MY FAMILY |1|
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- #Bhailam
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.co...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Wakwanza Léo toka Congo 🇨🇩
Wa tano leo from kenya 🇰🇪 ❤
Napenda movies zenu😊
Asa hapo bhailam tumeielewa ila hailat amekufa inabd mzimu wake uwe unasumbua baba ake mpk akiri kwa kufanya kitendo kibaya kumpelekea kufa hailat hv tu itanoga na kukua nzur😢❤❤❤au sisi mashabiki zako naomba iwe hv bc❤😂😂
Kweli kbc
@@MwajumaMaulid-v5t eeh Ani ikue hv
Wakwanza kutoka kenya.. Naombeni likes kama 100
utaskia mimi wa kwanza nyoko
Kazi nzuri sna napenda movie zenu
Nyengine hiyoo much love from kenya 🇰🇪
Nakubali sana kaka
Sio sawa kidogo
Wanaume wanao tamani watoto wao acheni tabia chafu pateni funzo hapa rip hailati my favorite actress
Bhailam mwigizaji ninayempenda zaidi,🥰🥰🥰🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨
Courage ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kumbe bhailam na mzee simba wanachanganya mke mumoja😂😂😂kazi ipo
Waaa iii imeogopesha mzee amebaka mtoto add akakufu Jamani🥺🥺
Mwanangu bailam kaka mkupete apa kaza utafika mbali unakitu nakukubali kinoma big up kazi nzuri
Good Job Bhailam and other characters 👍👍👍❤❤❤🎉🎉🎉
Mmeibadilisha jina,haya twenden nalo 😂🎉🎉
Kwani ile Si Alikufa Hairat?
Yeah alikufa pia@ChrisNini-ot3bl
Kwani si jina lilikua my family tu,ama?
@aishaomar2287 Ndio ilikuwa my family pia dadaa
Iyi aitakuwa Kali kuzidi ya kwangu kaka
Nice
Pia sijachelewa sana nipeni likes hata Kam 5
Naomba like ata moja
Nakubali bhailam kazi nzr sana❤🎉
Mimi wa mwisho naomba like ata moja
@@George-k1e unaceza bizuri br
Heee makubwaa mtoto na baba mwanamkee mmoja
Naikubali sana kazi yako bailam ❤❤❤
Hii kweli my life
Mama yooo😢unabaka
Bhailam umeota vibaya kwa kweli
Kazi nzuri bro bhailam Naomi mariam jojo big up sana guys
Mm ata sijaelewa kabisa lkn nakumbuka ulisema mumeifuta sindio mbna ssa 😂😂😂😂😂
Nashangaa pia
@@aishaomar2287 wanatukoroga kwanza hiyo movie nyenyewe sio nzuri juu mzee simba ni katili kwa watoto wake
This is love from Mozambique 🇲🇿❤💞
Big up Bhailam
Bhailam wake wenza ilikua bonge la movie lete km ile❤
🔥🔥🔥Kali sanaa Hila mibaba wengine laana tupu😢
Baba mama wote maana tupu inafundisha sana hiii
Leo nimewahi
Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮 ila sitaki likes zenu😂😂😂😂
Sisi wa rundi hatutaki like wara nini😂😂😂😂😂😂
Like sio nzuri 😂😂😂😂
Mimi wa rumong jenyinyi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏❤️👍
Wakwetu nakupa like@@Supershopdubai-ck8td
Mimi natoka Bujumbura ❤❤ warundi vip ??
