Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MANENO YA CHAMA BAADA YA KUPEWA JEZI NAMBA 17 NA FARIDI MUSA |

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 369

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 Місяць тому +6

    Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Місяць тому +19

    Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Місяць тому +11

    Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa2896 Місяць тому +6

    Mungu ,watunze wasipate majeraha
    Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza.
    Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu
    Aminaa

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Місяць тому +9

    Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Місяць тому +14

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja Місяць тому +4

    Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove Місяць тому +41

    Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu

  • @octavianluambano9081
    @octavianluambano9081 Місяць тому +15

    Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Місяць тому +4

    Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 Місяць тому +45

    Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 Місяць тому +37

    Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍

    • @ShakiraMasoud-ox5tj
      @ShakiraMasoud-ox5tj Місяць тому +1

      Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Місяць тому

      ​@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 Місяць тому +4

    Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b255 Місяць тому +21

    Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 Місяць тому +17

    Farid much respect wananchi tunakupenda ❤

  • @gwantualexis4064
    @gwantualexis4064 Місяць тому +7

    Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃‍♀️‍➡️..😅😅

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Місяць тому

      😂😂😂

    • @HadiaMohammed-ec2dn
      @HadiaMohammed-ec2dn Місяць тому

      Hahaha kama sio yy

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb Місяць тому +1

      Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz

  • @yussufshaaban1013
    @yussufshaaban1013 Місяць тому +2

    Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Місяць тому +41

    Farid ni mtu wa mungu sana

  • @PlanetLeo721
    @PlanetLeo721 Місяць тому +6

    Faridi is incredible player. Well done

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 Місяць тому +35

    Ahsante farid mussa malick

  • @jumambwambo
    @jumambwambo Місяць тому +7

    Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Місяць тому +1

    Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 Місяць тому +3

    Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih

  • @user-bm2wo7hh3b
    @user-bm2wo7hh3b Місяць тому +5

    Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤
    LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Місяць тому +6

    Narudia tena kusema
    MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Місяць тому +2

    Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...

  • @JusminSaid-zi6id
    @JusminSaid-zi6id Місяць тому +2

    Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Місяць тому +4

    Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Місяць тому +3

    Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions

  • @BonifasMjuni-zi1wg
    @BonifasMjuni-zi1wg Місяць тому +8

    Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid

    • @sumadashsumadash-yx8eb
      @sumadashsumadash-yx8eb Місяць тому

      Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali..
      Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm Місяць тому +69

    Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns

  • @Official83640
    @Official83640 Місяць тому

    Kumbe Kiswahili kinapanda vizuri maa'shaallah 💚💛💚💛

  • @FredyPeter-rn2il
    @FredyPeter-rn2il Місяць тому +10

    Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f Місяць тому +27

    Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Місяць тому +6

    Respect kwako Farid Mussa

  • @user-he1om2lu1f
    @user-he1om2lu1f Місяць тому +3

    Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 Місяць тому

    Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.

