KENYA: MUUAJI akamatwa baada ya MIILI 9 kutupwa kwenye DAMPO, akiri kuua WANAWAKE 42 akiwemo MKEWE

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 218

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Місяць тому +34

    Huyu sio muuaji wakenya mnadanganywa

    • @SharaMan-yn9px
      @SharaMan-yn9px Місяць тому +1

      Muuaji wewe basi

    • @odenmasebo9777
      @odenmasebo9777 Місяць тому +2

      Hakika uyu siyo muuwaji amepangwa uyu,acheni uzuzu makenya masenge

    • @SalhaIradukunda
      @SalhaIradukunda Місяць тому

      Wana danganya nini ao ni ww😅😅

    • @daizzmwangi4634
      @daizzmwangi4634 Місяць тому

      Tusha juwa tunadanganywa 😂😂 walijichanganya

    • @daizzmwangi4634
      @daizzmwangi4634 Місяць тому

      @@odenmasebo9777weee Ebu koma tungekuwa waginga finance bill ingepitishwa na hatungejuwa Kama ilivyo pitiahwa kwenu na hata sasaivi hamjui funga mdomo

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g Місяць тому +11

    Uy nimfungwa alikwa amefungwa maisha jela,, serikali wanamtumia kutudangaya ukiangalia hizo pant ziko mpya azijawai valiwa

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Місяць тому

      Jamani poleni mungu yupo atatenda haki inshallah

    • @saivellybrutally2994
      @saivellybrutally2994 Місяць тому

      @@user-yp9el7xp8g tangu muda huwo hote mpaka Leo yeye halikua na umri gani

  • @azadinsweddy9471
    @azadinsweddy9471 Місяць тому +3

    Huyu sio mhusika ila serikali inaficha siri hii yenyewe ndio inaohusika

  • @user-hx2if3ep2m
    @user-hx2if3ep2m Місяць тому +5

    SKY WAKENYA hawaamini HIZI habari.

  • @user-sn4iq6cu1f
    @user-sn4iq6cu1f Місяць тому +28

    pengine kama ni muislam eza ambiwa gaidi lkn akiuwa mkiristo anambiwa amepitiwa na shetani

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Місяць тому +9

    Nyieee mpaka naanza kuwaogopa binaadam wenzangu looh 😢😢😢🙌🙌🙌

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 Місяць тому +2

    Nakataa kabisa huyu siyo Muuaji,hawezi kuuwa watu wote hao,huyu katengenezwa ili kuuwa soo

  • @LucyMutinda
    @LucyMutinda Місяць тому +6

    Hyu sio muuwaji ruto yuafucha ukweli wa mauaji ya githurai45

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Місяць тому +4

    Kenya kuko mauwaji yachini chini sana wakifanya uchunguzi watakamata wengi tu

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Місяць тому

    Poleni kenya poleni sana

  • @abuukajembe-to6sd
    @abuukajembe-to6sd Місяць тому +2

    Sio kweli

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Місяць тому +2

    Hii sio kweli,huezi ukaua watu then ukabakisha ushahidi kama hizo chupi chupi na sim zao!Hilo ni chenga la macho

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Місяць тому

      Ubaya ni kwamba waafrika hatuamini kuhusu SERIAL KILLERS, kila anayepotea tunaamini kapotezwa na serikali. Na hiyo inawasaidia sana hawa psycho kuuankwa miaka mingi.

  • @gonanzaro5580
    @gonanzaro5580 Місяць тому +10

    Mchezo huo bro Hollywood ya Rambo

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Місяць тому

    Subhanallah 😢😢😢jaman kijana mdogo lakin ana mambo makubwa yakutisha tena

  • @Rukiakadzo
    @Rukiakadzo Місяць тому +3

    Kenya yetu tunaifahamu vizuri....huyu ni SCAPE GOAT tu ili tufumbwe macho tu....huyu mtu inasemekana ameanza hiyo kazi tangia 2022...swali ni MDA WOTE HUO ANAUWA WATU NA SERIKALI HAIJUI?? DAMPO LIPO KARIBU NA KITUO CHA POLISI NA POLISI HAWAFAHAMU TU??

