SHAMBALULU: UFUGAJI KUKU WA MAYAI KISASA.
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- #SHAMBALULU #ITVTanzania
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Namba za simu hazisomeki vizuri ili tuwasiliane na wataalam wa virutubisho vya chakula hicho.
Kaka ngowi mimi naitwa Bibi Agnes Moshi nimfugaji niko Dar nikitaka Hao kuku wa mayai nawapataje je nikianzia na kuku 300 ni mbaya
Hawezi kukujibu hii ni account ya ITV, watafute hao aliwataja ( Kawudays) amabao nadhani hata Dar es salaam wapo
Namba ya simu haisomeki vizr
Kenya cowdess unapata wapi
Jamani hakika ni Raha sana. Hongera sana Kaka. Kazi nzuuri saana. Vijana jamani tuige hii fursa. Mtangazaji wekeni mawasiliano mazuri ya huyu Mfugaji. Wengine tutahitaji sana ushauri wake na mambo mengine.
Kabisaa dorcas hii ndo fursa kwa sisi vijana ndugu.Unapatikana wapi dorcas.
Ni Rombo ipi ?
Tatakea ai mashati
Namba ya simu naomba
Naomba namba ya simu.
Mimi ni mkenya
Cydyce
Big up sana
No ya virutubisho tafadhal
Naomba no ya huyo mfugaji wa kwanza
Hongera kaka mimi naomba namba yako hivyo virutubisho vinapatikana wapi
Cage moja bei gani
Laki8 kwa dar
Laki8 kwa dar cage inayoingia kuku 128
Ushauri wangu dada hoji pole pole unaongea sana haraka haraka
kaka samahani naitaji kujuwa kwamba aina ya Banda la kuku ambalo ni zuri kwa kuku?
iko vizuri
Asante kaka Ngowi naomba namba yako nahitaji kufuga kisasa nahitaji msaada wako no yangu
Hongera sana
Hii ni ajira tosha
Ni zaidi ya ajira
Asante,kwa sehem ambayo hakkuna umeme inawezekana ?
Nipeni namba za simu niongee naye anishauri
Hongera sana naomba namba ya simu
Hongera sana Ngowi
Keji 1 ya kuku 50 ni bei gn
Cage laki8 ya kuku 128,cage ya kuku 96 ni laki6
Nimenunua jana2 mlimanicity dar
MUNGU awabariki sana
Tunaomba namba