MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 жов 2018
  • Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul makonda ameagiza kupangiwa kazi nyingine kwa mkuu wa kituo cha Buguruni Englibert Kasikana mara baada ya kutokea vuta nikuvute kwenye mkutano wake uliofanyika leo oktoba 25 katika eneo la buguruni.

КОМЕНТАРІ • 425

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 5 років тому +5

    Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians

  • @lawrencekabende15
    @lawrencekabende15 5 років тому +6

    Hapa ipo shida nyumba toka 2005 wamenunua leo 2018 huyo askari ana miaka miwili hapo Buguruni atabebaje tatizo la miaka 13 kuna tatizo mtambuka lifuatiliwe suala hili toka wakati wa zombe hapa lipo tatizo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Hayo madirisha waliyatoa polisi aliyatoa nani

  • @fieldnews1733
    @fieldnews1733 25 днів тому

    Makonda hongera,joo kenya utusaidie

  • @nataemsuya
    @nataemsuya 5 років тому +39

    Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.

  • @Tango696
    @Tango696 5 років тому +1

    Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali

  • @sampatrick917
    @sampatrick917 5 років тому +6

    Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni

    • @djmarashimartin7707
      @djmarashimartin7707 5 років тому

      itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa

  • @emmymkonyi9309
    @emmymkonyi9309 5 років тому +2

    Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza

  • @yahayamaulana8215
    @yahayamaulana8215 5 років тому +1

    Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 років тому +9

    Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.

    • @ugaboy4736
      @ugaboy4736 5 років тому

      Jamani polis ngum tuulizeni sisi

    • @mariawilbrod9786
      @mariawilbrod9786 5 років тому +2

      Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 5 років тому +16

    Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓

    • @priscahongerasanaabel9893
      @priscahongerasanaabel9893 5 років тому

      hahahahah jaman kweli

    • @mwanaidimtwiku9983
      @mwanaidimtwiku9983 5 років тому

      Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 5 років тому +1

    Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde

  • @mahamoudmakotaperfumes8788
    @mahamoudmakotaperfumes8788 5 років тому +5

    Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)

  • @denismasawe2574
    @denismasawe2574 5 років тому +1

    Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu

  • @faustinemasao5641
    @faustinemasao5641 5 років тому +2

    Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo

  • @jumamwatanda1478
    @jumamwatanda1478 5 років тому

    Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you

  • @robsonevarist5803
    @robsonevarist5803 5 років тому +1

    Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina

  • @tumpaleluhanga1396
    @tumpaleluhanga1396 5 років тому +4

    Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu.
    Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae.
    Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa.
    Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.

    • @rajabuwiliam5854
      @rajabuwiliam5854 6 місяців тому

      wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 місяців тому

      Nimependa maelezo ya askari

    • @PasichalFrancis
      @PasichalFrancis 5 місяців тому

      Ilahuyujamaa .basitu hajuituanachokifanya

    • @RwegoshoraPatt-os2ik
      @RwegoshoraPatt-os2ik 5 місяців тому

      Hata mama anamdomo kumbuka hilo pia

  • @mussasaleh6712
    @mussasaleh6712 5 років тому +1

    Mungu akulinde mkuu wa mkoa wetu

  • @mpjackson9543
    @mpjackson9543 5 років тому +9

    Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.

    • @eliphaziamon8794
      @eliphaziamon8794 5 років тому

      mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu

    • @gabrielresti1710
      @gabrielresti1710 5 років тому

      Angalia akili zako vizuri na ujipime kwa maneno yako

    • @yudithshayo4057
      @yudithshayo4057 5 років тому

      mp Jackson raisi wako wamkoa huyo ana mamlaka yote kwa Dar

    • @mohamedykabwanga1647
      @mohamedykabwanga1647 5 років тому

      Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www

    • @fransiskahaule3343
      @fransiskahaule3343 5 років тому

      Wewe unaongea nini sasa polisi ndio yao hayo..

  • @shabanikombo6351
    @shabanikombo6351 5 років тому +1

    makonda safi sana Allah akujalie

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy5805 5 років тому +2

    Tanzania oyeeeeeeeeee!! Nakupenda nchi yangu.

  • @Tango696
    @Tango696 5 років тому +11

    Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.

