Oooe team bhailam mbn mko harka sana tena 30 sec mko ndani tyr si leo mfnye ile kitu ambyo watu husema nipeni likes watu wangu nko liiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiive ndni ya mombasa kenya
Team Bhailam Kwanini mnapenda kufanya movies za ndogo. Nimepeleleza movies zenu nyingi zinalenga na kuchochea sana ndono, ni ngumu sana kuangalia na mtu mnaehishimiana. Kwa kweli sisi wengine kushindwa kiziangalia. Zingatieni hilo. Ahsante
Oooe team bhailam mbn mko harka sana tena 30 sec mko ndani tyr si leo mfnye ile kitu ambyo watu husema nipeni likes watu wangu nko liiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiive ndni ya mombasa kenya
Nyie mnamkubali bailam msibanibanie like from Oman 🇴🇲 like mbona simpo mnakwama wapi😂
Hii tamu sana msikaweie basi nawapenda kinoma
Wale wanae kubali kazi za BAHILAM acha like hili mwenyewe azione 🔥🔥🔥🔥
Team Bhailam
Kwanini mnapenda kufanya movies za ndogo.
Nimepeleleza movies zenu nyingi zinalenga na kuchochea sana ndono, ni ngumu sana kuangalia na mtu mnaehishimiana.
Kwa kweli sisi wengine kushindwa kiziangalia.
Zingatieni hilo.
Ahsante
Wakwanza from kenya 🇰🇪 much love ❤️
Ududu nimwingi nakubali sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wakwanza mm nahitaji like nipo Kenya🇰🇪🇰🇪
😅😅😅😅Bhailam kazi zako ziko moto,, ila hii naona kabisa on fire😊,, your the only sabaya mwamposa wanakwita papinyooo😅 ududu ni mwingi saaana😅😅
Aki mariam hiyo skirt 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nipe nirudi shule
,🇸🇦🇰🇪🥰🥰🥰kwa mara ingine tena tumeanza nayo n tutamaliza nayo nmpenda ududu n mwngi kweli😂
Wewe ni noma sana brow. Ufally ipupa 🤣🤣🤣
Kwa kweli mmeleta ki2 kizuri MY LOVE ilkua Cha mtoto hii noma 🤣🤣🤣🤣🤣 bhailam ududu like kwake
Kwani Rachel yuko wapi,namu taka Rachel jamani,from congo
BHAILAM YOUR ARE NEXT LEVEL alf nacho kupenda aukawizi kutupa utamu .....upewe ulinzi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💞💥
Bhailam muheshimu hata mzee si kwa ududu huu😂😂😂
U Fally Ipupa qui me retient ici esk les warrior sont la 🤣🤣
Dudu nimwingi kama umesikia coment hapo❤❤❤❤❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hii moto🔥🔥🔥 inaweza🇰🇪 tumekubali
Hongera san Bhailam kw kaz zko nzuri tuna enjoy san aki acha nkupe maua yko🌼💐🌹🌺 🇰🇪🇸🇦
,😂😂😂😂bhailamu ww ni wazimu dah!chukua maua hayo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤nisalimie naomy mwambie Quen kakwambia your'e Soo beautiful ❤❤big up sana 2
Bhailam ni moto
Anaweza aisee anaweza 🔥🔥🔥🦁
U Killed it Man Dahh 👏👏👏👏👏
MashaAllah Bhailam ww ni moto na team yako yote ❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰🥰
Ududu ni mwingi ufaliipupa😂😂
Nacheka kama mazuri😂😂😂😂😂😂😂😂
Wa kwanza Léo nipeni ata tano from 🇲🇿🇲🇿
Jojo karembuka balaa 🔥
😂😂😂😂ududu huo can't wait part 2
Bingwa uzito wa chini wanamuita saidiiii aiiiiii😂😂😂😂😂😂 Kaz nzuri BHAILAM🙏👏❤️
Great work team Bailam mnafanya kazi nzuri kwa muda mzuri
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Kenya Watching, kazi nzuri
Bhailam❤❤❤🔥🔥🔥
Hapa bailam umejizima sana data
Bailam ❤️te desejo mais força e fé em Deus,eu te adimiro from mozambique -Mocimboa da praia 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 amo seu trabalho
Nakubali comedy zako❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂nimeipenda hiyo bhailam kajikuta ako na vitu vizito kula chuma hicho
Nimependa sana apo et baba mkwe dah navile alivyomtizama bairam mmetisha sana
Bismillah, pamoja bhailam na team yako...mwanzo mwsho in shaa Allah
Ududu mwingi😂😂 ngoma nzito hii
Baba Mariam n'a mupenda sana.
