SHIILOLE ATUMIA MIL.90 KUIRUDISHA SHISHI FOOD DAR, KUMBE MUME WAKE ALISUSA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • Msanii wa muziki na Mjasiliamali, Shilole amefanikisha kuurudisha mgahawa mpya wa Shishi Food Mabatini, Kijitonyama jijini Dar Es Salaam baada ya ule wa awali ambao ulikuwa maeneo ya Leaders Club jijini Dar Es Salaam kuvunjwa ili kupisha ujenzi wa Zahanati.
    Mume wa Shilole, Rommy amedai haikuwa rahisi kufanikisha hilo kwani wamewekeza zaidi ya Tsh Milioni 90 katika ujenzi huo mpya huku wakiwa wanatoka kwenye kubomoa mgahawa wao wa Leaders Club ambao waliwekeza pesa nyingi.
    Rommy amedai kutokana na sakata hilo amegundua mke wake ni mpambanaji haswa kwani yeye alimkimbia baada ya sakata la bomoabomoa kuchanganya kwani walikuwa wanatofautiana kwenye baadhi ya mambo anakaona akimbilie Dodoma.
    Amedai zoezi lote la bomoabomoa yeye alikuwa yupo Dodoma kuepuka kukaa na msanii huyo ambaye alikataa ushauri wake.
    #entertainment #news #music #funny

КОМЕНТАРІ • 59

  • @joviangeofrey6918
    @joviangeofrey6918 Рік тому +12

    Hongera sana. Wanawake wengi jifunze Kwa dada shishi. Vipesa kidogo tu vinawatia kibri mnadharau waume zenu na kuvunja ndoa zenu. Kumbe mnaweza kuitumia hao wanaume kufanya mambo makubwa Zaid. Kusapotiana kunawezekana Kwa njia au namma mbalimbali siyo ela tu

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 Рік тому

      Akipata mzee akampa kisimu tu cha Iphone anakudharau na kukuona huna maana na kukuambia kama vipi tuachane angalia wanawake wanaopambana wamiliki pesa sio unafanya mapenzi ili upate kupiga mizinga wanaume kusumbua tu muda wote nitumie hela nitumie hela huo ni uvivu wa kufanya kazi ila wanawake wale wanaopambana kuwa na vyao sio vya kuomba omba

    • @joviangeofrey6918
      @joviangeofrey6918 Рік тому +1

      @@mgosimkome9242 ushamba na umasikini wa fikra huo

  • @aziza9093
    @aziza9093 8 місяців тому

    Mashaallah Allah wabaraki kaziya mikonayako

  • @hildafrisch9370
    @hildafrisch9370 Рік тому +4

    Hongera sana Shilole kwa kupambana. Mungu akusaidie kukupa maisha marefu. Amen.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Рік тому +2

    Mume Bora sana Shishi mshike vizuri hana makuu ❤️🔥🙏🙏

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Рік тому +9

    Hongera shishi na ROMI ,,unanikumbusha mbali Sana,namimi ninaye mtu ambaye tunapambana pamoja Yani safi kumpata mwanaume wa ivyo hongereni Sana Mr &Mrs romi

    • @abubakarsaid3860
      @abubakarsaid3860 Рік тому

      dah.rom anazidi kukauka tu inaonekana anapitia mateso sana .inaonekana katengwa na ndugu zake

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Рік тому

      @@abubakarsaid3860 mmh waja mnamaneno .. Sasa Romi lini alishakuwaga mnene.. huyu Toka namjua ndio muda ule wanatambulishana na shishi alikuwa hivihvi.. na hata kipindi kile alikuwa amekauka zaidi.. nafuu ya Sasa acha umbea ..

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

      Wewe ni Ndio wewe ulikuwa unalia lia kwamba umeachana na mtu wako au 😂😂

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Рік тому +2

    Mungu awazidishie kheri ktk ndoa yenu na upambanaji wenu wa kutafuta pesa shishitipwatipwa 🥰🥰🥰🥰💟👌

  • @bahatijuma5736
    @bahatijuma5736 Рік тому

    Dada shishi ww ni mwanamke wa nguvu hongera ni mfano wa kuigwa mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +7

    Mume wake mpole sana

  • @madamehatibu9324
    @madamehatibu9324 Рік тому +1

    Romi na Shishi🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Shishi umepata Mwanaume ambaye atakua kicheko chako siku zote mstaarabu na mwenye hekima lakini anayekupa kipaumbele Kama mkewe rizki Ni mlango hufunguka kwa yeyote awe mume au mke Ila Siri ya kufanikiwa Ni kujaliana kupendana kuheshimiana na kupeana muda wa kila mmoja kufanya kazi kwa mustakabal wa familia

  • @tawsi-yc3nk
    @tawsi-yc3nk Рік тому

    Hongera sana dada shish pia mungu awape maelewano mazuri kwenye maisha yenu ❤

  • @annaikoti-mr7sb
    @annaikoti-mr7sb Рік тому

    Duuh hongera sana shishi. Nakupenda sana mdogo wangu mpambanaji .