  • @LuckyAden-cd7wo
    @LuckyAden-cd7wo 24 дні тому

    Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy2214 Місяць тому +11

    Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Місяць тому +9

    Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 Місяць тому

    Ongera Faridy kwa uweledi ulionae big up sana

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Місяць тому

    Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana

  • @raymondkisinga4374
    @raymondkisinga4374 Місяць тому +12

    Big Up Farid Musa👏👏

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Місяць тому +5

    Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 Місяць тому +6

    Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉

  • @_kidayyo
    @_kidayyo Місяць тому +6

    Faridi hanaga baya🔥🔥🔥👏

  • @SüddyThíägø
    @SüddyThíägø Місяць тому +7

    Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Місяць тому +18

    Asante kaka Farid Musa

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 Місяць тому +3

    Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha

  • @steamtvtz
    @steamtvtz Місяць тому +5

    Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u Місяць тому

    Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛

  • @user-pn1cb1lw4l
    @user-pn1cb1lw4l Місяць тому +6

    Kubali sana faridi musa

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Місяць тому +7

    Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc Місяць тому +5

    Naipenda sana yanga

  • @Shadia544
    @Shadia544 Місяць тому +10

    Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Місяць тому +2

    Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏

  • @RamsoPedro
    @RamsoPedro Місяць тому +10

    Yanga bwana mko Vizuri

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 Місяць тому

    Mungu akubariki farid musa malick for the love

  • @CosmasCosam
    @CosmasCosam Місяць тому

    Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew

  • @Ba63828
    @Ba63828 Місяць тому +2

    Twatotela baiche for playing for WANANCHI

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Місяць тому +8

    Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote

  • @ErastoAmosy
    @ErastoAmosy Місяць тому

    Umetisha farid bigp saana

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu Місяць тому

    Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d Місяць тому

    Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee

  • @CalvinMbaraka
    @CalvinMbaraka Місяць тому

    So wise Farid much respect

  • @RazakciAbdulRazakciAbdul
    @RazakciAbdulRazakciAbdul Місяць тому

    Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba

  • @VanesaKeneth
    @VanesaKeneth 29 днів тому

    Farid mungu akutangulie muungwana sana

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Місяць тому

    Hapo wanapngelea simba jike shirikisho

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Місяць тому +9

    😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz Місяць тому +1

      😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Місяць тому

      Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan Місяць тому

      Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet Місяць тому

      @@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Місяць тому

      @@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.

  • @pascaljonathan6865
    @pascaljonathan6865 Місяць тому

    Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Місяць тому +9

    Mshery anategea😂😂

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 Місяць тому +6

    Chama mbona kama amepania sana 😅😅

  • @fikcountry5547
    @fikcountry5547 Місяць тому

    Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕

  • @tintin0019
    @tintin0019 Місяць тому +8

    OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA

    • @paulnzilo7252
      @paulnzilo7252 Місяць тому

      😂😂😂😂 meno aina gani huchangia kupata injury?

  • @LimseyMassawe
    @LimseyMassawe Місяць тому +5

    Mmemuona diara

    • @user-kd9tc4tl5f
      @user-kd9tc4tl5f Місяць тому

      Mazoezini hayupo ila Airport walikuwa watatu Aucho musonda na Diara

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 Місяць тому

    Eeeh Mungu iepushe timu yetu dhidi ya kashfa na watu wote wenye roho mbaya dhidi yetu... eh Mungu ilinde timu yetu na viongozi wake, wape mafanikio na busara na nguvu na hekima za kukiendesha club yetu ya yanga. Amen.

  • @shabaniiddi510
    @shabaniiddi510 Місяць тому

    Farid unajua sana mdogo angu sema endelea kukaza utafika mbali sana na kukubali kinoma

  • @HamisKibungulu
    @HamisKibungulu Місяць тому +1

    Big up faridi ndo uhungwana huo

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Місяць тому +1

    ❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 Місяць тому +1

    Big up kwa Farid Musa ❤

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 Місяць тому

    Uo ndio upendo wa timu faridi alicho kifanya Kwa chama ni kitu Cha maana sana MUNGU akubariki faridi Kwa upendo wako

  • @user-hg8jj3xk6c
    @user-hg8jj3xk6c Місяць тому

    Farid big up sana kaka

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz Місяць тому

    Farid ur man full of love to the fellow player

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 Місяць тому

    be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Місяць тому +3

    Uta ng'aa sana msimu ujao, 12 ni namba ya baraka

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 Місяць тому

    Respect sana Farid mussa

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Місяць тому

    Hiyo Avic Town Nizaidi Yahuko Walikoenda Hao Jirani Zetu Kuzurura.

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277 Місяць тому +4

    Big up farid mussa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉 naombeni tu mfocus na mambo yenu msijekutolewa mchezoni kwa figisu zozote zile

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 Місяць тому

    Eeehee km alivyotamani Aucho wamekutana kucheza pamoja.

  • @ChachaWambura-ol2lq
    @ChachaWambura-ol2lq Місяць тому +1

    Hapo sawa kama kapewa jezi yake kazi ipo

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Місяць тому

    Farid hongela San kk hapo umefanya vizul san

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Місяць тому

    NATAKA kuona combination ya Aucho, Mkude, Chama na Pacoume

  • @abouybaramia534
    @abouybaramia534 Місяць тому

    Lile shangaz aisee waun wanafanyishwa nalo mazoez

  • @mkombozimella8436
    @mkombozimella8436 Місяць тому

    Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Місяць тому

    Mtu wa maana kabisa Farid Musa, mzidi kudumu katika hilo pendo wachezaji wetu.

  • @ellymtz6886
    @ellymtz6886 Місяць тому

    Safi sana faridi Musa..🙏🏻

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Місяць тому +1

    Ewaaaah..wamekwisha sasa😂

  • @user-yn6wf7qq7s
    @user-yn6wf7qq7s Місяць тому

    💚💚💚Kwako faridiiiiii

  • @BeckaJunior
    @BeckaJunior Місяць тому +1

    Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