PART II: MUWEKEZAJI WA KITANZANIA MWENYE MIAKA 32/ UFUGAJI NA KILIMO VIMEMTOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 чер 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 196

  • @CrownMediaTZ
    @CrownMediaTZ  8 днів тому +50

    Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link hii kwa wengine ili wengi wapate kujifunza zaidi.

    • @SumaiaIssa-px4pl
      @SumaiaIssa-px4pl 6 днів тому +1

      Kazi mzuli crown

    • @georgemcharo642
      @georgemcharo642 4 дні тому

      The guy is brilliant

    • @georgemcharo642
      @georgemcharo642 4 дні тому +1

      Jamaa anaijua kazi yake..na kichwa kimetulia sana...

    • @SpartMaina
      @SpartMaina 2 дні тому +1

      really awesome project,nice work. nice interview. can we get the contacts for the ranch?

    • @ukendejenipher3942
      @ukendejenipher3942 22 години тому

      Big up crown media kwa watangazaji mahiri wenye kujua kuuliza maswali ya msingi keep it up

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 10 днів тому +63

    Madini kama haya vijana ndio tunayataka crown mnajipambanua
    Pakubwa sanaa

  • @Bardizbah-nr9qi
    @Bardizbah-nr9qi 10 днів тому +30

    Shule ni bure mchawe ni bando tu ❤

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 8 днів тому +20

    Pendelea kuwasikliza watu wenye akili utakuja kunishukuru

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 9 днів тому +34

    Mwenyezi Mungu ambariki huyu kijana (mwanangu ,he is the same age as my son ,he is in USA) aweze kupata mafanikio zaidi. Alichonifurahisha hakuonyesha ufedhuli au majidai pamoja na mafanikio aliyoyapata.

    • @tugaraamos2546
      @tugaraamos2546 3 дні тому

      Tunahitaj kujifunza kwenu baba yangu

    • @khalfanaltaley
      @khalfanaltaley 3 дні тому

      Mashallah tabarak Rahman. He is a visionary young person with a lot to give and contribute in teaching others who have passion in making their living ahead wisely.
      Although it is not easy to follow his steps, unless you have means to do do so, however there is a lot to lean from the strategies he has taken forward the family business towards success. Wishing him all the best of continuing the business! May Allah guide him forward!

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 День тому

      Mashaallah

  • @JumaMwanga-xd9gy
    @JumaMwanga-xd9gy 8 днів тому +12

    Ntaman n like ata mara100.. Vile npenda vitu iv

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 8 днів тому +12

    Ni mtulivu na mwenye akili tulivu, ni mwenye staha na uelewa mkubwa!!!

  • @marychuwa8159
    @marychuwa8159 9 днів тому +10

    Wow niliona hayo maonesho wakati naenda Dodoma sikuelewa sasa Mr Nawid umenifungua macho zaidi you are doing great job aksante kwa taarifa nzuri sana sijutii bando langu

  • @anthonyrichard2931
    @anthonyrichard2931 10 днів тому +7

    Mawasiliano hamjatupa wakuu ni Elimu nzuri sana

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d 9 днів тому +13

    Kilimo biashara/Angrobusiness.Faida tupu,ukizingatia kutrust prosess.

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 3 дні тому +1

    The kind of interview I can watch without skipping a single minute!!
    I'm so impressed by his commitment and dedication to that project!🎉

  • @jumasafi2635
    @jumasafi2635 9 днів тому +10

    Mahojiano ni mazur sn na nimepata elimu 💪

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 10 днів тому +12

    Safi sana mimi napenda sana mazingira na kilimo pia

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 10 днів тому +17

    This real life crown midia is the best

  • @fabienuwimana9559
    @fabienuwimana9559 9 днів тому +7

    Huyo boss Naweed na mtangazaji yaaani wote nawaona wako watu poa sana hiyo sehem nitakuja kuangalia

  • @inthezone5927
    @inthezone5927 10 днів тому +9

    One word RESPECT!!!! 👊

  • @ibsk88salim98
    @ibsk88salim98 10 днів тому +9

    Safi Sana hapa unajifunza kiukweli

  • @stevenmnzavajoseph
    @stevenmnzavajoseph 9 днів тому +5

    Big up Crown Media. Interview ni nzuri nimejifunza mengi na kupata hamasa.

