Chakula cha MAAJABU, Sinia LAKI NA NUSU, hubebwa na watu wawili kwa uzito wake, hii sasa ni balaa!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2021

КОМЕНТАРІ • 188

  • @vero57
    @vero57 2 роки тому +13

    Wanawake tunaweza sanaa!! Hongera sana dada 👌👊😋😋😋🔥👏👏🍺🍺

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 2 роки тому +17

    Nikija dar hapa lazima nafika inshallah. Hongera Dada, kwa idea nzuri

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 2 роки тому +34

    Ushauri mdogo tu
    Kwa kuwa kuna wakati umbali wa kupeleka chakula ni zaidi ya mita 5, ni vyema chakula kikafunikwa ili kulinda afya ya wateja. Miti inaweza kuzalisha wadudu, maua, mbegu au kinyesi cha ndege vikadondokea chakula

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +20

    Ila Dar kuna chakula kizuri kwa kweli 👏👏yani hatari

  • @aminamodi8927
    @aminamodi8927 2 роки тому +20

    NAOMBA CHAKULA KIKIWA CHATOKA JIKONO KWENDA KWA MLAKI KIFUNIKWE HII MI.KWA AKILI YA VUMBI NA NNZI
    HONGERA SSASANA DADA YANGU

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 роки тому +21

    Chakula kingi mno kwa gharama hiyo 🤔 Mambo ni moto 👌 Mama weka meza zile za kupeleka chakala, Wadada watavunjika viuno hivyo 🤭

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 2 роки тому +4

    MashaAllaah chakula kizuri kinavutia hila jinsi wanavyo kipeleka kwa watu sio kwenye mazingira mazuri kabisa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 роки тому +8

    Safi sana Dada msomi umeniispire sanaaa. Kujiajiri raha

  • @mariamumuniss1338
    @mariamumuniss1338 2 роки тому +5

    Nice pia mtangazaji anajua kuhoji🥰🥰

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 роки тому +7

    Good combination one day i will visit the place

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 роки тому +5

    Wanawake tunaweza sana 💪imenoga hiyo 😋

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 2 роки тому +2

    Naomba naba uyo dada esko ww mtu noma sana king wangu 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @sharifasharif3978
    @sharifasharif3978 2 роки тому +3

    Hiii inaitwa kula kujigalagaza, hapa panamfaa bb levo mpen mtu combo ale🤣🤣🤣🤣🤣

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 2 роки тому +6

    In sha Allah nikija vacation apo ntapeleka familia yngu waji enjoy laki n nusu sio pesa kwa furaha kwa mke wngu n watoto wngu In sha Allah @Mombasa 🇰🇪

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 2 роки тому +3

    Hongera sister I love your idea

  • @sabrinamustafa8554
    @sabrinamustafa8554 2 роки тому +3

    Umenenepa Esco MashaAllah

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 роки тому +13

    Spatii picha ,Combo inapelekwa kwa njemba moja tu ,mezani, amekaa anaisubilia

  • @assya48
    @assya48 2 роки тому +7

    ushauri jaribu kuweka na smalla plate kwa familia hasa kwa zile zinakuja na watoto hawawezi fikia vyakula vingine sahani ni kibwa

  • @Yunus_Hassani
    @Yunus_Hassani 2 роки тому +4

    Kazi nzuri na mikoani mna tuna😂😂😂

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 2 роки тому +6

    Mashaallah 🔥👌

  • @saudazigaba2424
    @saudazigaba2424 2 роки тому +4

    Hongera sana

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 2 роки тому +1

    Hongera dada kazi nzuri

  • @assya48
    @assya48 2 роки тому +3

    nice ushauri jaribu kutumia plastik rap kufunika chakula from kitchen to mtaja inaonesha ni masafa marefu chakula chaweza kuchafuka nzi wadudu vumbi from upepo

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 2 роки тому +3

    Hongera dada .

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 роки тому +4

    INGEFAA WEDDING HII NA COME THIS YEAR KUFANYA HARUSI YANGU BUT I'M A KENYAN I WISH IKO POWA SANA

  • @giztony2009
    @giztony2009 2 роки тому +10

    Perfect combo!??!!!

