Yeah sasa hivi ninaweza kujisimamia kwa sababu mme wangu alinifundisha vitu vingi sana na kunipa uwezo mkubwa wakufanya mambo makubwa pia kukabiliana na mambo makubwa eeh mwenyezi Mungu amuweke mahali pema peponi. 😭😭iam more stronger than yesterday. 😭😭
Ameniachia maumivu makali sana, mpaka sasa hivi najuta kwanni alikuja kwenye maisha! Yangu! Ila Namshukur sana, amenifundsha! Kupambana sanaa Mungu ampe maisha marefu kwenye ndoa yakee😢
Allah kher nashkuru aliyekuwa mume wangu aliniachia tabia nzur nying na nlijifunza mambo mengi mazuri kuptia yeye kubwa zaidi alinifundisha kuwasamehe watu wote walioikoea kabla ya kulala hilo siwez kulisahau na kila cku namuombea Dua ........japo tumeachana naamini rizki yamimi nayeye imeisha tu lkn aliishi namimi kwa wema Allah amzdishie
Bando langu natumia vile inatakiwa unatuonesha njia sahihi, wapo walio kosa mzazi awe baba mama pindi anakosa direction akuna wakumsawazisha your re-prsmnt after parent God bless you 🇹🇿🙏.
Namshukuru Mungu kwa uwepo wako nikweli mahusiano yanaumiza unakuta mtu ana kuwa mubinafi hajati hata akisafiri anaonfoka haagi haachi chochote na anajua kina watoto Ila upande mwingine anahudumia kwa kweli mtu Kama huyu hata nikichukua maamuzi ya kuachana sizani Kama no tajuta😮😮😮😮😮 kuleamtoto pekee yako mwanaume yupo inaimiza jamani hajali watoto
Mimi niliona Kama nilitua mzigo mzito Sana japo baada ya Mimi kukaa mbali nae yeye ndo anatamani kurudi Hali Mimi Sina muda nae Tena na ninaendelea na Maisha yangu kwa amani kabisa
Asantesana mwalimu,nikweli miminimenyanyaswa sana kwenye dowa kilanikifanya biashara sikuwa na faida juu watoto wagheniteghe mimi,lakinisahii nimejifunza hatamimi kujiwekea kasevigh kidogho juu ya kuwA mbali na mwanaume asiniteghemee tena mimi.
Hakika Kaka J umeongea vitu vya maana sana.Ila Mimi katika maisha nimejifunza kutafakari kwamba,je huyu niliyenaye kwenye mahusiano Nina gain au napoteza. Mtu atafakari mapema,achukue maamuzi mapema,maana Ni maisha yake . Mtu una ndoto zako,mtu anaziharibu kwa sababu zake.Simamia ndoto zako.
Kaka nashukuru kwa SoMo nzuri umenigusa Sana maana Mimi nilifungwa Kama mbuzi. Ila Sasa hivi Niko na amani tele maana alikuwa ananikosesha amani hataki hata uongee na jirani.
Kwa kweli wakat nadate na yule mpuuzi nilijikuta nampa Zaid ya nnachoingiza.yani natumia chote bila kubaki hata na akiba lakin sas hv nd naona kwamba nilkuwa najinyima sana.naishia hapo nikisema nielezee ntajaza hata page 5.ila sas hiv nayafurahia maisha yangu umenibadilisha sana kiongozi.mungu akubariki.
Me too i used to think tha tulikua tunapendana na uyo mtu kumbe hell no ni mimi ndo nilikua nampenda but the day I learned how much I’ve sacrificed myself for him nilitoka kwenye hayo mahusiano bila kugeuka nyuma🤣🤣🤣ubarikiwe kaka hope others will learn from this✌️
Kaka Joel kila nikishamaliza kufungua biashara hua naingia kwenye page yako ili nikusikilize unatutia moyo sana kaka mm niliachana na mme wangu lakin kwa maisha niliyoish nae nilikua Mara nyingi natafuta furaha yake Zaid lakin baada yakuondoka nimegundua mambo mengi sana had nashangaa maana ananisema kwa mabaya sana na siku mbaya kwake japo sijasimama sana lakin naiman nitafika mbali pamoja na changamoto za kulea watt kusomesha lakin nimekua jasir sana kaka.