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 10 днів тому +9

    Inzi njo habari😊

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 10 днів тому +9

    Mashallah vizuri sana akhuyi ❤❤❤❤

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 8 днів тому +7

    Naweed unaakili nyingi saana ila sifa kubwa nikwawazazi wako walikuandaa vyema

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 8 днів тому +4

    Pongeziii..zangu ziwaendee nyote;Mwanahabri na mgeni wa kipindi kwa maswali na majibu sanjali, mwanzo wa pachko sikutegemea rangi ya mgeni kutililika kiswahili rafiki.Binafsi nimehamasika haswaa hiyo kauli mbiu yko"kilimo ni maisha ya Utulivu": salaam toka mwanza 🐟

  • @farouqhibrahim
    @farouqhibrahim 4 дні тому +5

    Wengi wajifunze matumizi ya lugha ya kiswahili kwa ufasaha kama wa Mulla ,anazungumza kiswahili kwa ufasaha kuwashinda watanzania wengi wenye lugha yao

  • @bakarijumakupaza4351
    @bakarijumakupaza4351 3 дні тому +1

    Sijawahi sikiliza interview nzuri kama hii, mwandishi anajua maswali na mhojiwa pia. Kiufupi wote ni watu wenye elimu. Hata Kiswahili chao sio cha mitaani.

  • @salimsaid3943
    @salimsaid3943 7 днів тому +1

    Huyu jamaa smart sana ma sha allah....mm pia nimezaliwa dec 1991 safi sana yuko makini hata anavyongea!

  • @baudizo
    @baudizo 5 днів тому +1

    Temidayo umeupiga mwingi sana,big up kwa Host (Mbogo) amekuwa sio mchoyo wa kutoa madini.

  • @ElshaddaiShop
    @ElshaddaiShop 10 днів тому +7

    Hii safi sana

  • @MabelaShija
    @MabelaShija 8 днів тому +2

    Nimependa sana interview hii,crown msifuate tu wakulima/wajasiriamali waliofanikiwa, ninyi muwe chachu yakuwaibua wadogo na nyinyi muwakuze.

  • @nassoroigalawa5329
    @nassoroigalawa5329 9 днів тому +5

    Waoooo. Ndugu mwandishi upo vizuri,hauna kimemo wala iPad mkononi

    • @mosesmdindile332
      @mosesmdindile332 8 днів тому +2

      Anasimu kaweka kwenye paja Hapo anapitia kdg japo naungana na wewe yupo vizuri

    • @nassoroigalawa5329
      @nassoroigalawa5329 8 днів тому

      @@mosesmdindile332 nimeona mwishoni

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 9 днів тому +3

    Crown ndio media ya kuifatilia

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 15 годин тому

    Mash Allah na Alhamdulilah kwa kutupa elimu Allah akuzidishie mwanangu kwasababu umri wako nakuzaa.

  • @augustinet9530
    @augustinet9530 7 днів тому

    Maudhui mazuri, vijana smart,dah kweli elimu haiongopi, i appreciate crown media kwa elimu hii, jamaa yuko vizuri, wasasi tuwekez kwene elimu zenye tija, huyu jamaa ana upeo mkubwa sana ulio jengwa kupitia wasasi na elimu, ee mwenyezi Mungu tupe watu smart wengi Tanzania like Crown media and the guest Mulla. Inshallah ikawe heri kwetu kupitia eleimu hii.

  • @Mbaley
    @Mbaley 8 днів тому +4

    Nice one congratulations kwa kipindi

  • @marckyfarrenyrwezaula7641
    @marckyfarrenyrwezaula7641 День тому

    Nashukuru sana kwa documentary hii, hakika ina madini makubwa sana, mi naomba tu contacts za huyo anayeshughulika na cattle guest house, amemtaja kuwa ni Sandra kama sijakosea, ahsante sana.

  • @jaribudizza4217
    @jaribudizza4217 7 днів тому +2

    Kujifunza kwa vitendo kunasaidia sana ❤❤❤

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 9 днів тому +3

    Daah kweli crown mnajua kutafuta habari wapo wapi hawa jamaa

  • @rashidkopa
    @rashidkopa 10 днів тому +12

    Hapaninyumbani

  • @raphaelmwenda9100
    @raphaelmwenda9100 6 днів тому +2

    Nilikuwa nasubiri kwa hamu kupata mawasiliano, kwenye interview yote part 1&2 sijaona. Nimevutiwa na kipengele cha mfugaji mgeni, mawasiliano please!

  • @farujohn622
    @farujohn622 8 днів тому +3

    Hongereni sana Crown

  • @henryjohn4781
    @henryjohn4781 День тому

    Kazi nzuri Crown Media fanyeni E03 ambayo ni mtakuwa kwenye mabanda tu tuone wanyama tu.