Kazi nzur 🔥 mwendelezo 🙏
Mzee Simba umetisha😂😂😂
Kitu kizima kbx 🔥🔥🔥🔥 ongela xana kwa kazi nzuri 🤗🤗
Mdogo wangu naomy kumbee mashallah mxuri 😂😂😂😂ila kaingia mkengee akule.jeurii yakeee bhailam
🤣🤣🤣🤣🤣Mzee Simba 🌹
Nazipenda kazi zako 🇨🇩🇨🇩
Nimeipenda ududu mwingii😂
😂😂😂😂😂😂😂 Nimependa❤ududu ni mwingi ufally ipupa duuh chapa ilale😋
Wotate nane waume sungu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
Good job ❤❤❤
Nimecheka apo mwisho🤣😂😂
Kitambi kipowapi Brother 😂😂😂 naona unaupga mwingi unamchezea mzee simba😂
Jmn hapa nae miss ni recho kwani aliendag wap lkn jmn 😢😢😢Kazi nzur il bil Fatuma apa bil Recho aisee hapn kw kl
Bhailam nakukumbali sana kutoka Congo Kinshasa kwenye Niko ❤
Bahilam jamani😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Bhailam ududu ni mwingi ufalipupa agah🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤❤❤❤🇰🇪+🇹🇿 🇸🇦team Riyadh twendeni nalo
Nimekuwa Wa kwanza from Dr congo nipe like zangu ❤❤
Ududu ni mwingi😂🙌
Bhailam bhana 😂😂😂 sema tunakukubali sana ❤❤❤
Ufigisu 😂figisu😅🎉😢🤣 yaani jojo unatishaga hatari🎉🎉🎉
Hayo mauno bac ya kimakonde hahahaha
❤ bhaikam again let’s go guys UNA unyama mwingi sana
😂😂😂hiii imeenda
Kazi nzuri bro bhailam
Baillam ananichekesha sana 😂😂, Mzee simba naye nilijuwa atakaa pesa 😂😂
Nakubali kazi yako bhailam na team yako yote ❤❤❤❤
Dah ududu kweli ni mwing 😂👍
Good job brother
Weeeeeee nzuri🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂ududu mwingi au Sio
😂😂😂kumbe unaweza kujichetua ee
Leo nimekuwa wa kwanza🤗
Sikuhizi umekuwa na utundu mwingi kijana😂
Wa kwanza 🎉
Miuno Balenciaga ❤🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Pambeeee... 😅😅😅
Sijawah cheka kwenye movi za bailam ila hiii Dah 😂😂😂
Nyie nimechek ufaripupa 😅😅😅 bailamu hanaga Kaz mbovu my wangu ❤❤❤❤
Bailam umeupoza 😂😂
Nataman mwendelez😊
Ubalenciaga😂😂😂
Mnajua Sana mkiwa Wote,sema mmetishaaaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 kazi nzuri sana 👍🔥🔥
Samwelii hunaaaa sumuuu wewwe kazii hotate naneee
Jamani mm nalia na bagharashia kila move ipo ebu badilisheni mnaboa
Yani mimi nawapenda team yote 🎉🎉🎉
Bhailam 💯💯🔥🔥
Bhailam
Ududu mwingi
Arusha nako Kuna wadudu.
Sasa wadudu wapo wa aina tofaut
Ila uo ududu wako ni dudu
Apoooo ni ududu ni mwingiiiii😂😂
Hii inaendelea lin❤❤❤❤
😅😅😅😅😂😂😂😂jojooooo kazi kwako
😂😂😂wale tuko tunazisaka dollar nchiiii za watu tuseme TZ tumebalikiwa vipaji🇮🇶🇮🇶🇮🇶🇮🇶
Fantastic 🔥🔥🇲🇿🇲🇿
🤣🤣 kabisa mgahawa👌👌
ududu mwiii umwampooosa ufally pupa ✌🏾✌🏾🔥
Ududu Leo umemwishaaa bhailam
Style za hemedi Suleiman pronyeto, bansiaga
Team mzee Simba tupo vizuri 😂😂😂😂😂😂
Oyaa bhailam tumalizie shetani and Pete maajabu sio kuazisha film nyengine unaboa bhana
💚 🔥 nice like me
Bailam jitahidi kuwa mbunifu hii issue ya UDUDU ni mwingi achia walio itengeneza HATA MSIPONIPA LIKE NI SAWA TU