Kiukweli sasaiv sioni kituchochote mkewangu aliondoka kwenda nyumban akasema anaenda kusalimia kisha nakuludi nyumban kipindi bado yuko nyumban nilkuwa nampa kileanacho kitaka mpaka nilkuwa balala njaa ilitu mkewangu apate kileanacho kitaka na mwanangu ilipofika talehe 28/2/2023 aliomba nauli ya kulud nyumban kwake nikamtumia akanambia baada ya skutatu atakuwa amefka kwangu lakin akawa anasema ntakujatu skuyoyote mpaka leo chaajabu nikiulza kosanini linalo kufanya usilud kwako ninini hasema wakat nmeshafanya hatuazote zinazotakiwa kwenye ndoa kiukweli naumia sana nabado nampenda sana najalibu kusahau lakin ndo kwanza naumia mwenyewe nmengi alinambia lakin ayoanayo nambia siyo makosa makubwa yakufanya asilud kwake nateseka sana naumia sana kafanya mpasuko wa moyo kwangu kafanya niwaze kiasi kwamba nataman nitoweke tu nisionekane kabsa 😭😭😭 naomba ushauli wako maana ndoa yangu inamiaka minne tu lakin sasaiv sielew nikitugani kimemkumba mkewangu maana nikituma sms anajibu anavyo taka yeye ukipga akipokea haongei mala anaelekeza cm kwa mwanangu nashindwa kuvumilia nmengi anayo nifanyia mpaka nashndwa nianzie wap JOEL NANAUKA naomba msaada wako sioni mwangu kwamkewangu mdawote kiza sion pakutokea napia sion pakushika atandugu zangu wakimpgia cm hapokei mpaka inafika seem naumia naishiwa nguvu kabsa naomben msaada maana ndo ndoayangu ya kwanza JOEL NANAUKA naomba msaada please🙏🙏
Pole Kama Kuna Jambo ulishawah kumfanyia baya la kumuumiza muombe msamaha ila Kama hamna jipe songa mbele utamsahau ucteseke Ivo pambana kutfta pesa usiuwe malengo yako kw a sababu ya mtu
Mr. Naomba niulize ili nifaham yupo mpenzi wangu wa zamani ambaye yeye aliomba kuachana nami hilo nikakubali lakn kwasiku za karibuni ananianza yeye kunitafut na kuniambia nipo kimya sana, nina roho mbaya simtafuti, amenimiss anatak kunion lakini Leo amenitafuta na kuniulizia hali ya mama yangu ambaye hamjui ila anajua ninaye mzazi wa kike nakusema alitaka tu kujua hali ya mama yangu mwisho akasema hakuwa na shida na Mimi lakini hapa najiuliza kwanini kila wakati unitafut Mimi na kunizungumzia mabaya kuwa nina roho mbaya yote haya uletwa na nini maana nakumbuka tulipo achana alisema amepata mtu wa kumchukulia uwangalifu na mwenyeuwezo wa kumpa pesa za kutosha na kila anachotaka nili dumu naye miaka 3 lakini yeye amekuwa kero sana tatizo ni nn Mr ?
