mi ndo nashukuru mungu naona amenibariki mi niko straight to the point ninapotaka jambo ama kama sitaki si zunguki mbuyu na sijali kama utaniacha au hatuniacha.na hata kama ukiniacha lakini huwa nafurahi umeniwachi kwa sababu umenielewa nini ninataka na nimemaanisha...na nikikuona sikuelewi elewi mi huwa nakueleza bayana kama hujisikii furaha kuishi na mimi una uhuru wa kuniacha...mi huwezi kunikutiya niko na stress za mapenzi hata siku moja mi stress zangu wapi nitaipata PESA!.
Mm changamoto ninayo kutananayo Sana rafiki yangu huwa habari kabisa maumivu yangu na Mara nyingi ananitafuta tu akiwa na shida zake nifanyeje? Niachanaye
Mie napenda kuongeza hapo kwenye point ya selfish pia katika maendeleo mmojawapo anafanya jambo kama kufungua mradi,ama kununua viwanja na kujenga bila kumuusisha mwenzi wake mke/mume na kutotaka mwenzake asijiusishe na ivovitu atakidogo na endapo akatokea kuulizwa hatoi jib dhabit,hukasirika yaan kwakifup añakuwa na mipaka ataki mwenzie ajue undan wa ivo vitu
Shukrani Sana kaka kwa somo ila hapo kwa kuangalia wazazi waliikuwaje kwenye mahusiano unadhaini nitasaidia kuwa Na mahusiano mazuri hasa kwa wale ambao unakuta mmoja hana Uhuru kwenye mahusiano kwa kuogopa wazazi
Yan haya ndo yanayonikuta ktk mahusiano yangu ,mm ninampenzi nampenda pia najitoa kadr niwezavyo kwake naanayajua maisha yangu kiundan sabab nina malengo nae sjataka kumficha chochote ,Ila shida nikimwamba kitu kwamfano asivae nguo zakumbana Sana kiukweli mm spendi Ila majibu ananijbu kua nisimpangie kufanya anachotaka yeye au kuvaa nisimpangie ikiwa Mimi sio Kama nampangia Ila hua napenda aonekane vizur nasio ajichoreshe ,by shahfah
Nkwl ndugu nmepata elimu kubwa kupitia mahusiano ndoa Kila siku lazima upate elimu sawa na chuo lazima upate elimu Kila siku wanawake asili yao ni kudeka ndo maumbile yao thanks
Yani hapo kwenye ubinafsi ndio umeshikilia nafasi kubwa sana kwenye maisha ya ndoa utaskia mtu anakwambia anakupenda but maumivu yako wala changa moto zako haji husishi nao
Asante Nanauka. Ni me jifunza kitu :ukiwa na maarifa una fika mbali zaid ambapo wengi wameshindwa kufika. Mahusiyano yanaharibika kila leo kwa sababu ya kukosa marifa kama haya thanks 🙏 JOEL.
Daaa Kaka nikushukulu Mana umenigusa Mimi Sana kila ulichoongea Kama uliniona na unanijua ndio unanianbia shukrani nna mke nnaenpenda Sana Ila migogolo imekua kila week naumia najishusha Ila bado tunagonbana
Hapo kwenye mawasiliano ndo shida tupuuu,hasa mtu kutoa taarifa nusu nusu. Unakuta wote hamuelewani kila mtu anatoa taarifa nusu kila mtu anashindwa kumuelewa mwenzie. Usiri mwingi hadi huelewi hii ikiwa familia inakua na rangi gani mweeh😁😁😁
Barikiwa
Aiseee namba 3 do inanichoshaa kwa kwelii
Barikiwa sana
Hongera
Hakiamungu mm ukiniambia nikuelekeze ujue tu umepotea 😂😂😂😂😂
🙏🙏
Asant sana
Asante kwa somo
Somo zuri kk j
Kwa kweli point ya communication na resentment imenipa changamoto kubwa mpaka sasa nachukia mahusiano. Thanks for the wonderful knowledge Mr. Joel
Resentment na expectations Ni vitu ambavyo vinasumbua zaidi
Asante san brother Mungu akubariki sana somo zuri sana na limenigusa sana🙏🔥🔥🔥
Nimeelewa sana tena SANA jaman
Shukran kakaangu Mungu akubariki kwa zawadi hii Leo nimekuwa mpya msongo wa mawazo umepungua
One among my best teacher, Thanks broo unasaidia san. God bless you
UBARIKIWE
Maturation kaka ni muhimu mtu Akwambie baada ya mahusiano unatarajia muhishi vp Nnimeipenda saana hiyo Mada mungu Akupe upeo mkubwa saana.
