PART II: MUWEKEZAJI WA KITANZANIA MWENYE MIAKA 32/ UFUGAJI NA KILIMO VIMEMTOA
Вставка
- Опубліковано 19 чер 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Спорт
Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link hii kwa wengine ili wengi wapate kujifunza zaidi.
Kazi mzuli crown
The guy is brilliant
Jamaa anaijua kazi yake..na kichwa kimetulia sana...
really awesome project,nice work. nice interview. can we get the contacts for the ranch?
Big up crown media kwa watangazaji mahiri wenye kujua kuuliza maswali ya msingi keep it up
Madini kama haya vijana ndio tunayataka crown mnajipambanua
Pakubwa sanaa
Shule ni bure mchawe ni bando tu ❤
Pendelea kuwasikliza watu wenye akili utakuja kunishukuru
Mwenyezi Mungu ambariki huyu kijana (mwanangu ,he is the same age as my son ,he is in USA) aweze kupata mafanikio zaidi. Alichonifurahisha hakuonyesha ufedhuli au majidai pamoja na mafanikio aliyoyapata.
Tunahitaj kujifunza kwenu baba yangu
Mashallah tabarak Rahman. He is a visionary young person with a lot to give and contribute in teaching others who have passion in making their living ahead wisely.
Although it is not easy to follow his steps, unless you have means to do do so, however there is a lot to lean from the strategies he has taken forward the family business towards success. Wishing him all the best of continuing the business! May Allah guide him forward!
Mashaallah
Ntaman n like ata mara100.. Vile npenda vitu iv
Ni mtulivu na mwenye akili tulivu, ni mwenye staha na uelewa mkubwa!!!
Wow niliona hayo maonesho wakati naenda Dodoma sikuelewa sasa Mr Nawid umenifungua macho zaidi you are doing great job aksante kwa taarifa nzuri sana sijutii bando langu
Mawasiliano hamjatupa wakuu ni Elimu nzuri sana
Kilimo biashara/Angrobusiness.Faida tupu,ukizingatia kutrust prosess.
The kind of interview I can watch without skipping a single minute!!
I'm so impressed by his commitment and dedication to that project!🎉
Mahojiano ni mazur sn na nimepata elimu 💪
Safi sana mimi napenda sana mazingira na kilimo pia
This real life crown midia is the best
Huyo boss Naweed na mtangazaji yaaani wote nawaona wako watu poa sana hiyo sehem nitakuja kuangalia
One word RESPECT!!!! 👊
Safi Sana hapa unajifunza kiukweli
Big up Crown Media. Interview ni nzuri nimejifunza mengi na kupata hamasa.
Inzi njo habari😊
Mashallah vizuri sana akhuyi ❤❤❤❤
Naweed unaakili nyingi saana ila sifa kubwa nikwawazazi wako walikuandaa vyema
Pongeziii..zangu ziwaendee nyote;Mwanahabri na mgeni wa kipindi kwa maswali na majibu sanjali, mwanzo wa pachko sikutegemea rangi ya mgeni kutililika kiswahili rafiki.Binafsi nimehamasika haswaa hiyo kauli mbiu yko"kilimo ni maisha ya Utulivu": salaam toka mwanza 🐟
Wengi wajifunze matumizi ya lugha ya kiswahili kwa ufasaha kama wa Mulla ,anazungumza kiswahili kwa ufasaha kuwashinda watanzania wengi wenye lugha yao
Sijawahi sikiliza interview nzuri kama hii, mwandishi anajua maswali na mhojiwa pia. Kiufupi wote ni watu wenye elimu. Hata Kiswahili chao sio cha mitaani.
Huyu jamaa smart sana ma sha allah....mm pia nimezaliwa dec 1991 safi sana yuko makini hata anavyongea!
Temidayo umeupiga mwingi sana,big up kwa Host (Mbogo) amekuwa sio mchoyo wa kutoa madini.
Hii safi sana
Nimependa sana interview hii,crown msifuate tu wakulima/wajasiriamali waliofanikiwa, ninyi muwe chachu yakuwaibua wadogo na nyinyi muwakuze.
Waoooo. Ndugu mwandishi upo vizuri,hauna kimemo wala iPad mkononi
Anasimu kaweka kwenye paja Hapo anapitia kdg japo naungana na wewe yupo vizuri
@@mosesmdindile332 nimeona mwishoni
Crown ndio media ya kuifatilia
Mash Allah na Alhamdulilah kwa kutupa elimu Allah akuzidishie mwanangu kwasababu umri wako nakuzaa.
Maudhui mazuri, vijana smart,dah kweli elimu haiongopi, i appreciate crown media kwa elimu hii, jamaa yuko vizuri, wasasi tuwekez kwene elimu zenye tija, huyu jamaa ana upeo mkubwa sana ulio jengwa kupitia wasasi na elimu, ee mwenyezi Mungu tupe watu smart wengi Tanzania like Crown media and the guest Mulla. Inshallah ikawe heri kwetu kupitia eleimu hii.
Nice one congratulations kwa kipindi
Nashukuru sana kwa documentary hii, hakika ina madini makubwa sana, mi naomba tu contacts za huyo anayeshughulika na cattle guest house, amemtaja kuwa ni Sandra kama sijakosea, ahsante sana.
Kujifunza kwa vitendo kunasaidia sana ❤❤❤
Daah kweli crown mnajua kutafuta habari wapo wapi hawa jamaa
Hapaninyumbani
Nilikuwa nasubiri kwa hamu kupata mawasiliano, kwenye interview yote part 1&2 sijaona. Nimevutiwa na kipengele cha mfugaji mgeni, mawasiliano please!
Hongereni sana Crown
Kazi nzuri Crown Media fanyeni E03 ambayo ni mtakuwa kwenye mabanda tu tuone wanyama tu.