Nimejifunza vingi sana mtu muhimu anapoondoka kwenye maisha yako, sio rahisi sana bali itachukuwa muda kuanzisha kitu kimya na moyo ukakubali hicho kitu
Yeah sasa hivi ninaweza kujisimamia kwa sababu mme wangu alinifundisha vitu vingi sana na kunipa uwezo mkubwa wakufanya mambo makubwa pia kukabiliana na mambo makubwa eeh mwenyezi Mungu amuweke mahali pema peponi. 😭😭iam more stronger than yesterday. 😭😭
Ameniachia maumivu makali sana, mpaka sasa hivi najuta kwanni alikuja kwenye maisha! Yangu! Ila Namshukur sana, amenifundsha! Kupambana sanaa Mungu ampe maisha marefu kwenye ndoa yakee😢
Barikiwa Sana menter wangu
Naamini watanzania wengi watakubaliana na hili soma wakimkum buka Magu
Shukrani Ndugu Nanauka ukweli mtupu 📚📚📚 🎙️
Mwl nimejifunza vizuri Kwanza kujua muda niliopoteza na watu niliopoteza kwaajili yake
mAmb kama haya nd nilikua nahitaji Mungu akubariki sanaa kakaaaa
Allah kher nashkuru aliyekuwa mume wangu aliniachia tabia nzur nying na nlijifunza mambo mengi mazuri kuptia yeye kubwa zaidi alinifundisha kuwasamehe watu wote walioikoea kabla ya kulala hilo siwez kulisahau na kila cku namuombea Dua ........japo tumeachana naamini rizki yamimi nayeye imeisha tu lkn aliishi namimi kwa wema Allah amzdishie
🙏🔥👌🏽 Yani 🤦🏿♀️ sitaki kusema iyo Yq kwanza 🙌🏿 Ubarikiwe nanauka 💕
God bless your the gifted boy,hakika wew ni tunu iliyotoka kwa mungu,good resson to me and us.
God bless you, kaka Umekua faraja sana kwangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu uzidi kuwafungua watu akili 🙏
Bando langu natumia vile inatakiwa unatuonesha njia sahihi, wapo walio kosa mzazi awe baba mama pindi anakosa direction akuna wakumsawazisha your re-prsmnt after parent God bless you 🇹🇿🙏.
Mengi tu nimejiufunza
Kwa kweli nilijua ni kwa kiasi gani nilimpenda kuliko cho chote maishani mwangu aliniachia maumivu makali sana yaliyo ambatana na majuto
Namshukuru Mungu kwa uwepo wako nikweli mahusiano yanaumiza unakuta mtu ana kuwa mubinafi hajati hata akisafiri anaonfoka haagi haachi chochote na anajua kina watoto Ila upande mwingine anahudumia kwa kweli mtu Kama huyu hata nikichukua maamuzi ya kuachana sizani Kama no tajuta😮😮😮😮😮 kuleamtoto pekee yako mwanaume yupo inaimiza jamani hajali watoto
Yataisha na utasahau
Kaka joel nanauka aisee umebarikiwa sana na mungu ase
See you at the top! Thank you for good lesson.
Asante sana my brother from another mother
Nashukuru mungu baada tuu ya kuachana nae nikagundua Kuwa Kuna vitu nilikuwa najinyima ilikumfurahisha yeye
Mimi niliona Kama nilitua mzigo mzito Sana japo baada ya Mimi kukaa mbali nae yeye ndo anatamani kurudi Hali Mimi Sina muda nae Tena na ninaendelea na Maisha yangu kwa amani kabisa
Asante kaka Joel Nina Imani hii video itawasaindia wengi mungu azidi kukuweka ili uzindi kutufunza mengi
🎉AMEN ❤❤
Live Long kaka Joel ✨
Mtwara Tunaona Fahari sana kuwa na wewe
Kati ya vitu nimegundua baada ya kuachana na huyu mtu ni kuona ndoto zangu na career yangu ilikua inapotea Taratibu pasi mwenyew kutambua
Ahsante sana Neema🙏🏼🙏🏼
Mtumishi ,Kama Kuna somo umefundisha na limegusa Maisha yangu Mungu akubariki Sana
Ndugu MUNGU akubariki🙏nimeyaishi mafunzo ,
Asante kila wakati nabarikiwa na kujifunza kitu kipya Asante kwa masomo mazuri sana sana
Mm nimeachana na Baba watoto wangu saizi nimekuwa na amani na fuha nanimejifuza mamba mengi sana
Ahsante sana kaka joel unazidi kunivusha
Kaniachia wema. Alikuwa .mwema sana sana
Asantesana mwalimu,nikweli miminimenyanyaswa sana kwenye dowa kilanikifanya biashara sikuwa na faida juu watoto wagheniteghe mimi,lakinisahii nimejifunza hatamimi kujiwekea kasevigh kidogho juu ya kuwA mbali na mwanaume asiniteghemee tena mimi.
