1. If you born poor its your parents 2. If you die poor its your problem 3. Comfort zone kill many dreams 4. You are the CEO of your life 5. Lack of confidence kill many Vision Yaan Joel sina cha kukulipa ila Mungu aendelee kukutumia ni kweli nimepewa support na bank baada ya kuona jitihada zangu nimejenga store lkn haina kitu, mabadiliko yanaanzia ndan na kujiamin see you at the top
Thanks alot brother Joel nakubaliana nawe mia kwa mia, Mimi ujiamini sana kwa kile ninacho kifanya ata mtu hainiambia siwezi mi humwambia hayo ni maono yako wala sio yangu
👏am really impressed by this speech @JOEL NANAUKA🤗 nathani hotuba hii uliitengeneza Kwa ajili yangu🙏🙏🙏🙏 Mark this comment, ONE DAY WE WILL SHAKE HANDS & I WILL REMIND YOU OF THIS TOUCHING SPEECH🙏🙏🙏🙏 NIMESHUKURU🙏🔥🔥🔥
Joer napenda dalasa lako sana joer jina la aliekua rafk yangu kipenzi shulen ilatumesha potezana, Mimi ni fundi mzuri wa kapenta na ninaipenda sana Kaz hii Kupaua shatalin, n.k sijui nifanyajekuongeza wateja.
Mimi naishi Marekani ila huyu jamaa ni Mwalimu wangu mzuri sana tangu nimeanza kumfuatilia mtazamo wangu wa maisha umebadilika sana . Thank you brother for your teachings ❤
Amen nilibadilisha maisha yangu kipindi fulanii kwa kuacha kufuata mpango nilikuwa nao na kuanzisha mpango mwingine ambao ulikujaa kuniumiza sana kiasi cha kupoteza ndoto na muelekeo wa maisha lakini ashukuriwe Mungu nimesimama tena na kujitafuta upya.
thanks much brother, naamini sikumoja nitakuwa mtu mkubwa Sana kupitia kilimo na ufugaji
Amina
1. If you born poor its your parents
2. If you die poor its your problem
3. Comfort zone kill many dreams
4. You are the CEO of your life
5. Lack of confidence kill many Vision
Yaan Joel sina cha kukulipa ila Mungu aendelee kukutumia ni kweli nimepewa support na bank baada ya kuona jitihada zangu nimejenga store lkn haina kitu, mabadiliko yanaanzia ndan na kujiamin see you at the top
Confidence ndo Kila ki2. Namuaminisha Mwanangu kuwa anaweza ktk masomo na anaweza kweli
Maisha ni mpangilio unaojiwekea kukosa mpangilio mzuri inaweza kupelekea kukosa mwisho mzuri.... Thanks brother Joel nanauka your The Best
Hakika Joel amenisaidia sana vitabu video vyote vimenisaidia sana kujipana naninasonga mbele
@@kalistussanga3623 usikivu wako ndio unakupa mafanikio hakika wewe ni shujaa mafundisho umsaidia mtu yule mwenye kuelewa.🇹🇿💪🙏.
naam,lakini tupo wengine tukijalibu kuweka mpangilio wa maisha tunashindwa.tunaomba mtusaidie.
Kweli,maisha huru ni kuishi unavyotaka, Kuna faida ya kuimarika kiffikra chanya,
JOEL nadhani hili ni somo Bora ZAIDI
yes I have to change myself to focus success
.thanks uncle we are together...lets keep on learning
I'm from Burundi this gentleman is teaching the World not Tanzania citizens only
Nakushukuru umenijenga kiukwelii
Thank you so Much Lucien, let’s keep on learning.
This man 🙌🙌🙌🙌I really thank God for him
Nimetokea kuwa mfuatiliaji wako kwa karibu sana na nahisi kuna kitu kinajijenga ndani yangu
Jamani sijui nilikuwa wapi nakuelewa sana hivi unapatikana wapi natamani kuhudhulia semina zako napataje mawasiliano yako kaka
Brother JOEL UBARIKIWE
Thanks alot brother Joel nakubaliana nawe mia kwa mia, Mimi ujiamini sana kwa kile ninacho kifanya ata mtu hainiambia siwezi mi humwambia hayo ni maono yako wala sio yangu
I have gotten a point that will help my entire life👏I wish my fellow youths will hear this,iam from Nairobi Kenya getting you clearly
👏am really impressed by this speech @JOEL NANAUKA🤗
nathani hotuba hii uliitengeneza Kwa ajili yangu🙏🙏🙏🙏
Mark this comment, ONE DAY WE WILL SHAKE HANDS & I WILL REMIND YOU OF THIS TOUCHING SPEECH🙏🙏🙏🙏
NIMESHUKURU🙏🔥🔥🔥
Joer napenda dalasa lako sana joer jina la aliekua rafk yangu kipenzi shulen ilatumesha potezana, Mimi ni fundi mzuri wa kapenta na ninaipenda sana Kaz hii Kupaua shatalin, n.k sijui nifanyajekuongeza wateja.