    • @saivellybrutally2994
      @saivellybrutally2994 Місяць тому

      @@Rukiakadzo muda huwo halikua na umri gani

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Місяць тому

      ​@@saivellybrutally2994kwani 2022 ni miaka mingapi imepita had Leo?

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Місяць тому +1

    Kenya ni taifa lenye maisha ya jabu sana

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 Місяць тому

      Kwao muhimu ni kuongea kizungu tu mengine nobody don’t cares😂

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Місяць тому +10

    Mbona walisema kuna miili adi ya wanaume ? Mbona wamempata haraka sana? lakini ata hafananii na hayo ukute wamemtoa kafala 😢😢

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 Місяць тому

      Binadamu wamekuwa wanyama ndugu

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Місяць тому

      Kaanza kuua mwaka 2020, na serial killer hana muonekano wa ajabu, wengi wanakuwa wa kawaida na ndio maana wanaua kwa miaka mingi sana.

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Місяць тому

      @@shahamtindo duh aiseee sasa kama tangu 2020 ao alio waua mwanzo aliwazika au ?!

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Місяць тому

      @@ashurajengela3926 wote aliwakatakata, kila serial killer anakuwa na pattern yake ya mauaji, yaani kuanzia anapowinda, anapokamata, kuua, mabaki ya vitu vya muhanga, mpaka namna ya kutelekeza mwili.. shida ni kwamba AFRICA hatuna uchunguzi wa kutosha kuhusu mauaji. Tunamaliza mambo mapema sana hivyo wauaji wanachukua hiyo advantage.. Ukweli ni kwamba hao watu wapo, na wanaua bila sababu. Ni tatizo la akili so kila sehemu wapo

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 Місяць тому

      Unasema hafanani kwani muuaji ana alama? Tuwe makini watu wna roho za ajabu huwezi kumjua yupi ni yupi

  • @salumsalum5712
    @salumsalum5712 Місяць тому +15

    Canga la macho ilo🙄🙄🙄Gen Z muskubali ujinga

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 Місяць тому +1

      Kivipi?

    • @Ryannkae
      @Ryannkae Місяць тому

      @@zanzibarboyzanzibar509 amelipwa ili akubali huyu kaka sio Muuwaji mimi nasomea siasa marekani huyu sio mnachezewa akili

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 Місяць тому

      @@Ryannkae Hakuna kitu kama hichi ata ukisoma wapi it’s not big deal inamana Serikali ya kenya haina Akili Mbaka kufikissha kitu kikubwa kama hichi kwenye Medid?

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Місяць тому

    Hii si kweli mtu mmoja auwe watu wote hao bila kukamatwa miaka yote hiyo...😂😂

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi Місяць тому +6

    Changa la macho hizo mmepigwa 😂😂😂

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 Місяць тому

      Kila kitu changa la macho jamani😢😢😢😢😢😢 tupeni ukweli basi . Binadamu sis kila kitu tunapinga tuu

    • @MursalLusinde
      @MursalLusinde Місяць тому

      ​@@ilakozasembumende1975akili za kuambiwa changanya na zako si kila unacho ambiwa ukubali moja kwa moja kua ni kweli bali kabla ya kukubali ipe nafasi akili yako ya kuchambua jambo hilo kwa umakini mkubwa.. haiwezekani mtu aanze kuua toka zamani halafu ghafla apatikane leo tena baada ya miili kuonwa na wananchi labda angekamatwa halafu yeye ndo akaongoza polisi kuonyesha hiyo miili hapo kdg tungeamini... ila watu ni wajanja na wanajua kucheza na akili za watu ndani muda ila kuna vitu vingi vya kutilia shaka kama huyu ndo muhusika wa mauaji shem on u

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq Місяць тому

      😂😂😂😂​@@ilakozasembumende1975

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en Місяць тому +2

    Haka kamchezo bado kanaendelea
    Wakenya SS wabongo tushaona hako kamchezo
    Ila serikali inambinu adimu Sana
    Haya wakenya Kazi kwenu 😊😊😊

  • @issachibangu6075
    @issachibangu6075 Місяць тому +1

    Politic iyo

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 Місяць тому

    Heee!😢

  • @felicianfrancis9895
    @felicianfrancis9895 Місяць тому +1

    Dah, inasikitisha sana.

