Kama kuna waigizaji duniani nasema duniani wananikosha moyo ni hawa mabingwa jameni hongereni sana tangia asubuhi nilikua sijacheka ila nimecheka hadi mbavu zikakauka
Ni kweli kabisa bado Afrika kuna ujinga wa kutupwa kama huo, watu hawana uchungu na pesa eti wanaliwa pesa katika kucheza michezo ya kijinga sana kama hiyo. Lakini watu waliopo kwenye nchi zilizoendelea na ambapo pesa inamacho na nidhamu kwa kuwa inapatikana kwa mujibu wa biblia inayosema kwamba Mtakula kwa jasho wameshapita kwenye upumbavu kama huo!
Hili janga la Dunia nzima. Hata hizo nchu zilizoendelea hii michezo imeshamili ila kwa maeneo maalum. mfano LAS VEGAS ndo jiji linalo ongoza kwa hiii michezo.
ILE "MAMANGU KICHAA " FANYENI KUWEKA CAPTIONS ZA KINGEREZA! ENGLISH CAPTIONS ! MTAKUA TOP AFRICA TUKIMBIZE HAWA NIGERIANS BRO AND MAKE MORE LIKE "MAMANGU KICHAA!"
Duuh yani colabo ya Steve mweusi na ndaro mjeshi kikofia. Yani ni nzuri kinyama yani. Ma brother nawakubali sana tu! ❤❤❤
Comedy of no struggle ❤❤❤ napenda hii ya Leo...
Am already addicted to Steve's content...fan number 1#Kenya
We Steve amekuwa na ubeya xana
Iwe funzo kwa vijana wa sasa. Beba zege achana na kamali bwana. Uganda 🇺🇬 hatulli jameni.
Yu dem kasharud sait ....mzuri sana ....huyo alovaa ya mistali nyeupe
Steve watching from Kenya 😂😂😂😂
Kama kuna waigizaji duniani nasema duniani wananikosha moyo ni hawa mabingwa jameni hongereni sana tangia asubuhi nilikua sijacheka ila nimecheka hadi mbavu zikakauka
Sema na uyo jamaa muhudumu wa dubwi n balaa anajua sanaaa alaf combination nzima wanajua sanaaa maua yenu jaman🎉🎉🎉
Aha dah wapenzi Wa Ndaro na Steve jameni Angusha like yako Napa Kama unawapenda,,,,hii lotto itawaramba
Kenya watching.. ONE LOVE 🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 stive anangalia sasa kama nyoka mchane 😂😂 ety Sina wazazi🔥🔥🔥🔥
Hahahaahha
Steve ni bonge La kituko Yan dah😂😂😂😂
Kuna luqha funny steve ametumia apa ety ndumbulile🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂❤❤
Mliacha kugombania likes sasa mmeingia wa kwanza mimi wa pili sijui wa nne badala msupport content kizazi cha sasa cha smart phone
😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Bado hawajasema
Hahahaha wambie hao wajinga wanao gombania likes kwa kazi za wenzao
😂😂😂😂😂😂
Wananiboaga bas tu
Nawakubali sanaaaa ndaro na Steve ila ndaro ndioooo mwanangu sanaaa
Dah sitaki hata kuliona kabisa limenisababishia matatizo makubwa sana
Wakwanza Leo kama unawapenda setev na ndaro gonga like apo 👉👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🇹🇿💯
King swagger kadogodogo 🛍️🎒used fantastic,,🇹🇿🇹🇿
You need to listen the unique cry 😢😢 ya steve😂😂😂 this guy is really talented 😂😂❤
Hawa ni wehu kweli daaah😂😂😂
😂Nakubali Steve na ndaro😂😂😂
Hiii kali jamani wapi likes zao
Stive mwanangu nakuoneya huruma.. stive mbona part 6 ya mama yangu kicha haikuje mbio
Steve huna wazazi imeingilianaje?😂😂😂😂❤❤
Acha ujinga benki na wenyewe wanachezaga dubwi😅😅😅
hahahaha 😂😂😂 nyie ni mbwa kweli 😂😂😂😂
amini kwamba wazeee mmetishaaaaaa 🔥🔥🔥
Me kuskia et Dubu lilee...hoiii😂😂
Nawapenda sana❤❤😂
Muchezeshaji hatari wakiriwa anafurahiya wakira wao anakasirika😂😂
😂😂😂😂 ety unaeza zimia aki ndaro ety mumekutana na chambazi😂😂
Tuwaombeye Ili tuendele kufurai😅😅😅
Idea nzuri steve video nzuri😂😂😂