Wewe ni mtu wa muhimu sanaa kaka Joel...ur the best always ❤❤
Zoote
Asante Sana najifunza kutoka kwako
Nimebarikiwa sana na somo lako la leo kaka Joel nanauka mungu akubariki
Asante sana
Yaani jitu kingine kinachochagia migogoro ni mwanamke akichelewa kuzaa ni tatizo.
mi ndo nashukuru mungu naona amenibariki mi niko straight to the point ninapotaka jambo ama kama sitaki si zunguki mbuyu na sijali kama utaniacha au hatuniacha.na hata kama ukiniacha lakini huwa nafurahi umeniwachi kwa sababu umenielewa nini ninataka na nimemaanisha...na nikikuona sikuelewi elewi mi huwa nakueleza bayana kama hujisikii furaha kuishi na mimi una uhuru wa kuniacha...mi huwezi kunikutiya niko na stress za mapenzi hata siku moja mi stress zangu wapi nitaipata PESA!.
I love that
Brilliant.......narudia narudia....
Asante sana ndugu yangu mimi hapo umenigusa mahusiano yanamgogoro mwenzangu si mtu wa kunisikiliza ni jeurijeuri
Nimeipenda hii 😂❣️❣️,,najengeka
Mm changamoto ninayo kutananayo Sana rafiki yangu huwa habari kabisa maumivu yangu na Mara nyingi ananitafuta tu akiwa na shida zake nifanyeje? Niachanaye
Napenda sana show zko hivi hauna group ukaniunga ili nifaidike zaidi
Mie napenda kuongeza hapo kwenye point ya selfish pia katika maendeleo mmojawapo anafanya jambo kama kufungua mradi,ama kununua viwanja na kujenga bila kumuusisha mwenzi wake mke/mume na kutotaka mwenzake asijiusishe na ivovitu atakidogo na endapo akatokea kuulizwa hatoi jib dhabit,hukasirika yaan kwakifup añakuwa na mipaka ataki mwenzie ajue undan wa ivo vitu
Bro Kama umeniona vile ile suala la resentment linanigusa sana
Barikiwa sn kaka joe
Kuelekeza kwa hasira
Ahsante sana nimeelewa
Point y pili
Shukrani Sana kaka kwa somo ila hapo kwa kuangalia wazazi waliikuwaje kwenye mahusiano unadhaini nitasaidia kuwa Na mahusiano mazuri hasa kwa wale ambao unakuta mmoja hana Uhuru kwenye mahusiano kwa kuogopa wazazi
Kwel kabisa
Asante sana my brother from another mother kwa hakika nakiri kwa macho ya nyama umenitoa mbali sana kaka yangu
The more I listen to you the more I fall in love with you. More blessings sir🥰🥰😍
Kitambu cha kuboresha mahusiano kinapatikana kwa shi ngapi na wapi
Mwanza
Good
Mawasiliano ndo changamoto kubwa Sana tuashindwa kuelewana
Nice J
Nasumbuliwa Sana na point ya mwisho kwenye matarajio yaani umeongea Kama umejua vile napitia wakati mgumu Sana kwakweli
On point 👏👏
Shida ni wa Mama wakwe kuwa na Amri nk bilakujali mwanae nimke wa mtu.
