MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
Вставка
- Опубліковано 24 жов 2018
- Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul makonda ameagiza kupangiwa kazi nyingine kwa mkuu wa kituo cha Buguruni Englibert Kasikana mara baada ya kutokea vuta nikuvute kwenye mkutano wake uliofanyika leo oktoba 25 katika eneo la buguruni.
Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians
Hapa ipo shida nyumba toka 2005 wamenunua leo 2018 huyo askari ana miaka miwili hapo Buguruni atabebaje tatizo la miaka 13 kuna tatizo mtambuka lifuatiliwe suala hili toka wakati wa zombe hapa lipo tatizo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Hayo madirisha waliyatoa polisi aliyatoa nani
Makonda hongera,joo kenya utusaidie
Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.
Hawa Madiwa propaganda tu hapo
lulyeho madale z see ß a za zß CCC CCC x
Nikweli kabisa
Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali
Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni
itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa
Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza
Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera
Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.
Jamani polis ngum tuulizeni sisi
Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?
Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓
hahahahah jaman kweli
Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe
Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde
Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)
Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu
Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo
Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you
Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina
Kama na fisad dawa Yako inachemka
Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu.
Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae.
Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa.
Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.
wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu
Nimependa maelezo ya askari
Ilahuyujamaa .basitu hajuituanachokifanya
Hata mama anamdomo kumbuka hilo pia
Mungu akulinde mkuu wa mkoa wetu
Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.
mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu
Angalia akili zako vizuri na ujipime kwa maneno yako
mp Jackson raisi wako wamkoa huyo ana mamlaka yote kwa Dar
Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www
Wewe unaongea nini sasa polisi ndio yao hayo..
makonda safi sana Allah akujalie
Tanzania oyeeeeeeeeee!! Nakupenda nchi yangu.
Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.
makonda upo sahihi
watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu
sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu
Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...
Hongera saaana mama, sina cha kukupa isipo kuwa tu kukushukuru kwa ukakamavu wako.
makonda safi sana hongera kabisa. nashangaa ukiona koment wanaokataa niwalewale wanataka ushahidi gan tena juu yahuyo mama? ukiwa na akili timamu huwezi kuacha kumwamini huyo mama. maaskari wengi wao ndowalivyo bana.
magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful
yeah
Good
Safi sana mheshimiwa Makonda,Sio tu apangiwe kazi nyingine fukuza tu huyo askari ndo wailvyo hao kuonea Maskini
Hiyo ni kweli kabisa,maaskari wanashirikiana Sana na wauza madawa ya kulevya
Ahsante mh mkuu wa mkoa paul makonda kwa uamuzi ulio ufanya
Iko siku tunaweza.juta kwa huu ushabiki wa ajabu ambao unadhohofisha morali za makamanda wetu wa ulinzi na usalama. Wisdom is an integral component of good leadership.
ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme
tetea haki baba nakupenda sana makonda mungu akujalie afya njema
Hapa kazi tu
Jamani kasikana ni mbaya muno MUNGU ni mukubwa nimefulai muno kama munakataa waulizen MAGUFURI TEMINAL alikua anakamata watu na kuwapeleka MAHAKA yajiji na kisha kuto sh 50,000
Makonda mungu akupe maisha marefu kazi njema.
Mkonda mh ubarikiwe sana, awo wapo wengi sana nchi hii.
shukrani sana mkuu wetu kwa kutenda haki
Kwakwel wew kaskana ulituonea sana mungu amejibu maombi Kwakwel
Safi sana mheshimiwa Makonda 👍
Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi
Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.
Leo makonda umenikuna sana hawa jamaa siyo mungu akubariki sana
Makonda uko poa sana mungu AKUONGOZE sana kaka
Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo
Hongera OCD wa polisi Buguruni kazi yako Mungu anaiona. Achana na political temper za rc
Flavian Pangah hana cha hongera hapo ni jambo la aibu sehemu ambayo watu ingekuwa Tumaini lao inapotokea tatizo ndo inaonea watu, anasahau miiko ya kazi yake na kuweka tamaa mbele
Unasifia ujinga
Ahmed noor asante kwa jibu lako
Polis wanakazi ngumu na raia wengi hawapendi polis wanafurah kutokezea tatiz ila ocd usijal pig kaz kawaida ya raia hat ufany jema gan hawawez kulisem hat viongoz wapime wao mbon wanatajw wanamakos na hawan
Makonda nakukubali sana hujawahi kukurupuka !! Kweli unafaa kuinyoosha daressalaam
Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd
kwakweli Mkuu wa mkoa ktk hili umekosea sana, kuvichonganisha vyombo vya ulinzi Na wananchi. Nimakosa makubwa
mama nimekupenda kwa ujasili wako💪💪💪💪💪
RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya
Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.
naona watu wanadhani police nao wanateuliwa.