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari 9 днів тому +3

    Ahh nadhani watu kama ndiyo Hawa wanahitajika kwa nchi yoyote kwa ajili maendeleo SI kwa upigaji wa pesa uwizi kwa ni hata pesa inakuwa katika mzunguko wa kiuchumi

  • @jumamanzi4531
    @jumamanzi4531 6 днів тому

    haya ndo mambo tunayotaka kuyasikia sisi vijana hongera sana Crowm Media Mmeanza vizurii

  • @glorykastai3996
    @glorykastai3996 9 днів тому +3

    Safi sana nimejifunza vitu vingi sana na nimehamasika ila siku nyingine tuone utalii wa shambani,maana panavutia kweli

  • @perfectchoiceenterprises
    @perfectchoiceenterprises 5 днів тому +1

    Congrats bro
    Haya ndio mambo tunahitaji kuyasikia kwenye media

  • @benjaminmwampamba-ox1mc
    @benjaminmwampamba-ox1mc 10 днів тому +9

    Jamaa inaonekana ana madini sana

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 8 днів тому +2

    Mawasiliano yao
    Nmependa content

  • @abdurahmanahmed2643
    @abdurahmanahmed2643 10 днів тому +4

    🎉🎉🎉,Ma Sha Allah

  • @olicendayihimbaze4074
    @olicendayihimbaze4074 10 днів тому +5

    🎉🎉🎉

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 7 днів тому +3

    Kumbe kuna vijana wa kuiongoza ata simba🎉🎉

  • @user-do1xs4om1b
    @user-do1xs4om1b 3 дні тому

    Ahsante crown media, jikiteni kwenye habari kama hizi zinazo tufungu vichwa vyetu

  • @emilyndomba2661
    @emilyndomba2661 3 дні тому

    God bless u more, nimejifunza vingi sana, na nimeona mwanga mpya mzuri sana

  • @zuwenahamoud6690
    @zuwenahamoud6690 9 годин тому

    Hongera Naweed,nataka kufugiwa, nipe maelekezo.

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 9 днів тому +2

    Asante crown Naweed

  • @bernadethakessy4188
    @bernadethakessy4188 6 днів тому

    Hongereni sana Kwa kazi kubwa hii. Mungu aendelee kukunyanyua zaidi

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 9 днів тому +5

    Hapa huwa ndipo ninapowapenda watu waliosomea ukweli hawaongop bilion 60-70🎉

    • @ticianmarando9027
      @ticianmarando9027 7 днів тому

      ila hapo kaongopa sasa , sasa sijui kama utawapenda zaidi au laah

    • @emmanuellaswai7272
      @emmanuellaswai7272 2 дні тому

      ​@@ticianmarando9027Nafikiri hapo alimaanisha value ya shamba kuanzia mifugo na mkonge

  • @masoomwati2408
    @masoomwati2408 7 днів тому +1

    Excellent ,keep shining

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 дні тому

    Hongera sanaa. Ni kitu kixuri sanaa kwa kweli. YAANI INAPENDEZA.

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 7 днів тому

    Asanteni crown media

  • @timilaisengenge1400
    @timilaisengenge1400 8 днів тому +3

    Tunawezaje kushiriki kwenye tour ya shamba?

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 3 дні тому

    Qyt impressing .Am inspired asanten sana crown media for the Awesome interview with the Investors.

  • @Wakishua926
    @Wakishua926 10 днів тому +6

    👂

  • @ThadeoBernard
    @ThadeoBernard 9 днів тому +1

    One lifetime best interview

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 День тому

    Mashaallah allah akuhifadhi na akubarik kwenye kazi zako inshallah mashaallah mtt huna kibri umelelewa mashaallah mungu akuhifadhi

  • @silverpadana
    @silverpadana 6 днів тому

    Nakufatilia sana bro nishafika hadi mbarali napenda sana mambo unafanya ndoto yangu kabisa kupitia interview zako napiga hatua siku tutakutana inshallah

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 6 днів тому

    Mwenyezi mungu akujalie wewe kijana mwenye kampuni .ni mwekezaji mzuri sana

  • @revingtonfridolin6859
    @revingtonfridolin6859 2 дні тому

    Tunahitaji part 3...hatujapata kuona matembezi ya shamba ..na lile tank .

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 8 днів тому +2

    Mungu Awenawe Blo
    Ufike Kama Wao Ishall
    Tumesikiya Vijana

  • @musakalangahe6876
    @musakalangahe6876 41 хвилина тому

    Subscribed....Good channels...hizi ndio contents za kwenda hewani zaid

  • @kylemcfarlane7945
    @kylemcfarlane7945 6 днів тому

    Hey Naweed, I enjoyed this very much and am remembering our field trip to your farm when you were a student at HOPAC.

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv7690 10 днів тому +3

    Nimefurahi sn dah aisee huyo mwamba yuko vizur

  • @GeofreyChipeta-i8r
    @GeofreyChipeta-i8r 8 днів тому +1

    Nimfurahi sana mwisho ulisema utatoa namba ya simu lakini hukufanya hivyo Kama ulivyoahidi tafadhali fanya nipatie namba ya simu

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 2 дні тому

    Nimependa sana mahojiano haya.Nilitamani atoe namba za simu ili ikiwezekana niende nikapate elimu na kufurahia mazingira ya asili na tulivu.