    • @michaelmathayo2582
      @michaelmathayo2582 5 років тому

      makonda upo sahihi

    • @titosindei6016
      @titosindei6016 5 років тому

      watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu

    • @adamsclassic9306
      @adamsclassic9306 5 років тому +1

      sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu

  • @kechbowkech9138
    @kechbowkech9138 5 років тому +2

    Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...

  • @smwakaglobaltv4010
    @smwakaglobaltv4010 5 років тому

    Hongera saaana mama, sina cha kukupa isipo kuwa tu kukushukuru kwa ukakamavu wako.

  • @mosesboniphace4733
    @mosesboniphace4733 5 років тому

    makonda safi sana hongera kabisa. nashangaa ukiona koment wanaokataa niwalewale wanataka ushahidi gan tena juu yahuyo mama? ukiwa na akili timamu huwezi kuacha kumwamini huyo mama. maaskari wengi wao ndowalivyo bana.

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 5 років тому +21

    magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 5 років тому

    Safi sana mheshimiwa Makonda,Sio tu apangiwe kazi nyingine fukuza tu huyo askari ndo wailvyo hao kuonea Maskini

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 8 місяців тому

    Hiyo ni kweli kabisa,maaskari wanashirikiana Sana na wauza madawa ya kulevya

  • @soudbwaxtv3804
    @soudbwaxtv3804 5 років тому

    Ahsante mh mkuu wa mkoa paul makonda kwa uamuzi ulio ufanya

  • @kaisarimkuu3685
    @kaisarimkuu3685 5 років тому +2

    Iko siku tunaweza.juta kwa huu ushabiki wa ajabu ambao unadhohofisha morali za makamanda wetu wa ulinzi na usalama. Wisdom is an integral component of good leadership.

  • @furahamwajeka3708
    @furahamwajeka3708 5 років тому

    ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 років тому

    tetea haki baba nakupenda sana makonda mungu akujalie afya njema

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 5 років тому +6

    Hapa kazi tu

    • @user-wu8oi7jk7s
      @user-wu8oi7jk7s 5 місяців тому

      Jamani kasikana ni mbaya muno MUNGU ni mukubwa nimefulai muno kama munakataa waulizen MAGUFURI TEMINAL alikua anakamata watu na kuwapeleka MAHAKA yajiji na kisha kuto sh 50,000

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 5 років тому

    Makonda mungu akupe maisha marefu kazi njema.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 5 років тому

    Mkonda mh ubarikiwe sana, awo wapo wengi sana nchi hii.

  • @maelezombwilo9129
    @maelezombwilo9129 5 років тому

    shukrani sana mkuu wetu kwa kutenda haki

  • @gloriousabraham128
    @gloriousabraham128 5 років тому

    Kwakwel wew kaskana ulituonea sana mungu amejibu maombi Kwakwel

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому +1

    Safi sana mheshimiwa Makonda 👍

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb 5 років тому +1

    Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 5 років тому

    Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.

  • @davidngatunga7167
    @davidngatunga7167 5 років тому

    Leo makonda umenikuna sana hawa jamaa siyo mungu akubariki sana

  • @waziriislam2455
    @waziriislam2455 5 років тому

    Makonda uko poa sana mungu AKUONGOZE sana kaka

  • @paulomgan2064
    @paulomgan2064 5 років тому +2

    Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo

  • @flavian-augustino.pangah
    @flavian-augustino.pangah 5 років тому +9

    Hongera OCD wa polisi Buguruni kazi yako Mungu anaiona. Achana na political temper za rc

    • @mariawilbrod9786
      @mariawilbrod9786 5 років тому +1

      Flavian Pangah hana cha hongera hapo ni jambo la aibu sehemu ambayo watu ingekuwa Tumaini lao inapotokea tatizo ndo inaonea watu, anasahau miiko ya kazi yake na kuweka tamaa mbele

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 5 років тому

      Unasifia ujinga

    • @flavian-augustino.pangah
      @flavian-augustino.pangah 5 років тому

      Ahmed noor asante kwa jibu lako

    • @sharifasharifa7680
      @sharifasharifa7680 5 років тому +1

      Polis wanakazi ngumu na raia wengi hawapendi polis wanafurah kutokezea tatiz ila ocd usijal pig kaz kawaida ya raia hat ufany jema gan hawawez kulisem hat viongoz wapime wao mbon wanatajw wanamakos na hawan