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 2 роки тому

    Aise nikija Dar nitatafuta hiki kijiwe du watu wana maarifa jamani du hongera sana

  • @hassansalumu210
    @hassansalumu210 2 роки тому +6

    Nikipata parkege yangu ugali nitautupa😆😆 ,hizo zarau

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 2 роки тому +6

    Wow 😋😋I can’t wait 😋

  • @yasintawalyuba2444
    @yasintawalyuba2444 2 роки тому +6

    Nice work sister

    • @aikakeenja3993
      @aikakeenja3993 2 роки тому +1

      Kifunikwe kinatoka umbali mrefu kumfikia mlaji

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 2 роки тому +4

    Mbona Kenya mombasa wanafanya sana hii na hasa walioanzisha hii ni waturuki inaitwa platter ukinunua hilo sahani ina kila kitu sema wao sio sinia ni sahani ya gae kubwa

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 2 роки тому +1

      Kweli mombasa iko hii wapi hebu niambie mm home ni mombasa hebu niambie ni wapi inapatikana nikiwa home inshallah twende na familly

  • @hono1232
    @hono1232 2 роки тому +24

    Nunua vitoroli vidogo vys kusukumia chakula.hakikisha kufunika na karatasi nyeupe za nailoni,pia hakikisha wahudumu wanavaa muda wote kitcheni gloves.hapo utakuwa umevunja record bora kabisa na mapishi bora kabisa

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 2 роки тому +1

    Hongera Dada

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 роки тому +6

    DADA ENDELEA KUWA MBUNIFU SASA TENGENEZA KI GARI CHA KUSUKUMA NA IKIWEZEKANA BUNI NSMNA GANI CHAKULA KITAKAA NA MOTO MUDA WOTE

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 2 роки тому +1

    Creative na bei ni rahisi sana

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 2 роки тому +3

    Sinia sio siri limeniita kwa jina langu kabisa 😋😋😋😋😋😋

    • @fatnafaraj7545
      @fatnafaraj7545 2 роки тому +2

      Hahahaaaa unanidai so kwa kicheko hiki

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 2 роки тому +2

    Watanzania ni harworkers na smart sana hasa umkute msomi

  • @priscaprisca2569
    @priscaprisca2569 2 роки тому +1

    Nikija tz nitaleta family yangu wajienjoy na kombo meal 😋

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 роки тому +10

    Dada umevutia watu hadi nchi za nje wanataka kuja, nimeona kwenye mitandao watu mbalimbali toka mataifa ya nje wakiulizia

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 2 роки тому +1

      Na kwambia mm wakwanza naangalia hiyo combo nikiwa Germany

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 2 роки тому

      @@emmamombo7149 😅😅

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 2 роки тому

      @@isaachayes9783 nimeona mtu ameandika hapo kwa comments pia mombasa kenya iko inshallah nitakitafuta mate mdomoni

    • @nuraydasworld4431
      @nuraydasworld4431 2 роки тому +1

      mm nataka from 🇺🇸

    • @Myright888
      @Myright888 2 роки тому

      Mi mwenyewe nipo Germany na nimeshaipangia likizo nikale nirudi niendelee na kazi 😀😀😀

  • @lulually5209
    @lulually5209 2 роки тому +1

    Duuuh msosi wa kufa ngedere laki na nusu halali mpk mate yamenitoka

  • @fatumadumba5009
    @fatumadumba5009 2 роки тому

    Mbona hiyo combo alianza miaka mingi,mi nilikuta uganda inaitwa lusinia ni hatariii

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 2 роки тому

    Mko vizuri... But muwe mnafunika chakula

  • @Sppah697
    @Sppah697 2 роки тому +2

    Kuwe an special Trolley Basi ya kubeba hicho chakula!

  • @Myright888
    @Myright888 2 роки тому +1

    Mi mwenyewe nipo hapa Germany nishaandaa likizo nijekula kombo tu kwa kweli lol!

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 2 роки тому +1

    Ukajifanya kusema kama mzungu mara unajisifu unasema malreee sema tu matamshi yako unajichoresha ovyoooo kabisa

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 2 роки тому +2

    Number ya simu tuweke order jamani....