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 Рік тому

    Shishi wewe ni mwanamke wa nguvu sana jamani mola akupe kheri zaidi na maisha marefu nakupenda sana

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 Рік тому +2

    Hongera San mwanamke wa nguvu

  • @athumanmarekano2454
    @athumanmarekano2454 Рік тому

    Hongera sana mpiga picha usiejulikana sasa rommy vipi hujui matumizi yaliyofanyika ktk mgahawa wenu jiangalie dogo utasifia mpaka basi maana huna kitu eti mtoto wa kiume anasusa

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Рік тому +2

    Shishi food karibu Arusha uwekeze

  • @innocentoisso6869
    @innocentoisso6869 Рік тому +6

    Kazi nzuri lakini hizo rangi ulizochanganya hapo juu kuna wapuuzi wanazitumia Kama nembo yao

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 Рік тому

      Mmeshaanza hizo rangi sio za lgbtq sio kabisa lazima zitimie zote ndio iwe nembo nembo huwa haitakiwi imiss rangi

    • @stevegastondoctorhuuniukwe7986
      @stevegastondoctorhuuniukwe7986 Рік тому

      @@foodbasiccourt2028 zitimie mala ngapi? Mnaacha kupambana na dalili mnashabikia Tu Uchoko!! Rangi ziko wazi hizo.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

      Acha kuwa na mawazo mgando Inaonekana unapeo mdogo sana yaani ndio kitu ulichooona

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

      @@stevegastondoctorhuuniukwe7986 rangi ni rangi tu acha kuwa na mawazo finyu comment vitu vya maana

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 Рік тому

      @@stevegastondoctorhuuniukwe7986 unaonekana wewe ndio mwenyekiti wa mashoga puuu aibu kwanini umeruhusu mwanaume mwenzio akuinamishe? Maana umelegea hadi umechanganya rangi hizo sio rang za mashoga kama wewe.tatizo akili yako inawaza kufilwa hata nikikuelekeza rangi zenyewe huwezi amini kwani akili imeshapumbazwa

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 Рік тому

    Hongera sana Shilole

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 Рік тому +2

    Mtu anaekukimbia wakati wa matatizo hlf anakuja kurudi kwny raha inabidi kufikiri mara mbilimbilu

  • @irenegeorge3501
    @irenegeorge3501 Рік тому +1

    Shishi🔥🔥🔥🔥

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 Рік тому +1

    Watu wa dar nyie! Mko waongo sana! Kwanza shilole hata hajawahi kushika 50 milion cash! Hio 90 kaitoa wapi? Mbona mnamwonea? Au ye ndo kawadanganya?

  • @ombenmichael3473
    @ombenmichael3473 Рік тому +1

    Hongera shishi food

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 Рік тому

    Hapo weende mahakamani wakaandikishiane hata baadae kusije ndugu wakatifuana. Bora wakaandike zangu asilimia ngapi zame ngapi.

  • @auntymaria7003
    @auntymaria7003 Рік тому

    Mashallah

  • @tarsilabayyo-qt2xu
    @tarsilabayyo-qt2xu Рік тому

    Naomba namba ya shishi me na shda na kazi waitres cashier naweza

    • @shadidashafiu1965
      @shadidashafiu1965 5 місяців тому

      Kazi usiombe mtandaoni mpenz nenda ofisini onana nae

  • @isaachakim31
    @isaachakim31 Рік тому +1

    Ongera

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Рік тому

    Rangi hizooo

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Рік тому

    Hel imeend nying umetoa sh ngapii 🙄🙄🙄🙄🙄🙄 viwanaume vingine

  • @neemajames2073
    @neemajames2073 Рік тому

    Yani eti mwanaume unasema sio mm niliefanya kwahiyo ww unalelewa ??

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Рік тому +1

      Ulitaka Adanganye....Amesema kipato chake na mkewe mkewe Kamzidi....shida iko Wapi...kwamba yeye Afanyi kazi...!!!Acha Ushamba Mke na Mume kushilikiana kwa kila jambo ni Muhimu sana kwa Maisha Yenu.

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Рік тому +1

    Milioni 90 yaani nimemalizia nyumba Yangu juu kabisaaaa! Nyumba Yangu ni gorofa naishi chini juu bado m90 namalizia juu na huo ndio ukweli wasanii wa kibongo bwana kwa kuongeza sufuri hawajambo

    • @highthemetv7857
      @highthemetv7857 Рік тому +1

      Hujaulizwa acha kiherehere

    • @abdibilali4186
      @abdibilali4186 Рік тому

      Ghorofa yako inakuingizia bei gani

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 Рік тому

      @@abdibilali4186 nikimaliza napangisha M kwa mwezi na sijajengea pesa zaidi ya hizo zinazotamkwaga na wasanii upo baba!

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 Рік тому

      @@highthemetv7857 kiherehere! Nyie ndio wale waongeza masifuri anyway huo uwongouwongo kuna siku utawaumbua kwa mfanyabiashara hiyo hela mpaka ije ikulipe sio leo

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Рік тому

    Izo rangi mchanganyiko zina ashiria kitu gani?

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Рік тому

      Tupe jibu Wewe...Maana Unaonekana kama Una Iman na Mungu...

  • @Boaz22
    @Boaz22 Рік тому +1

    Mnaweka mbao, mnapaka rangi,mnasema million 80 kwenda 90 😅😅😂😂😂, nyie, hivi mnajua wasanii wana fake life sana??😂😂😂

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 Рік тому +4

      Jaribu kuheshimu hustle za wenzio! We umefanya kipi cha maana ukiacha hiyo tekno ulioazima kucomment usenge

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Рік тому

      Ndomana hakajaweka picha iritukaone nahisi ni kamaraya kachafu kanakojiuza kwa500 tu

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya Рік тому +1

      Kanapinga biashara ya mwanamuke shujaaako kamalaya kachafu

    • @agnesspetro6695
      @agnesspetro6695 Рік тому

      Nilijengaga Banda la kuku tu kabanda, kwakutumia mbao ohoooo subutu, mbao sio masihara wewe

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 Рік тому

    Milioni 90 ya makaratasi🚮