Oooe team bhailam mbn mko harka sana tena 30 sec mko ndani tyr si leo mfnye ile kitu ambyo watu husema nipeni likes watu wangu nko liiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiive ndni ya mombasa kenya
Team Bhailam Kwanini mnapenda kufanya movies za ndogo. Nimepeleleza movies zenu nyingi zinalenga na kuchochea sana ndono, ni ngumu sana kuangalia na mtu mnaehishimiana. Kwa kweli sisi wengine kushindwa kiziangalia. Zingatieni hilo. Ahsante
Oooe team bhailam mbn mko harka sana tena 30 sec mko ndani tyr si leo mfnye ile kitu ambyo watu husema nipeni likes watu wangu nko liiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiive ndni ya mombasa kenya
Nyie mnamkubali bailam msibanibanie like from Oman 🇴🇲 like mbona simpo mnakwama wapi😂
Hii tamu sana msikaweie basi nawapenda kinoma
Team Bhailam
Kwanini mnapenda kufanya movies za ndogo.
Nimepeleleza movies zenu nyingi zinalenga na kuchochea sana ndono, ni ngumu sana kuangalia na mtu mnaehishimiana.
Kwa kweli sisi wengine kushindwa kiziangalia.
Zingatieni hilo.
Ahsante
Wale wanae kubali kazi za BAHILAM acha like hili mwenyewe azione 🔥🔥🔥🔥
Wakwanza from kenya 🇰🇪 much love ❤️
BHAILAM YOUR ARE NEXT LEVEL alf nacho kupenda aukawizi kutupa utamu .....upewe ulinzi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💞💥
Wakwanza mm nahitaji like nipo Kenya🇰🇪🇰🇪
Wewe ni noma sana brow. Ufally ipupa 🤣🤣🤣
Ududu nimwingi nakubali sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nimependa sana apo et baba mkwe dah navile alivyomtizama bairam mmetisha sana
,🇸🇦🇰🇪🥰🥰🥰kwa mara ingine tena tumeanza nayo n tutamaliza nayo nmpenda ududu n mwngi kweli😂
Wow ❤❤❤moto
Amazing ❤❤
U Fally Ipupa qui me retient ici esk les warrior sont la 🤣🤣
Hii moto🔥🔥🔥 inaweza🇰🇪 tumekubali
Niitien hemed mwamposa aje aone pacha wake😂😂😂
,😂😂😂😂bhailamu ww ni wazimu dah!chukua maua hayo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤nisalimie naomy mwambie Quen kakwambia your'e Soo beautiful ❤❤big up sana 2
MashaAllah Bhailam ww ni moto na team yako yote ❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰🥰
Ududu n mwingi 😂😂😂da!!!
Bhailam ni moto
Anaweza aisee anaweza 🔥🔥🔥🦁
😅😅😅😅Bhailam kazi zako ziko moto,, ila hii naona kabisa on fire😊,, your the only sabaya mwamposa wanakwita papinyooo😅 ududu ni mwingi saaana😅😅
Bismillah, pamoja bhailam na team yako...mwanzo mwsho in shaa Allah
Naom kumb an shape hvooo
Bhailam muheshimu hata mzee si kwa ududu huu😂😂😂
Ududu mwingi alleluya
Ududu nimwingi ufaripupa Amin😂😂😂😂😂😂
Kwa kweli mmeleta ki2 kizuri MY LOVE ilkua Cha mtoto hii noma 🤣🤣🤣🤣🤣 bhailam ududu like kwake
Aki mariam hiyo skirt 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nipe nirudi shule
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Ududu mwingi😂😂 ngoma nzito hii
Mdogo wangu naomy kumbee mashallah mxuri 😂😂😂😂ila kaingia mkengee akule.jeurii yakeee bhailam
😂😂😂😂mzee simba umemuwezea ududu ni mwingi😅😅😅
ududu mwiii umwampooosa ufally pupa ✌🏾✌🏾🔥
Mr mang'anya mwenyewe 😂
Kenya Watching, kazi nzuri