  • @abdulhamidkagina1409
    @abdulhamidkagina1409 5 років тому

    Makonda nakukubali sana hujawahi kukurupuka !! Kweli unafaa kuinyoosha daressalaam

  • @mkombozikiratv.9733
    @mkombozikiratv.9733 5 років тому +1

    Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd

  • @ramadhansylvesta1952
    @ramadhansylvesta1952 5 років тому

    kwakweli Mkuu wa mkoa ktk hili umekosea sana, kuvichonganisha vyombo vya ulinzi Na wananchi. Nimakosa makubwa

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 5 років тому

    mama nimekupenda kwa ujasili wako💪💪💪💪💪

  • @samsonmgaya4306
    @samsonmgaya4306 5 років тому +7

    RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya

    • @issahamza6820
      @issahamza6820 5 років тому

      Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.

    • @danielmsoma4741
      @danielmsoma4741 5 років тому

      naona watu wanadhani police nao wanateuliwa.

    • @martinezsiwale4419
      @martinezsiwale4419 5 років тому

      Samson Mgaya na ndio maana kasema nitaongea na wakubwa zako

    • @martinezsiwale4419
      @martinezsiwale4419 5 років тому

      Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe

  • @madunaukovizuribabukazabut6763
    @madunaukovizuribabukazabut6763 5 років тому

    Hongera mama kwakuongea ukweri

  • @xavierycelsus3751
    @xavierycelsus3751 5 років тому

    Hongera sana mama.shikamoo,,

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 3 місяці тому

    Asant sana Mh Makonda

  • @aseelaaseela4913
    @aseelaaseela4913 5 років тому

    By up mommy 😘😘😘 kujiamin ndo kuweza mekupenda bureee

  • @menikojohn2782
    @menikojohn2782 4 місяці тому

    Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 5 років тому

    Mtihani sana.

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 5 років тому +3

    zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 6 місяців тому

    Safi sana Askari!!!

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 5 років тому

    ckilizen watanzania wenzangu jeshi lapolice liache mambo Yale yakizamani yakuonea wanachi na kubambikizia kesi enzi zile akuna tena,makonda uko vizuri sn sn!!!!

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 5 місяців тому

    Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 5 років тому

    Upo sahihi mkuu we Mkoa,polisi wengi maadili hakuna

  • @wazirilugazo6746
    @wazirilugazo6746 5 років тому

    Safi saaana kiongozi mkuu Wa mkoa

  • @jumaedward7110
    @jumaedward7110 5 років тому +4

    ndio maana wazungu wanatudharau sana

  • @pilihassan8085
    @pilihassan8085 2 місяці тому

    Mama mzaramo uyoo cyo kwa kujiamin uko

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 5 років тому

    Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma

  • @issahamza6820
    @issahamza6820 5 років тому +1

    Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.

  • @cleanbosco70
    @cleanbosco70 5 років тому +1

    Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 років тому

    Duh mama alikua amejiandaa, yaani anazo taarifa zote.

  • @stukiaally4690
    @stukiaally4690 5 років тому

    Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 6 місяців тому

    Huyu mama mbona kama aina anazijua mmmh

  • @edwinndege6432
    @edwinndege6432 5 років тому

    Mama umetisha sana

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 5 років тому

    Makonda hongera sana

  • @emmanueljsemwaiko1442
    @emmanueljsemwaiko1442 5 років тому

    Safi sana mkuu

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 2 місяці тому

    Safi sana mama

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 5 років тому

    Hii haipo sawa maana huyo mshtakiwa hapo hayupo,na jee ikithibitika kama kweli mtuhumiwa anahusika jee na kazi si inaelekea rijojo huoni kama ni uonevu

  • @godfreykitoki9639
    @godfreykitoki9639 5 років тому +5

    Baba njoo na stakishari...

    • @ugaboy4736
      @ugaboy4736 5 років тому

      Sio ajabu mwz ulioishi walisjerekea ushindi na kupewa viwanja

    • @mosesmwakalinga154
      @mosesmwakalinga154 5 років тому

      Huyu jamaa haya mamlaka anayo kisheria Au?