Mungu azidi kukutumia
... Mi nna usingizi... nitasikiliza vizuri kesho kaka Jo
😂
Umesikiliza😁
#AhsanteJoel
Nimekukubali sana kaka,du naumia sana kukumbuka watu kadha wakadha ambao mimegundua sana umuhimu wao baada ya wao kuondoka maishani mwangu.
Pole sana kaka
Hakika Kaka J umeongea vitu vya maana sana.Ila Mimi katika maisha nimejifunza kutafakari kwamba,je huyu niliyenaye kwenye mahusiano Nina gain au napoteza.
Mtu atafakari mapema,achukue maamuzi mapema,maana Ni maisha yake .
Mtu una ndoto zako,mtu anaziharibu kwa sababu zake.Simamia ndoto zako.
Kaka nashukuru kwa SoMo nzuri umenigusa Sana maana Mimi nilifungwa Kama mbuzi. Ila Sasa hivi Niko na amani tele maana alikuwa ananikosesha amani hataki hata uongee na jirani.
Safi mzee baba nimekupata vizuri sanaa
Hakika alipoondoka nimejisikia faraja sana mana nimejihis uwepes sana na kufanya v2 vyang na moyo wangu umekuwa 2li
Kwa kweli wakat nadate na yule mpuuzi nilijikuta nampa Zaid ya nnachoingiza.yani natumia chote bila kubaki hata na akiba lakin sas hv nd naona kwamba nilkuwa najinyima sana.naishia hapo nikisema nielezee ntajaza hata page 5.ila sas hiv nayafurahia maisha yangu umenibadilisha sana kiongozi.mungu akubariki.
Upendo una nguvu sana kuliko hata mauti
@@eliamartine4720 maana Yako nn?
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 you are really good, precede teaching us
Nashukuru sana Mungu, kwa kuachana na mme wangu😂
🤣🤣🤣
Unachekesha Sana,imenifurahisha Sana ,
Nashukuru sana mwalimu Mungu akubariki
Asante sana...imekuwa useful Kaka Joel
Nimekubali kiongozi
Ahsante Sana kwa elimu hii
NI KWELI BAADA YA KUACHANA NA MKE WANGU YALIIBUKA MAMBO MENGI SANA KWANI MKE ALIANIKA SIRI ZANGU ZOTE HADHARANI !
Mungu akubariki sana brother.
Baada ya kuachana na mume wangu nilipata amani kubwa nikatawaliwa na furaha ambayo niliikosa kwa miaka mingi
Maneno yako kweli kabisa So. Nini cha kufanya nini nipate niliopoteza
Thank you babaa
Nikwel....mda mwingine usihuzunike mtu anapokuacha😢
Asante Sana kaka 🤝
Me too i used to think tha tulikua tunapendana na uyo mtu kumbe hell no ni mimi ndo nilikua nampenda but the day I learned how much I’ve sacrificed myself for him nilitoka kwenye hayo mahusiano bila kugeuka nyuma🤣🤣🤣ubarikiwe kaka hope others will learn from this✌️
Ye
Asante sana
Niliona maumivu sana
Kaka Joel kila nikishamaliza kufungua biashara hua naingia kwenye page yako ili nikusikilize unatutia moyo sana kaka mm niliachana na mme wangu lakin kwa maisha niliyoish nae nilikua Mara nyingi natafuta furaha yake Zaid lakin baada yakuondoka nimegundua mambo mengi sana had nashangaa maana ananisema kwa mabaya sana na siku mbaya kwake japo sijasimama sana lakin naiman nitafika mbali pamoja na changamoto za kulea watt kusomesha lakin nimekua jasir sana kaka.