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Місяць тому +1

    Mamaeee na mm saiz mwaume akiniacha au akinikataaa ni mapanga tu 😂😂

  • @SalhaIradukunda
    @SalhaIradukunda Місяць тому

    Eeeeh tu saidie kwa kweli uku minilipo uyo ange uwawa ata yeye 😢😢😢😢😢

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Місяць тому +1

    Subhanallah hivi nguvu yaku uwua binadamu kama wewe unayitoa wapi mungu tujariye mwisho mwema😢😢😢

    • @wambuageorgemutua1930
      @wambuageorgemutua1930 Місяць тому

      Sio kweli,usiami unachoskia,serikali yetu ndio wauwaji na wezi

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Місяць тому

      @@wambuageorgemutua1930 mawazo haya ndio yanafanya Serial killer wengi kwenye nchi za kiafrika wasikamatwe coz wa advantage ya imani ya wananchi kuwa mauaji yote ya kimyakimya wanaohusika ni serikali. Ila hawa wauji wa hivi wapo na tunaishi nao na wanaua tena bila sababu.

    • @wambuageorgemutua1930
      @wambuageorgemutua1930 Місяць тому

      @@shahamtindo huyu jamaa amekua mahakamani leo amesema alilazimishwa kusema yeyee ni muuaji, serikali imeomba radhi...Kenya sio nchi

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Місяць тому

      @@wambuageorgemutua1930 hiyo ni kawaida kwa wauaji mbona

  • @gonanzaro5580
    @gonanzaro5580 Місяць тому +1

    Nairobi kwa slams Kuna title

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Місяць тому

    Mbona Polisi Wa Kenya Wanachekesha Sana Mpaka Mtu Anauwa Watu Wengi Ivo Sasa Kama Raisi Ndio Mkuu Wa Kenya Basi Achukue Maamuzi Asikali Waludishe Mishahara Yote Waliopokea Kuanzia Mwezi Na Mwaka Yalipoanza Ayo Mauwaji Kama Kweli Ruto Uko Kenya Kwasababu Ya Wakenya Basi Asikali Hao Waludishe Mishahara Yao Wameshindwa Kazi Inamana Kenya Iko Uchi Inalindwa Na Mungu2

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Місяць тому +3

    Angelikuwa mwislam wangesema ni gaidi😂 ila huyo anaitwa muhang wakisaikorojia nyie watu!

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Місяць тому

    kama wote ni wanawake sawa,ila kama ni jinsia zote basi itakua changa la macho hili

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Місяць тому +1

    Dah 😢😢

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Місяць тому

    Duuh mwanzo wa movie star kafia kwenye garden ndio hii Sasa

  • @emanueluroki6160
    @emanueluroki6160 Місяць тому +1

    Hatar

  • @halimaabdalla5149
    @halimaabdalla5149 Місяць тому

    Kaeni mukijua fanyeni yenu bt kwa mungu mutaenda kujibu maswali

  • @Dachibu
    @Dachibu Місяць тому

    Mchezo wa kuigiza huu kenya niyetu twaijua uyu so muuaji twafubwa macho ila kyakidani yanaona

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh Місяць тому

    Sound

  • @shahamtindo
    @shahamtindo Місяць тому

    Ubaya ni kwamba waafrika hatuamini kuhusu SERIAL KILLERS, kila anayepotea tunaamini kapotezwa na serikali. Na hiyo inawasaidia sana hawa psycho kuua kwa miaka mingi.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Місяць тому

    Siyo kweli ni uwongo haiwezekani asionekane hâta Siku moja Nani alikuwa wanamsaidia ile KAZI si ya mtu mmoja hii imetengenezwa😢

  • @user-tt3dt9hj4j
    @user-tt3dt9hj4j Місяць тому

    Hayo maojiano mlimhoji wapi mbona haongei?kama ni kweli aliua mkewe na watu wote hao akiri mwenyewe ndo tujue ni yeye alafu mbona ni wanawake pekee na jinsia mbili walio uwawa!

