitaji msaada wako tu

  • @nelsonkatasiku298
    @nelsonkatasiku298 2 роки тому +2

    mtumishi upo vizuri

  • @naimanuran2663
    @naimanuran2663 2 роки тому +10

    This is serious and it's really happened kwenye Maisha yetu 🙌🙌🙌

  • @Ms_winhope
    @Ms_winhope 2 роки тому +1

    Nakupenda Baba Mungu azidi kukutumia

  • @dominahango7261
    @dominahango7261 2 роки тому +4

    Amen amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sanaaa

  • @vicentjulius3442
    @vicentjulius3442 2 роки тому +1

    Pastor ubarikiwe kwa neno la mungu uzid kutufungua akili

  • @ramadhanisalum8702
    @ramadhanisalum8702 2 роки тому +7

    Wakipatikana viongozi wa dini 5 kama huyu wakutuambia Ukweli waumini mwenyezimungu amtunze zaidi

  • @MYGOD6789
    @MYGOD6789 2 роки тому +1

    Hongera sn mtumishi

  • @nelsonmsangi3796
    @nelsonmsangi3796 9 місяців тому

    Goog amorden Pastor

  • @EliasPetro-e1d
    @EliasPetro-e1d 11 місяців тому

    Amina mtumishi

  • @richardmakao7488
    @richardmakao7488 2 роки тому +17

    The best pastor in town

  • @KenethChristopher-o3j
    @KenethChristopher-o3j 3 місяці тому

    Nabarikiwa sana mafundisho yako mchungaji hanaja,❤😂😂

  • @KellyDon-o3z
    @KellyDon-o3z 10 місяців тому

    nakupenda sana mchungaji wetu hubalikiwe

  • @robertmasandiko3653
    @robertmasandiko3653 2 роки тому +3

    Mhuuu. !!! kazi a mungu haina makosa

  • @yohanasafari2526
    @yohanasafari2526 2 роки тому +10

    Mzee Mungu akutunze San ila unaenda haraka hasa unapotaja mistari ya biblia 🤣🤣🤣

  • @hildpaul7823
    @hildpaul7823 2 роки тому +5

    my bestie 💗 pastor ananipa raha

  • @pascal.kahwara
    @pascal.kahwara 10 місяців тому

    Amen this man has the holy spirit ❤

  • @uzimaally7899
    @uzimaally7899 2 роки тому +2

    Nakubali sana mchungaji

  • @reubenmasseri6763
    @reubenmasseri6763 2 роки тому +7

    Uyu bahariaa mkwaraaa sanaa😁😁😁😁

  • @scholachannel158cheptoo7
    @scholachannel158cheptoo7 2 роки тому +4

    Halafu anajua all verses off head in th whole Bible both Old & New Testament....maajabu ya mtumishi wa Mungu

  • @mathayodundo5433
    @mathayodundo5433 2 роки тому +4

    Corona yenyewe gym hahahaha

  • @liliansamson4239
    @liliansamson4239 2 роки тому +15

    Mchungaji tukuone ukihubiri UPENDO TV siku moja. Amen

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 2 роки тому +2

    Safi sana mtumishi

  • @emilianankuly6029
    @emilianankuly6029 2 роки тому +7

    Mchungaji upo vizuri sana ,mbona mwanzo tulikuwa hatukusikii

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 2 роки тому +11

    Kweli mungu ni mwema nimetoka kazini nimechoka rkn nipoangalia mahubili haya nimepata nguvu

  • @willysamata6305
    @willysamata6305 2 роки тому +14

    Hiki kichwa Mungu azidi kukubariki Hongera saana

  • @ntandumathayo8327
    @ntandumathayo8327 2 роки тому +71

    Big up mchungaji. Hufundishi mambo ya kiroho pekee. Unatufindisha maisha halisi ya binadamu. Ubarikiwe sana mchungaji

    • @kijiwemwampepe
      @kijiwemwampepe 10 місяців тому +1

      😊😊

    • @jenifakomba1457
      @jenifakomba1457 8 місяців тому +1

      Mungu AKULINDE

    • @sebastianitooi5863
      @sebastianitooi5863 6 місяців тому +1

      Na huyu mchangaji anayafahamu maandiko matakatifu vizuri sana.He is very real in his preaching.

  • @paulpauline6707
    @paulpauline6707 2 роки тому +3

    Mafundisho yako kiongozi ni mazuri sn

  • @LightnessNaibala-hh3nc
    @LightnessNaibala-hh3nc Рік тому

    Mungu akutuze

  • @andrekamango8573
    @andrekamango8573 2 роки тому +3

    Muchungaji amenifurahisha nacheka sana Muchungaji anamengi nahitaji kitabu baba

  • @Ramswycharmy
    @Ramswycharmy 2 роки тому +1

    Umenipa nguvu sana 🙏

  • @khadijajuma4421
    @khadijajuma4421 2 роки тому +2

    Nampenda.mchungaji.una.maneno.mazuri

  • @lelinka4311
    @lelinka4311 2 роки тому +10

    upako usio na mfano. MUNGU AKUBARIKI SANA MCHUNGAJI HANANJA

  • @ReubenRaymond-zh4yw
    @ReubenRaymond-zh4yw 26 днів тому

    Kwa hakika Mch.Rich anafanya yale Mwenyezi Mungu anayataka HASWA! Hachanganyi mambo. Mara mizizi mara mchanga