Glory be to God,awesome message ❤🙏
Good lesson
Mwalimu Nanauka mbona hujibu comment zetu basi hata kulike pia hufanyi hivo
Ahsante,najitahidi Ila huwa zinanizidia
@@joelnanauka ni kweli kabisa hata mimi naona pole sana
Naweza kukipataj hicho kitabu Cha fedha na mahusiano
Naomba namba ya huyu kaka jamani
Yan haya ndo yanayonikuta ktk mahusiano yangu ,mm ninampenzi nampenda pia najitoa kadr niwezavyo kwake naanayajua maisha yangu kiundan sabab nina malengo nae sjataka kumficha chochote ,Ila shida nikimwamba kitu kwamfano asivae nguo zakumbana Sana kiukweli mm spendi Ila majibu ananijbu kua nisimpangie kufanya anachotaka yeye au kuvaa nisimpangie ikiwa Mimi sio Kama nampangia Ila hua napenda aonekane vizur nasio ajichoreshe ,by shahfah
selfishness point imenigusa sana ki ukweli mimi nipo hvo ila ningeomba kupewa ushauri au hata kitabu chenye topic ya hivo huenda kikanisaidia
Umeniumbua najirekebisha huwa nalalamikiwa sana izo hasira hasante kaka
Mtumishi no 1 namna ya matamshi hii mm hunipaga shida sana pale unapowasiliana na mwenzi wangu
Thank you my brother Joel 🙏
Nimejifunza kitu kikubwa thanxxx
Asante sana kaka nimejifuza kitu
Naweza kupata soft copy nipo Nairobi na jee ntapata kwa shilingi ngapi za kenya pdf nahitaji hicho cha boresha mahusiano yako
Nimekuelewa sana kaka joel, tupo pamoja
Nkwl ndugu nmepata elimu kubwa kupitia mahusiano ndoa Kila siku lazima upate elimu sawa na chuo lazima upate elimu Kila siku wanawake asili yao ni kudeka ndo maumbile yao thanks
1communication
Wife anasema niña majibu ya mkatomkato sana
Kaka mawasiliano na expectations imenigusa na nimeelewa
Yani hapo kwenye ubinafsi ndio umeshikilia nafasi kubwa sana kwenye maisha ya ndoa utaskia mtu anakwambia anakupenda but maumivu yako wala changa moto zako haji husishi nao
🙏
Mawasiliano ni kichomi🙌
Kwel kabisa hasira husababisha kuvunjika kwa mahusiano
Fundi Joel,,,, moto ule ule
Shukran sana Kaka maana napata vit muhim sana kuboresha mahusiano yang
Good
@@josephnganga6656 oky mungu akubariki Sana
Asante Nanauka.
Ni me jifunza kitu :ukiwa na maarifa una fika mbali zaid ambapo wengi wameshindwa kufika.
Mahusiyano yanaharibika kila leo kwa sababu ya kukosa marifa kama haya thanks 🙏 JOEL.
Kwel kabisa yaani dah 😪
Mungu akupe kila hitaji lako kaka,
KAKA somo zuri sanaaa nimejifunza kitu
Thanx for the lesson brother
Ujumbe mzuri
Speech nzur mr.
Asante kaka
Daaa Kaka nikushukulu Mana umenigusa Mimi Sana kila ulichoongea Kama uliniona na unanijua ndio unanianbia shukrani nna mke nnaenpenda Sana Ila migogolo imekua kila week naumia najishusha Ila bado tunagonbana
Anatugusa wengi huyu jamaa hahahahahahahhahaa
Expactation is among because of family background
Hii
Somo zuri
Absolutely my brother Joel
Safi Sana kwa darasa huru
Umenigusa sana Joel.
My brother 📝
Mawasiliano Communication
Mim naona karibu aina zote zimechangia kuharibu mahusianao yangu,. Hasa kwa pande zote kwangu na kwake hasa nilikua naomba ushauri kwako
Hapo kwenye mawasiliano ndo shida tupuuu,hasa mtu kutoa taarifa nusu nusu. Unakuta wote hamuelewani kila mtu anatoa taarifa nusu kila mtu anashindwa kumuelewa mwenzie. Usiri mwingi hadi huelewi hii ikiwa familia inakua na rangi gani mweeh😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
KAKA NANAUKA MBONA UNANIGUSAGA KILA TOPIC MKUU.....DUUUUH!!!!!!!KAKA HATARI SANA HII..........
Kitabu nitazipata vipi
Kabisaa kaka angu mtu anarudinga vitu moyoni daaa
Waow good job kwangu ni iyo ua mwisho
Tar 12/7 ukafanya tena 😂😂😂
Kinauzwa bei gani na takipaje na hard copy au soft copy
Me naona zote zinanizunguka kwenye ndoa yangu na imekuwa ni changamoto kubwa hadi nataman kiikimbia aisee
✊✊✊👋👋👋on point
🤲 shukrani bro
Ndugu yangu mi hapo yote ,,hadi naona ndoa haifai
Kukusanyiwa makosa ya nyuma mi kawaida,,masiliano ndo kabis hakuna,,nikihitajika ndo nitasalimiwa nakupewa pole,,ukiumwa MTU haamin kama unaumwa,,
Bro your genius
Me changamoto nilioipata naona zote Kaka joel
Uncle leo umenipa majibu kwnn mahusiano yang mengi yalikuwa ovyo.....kupitia leo nimejua shida ilikuwa ni nn na nn cha kufanya ili kuboresha....
Sitaki kabisaa kusikia kitu mahusiano