  • @wambuageorgemutua1930
    @wambuageorgemutua1930 Місяць тому

    Sio kweli, tuko Kenya na tunajua michezo yao

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Місяць тому

    Waongoooo

  • @user-hn8fl9ck2b
    @user-hn8fl9ck2b Місяць тому +6

    shetani hy kwanza ana sura mbaya pia wakenya wengi ni wana roho mby hasa wana ume

    • @STARGOLDENSTAR1
      @STARGOLDENSTAR1 Місяць тому

      Sasa nyie watanzania mkija uku tunawakalipisha ila nyinyi mna roho mbaya sana munawivu

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 Місяць тому

      😢

  • @user-ur7pw9ek6s
    @user-ur7pw9ek6s Місяць тому +1

    Subhanallah😢😢😢

  • @babuwajinaommy725
    @babuwajinaommy725 Місяць тому

    Hana uwezo huo huyo kunakitu nyuma ya pazia acheni janja

  • @boscow9380
    @boscow9380 Місяць тому

    Sasa kwanini asiuwawi na yeye?

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 Місяць тому

    Kiini macho😂😂😂😂

  • @user-ni2kv3yf6e
    @user-ni2kv3yf6e Місяць тому

    Mbona anafanana na ruto 😂

  • @chindemasoftware
    @chindemasoftware Місяць тому

    Uongo tu, haiwezekane akate wote!

  • @anna19805974
    @anna19805974 Місяць тому

    Uwiiiiiiii

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Місяць тому

    👀😲😭niliona nijajuwa nikajuwa nisiasa mung wang

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Місяць тому

    na saiv kenya kuna uuzaji wa kidney ya watoto. wadada na wakubwa 😭😭sijui kwanini watu wamekuwa wanyama hivi jamani

  • @rakelmula.2439
    @rakelmula.2439 Місяць тому

    Huyu si muuaji tafadhali wacha kutangaza taarifa huzijui

  • @mohammed-_-home-_-boy0018
    @mohammed-_-home-_-boy0018 Місяць тому

    🤔🤔🤔🤔

  • @ENGGILYAPAUL
    @ENGGILYAPAUL Місяць тому

    ko alikuwa anaua haraf anapeleka karibu na kituo cha police

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Місяць тому

    Machupi mekundu yote mmeokota mje kutushikia akili

  • @daizzmwangi4634
    @daizzmwangi4634 Місяць тому

    Kumbe mfatilii washa jichanganya 😅😅 Leo ni Tuesday we are in as fuck

  • @edishaa3108
    @edishaa3108 Місяць тому +3

    Mbona kama wamchongo😅

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Місяць тому

    SUBUHANALLAH 😢

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Місяць тому

    Mtu mmoja haez kuuwa watu wote hao... something is hidden..he is just an intermediary but i think someone somewhere is the main suspect

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Місяць тому

    Subuhanallah 😢

  • @dainagano3656
    @dainagano3656 Місяць тому

    Sura yake ya kiuaji ila pia anaonekana sio muuaji...yan yupo afu hayupo

  • @alphangeff2933
    @alphangeff2933 Місяць тому

    hallo SNS ,
    PLEASE DON'T trust our media outlets

  • @billjames1216
    @billjames1216 Місяць тому

    Hakuna bwana Ruto na uongo amezidi tu tena sana

  • @chainbre275
    @chainbre275 Місяць тому

    Hmmm Hii kama vile imepangwa why hakai muuaji jmn😢

  • @jospehfabian7856
    @jospehfabian7856 Місяць тому

    mbona hamkumkamata mapema kama sio uongo. achen kuzingua

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Місяць тому

    Huyu ameshirikiana n Ruto kaagizwa n Ruto wala wasiwadanganye viongozii wakenya tunawajua vizuri sisi wakenya ndio tunafahamu michezo yao 😢

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Місяць тому

    Acheni kufanya watu kama hawana akili

  • @michealouma2410
    @michealouma2410 Місяць тому

    😂,sio ukweli nyinyi sns pia ni waogo sana ,how comes amepatikana haraka ivo ,,sisi kama wakenya tumekataa

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Місяць тому

    HUYU SI MUUWAJE NI UONGOOOO #RUTO MUST GOOOOO

  • @thomaschenge-lc8wf
    @thomaschenge-lc8wf Місяць тому

    Duuuh

  • @user-uy3uk2ul5b
    @user-uy3uk2ul5b Місяць тому

    Duuu baada ya milikujulikana, je miliisingejulikana je mae asingejulikana.