Ndaro akiwa kanyamaza unaweza ukajua kuwa akiongea atasema Cha maana 😂😂😂😂😂😂 kumbe
As always from 🇰🇪 ❤
Daaaa hili lidude nani anajuwa bei lake
Hizo pesa huwa mnarudisha baada ya movie ama ndio malipo😂😂😂
Haaaahaaaa benki inachezaga dubu
Ooh this guy more talented 😂🎉
Nawakubali sana wanangu nyote mnajua saluti kwenu✌️
STEVE &NDARO
MNATUCHEZEA AKILI MNATUKALISHA KWENHE KAMALII😂 YANI {PAR MACH} 💰 🤑 💸
it better to live peacefully than sadness 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wakwanza mm
Ndaro mupenzi wa Tunda🥰🥰🇧🇮🇧🇮
Inaonekana ndato ni mzoefu wa game😂😂
Ndaro & tevu mnanipaaa rahaaa nyieeee😅😂
Leo wa kwanza kama unamkubali steve na ndaro nigongeeni likes apa🎉
Mshtuko wa Steve😂😂 eti chyooo!!😂😂✌️✌️✌️✌️
Kazi nzuri wakuu 👏ila hzo title fanyeni mpango ziwe zinaeleweka vzuri
Yaaan steve ww n commedian hatar sana et ndaroo dubu lileeee😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nzuliii sanaaa
❤ napenda kz zako
Aisee nimejikuta nacheka kwa sauti kisa dubwi
Ni kweli kabisa bado Afrika kuna ujinga wa kutupwa kama huo, watu hawana uchungu na pesa eti wanaliwa pesa katika kucheza michezo ya kijinga sana kama hiyo. Lakini watu waliopo kwenye nchi zilizoendelea na ambapo pesa inamacho na nidhamu kwa kuwa inapatikana kwa mujibu wa biblia inayosema kwamba Mtakula kwa jasho wameshapita kwenye upumbavu kama huo!
Hili janga la Dunia nzima. Hata hizo nchu zilizoendelea hii michezo imeshamili ila kwa maeneo maalum. mfano LAS VEGAS ndo jiji linalo ongoza kwa hiii michezo.
@@NdituTV siyo wa kijinga kama huo, nchi zinazoendelea walishavuka kwenye maswala ya utapeli
Jamaa wanajua san
Kazi nzuri
Hii kali ya leo bana😂
Ahaaaaa mumejichanganyaa
Huku 001 watu wanalia tu na vituko
Steve dubwiii😅
Steve bonyeza nyani hahahahahhahahahah
Hehehe a Hawakwel wanafanana
Stive utawanunulia ata nguo za ndani na mchana😂😂😂🇰🇪🇰🇪
Leo mewahiwahi nzingatien like bx hata 10
Acha ushamba....penda tu vya bure siku hiyo inakuja ulipe vya watu
Atari Sana zungushe ni TU na mtasema😂
Bado amjasema😂😂😂😂
Nakukubar muchz
Nice one
😅😅😅😅 usicheze bila kusali mshilikishe mungu
Steven bro na ndaro ni hatari
❤❤❤❤ napenda sana
😂😂😂😂😂😂jmn nyie awa watu n balaa
Umehudumia Sana kazini Steven 😂😂😂😂😂
Jamaa wana vituko awa hatar❤
Munitisha sana wajomba nakubali sana
Hahaha wapi steve😂😂 1:39
Hivi vichwa vibovu sana
Mm wa Saba kuiona
Steve haop nimekubal
Jamani hii nimeipenda Sana ongeleni Steve na ndaro
😍🥰😘
❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah
Mmetisha wanangu
Kumbe inalijua unanizingua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa nawakubali wasndelee wasitengane
😂😂😂😂 Eti mbon kama linatugeukia 😂😂😂 bada hamjasema
Toka DRC 🇨🇩 nawafuatilia Ndaro na Steve.
Aya wa 300 mim cucoment 😂
Nacheka sana ❤❤❤❤😂😂😂😂
Ndaro badilisja mavazi......
Aiseee nawakubali kinoma🙏🙏
Safiii naaminia hii yaweza 🫡
Ila steve😂😂😂😂
Kusali kwanza😂😂😂😂
Huo mchezo haunaga fundi hapo mpaka mseme
F1st one today ya got get me some likes 🇧🇮🇺🇸 please! Steven wew ni mnoma kiukweli!
Ssta asy suka na mpenda sanaaa
Ndaro ni mzoefu wa kamare
Oya 😂😂😂😂mbavu zangu
La makumbusho et 😂
ILE "MAMANGU KICHAA " FANYENI KUWEKA CAPTIONS ZA KINGEREZA! ENGLISH CAPTIONS ! MTAKUA TOP AFRICA TUKIMBIZE HAWA NIGERIANS BRO
AND MAKE MORE LIKE "MAMANGU KICHAA!"