Ahh nadhani watu kama ndiyo Hawa wanahitajika kwa nchi yoyote kwa ajili maendeleo SI kwa upigaji wa pesa uwizi kwa ni hata pesa inakuwa katika mzunguko wa kiuchumi
haya ndo mambo tunayotaka kuyasikia sisi vijana hongera sana Crowm Media Mmeanza vizurii
Safi sana nimejifunza vitu vingi sana na nimehamasika ila siku nyingine tuone utalii wa shambani,maana panavutia kweli
Kabisaa glory, ww uko wapi?
Congrats bro
Haya ndio mambo tunahitaji kuyasikia kwenye media
Jamaa inaonekana ana madini sana
Mawasiliano yao
Nmependa content
🎉🎉🎉,Ma Sha Allah
🎉🎉🎉
Kumbe kuna vijana wa kuiongoza ata simba🎉🎉
watakutukana asee usiseme hivo
Ahsante crown media, jikiteni kwenye habari kama hizi zinazo tufungu vichwa vyetu
God bless u more, nimejifunza vingi sana, na nimeona mwanga mpya mzuri sana
Hongera Naweed,nataka kufugiwa, nipe maelekezo.
Asante crown Naweed
Hongereni sana Kwa kazi kubwa hii. Mungu aendelee kukunyanyua zaidi
Hapa huwa ndipo ninapowapenda watu waliosomea ukweli hawaongop bilion 60-70🎉
ila hapo kaongopa sasa , sasa sijui kama utawapenda zaidi au laah
@@ticianmarando9027Nafikiri hapo alimaanisha value ya shamba kuanzia mifugo na mkonge
Excellent ,keep shining
Hongera sanaa. Ni kitu kixuri sanaa kwa kweli. YAANI INAPENDEZA.
Asanteni crown media
Tunawezaje kushiriki kwenye tour ya shamba?
Qyt impressing .Am inspired asanten sana crown media for the Awesome interview with the Investors.
👂
One lifetime best interview
Mashaallah allah akuhifadhi na akubarik kwenye kazi zako inshallah mashaallah mtt huna kibri umelelewa mashaallah mungu akuhifadhi
Nakufatilia sana bro nishafika hadi mbarali napenda sana mambo unafanya ndoto yangu kabisa kupitia interview zako napiga hatua siku tutakutana inshallah
Mwenyezi mungu akujalie wewe kijana mwenye kampuni .ni mwekezaji mzuri sana
Tunahitaji part 3...hatujapata kuona matembezi ya shamba ..na lile tank .
Mungu Awenawe Blo
Ufike Kama Wao Ishall
Tumesikiya Vijana
Subscribed....Good channels...hizi ndio contents za kwenda hewani zaid
Hey Naweed, I enjoyed this very much and am remembering our field trip to your farm when you were a student at HOPAC.
Nimefurahi sn dah aisee huyo mwamba yuko vizur
Nimfurahi sana mwisho ulisema utatoa namba ya simu lakini hukufanya hivyo Kama ulivyoahidi tafadhali fanya nipatie namba ya simu
Nimependa sana mahojiano haya.Nilitamani atoe namba za simu ili ikiwezekana niende nikapate elimu na kufurahia mazingira ya asili na tulivu.
Hongera sana crown media. Content ya maana sana
Kijana anajitahidi sana kongole kwake
Ni mfano mzuri wa kuigwa
Huyu jamaa ni kiogozi bora sana
Craown mediaTZ nikubwa kuliko zote kama ndugu yetu ali kiba
Nime elimilka Sana, ubarikiwe SANA by Yasinta walyuba
interview nzuri sana hii, ila mawasiliano hatuna sasa.
Next time ukihoji mtu wa shamba na mifugo, umuhoji huku mkiwa mnatembea shambani, kama nia nikuhamasisha tunataka kuona shamba na mifugo inayozungumzwa zaidi kuliko owner
Crown Media
Hapa ni nyumbani ❤️
Masha'Allah TabarakaAllah, Allah azidi kukuongoza.
Ina hamasisha kweli safi sana
❤❤❤❤ilove crown
Safi sana hata mimi katika kipande changu nimeweka mapipa ya plastic kwa ajili ya kutupa humo taka za plastics nk.
Nimeipenda sana.
Bravo Bravo, tumepata darasa
Crown mta fika mbali sn mungu hawa bariki sn❤❤❤❤❤❤❤
Thanks bro
Naomba nafasi ya kujifunza na mr. nawid kama mtaweza kuni unganisha nae
Boss wa Mbogo Estate yupo ubena hyu safi sana
Very inspiring
Asante kwa elimu ya kilimo
Mbona hamkutoa mawasiliano?
Elimu nzuri sana kwa vijana ila tunaomba mawasilianao
Good interview
Mahojiano mazuri ila kitu kimoja mmetunyima kama watazamaji hakuna tour ya kuonyesha shughuli zote zinazofanywaa hapo Mbogo yaan tumekula maneno tu
Content ni nzuri sana, ila jitahidi sana kuonyesha maudhui halisi ya mahojiano mfano Mabanda/mifugo/kilimo cha katani nk, kuliko kutuonyesha wewe zaidi na muhojiwa usiochoshe muangaliaji na msikilizaji. Umetunyima vitu vingi sana. Ahsante
Hii ni kweli maana jamaa kaeleza bidhaa nyingi sana hapo ila hatukuoneshwa hizo bidhaa, ni kama vile mkulima kaenda studio wakati studio imeenda shamba
Tumechukua maoni yako na Ahsante
Safi sana
Dah capital capital capital ndio kikwazo
Pambana kijana Anza mdogo mdogo sio mpaka uwe kama huyu japo unaweza kuwa zaidi ya huyu.