Samson Mgaya na ndio maana kasema nitaongea na wakubwa zako
Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe
Hongera mama kwakuongea ukweri
Hongera sana mama.shikamoo,,
Asant sana Mh Makonda
By up mommy 😘😘😘 kujiamin ndo kuweza mekupenda bureee
Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.
Mtihani sana.
zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!
Safi sana Askari!!!
ckilizen watanzania wenzangu jeshi lapolice liache mambo Yale yakizamani yakuonea wanachi na kubambikizia kesi enzi zile akuna tena,makonda uko vizuri sn sn!!!!
yeah bro
Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏
Upo sahihi mkuu we Mkoa,polisi wengi maadili hakuna
Safi saaana kiongozi mkuu Wa mkoa
ndio maana wazungu wanatudharau sana
Mama mzaramo uyoo cyo kwa kujiamin uko
Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma
Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.
Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.
Duh mama alikua amejiandaa, yaani anazo taarifa zote.
Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama
Huyu mama mbona kama aina anazijua mmmh
Mama umetisha sana
Makonda hongera sana
Safi sana mkuu
Safi sana mama
Hii haipo sawa maana huyo mshtakiwa hapo hayupo,na jee ikithibitika kama kweli mtuhumiwa anahusika jee na kazi si inaelekea rijojo huoni kama ni uonevu
Baba njoo na stakishari...
Sio ajabu mwz ulioishi walisjerekea ushindi na kupewa viwanja
Huyu jamaa haya mamlaka anayo kisheria Au?
Hahahahaaha nakuja badala yake
Amenisisimua my RC😍😍😍
respect noo,,tenda hAki i
utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii
OCD safiiii unajibu vizuri sana kwa kujiamini
Utaleta shida xana kwatabia hii sijaipenda Makonda hao ni police mzee acha Uzuzu, haifai kabisa tena haifai, uongozi wako ni Ubabaishaji, kunautaratibu wake,hupaswi kufanya judgement za namna hiyo who are you, my bro, jeshi lako la polisi lipi, au haujui tafsiri sahihi ya neno jeshi la polisi, naamini leo ubashite unao brother.
police ni malaika kwamba akosei? kwamba yeye ninan Hadi asihojiwe pale ambapo anakosea
RC makonda nakukubali sana ila kwa hili umechemka .
yes my boy
Mungu acheni kuwaonea watu km mpo madarakini dhambi
MAMA INSHAALLAH
LEO NI SIKU AMBAYO PEPO NI HAKI YAKOOOOOOOO
Hakika mkuu umenikosha umefanya jambo zuri sana lakusaidia wanyenge. Niombe uyo mkuu Wakituo asukumwe ndani kwanini amtie hasara mama jamani
Heshima kwa maafisa wa usalama...
Kwa hiri Kaka makonda nimeanza kukukubariiii
Hapo sawa sasa
Ila huyu mama hata anavyozitaja aina ya madawa yakulevya mara pipi mara token mara puli mmmmmmh hata mm ananipa mashaka
Jamani yangu macho tutawasiliana 2020
Makonda ww ni mwanasiasa tu na hivyo haupo juu ya majeshi na huna uwezo wa kumpangia kazi askari yeyote
Uko safi mkuu
Makonda we kweli ukovzr Sana baba
Jeshi haliwezi kuingiliwa na siasa katika utendaji kazi wake hata siku moja askar atafanya kazi yake na kwa kujiamini daima na mkuu Wa Mkoa atafanya kazi yake kulingana na mamlaka yake
Waonezi sana
safi sana . Apangiwe kazi nyingine .
bigup mkuu Wa mkoa
Mama mkweli,huyu police anajua mama mkwele.
Yaan siasa ukiiendekeza ni mbaya sana,
Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda
Kero ni nyingi sana vituoni tuanze navyo