  • @saidatabdallah5106
    @saidatabdallah5106 2 роки тому +1

    Umebarikiwa

  • @JosephMichael-k1q
    @JosephMichael-k1q Рік тому

    Asant nimefurai amem

  • @emilimuxxa7412
    @emilimuxxa7412 Рік тому +1

    Nakubali

  • @josephsilupya128
    @josephsilupya128 2 роки тому +6

    unanichekesha sana na haya MAHUBIRI kweli

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 роки тому +2

    Asante baba

  • @TheresiaMwasenga
    @TheresiaMwasenga Рік тому +1

  • @barakalyimo1581
    @barakalyimo1581 2 роки тому +10

    Bibilia imelala kwa kichwa ya huyu pastor . 🔥🔥

  • @joshuaviwanjamwanza8061
    @joshuaviwanjamwanza8061 2 роки тому +8

    Genius 🙌😂🤣

  • @JacklineEzekiel-ii2hn
    @JacklineEzekiel-ii2hn Рік тому

    Napenda kwel anavo fundsha uyu baba

  • @nathanmurithi01
    @nathanmurithi01 2 місяці тому

    Natamani tungekua na wengi Wachungaji kama Huyu. Ni Raha Sana Jamani. Unahubiri kinamna flani inaeleweka Zaidi

  • @marykiswaga7409
    @marykiswaga7409 2 роки тому +6

    Mchungaji hatari sanaMungu akuzidishie

  • @jenniferowoya7393
    @jenniferowoya7393 2 роки тому +22

    Thiki zipo lakini Yupo Yesu Ameeen

  • @hawadijasini7213
    @hawadijasini7213 2 роки тому +4

    😂😂😂😂aah we mchungaji mselaaaa jamaniiiiii mmmmmh unahubiliii vz mungu akubarikiiiiiiiii

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 роки тому +6

    Aaah katoto akatakishule kanataka kuza chips tumechoka

  • @mamelithaemmanuel2976
    @mamelithaemmanuel2976 2 роки тому +8

    Mchungaji nakubali unaweza nimecheka kalibu nife

  • @bernardmuema8873
    @bernardmuema8873 2 роки тому +8

    Woow natamani kumjua Mungu kiasi hiki

  • @olivervenance1776
    @olivervenance1776 2 роки тому +6

    Kwa Neema twaokolewa na kusamehewa dhambi ,🙏

  • @nicoombeni7836
    @nicoombeni7836 2 роки тому +8

    Nimesikiliza mwanzo mwisho, ninahisi moyo wa dhiki kuu unabubujika. Mchungaji, ubarikiwe sana...

  • @jacobomakweta
    @jacobomakweta 2 роки тому +9

    GREATFUL

  • @mirajibendera8795
    @mirajibendera8795 2 роки тому +6

    Eti mkiogelea mnaonekana vichwa tu 😅😅😂🤣

  • @matswelopelemphela261
    @matswelopelemphela261 2 роки тому +8

    Mchungaji wangu kipenzi I love baba napenda Sana mahubiri.

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 2 роки тому +1

    Woo.nabarikiwa.sana.ameni

  • @kalungasante
    @kalungasante 4 місяці тому

    Amina Amina Amina 💥💥💥💥💥

  • @nyakyantandu3232
    @nyakyantandu3232 Рік тому

    Amina baba

  • @mrishonasry4779
    @mrishonasry4779 2 роки тому +2

    Mchungaji upo kanisa gan ili na Mie niamie kwny ilo kanisa nimependa xn mahubiri yak baba

    • @udsmcctmedia7708
      @udsmcctmedia7708  2 роки тому

      Kanisa la wanataaluma chuo kikuu cha Dar es Salaam. Karibu

  • @allanmashanda4424
    @allanmashanda4424 2 роки тому +8

    Genius huyu Mchungaji.Ninafurahia sana huduma yako mtumishi wa Bwana

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 2 роки тому +4

    Kupenda pesa ni dhambi lakina kuwa na pesa si dhambi

  • @emmanuelkiamba7783
    @emmanuelkiamba7783 2 роки тому +8

    Mungu edelea kumfunika mtumishi wako kwa kipaji ulicho mpa

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 2 роки тому +18

    Mchungaji Genius, akili nyingi na kipawa cha kuchekesha watu hawachoki.Mungu ana watu wa kila dizaini

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 2 роки тому +6

    Hallelujah Hallelujah Ubarikiwe Pst.

  • @filexmlay7518
    @filexmlay7518 2 роки тому +4

    Mojawapo ya mahubiri bora kuwahi kuyasikiliza..... anahamasisha sana na kukumbusha wewe ni nani na unapaswa ufanye nn

  • @charleschaula698
    @charleschaula698 2 роки тому +1

    Mchungaji noma

  • @Leah-mbilizi
    @Leah-mbilizi 2 місяці тому

    😂😂 Bless your heart Pastor! ❤

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 роки тому +7

    Natamaningi kuona nyumba za watu wa zamani wakina Suleiman Abraham Jacob nawengine tu,hivi zilikua zinajaaje kwakweli 😹😹😹😹😹ubarikiwe sana mchungaji 🙏🙏