    • @alextzmmary5121
      @alextzmmary5121 5 років тому

      Hahahahaaha nakuja badala yake

  • @usher_bambi9413
    @usher_bambi9413 5 років тому

    Amenisisimua my RC😍😍😍

  • @furahamwajeka3708
    @furahamwajeka3708 5 років тому

    respect noo,,tenda hAki i
    utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii

  • @samsonmgaya4306
    @samsonmgaya4306 5 років тому

    OCD safiiii unajibu vizuri sana kwa kujiamini

  • @mpjackson9543
    @mpjackson9543 5 років тому

    Utaleta shida xana kwatabia hii sijaipenda Makonda hao ni police mzee acha Uzuzu, haifai kabisa tena haifai, uongozi wako ni Ubabaishaji, kunautaratibu wake,hupaswi kufanya judgement za namna hiyo who are you, my bro, jeshi lako la polisi lipi, au haujui tafsiri sahihi ya neno jeshi la polisi, naamini leo ubashite unao brother.

    • @selemansaid9295
      @selemansaid9295 Місяць тому

      police ni malaika kwamba akosei? kwamba yeye ninan Hadi asihojiwe pale ambapo anakosea

  • @maxmbotta5734
    @maxmbotta5734 5 років тому

    RC makonda nakukubali sana ila kwa hili umechemka .

  • @rubyatv4067
    @rubyatv4067 5 років тому

    yes my boy

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 5 років тому

    Mungu acheni kuwaonea watu km mpo madarakini dhambi

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 років тому

    MAMA INSHAALLAH
    LEO NI SIKU AMBAYO PEPO NI HAKI YAKOOOOOOOO

  • @mathiasmkude212
    @mathiasmkude212 5 років тому

    Hakika mkuu umenikosha umefanya jambo zuri sana lakusaidia wanyenge. Niombe uyo mkuu Wakituo asukumwe ndani kwanini amtie hasara mama jamani

  • @suleshmwakz8329
    @suleshmwakz8329 5 років тому

    Heshima kwa maafisa wa usalama...

  • @barakaenock7581
    @barakaenock7581 5 років тому

    Kwa hiri Kaka makonda nimeanza kukukubariiii

  • @unclesamtz6048
    @unclesamtz6048 5 років тому

    Hapo sawa sasa

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 3 місяці тому

    Ila huyu mama hata anavyozitaja aina ya madawa yakulevya mara pipi mara token mara puli mmmmmmh hata mm ananipa mashaka

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 5 років тому

    Jamani yangu macho tutawasiliana 2020

  • @aishadevid5463
    @aishadevid5463 5 років тому

    Makonda ww ni mwanasiasa tu na hivyo haupo juu ya majeshi na huna uwezo wa kumpangia kazi askari yeyote

  • @mshobozikamgisha7496
    @mshobozikamgisha7496 5 років тому

    Uko safi mkuu

  • @flownluvanda5263
    @flownluvanda5263 5 років тому

    Makonda we kweli ukovzr Sana baba

  • @danielwilliam3348
    @danielwilliam3348 5 років тому

    Jeshi haliwezi kuingiliwa na siasa katika utendaji kazi wake hata siku moja askar atafanya kazi yake na kwa kujiamini daima na mkuu Wa Mkoa atafanya kazi yake kulingana na mamlaka yake

  • @user-ch2xi5zm8y
    @user-ch2xi5zm8y 2 місяці тому

    Waonezi sana

  • @pasiankimario2268
    @pasiankimario2268 5 років тому

    safi sana . Apangiwe kazi nyingine .

  • @amrimavara2042
    @amrimavara2042 5 років тому

    bigup mkuu Wa mkoa

  • @jahhloveyou4462
    @jahhloveyou4462 5 років тому

    Mama mkweli,huyu police anajua mama mkwele.

  • @jerryexaud6241
    @jerryexaud6241 5 років тому

    Yaan siasa ukiiendekeza ni mbaya sana,

  • @dedememe2725
    @dedememe2725 5 років тому

    Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 5 років тому

    Kero ni nyingi sana vituoni tuanze navyo