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 роки тому

    Hiyo sehemu km naiona segerea mwisho nikipata time InshaAllah nitakuja

  • @genovevatarimo3982
    @genovevatarimo3982 2 роки тому +3

    Watu wanakula jaman😉😉

  • @rahamrahma6259
    @rahamrahma6259 2 роки тому +3

    Hongera dada kwa ubunifu

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 2 роки тому +2

    Namba ya simu

  • @honorataharold947
    @honorataharold947 2 роки тому

    perfect combo; but napenda kutoa ushauri kwa kua kutoka jikoni mpaka kwa wateja kuna umbali na wanabeba kwa mikono ungejaribu kutafuta namna ya kukibeba labda kutumia troll kuepuka kujikwaa, mikono kuteleza, kuungua , na kadharika

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 2 роки тому +2

    FUNIKA CHAKULA UKIWAPELEKEA WATEJA..NA MATAYARIDHO MEZANI YAWE TAYARI ...

  • @aminachingwalu2850
    @aminachingwalu2850 2 роки тому +1

    Hio sahan ni atar

  • @Myright888
    @Myright888 2 роки тому

    Saaafi Sanaa

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 2 роки тому

    Sasa wakidondoka na hilo sinia hata sitawaelewa

  • @comedyclips4274
    @comedyclips4274 2 роки тому +2

    💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎇🔥

  • @nuriathmickdard6521
    @nuriathmickdard6521 2 роки тому +2

    Kiwe kinafunikwa kwa usafi na usalama

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 роки тому +3

    Waafrika kwa kula, 🤣 kudadadeki

  • @salimsaid7200
    @salimsaid7200 2 роки тому +1

    DADA USIPATE TABU KUFUNIKA TUMIA KAWA KUBWA AMBAYO UTATUMIA KWA MDA MREFU NA NZURI PIA

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 2 роки тому

    Namba ya simu tunaomba

  • @Sppah697
    @Sppah697 2 роки тому

    MazingiRa jamani na siyo mazingiLa!😏😳🙄

  • @ndayishimiyecynthia5256
    @ndayishimiyecynthia5256 2 роки тому +1

    Tena na bia zipo nisehemu nzuri sana ntakuja siku moja

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому +1

    😊😊ubunifu

  • @aisharevelian6933
    @aisharevelian6933 2 роки тому +1

    Chakula kizurii bei nafuu sana

  • @ndayishimiyecynthia5256
    @ndayishimiyecynthia5256 2 роки тому +1

    Siku nikienda Tz lazima nifike hapo na marafiki zangu nimependa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 роки тому

    Esco unapenda milion ww

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 2 роки тому

    Kumenoga nikirud nitemberee🇴🇲

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 2 роки тому +4

    Wale wakuiga hawachukui muda.

    • @subiramussa1428
      @subiramussa1428 2 роки тому +1

      Kabsa

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 2 роки тому

      ndio tz tatizo lao wanafeli apo tuu

    • @jrm9448
      @jrm9448 2 роки тому +1

      Tena wanaboresha zaidi

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 роки тому +1

      @@zuleikhakhamis3303 KUIGA NI MAENDELEO SIO MBAYA NA YEYE PIA SIO WA KWANZA.

  • @Lassana755
    @Lassana755 2 роки тому +1

    Sasa hawa ata robo hawamalizi iyo ki2

  • @ediymakame6643
    @ediymakame6643 2 роки тому +3

    somchezo

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 2 роки тому

    Hii nikirudi bongo lazima nije

  • @yasintawalyuba2444
    @yasintawalyuba2444 2 роки тому +5

    Dada chakula muwe mnafunika kwa kutumia foil ya chakula

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 2 роки тому

    kiw. mnakifunika maan

  • @omarykitololi447
    @omarykitololi447 2 роки тому

    Yani hiyo ndo maana haris ya kutumia elim yako kuwa created na kutoa ajira kwa watu wengine, sio umesoma unakaa tuu nyumban hunasubil kuajiwa mtu kama huyo asijiite Masomi, congratulation sister....

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 роки тому +1

    Kuna foil tumieni

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 роки тому +1

    Mnapatikana wapi jmn

  • @AliMohammed-df7iz
    @AliMohammed-df7iz 2 роки тому +1

    Ebanae nakubali tz Nazi iendelee

    • @anjoymshami3091
      @anjoymshami3091 2 роки тому

      Hongera sn dadaangu mshukuru mungu aliyekuwezesha kupata uwezo huo

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 роки тому

    Hongera sana mamii naomba utuwekee namba za simu ili tuweze kufanya booking mapema for Christmas

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @asmhatanzania8697
    @asmhatanzania8697 2 роки тому

    Chakula kizuri ila kiko wazi wafanyakazi hawajavaa gloves pia😋

  • @hono1232
    @hono1232 2 роки тому +1

    Tunaomba namba ysko ya simu!