Maneno yako yamenijenga sana nashukuru kwa Mungu kwa uwepo wako
👏👏✍️🎉🎉 na elewa ka bisa
Kwa elimu hii na mm nweza ahsnte kaka joel nitapambana
Wewe ni mwalimu wa wengi
Binafsi umenibadilisha sana toka nianze kujifunza kutoka kwako,, Mungu azidi kukuongoza
Naanza kujifunz kutoka kwako Kwa maneno Yako yenye 🙏
Asant sana kwa mafundisho yako ila najambo nataka unishauri sijajua nifanyaj ili nipate mawasiliano na ww
Naam Kaka Joel somo limeniongezea kujiamini, sijui ilikuwa wapi hapo! Ninakukribsha pia na huku Mwanza
Kichwa Chenye Madini,God Bless you🙏🧠
Mualimu wetu siku zote nitakutakia baraka 💫
Vizuri sana
New subscriber from kenya
Maneno unayoyaongea kaka Joel kweli kabisa yana tukuta na tinayaona
I SEE MEE AT THE TOP
Daaaa! Kunafaida kubwa sana nimeipata. Asante sana bro
Nimebarikiwa Sana na somo zuri
Mungu akubarikisaana,,Akuzidishe ISAYA 60,,,LIWEFUNGULAKO
Ameen
Unapo fundisha nakusikiliza kwa umakini sana. Kwasababu wewe ni taa langu. ❤️
Ahsante Mwalimu. Shukurani Joel. Maisha Marefu Kwako.
Mungu ni mwema
Naitwa Cosmas kutoka arusha huwa unanitia Moyo sana zaidi ya WAZAZI Wangu Ubarikiwe sana maana kuna mambo Makubwa nimeyafanya kupitia ww
respect #kwako.. Bro joel
Asante mafuzo yako ni ya kipekee imenisaidia
Mungu nisaidie niishi maisha ya viwango ambay ni mazur
Nakuelewa sana kakaangu, ahsante umenibadirisha kwakias kikubwa!
Lazima nifanye kitu cha ziada kitakacho nifanyisha nijiamini... Thx #Joel
Tz tuna watu vichwaaaa! Thanks Lord.
Comfort zone that's right i shouldn't be in a comfort zone, I'm the CEO of my life Hamna atakayekuja badilisha maisha yangu...thx #Joel
Kwakwi nashukuru kwa video hio. Mungu akuzidishie ufahamu na kuelimisha jamii yote.
Kuna kipind napitia ila baada ya kusikiliza video zako hua napata nguvu tena
Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki
Is true your Touching me. Let me pull my socks stil a chance to change my life.GOD BLESS YOU.
Hongera kwa mafundisho mazuri
Amazing presentation.Thank you for sharing.😅
Point taken, don't stay in comfort zone
NI kweli ndugu yangu.
Coash Joel Mungu akubariki mno nimejifunza mambo mengi na mengine nimefanya maamuzi ya kuyafanyia kazi na nimeona matokeo asante.
Naomba mawasiliano yako 🙏
🎉nakukubali sn kk
asante sana kaka kwa mafundisho mazuri 🙏 umenifungua kichwa changu
Father joel nanauka!
Mungu akubariki sana
More life to Brother ❤️🙏🏻
Upo vizuri mwalimu
Nipo mwz nakufurahia
Upo sahihi sana bro
Nashukuru sana
Obrigado Joel
Wengi tunapenda kubadilika lkn kufany maamuz ya kuelekea kweny hyo mabadiliko ndyo ngum,napenda unapo tugngua brain zetu asant broo
My brother Joel 🙏🔥📝
Kweli mwalimu nashukuru
Nimeelewa kitu be blessed bro.
Maneno ya kweli kabisa katika maisha
Ukweli mtupu.Confidence.Pia malengo.😊
Mimi naishi Marekani ila huyu jamaa ni Mwalimu wangu mzuri sana tangu nimeanza kumfuatilia mtazamo wangu wa maisha umebadilika sana . Thank you brother for your teachings ❤
Upo sawa. Kabisa
Naendelea kujifunza
Thanks brother, nimejifunza panaponihusu. Mungu akutunze una madini. Well done 👍
Thanks my brother
Ahsnt 🙏 sana bro
Points noted.! Thank you so much brother
Brother Mungu akupekuishi kwingi, tangu niamue kukuskiriza, kunasehemu nmetoka na kunasehemu ninaenda.
Be blessed
Nkweli kabisa shukran
Naipenda kazi yako Joel
Ni kweli
Somo zuri sana
Joel ,, comfort zone
Thanks coach somo limeingia…
Ahsatee Joel nanauka nimejifuz kitu
Asanteee mtumishi
Amen nilibadilisha maisha yangu kipindi fulanii kwa kuacha kufuata mpango nilikuwa nao na kuanzisha mpango mwingine ambao ulikujaa kuniumiza sana kiasi cha kupoteza ndoto na muelekeo wa maisha lakini ashukuriwe Mungu nimesimama tena na kujitafuta upya.
, Thanks to God
Asante sana kaka uko sahii😅
Asante Kaka joel🙏
Great lesson asante sana
AMEN 🙏🏾
Good Kaka Joel am change now
Thanks brother Joel
Thanks a lot bro nimekuwa naomba uniunge kwa group
Sahihi kabisa.
asante
Thank you Brother 🙏🏻🙏🏻
Personal Presentation and attire #100%
Asant sana mku
Very wonderful motivating
thankyou brother
Hata mm nilikua katika comfort zone ila baada ya kuipata hiii elimu napaswa kuondoka katika hili eneo
Asante