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 Місяць тому

    Kama movie vile kumbe ni kweli

  • @ludanchuwa5054
    @ludanchuwa5054 Місяць тому

    Ukifikirisana ukaunga jibu halijifichi pole kwawafiwa na Kenya yote

  • @lizzygabriel9601
    @lizzygabriel9601 Місяць тому

    Mmh

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d Місяць тому

    Movie lakutisha lakutunga😂😂😂😂😂😂😂 gen z wanasema JNNE ZAKAYO MUST GO HOME......

  • @abdullahmanalex2306
    @abdullahmanalex2306 Місяць тому

    Hakuna muuaji hapo changa la macho hilo GEN_Z msikubali huyo ni mbuzi wa kafara ili kupoza mambo

  • @morrismuinde8621
    @morrismuinde8621 Місяць тому

    😂😂😂 hii ni uongo huyu ni mwizi wa kawaida tu

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Місяць тому

    Kenya muokoke msipofanya hivyo knya itawashinda

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 Місяць тому

    Haiwezekani kuuwa watu 42 serikari inazima issue/ Huyo baada ya muda mtamkuta VENEZUERA akira maisha.

  • @sarafinawanja8549
    @sarafinawanja8549 Місяць тому

    Hii ni uongo I feel this fake, maybe he's paid to take the blame, this is full of nonsense

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 Місяць тому

    Hapana hapa hii story imebuniwa na serikali

  • @SamuelOuma-uy2ci
    @SamuelOuma-uy2ci Місяць тому

    Huuu ni uongo amekuwa 2 kigezo wanajisafisha

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Місяць тому

    Kama aliumwa yy itakuwa nilazima majirani watakuwa wanamfahamu familia yake anakokaa asli yake Hivo

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Місяць тому

    Jamaa huyu ni si mtu wa kawaida aisee dah ila pongezi kwa maofisa uchunguzi wa haraka na kumpata muhusika kwa haraka👊👊👊

  • @shatonyonge
    @shatonyonge Місяць тому

    Gen Z washafanya uchunguzi wao na wamepata jina kamili la mshukiwa..kwanza amepatikana kwa haraka sana na kuna mauaji mengnei hawajawahi kamata wahusika...

  • @Nicholaskinyua253
    @Nicholaskinyua253 Місяць тому +2

    Huyu mtu ata astuki huyu ni muaji kweli

    • @shuwehaharuna6309
      @shuwehaharuna6309 Місяць тому

      Hastuki kwasababu anajua walio nyuma yake ni watu wazito hii ni fumba macho tu

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo Місяць тому

    🙆‍♀️

  • @thulanimashaba8491
    @thulanimashaba8491 Місяць тому

    Jumba bovu hilo anaangushiwa mwana

  • @flavourboyke
    @flavourboyke Місяць тому

    Hapo serikali inatucheza

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 Місяць тому

    TUESDAY IS TOTAL SHOWTDOWN

  • @arkei4003
    @arkei4003 Місяць тому

    Huyu siye huu mchezo twaujua😂

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Місяць тому

    sasa huu awawe na yey

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Місяць тому

    Propaganda tu sio kweli wakenya🇰🇪 amkeni

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 Місяць тому

    Mbona kakiri kirahisi Ivo

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Місяць тому

    Ss heeee na yy anyongwe umbwa uyo

  • @MtegekiKaijage
    @MtegekiKaijage Місяць тому

    Uchunguzi wa uongo changa la macho wakenya wanadanganywa

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 Місяць тому

    Hili ni chenga la macho,hamna kitu hapa ,huyo sii muuaji kabisa.

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t Місяць тому

    shinda wanajifanya wajuaji kwa kila kitu toka ruto akubali maombi yao

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 Місяць тому

    Dah! Watu ni dhalimu na bahaimu kabisa.