  • @hamoudyahya7635
    @hamoudyahya7635 7 днів тому

    Hongera sana crown media. Content ya maana sana

  • @conesmo5266
    @conesmo5266 7 днів тому +2

    Kijana anajitahidi sana kongole kwake

  • @christiannjau7191
    @christiannjau7191 8 днів тому +2

    Ni mfano mzuri wa kuigwa

  • @gwamakamwasongwe8053
    @gwamakamwasongwe8053 8 днів тому

    Huyu jamaa ni kiogozi bora sana

  • @dorinmichael2186
    @dorinmichael2186 7 днів тому +1

    Craown mediaTZ nikubwa kuliko zote kama ndugu yetu ali kiba

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f 5 днів тому

    Nime elimilka Sana, ubarikiwe SANA by Yasinta walyuba

  • @klaurianngowi
    @klaurianngowi 2 дні тому

    interview nzuri sana hii, ila mawasiliano hatuna sasa.

  • @MujuniMuta
    @MujuniMuta 3 дні тому

    Next time ukihoji mtu wa shamba na mifugo, umuhoji huku mkiwa mnatembea shambani, kama nia nikuhamasisha tunataka kuona shamba na mifugo inayozungumzwa zaidi kuliko owner

  • @saidikhamisi8853
    @saidikhamisi8853 9 днів тому +2

    Crown Media
    Hapa ni nyumbani ❤️

  • @stonetown578
    @stonetown578 5 днів тому

    Masha'Allah TabarakaAllah, Allah azidi kukuongoza.

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari 9 днів тому +1

    Ina hamasisha kweli safi sana

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 9 днів тому

    ❤❤❤❤ilove crown

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 4 дні тому

    Safi sana hata mimi katika kipande changu nimeweka mapipa ya plastic kwa ajili ya kutupa humo taka za plastics nk.

  • @julesbakita7966
    @julesbakita7966 4 дні тому

    Nimeipenda sana.

  • @allanisangya3561
    @allanisangya3561 6 днів тому

    Bravo Bravo, tumepata darasa

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 3 дні тому

    Crown mta fika mbali sn mungu hawa bariki sn❤❤❤❤❤❤❤

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 7 днів тому

    Thanks bro

  • @ericnashanda
    @ericnashanda 10 днів тому +1

    Naomba nafasi ya kujifunza na mr. nawid kama mtaweza kuni unganisha nae

  • @abubakariabdallah9347
    @abubakariabdallah9347 6 днів тому

    Boss wa Mbogo Estate yupo ubena hyu safi sana

  • @PaulMapolela-rs2sb
    @PaulMapolela-rs2sb 3 дні тому

    Very inspiring

  • @user-bk4hg7hf1j
    @user-bk4hg7hf1j 5 днів тому

    Asante kwa elimu ya kilimo

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 10 днів тому +2

    Mbona hamkutoa mawasiliano?

  • @jumamahunja2242
    @jumamahunja2242 7 днів тому

    Elimu nzuri sana kwa vijana ila tunaomba mawasilianao

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 3 дні тому

    Good interview

  • @SunsetHunter4526
    @SunsetHunter4526 17 годин тому

    Mahojiano mazuri ila kitu kimoja mmetunyima kama watazamaji hakuna tour ya kuonyesha shughuli zote zinazofanywaa hapo Mbogo yaan tumekula maneno tu

  • @georgetarimo7520
    @georgetarimo7520 9 днів тому +7

    Content ni nzuri sana, ila jitahidi sana kuonyesha maudhui halisi ya mahojiano mfano Mabanda/mifugo/kilimo cha katani nk, kuliko kutuonyesha wewe zaidi na muhojiwa usiochoshe muangaliaji na msikilizaji. Umetunyima vitu vingi sana. Ahsante

    • @apolloa3442
      @apolloa3442 9 днів тому +2

      Hii ni kweli maana jamaa kaeleza bidhaa nyingi sana hapo ila hatukuoneshwa hizo bidhaa, ni kama vile mkulima kaenda studio wakati studio imeenda shamba

    • @CrownMediaTZ
      @CrownMediaTZ  8 днів тому +5

      Tumechukua maoni yako na Ahsante

  • @user-ox3xu9bv3k
    @user-ox3xu9bv3k 8 днів тому

    Safi sana

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 9 днів тому +2

    Dah capital capital capital ndio kikwazo

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 7 днів тому

      Pambana kijana Anza mdogo mdogo sio mpaka uwe kama huyu japo unaweza kuwa zaidi ya huyu.