M nimoja wap ambaye nilitokewa najamb hilo
Istoshe familia yao wnaniamn san tu il kuanza sasa nimeon bora niwe mbal naye
See u at the top
Yaan umeongea karibia yooote ndio yalinikuta
Kiukweli sasaiv sioni kituchochote mkewangu aliondoka kwenda nyumban akasema anaenda kusalimia kisha nakuludi nyumban kipindi bado yuko nyumban nilkuwa nampa kileanacho kitaka mpaka nilkuwa balala njaa ilitu mkewangu apate kileanacho kitaka na mwanangu ilipofika talehe 28/2/2023 aliomba nauli ya kulud nyumban kwake nikamtumia akanambia baada ya skutatu atakuwa amefka kwangu lakin akawa anasema ntakujatu skuyoyote mpaka leo chaajabu nikiulza kosanini linalo kufanya usilud kwako ninini hasema wakat nmeshafanya hatuazote zinazotakiwa kwenye ndoa kiukweli naumia sana nabado nampenda sana najalibu kusahau lakin ndo kwanza naumia mwenyewe nmengi alinambia lakin ayoanayo nambia siyo makosa makubwa yakufanya asilud kwake nateseka sana naumia sana kafanya mpasuko wa moyo kwangu kafanya niwaze kiasi kwamba nataman nitoweke tu nisionekane kabsa 😭😭😭 naomba ushauli wako maana ndoa yangu inamiaka minne tu lakin sasaiv sielew nikitugani kimemkumba mkewangu maana nikituma sms anajibu anavyo taka yeye ukipga akipokea haongei mala anaelekeza cm kwa mwanangu nashindwa kuvumilia nmengi anayo nifanyia mpaka nashndwa nianzie wap JOEL NANAUKA naomba msaada wako sioni mwangu kwamkewangu mdawote kiza sion pakutokea napia sion pakushika atandugu zangu wakimpgia cm hapokei mpaka inafika seem naumia naishiwa nguvu kabsa naomben msaada maana ndo ndoayangu ya kwanza JOEL NANAUKA naomba msaada please🙏🙏
Pole Kama Kuna Jambo ulishawah kumfanyia baya la kumuumiza muombe msamaha ila Kama hamna jipe songa mbele utamsahau ucteseke Ivo pambana kutfta pesa usiuwe malengo yako kw a sababu ya mtu
Mr. Naomba niulize ili nifaham yupo mpenzi wangu wa zamani ambaye yeye aliomba kuachana nami hilo nikakubali lakn kwasiku za karibuni ananianza yeye kunitafut na kuniambia nipo kimya sana, nina roho mbaya simtafuti, amenimiss anatak kunion lakini Leo amenitafuta na kuniulizia hali ya mama yangu ambaye hamjui ila anajua ninaye mzazi wa kike nakusema alitaka tu kujua hali ya mama yangu mwisho akasema hakuwa na shida na Mimi lakini hapa najiuliza kwanini kila wakati unitafut Mimi na kunizungumzia mabaya kuwa nina roho mbaya yote haya uletwa na nini maana nakumbuka tulipo achana alisema amepata mtu wa kumchukulia uwangalifu na mwenyeuwezo wa kumpa pesa za kutosha na kila anachotaka nili dumu naye miaka 3 lakini yeye amekuwa kero sana tatizo ni nn Mr ?
Nlipotez san muda na hela baada ya kuachana nae ndo nikajua kumbe alikuw after money ila kipind nipokuw nae nlikuw km na upofu aseee
Vep kak mm nilishi na mwnamk km rafk il sjawh kumvunjia heshm at ck moj nimemsidi sana.mengn wla hayasemek sas hv ananifnyi visa unanishaur vep
Mtumishi nipoa na mpenzi wangu kila kitu ukimwambia yeye ndio ushauli ana nakuta naumiza akili pwkeangu nifanye nn
apo umefunika kilakitu. Kaka du niya mapitotu
😎😎
Nimejifunza vingi sana mtu muhimu anapoondoka kwenye maisha yako, sio rahisi sana bali itachukuwa muda kuanzisha kitu kimya na moyo ukakubali hicho kitu
Kiukweli nipo kwenye mahusiano na mtu ila ndani mwangu Sina Raha Wala amani naye kabisa
@@theresiachacha5180 pole
Asnt Sana brother kwa elim mzuri naamini saiv nitakuwa napata mafunzo baaad ya mtu kuondoka
Amani eanza kuikosa lini. Kwa nini ulimkubali yaani kwa nn uliingia@@theresiachacha5180