Mzee simba hatar duh 😢😢😢😢😢
Nakubali sana ila Fall in love imeishaje sijaelewa mbn😢😂❤
❤❤❤🎉🎉🎉
55 sio mbaya nazikubali sana mov zenu.Bhailam weee maua 🎉🎉🎉🎉
Bi Sharifa na Mzee mlipendezana sana
Jina hili halijaendana wekeni lile lile my family
Kazi nzuri
Kenya Watching
Hii kitu hatari duhhhhhh
Mimi wakwanza kutoka kuzimu naitaji kafara yangu
A😂😂😂😂😂😂 jaman mzee simba adi mtoto wako unamdabangula😂😂😂😂
Wakwanza kutoka Congo naombeni like hata5
Wa Mia sita, likes zishuke
MZIGO WA 🔥🔥🔥
Mimi kutoka Bd 🇧🇮🇧🇮 buja ❤❤❤
Oyee unyamaa ao sio broo hh😅😅 part 2 bac
Nzuri san 🎉🎉🎉
❤❤❤waiting for 2
Waaah Mzee Simba kala mwanawe😢😢😢😢
Baba shetani
Bhailam uyo dem tuongee basiii😂😂😂
Big up sana ❤
Bhailam movie zako hazieleweki‼️‼️‼️
Khairat alikufa leo tena anasoma duh!!!
Hebu mlioelewa mnisaidie
Ameanza na moja
Mm nimekimbilia comments kwanza 😂😂nijue hii mpya au muendelezo au ilikua ni ndoto ile???😂😂
Mama anatembea na kijana tena rafiki wa mwanae baba nae anatembea na mpenzi wa mwanae saivi tena kumbaka mwanae jamani jamani mungu tusaidie
Kwahy my family imegeuka kuwa siyo sawa😂😂
Mzee weee 😢😢😢😢
Hili shuka linaonekana la Bahati Sana Kwa bhailam 😂 meikumbuka Kule Kwa mtoto Wa shekhe😂😂😂 alilala Kwa mchepuko Maryam wakiwa Na hio shuka😂😂
Khairat ❤❤
Kwahiyo kila mtu wakwanza 😂😂😂
❤❤❤🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mbn muanze alafu mfute s ilikua episode 2 hii 😢😢😢😢ama mm pkeangu ndio naona😢love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Ile imefutwa kabisa hii nyengine
@@MashaMbwana n hio moja 😂 cheki poa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪waaah hii nayo mato sana,🫂🫂🫂🫂
Inauma sana baba kama hyu
Mkenya halisi naomba likes zenu
Nice🎉🎉🎉
Vipi iyo episode ya namtaka baba yangu
My family iliendje eeeh
Hivi movies hii inamaanisha wote ni wamalaya au
Duuu Mzee Simba Wasema Ukula nyama Hisio na Mfupa
duu muzee Simba mwakula pamoja na mwanao wewee kali😅
Ila mzee simba
Njuri
Nakubali
Aise uyu mzee miyeyusho kweli yani kamtoooa ilati wangu auti ila kafaidi ata ningekua mi nisingemuacha toto kama ilo.ilafu ilati umemvujia mzee eshma kumuita mbwa ndo mahana nae kakupitia😢😢😢😢😢😢😢.Ila harmonize😊😊😊😊😊
Malizieni movie zenu jmn😢😢
❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇧🇮
❤❤❤❤❤
Wakati naiplay ikaandika SIO SAWA inafika kati inaandika MY FAMILY
Nampenda hailati kutoka 🇸🇩
Mbona kama inataka kufanana story na my family ao mnasema aj wenzangu😂😂😂
Si ni hio hio ata jina,au?
Nan kaona kitenge cha khairat kinafanana na jez ya yanga?😂
Duh mzee simba kaua kwaajil ya utamu tu
Hii filamu ina mafunzo n inahizunisha tayari😢 kuna baadhi ya mababa wako hvyo 😢
Mbn hamuelewk hamjamlz my famili mnalet mmb mengn malizen moja kwnza
Naona zote ziko sawa
Wanatuchanganya kwa kweli
😢😢😢😢😢😢😢
Lakini hii n marudio
My family imerud tena na kupewa jina jengine❤❤❤❤😊
Minaon haikua nahaja kuanza upya heri part 2 mgeurusisha mda nyuma ilikuaje kabla yatukio yan masaa nyum yalopit
Sasa mbna yajirudia tena,
❤😂😂
🇰🇪🇰🇪🤜🤛
😂😂😂❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇧🇮
Ukisema wa mwisho utafanyaje? Kila mtu mi wakwanzaa nipen like alaaaa😂😂😂😂