Great work team Bailam mnafanya kazi nzuri kwa muda mzuri
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Kazi nzuri bro bhailam
Mnajua Sana mkiwa Wote,sema mmetishaaaa😂😂😂😂😂
Ududu Leo umemwishaaa bhailam
Kitu kizima kbx 🔥🔥🔥🔥 ongela xana kwa kazi nzuri 🤗🤗
Mzee Simba umetisha😂😂😂
Hongera san Bhailam kw kaz zko nzuri tuna enjoy san aki acha nkupe maua yko🌼💐🌹🌺 🇰🇪🇸🇦
😂😂😂😂😂 ududu ume mfikia bhailam
Kazi nzur 🔥 mwendelezo 🙏
Good job brother
Nakubali kazi yako bhailam na team yako yote ❤❤❤❤
Kwani Rachel yuko wapi,namu taka Rachel jamani,from congo
Hii inaendelea lin❤❤❤❤
Jojo karembuka balaa 🔥
Bingwa uzito wa chini wanamuita saidiiii aiiiiii😂😂😂😂😂😂 Kaz nzuri BHAILAM🙏👏❤️
❤ bhaikam again let’s go guys UNA unyama mwingi sana
Nimekuwa Wa kwanza from Dr congo nipe like zangu ❤❤
Bhailam nakukumbali sana kutoka Congo Kinshasa kwenye Niko ❤
🤣🤣 kabisa mgahawa👌👌
Wa kwanza Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿
😂😂😂😂😂😂nimeipenda hiyo bhailam kajikuta ako na vitu vizito kula chuma hicho
Bhailam wewe ni noma sana 😂😂😂😂😂
Baba Mariam n'a mupenda sana.
Nyie nimechek ufaripupa 😅😅😅 bailamu hanaga Kaz mbovu my wangu ❤❤❤❤
Mmmmmh hii kiboko kabisaa 🎉🎉🎉
😂😂😂😂ududu huo can't wait part 2
U Killed it Man Dahh 👏👏👏👏👏
Good job ❤❤❤
Hapa bailam umejizima sana data
😂😂😂😂😂kazi nzuli sana
Bhailam 💯💯🔥🔥
Bailam ❤️te desejo mais força e fé em Deus,eu te adimiro from mozambique -Mocimboa da praia 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 amo seu trabalho
Nataman mwendelez😊
Oya weh story ya asan ninoma sana
😂😂😂😂ududu umekugeuka
Bhailam My brother umeua hiii kubabakeee Sio poa
Baillam ananichekesha sana 😂😂, Mzee simba naye nilijuwa atakaa pesa 😂😂
Ududu ni mwingi😂🙌
Samwelii hunaaaa sumuuu wewwe kazii hotate naneee
Jamani mm nalia na bagharashia kila move ipo ebu badilisheni mnaboa
Wew unaniuwa baba
Wotate nane waume sungu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
😂😂😂😂 kazi nzuri sana 👍🔥🔥
Miuno Balenciaga ❤🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Pambeeee... 😅😅😅
Yani mimi nawapenda team yote 🎉🎉🎉
Bhailam ududu ni mwingi ufalipupa agah🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤❤❤❤🇰🇪+🇹🇿 🇸🇦team Riyadh twendeni nalo
Kweli ududu n mwingi😂😂
Nakubali comedy zako❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bhailam
Ududu mwingi
Arusha nako Kuna wadudu.
Sasa wadudu wapo wa aina tofaut
Ila uo ududu wako ni dudu
😂😂😂😂😂😂😂 Nimependa❤ududu ni mwingi ufally ipupa duuh chapa ilale😋
Nimeipenda ududu mwingii😂
Oyaa bhailam tumalizie shetani and Pete maajabu sio kuazisha film nyengine unaboa bhana
Bhailamu kiboko😂😂😂😂😂upewe mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
N'a masudi. N'a Mupenda kbx
Bhailam bhana 😂😂😂 sema tunakukubali sana ❤❤❤
😁Ila ududu
😂😂😂😂ududu n mwingi😂😂patamu apo
Hayo mauno bac ya kimakonde hahahaha
Hongereni kwa kazi nzuri
Kitambi kipowapi Brother 😂😂😂 naona unaupga mwingi unamchezea mzee simba😂
Bhailam❤❤❤🔥🔥🔥
😂 uh Fally ipupa
Weeeee udud nimwingi
Nimecheka apo mwisho🤣😂😂
Vp Kaka Hapo Mmmmmh Ngoja Nikae Kmy