Asante sana life coach Yan umenigusa zaid kwenye swala la mahusiano mawasiliano nijambo ambalo ni Bora na zaid kama me nilikuwa na mpenz wangu anitafuti Hadi naanze mimi nikimtafuta anambia nilikuwa keep bise nikaona sina mda wakuendelea Kuwa nae
Hi Bro Nanauka : Mimi Ni Muajiriwa Takriban Miaka 3 Asaiv Lkn Kwa Kweli Sina Tena Hamu Ya Kufanya Hii Kazi Kwn Imani Yangu Inaamin Ni Mda Wa Kubadilisha Hiki Ninachokifanya ~ Lkn Cha Ajab Sina Wazo Lolote La Biashara Wala Taaluma Yeyote Km Ndio Niizifanyie Kaz Nipo Nipo Tu. Asa Nilikua Naomba Unishaur Kitu Gan Cha Kufanya?
Mahusiano yanaumiza sana Yan hata ukimpenda mtu ukimweshim haon me naona Bora uwe single waiiii
Nadhan tu sjapata tunaeendan inaumiz sana Na inavunja moyo sana 😢
Kaka mm mahusiano yanaumiza sana ❤
Pamoja na uwaminifu na kuheshimiana na kujaliana na kuhurumiana
Narudia mara ndio nielewe vizuri
Wa kwanza leo like zenu
Asante bw joel mausionaa kitu kubwa share knowledge experience pande zote mbili not one side kama upande moja itakuwaje?
ua-cam.com/video/O0eOXHA6LM8/v-deo.html
Be blessed
Kaka umeongea point za msingi sana ukizingatia ni ukweli na ni kanuni nzuri sana za mahusiano boraaaa
Nikweli mawasiliano yakipughuwa katika mahusiano hapoupendho hakuna hatakidogho
Asante sana kk Joel mahusiano yanatuumiza sana kwa upande wa wanaume unafanya kila kitu hadi inafika mahali mtu hutamani tena kuwa na mahusiano jmn
Mawasalinao ndo tatizo kubwa ka vunja mahusiano
Asante kaka Joel nanauka kwa somo lako mungu akusimamie kwa Kila hatua upigayo 🙏
Daaa! Joel naona kama umenimulika Mimi na mahisiano yangu , nafikiri point ya mwisho inahusu mahisiano yetu. Much thanks broo
❤😂niliacha kila kitu kisa mawasiliano duni
Nikweli ila hawa wanawake wanatawaliwa na mihemko
Kaka Joel Kila siku unanisemaga mm tu jaman mada karibu zote
😂😂
Wengi wanalia kwa sababu ya kukurupuka nakuangalia mafanikio usiojua chanzo chake
Naomba urudishe ule ule wimbo wa zamani
Nenda ring tone
nikweli ila hawa wanawake niwasumbufu sana
Asante kaka Joel
asante mwalimu joel nanauka
Mausiano yanaitaji mungu akupe mtusahii wakuendana
Kaka Joel Unadarasa lizuri mno Mungu akubariki
Jumbe nzuri sana hio
mkuu naomba mawasiliano yako
Mungu akupe MTU wa levo yako muanze wote
Teacher Joel 📝🙏
Thanks Mr. Joel
Kutokupatikana ndio biggest challenge for each people to become much busy
Nimekuelewa sana
Ahsante sana 🙏🙏🙏
Nadhani bado cjampata
Hmmm yaani kwenye mawasiliano nishida nanichanga moto sana
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🏻
Asante sana life coach Yan umenigusa zaid kwenye swala la mahusiano mawasiliano nijambo ambalo ni Bora na zaid kama me nilikuwa na mpenz wangu anitafuti Hadi naanze mimi nikimtafuta anambia nilikuwa keep bise nikaona sina mda wakuendelea Kuwa nae
Asante sana kabisa
kunakitu nimechelewa kukijua lakin siombaya nimejua asante kaka
Umenisaidia sana kwa hii video
Nakufatilia Sana kaka
hapo mm naona kuendana ndo changamoto kubwa kwenye love
Compatibility ndo tatizo
Ndiyo
Sijui nisemeje tuache tu nini
Asante sana
Kaka joeli sorry nisaidie ,,,hakuna wale anaekua anakupenda ndyo lknii anatngwa sana kaznii maybe mnawasiliana asubuhi na jioni to vle anakupgia cmu hamuwasilian vle kla mara ,,,,hyo ipoje
Hi Bro Nanauka :
Mimi Ni Muajiriwa Takriban Miaka 3 Asaiv Lkn Kwa Kweli Sina Tena Hamu Ya Kufanya Hii Kazi Kwn Imani Yangu Inaamin Ni Mda Wa Kubadilisha Hiki Ninachokifanya ~ Lkn Cha Ajab Sina Wazo Lolote La Biashara Wala Taaluma Yeyote Km Ndio Niizifanyie Kaz Nipo Nipo Tu. Asa Nilikua Naomba Unishaur Kitu Gan Cha Kufanya?