  • @afamefunaokeke6966
    @afamefunaokeke6966 2 роки тому

    naomba hilo sinia lol

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 2 роки тому +2

    Nnavyowajua wabongo wape mwezi tu kila mahali utasikia tunatoa huduma ya combo

  • @Hashdough
    @Hashdough 2 роки тому

    AD

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 роки тому

    Tumia foil unapopeleka chakula kwa water itakuwa poa

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 роки тому

    nimemind kweli kwa shuhuli kila meza ya 1 50, 000 imetoka hiyo .

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 2 роки тому

    Mtangazaji kaenda mixer uroho"Eti tuonje

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 2 роки тому +1

    Mbona ugali hakuna?

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 роки тому +1

    Chakula kinavutia had rah

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 2 роки тому

    Pepsi-Cola oyeeeeeeeeeee

  • @evelynekoseko2275
    @evelynekoseko2275 2 роки тому

    Mimi hukitamana sana ....nikija dar lazma.....yani hukiona insta mate yatoka

  • @aminahassan3588
    @aminahassan3588 2 роки тому

    Ndio anapata faida lkn

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 2 роки тому

    Ntauja jaman

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 2 роки тому

    Acha maneno bwana tuonyeshe chakula

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 2 роки тому +3

    Hapo ni wapi na panaitwaje? Jina na restaurant?🇹🇿🇨🇦

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 роки тому

      Hapo juu tizama bango,ni tabata segerea

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 2 роки тому +1

    mpaka kifike mezan ndeg si ameshakinyea

  • @jeanneandfrancislifestyle1518
    @jeanneandfrancislifestyle1518 2 роки тому

    Jesus Christ whatttt to much food 🍱

  • @marymasuka3419
    @marymasuka3419 2 роки тому +2

    Shilole amepata mpinzani

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 2 роки тому

      Nakwambia

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 роки тому +1

      STAILI HIYO NILIONA VIDEO CLIP KABLA YAKE KAMA UMEBAHATIKA KUONA JAMAA AKISEMA NAKUKERA NAPENDA KUKERA TABIA YANGU KUKERAAA 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 2 роки тому

      @@emmamombo7149 NASIKIYA HUYO DADA YUKO KINONDONI

    • @emmamombo7149
      @emmamombo7149 2 роки тому

      @@salimsaid7200 mombasa kenya ama

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 2 роки тому +2

    Kama ingewezakanaa angesajili wazo lake Hilo la kusevu chakula chake ili wasimuige yeye ndo awe muasisi ili apate pesa zaidi kupitia wazo lake Hilo la tofauti,,Mana bila ya ivo watu watamuiga jinsi yakusevu alafu baada ya muda atakosa upekee hivyo itampelekea kukosa kipato,,trust me,,aende kusajili uspesho wake huo atakuwa bilionea wabadae,,na itamfanya kuwa peke yake na atapata oda nyingi zaidi itampelekea kupata pesa zaidi kwasababu atakuwa peke yake hapa Tanzania na duniani pengine

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 2 роки тому +4

      Mbona yy sio wamwanzo

    • @rahmaawadh1695
      @rahmaawadh1695 2 роки тому

      Nikweli kabisa

    • @suzanfelix8065
      @suzanfelix8065 2 роки тому +1

      Unaongea kidogo kidogo shishi ameshaona tayari😂😂😂

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 роки тому +2

      Uchoyo hautomsaidia mtu yyte hapa duniani. Na haswa kwa sisi waisilam Allah ametuamrisha tusibanie elimu na tusaidiane. Na hio ndio miongoni mwa kupeana elimu. Najambo jengine ni masuala ya rizk.....km rizk yako utapata hata mkiwa wengi na km sio rizk yako hutopata hata ukiwa peke yako.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 роки тому +2

      Mnaeza kua wengi na watu wakaangalia test au usafi. Kwanza kwenye maisha kitu kikifanywa na mtu mmoja tu bei inaeza kua kubwa lkn wakifanya wengi bei inaeza kupungua na hata kwa yule ambaye uwezo wake mdogo lkn katamani anaeza kujinunulia siku moja moja.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 роки тому

    Watu wangapi wanakula jamani ni wapi naona roho inatetema