PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

КОМЕНТАРІ • 442

  • @CrownMediaTZ
    @CrownMediaTZ  7 місяців тому +138

    Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi

    • @medadyjuma5036
      @medadyjuma5036 7 місяців тому +5

      Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama

    • @tofatofali9803
      @tofatofali9803 7 місяців тому +3

      Jamaa anajua

    • @babaloisethan7010
      @babaloisethan7010 7 місяців тому +4

      Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉

    • @pascalntandu1217
      @pascalntandu1217 7 місяців тому

      Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.

    • @akidayusuphu7104
      @akidayusuphu7104 7 місяців тому

      Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!

  • @ibrahimkimweri2329
    @ibrahimkimweri2329 7 місяців тому +189

    Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 7 місяців тому +4

      Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 7 місяців тому +4

      Tanzania bila umbea inawezekana

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 7 місяців тому +4

      Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 7 місяців тому

      @@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur

    • @happinessmassageclinic4265
      @happinessmassageclinic4265 7 місяців тому

      Mawasiliano hamjatupa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 7 місяців тому +93

    Nimependa sana mmmmno.
    Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 7 місяців тому +1

      Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!

    • @salumhamdu6633
      @salumhamdu6633 7 місяців тому

      Maashaallaah God bless

    • @clarasimon7830
      @clarasimon7830 7 місяців тому

      Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji

    • @dickensdickala6601
      @dickensdickala6601 7 місяців тому

      yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda

    • @eltoncastory7087
      @eltoncastory7087 5 місяців тому

      😂😂et kungwi

  • @nixnovember
    @nixnovember 7 місяців тому +37

    Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 7 місяців тому +23

    MashaAllah tabaraka Rahman, kiswahili kwenda mbele haweki English hata kidogo, wangekuwa hao wajinga wengine ,mwaka tu nje atia English, kuwa wakujivunia lugha yetu kiswahili,Allah akubariki twashukuru kwa elimu ya maendeleo

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 6 місяців тому +1

      Hana ulimbukeni anajua anachokiongea kitatusaidia wengi tusojua lugha

  • @rehemabakari986
    @rehemabakari986 6 місяців тому +13

    Haya ndio mahojiano ambayo ukiyasikiliza unapata kitu chakujifunza . Hongera mtangazaji

  • @ZiguanGiant
    @ZiguanGiant 7 місяців тому +44

    TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 місяців тому +39

    Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @issahmawee7096
      @issahmawee7096 7 місяців тому +2

      Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo

  • @AmosBarnabas-wl1yl
    @AmosBarnabas-wl1yl 7 місяців тому +54

    Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality

  • @sambnlt4626
    @sambnlt4626 7 місяців тому +18

    Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa

  • @IPRESSTRADE
    @IPRESSTRADE 7 місяців тому +70

    Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia UA-cam, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana

  • @TadioTV
    @TadioTV 7 місяців тому +38

    Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up

  • @fionamariamkundetarimo3781
    @fionamariamkundetarimo3781 7 місяців тому +9

    I am happy to see a Tz citizen young. Educated. Studied abroad. But decided to come back home to invest at home. And empower the local people.
    You are one example that young Tz people need to learn this

    • @chumamasunga8855
      @chumamasunga8855 6 місяців тому +4

      😢kwa Nini usitumie kiswahili Ili ueleweke na Watanzania wengi Zaidi?

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 7 місяців тому +33

    Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 7 місяців тому +18

    Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 5 місяців тому

      hahahahaha huyu jamaa watatoa wapi pombe wasomi wetu wasipofungua Bar??

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 7 місяців тому +5

    Mungu ibariki Tanzania yetu,na azidi kubariki pia vizazi vyetu.Amen

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 7 місяців тому +94

    Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 7 місяців тому +5

    Kaeni hivyo hivyo crown media msije kuwa machawa amen.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 7 місяців тому +3

    Nimependa sana haya maongezi. Ninapenda ufugaji . Nitakutafuta. Shukrani sana.

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 7 місяців тому +16

    Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 7 місяців тому +5

    Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.

  • @Chida
    @Chida 7 місяців тому +20

    Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii

  • @-thegreat-zawadimmasa307
    @-thegreat-zawadimmasa307 5 місяців тому +1

    Safi sana Crown Media. Ki ukweli mmefanya interview bomba sana.

  • @arthurkasiba751
    @arthurkasiba751 7 місяців тому +4

    Hiyo Familia Toka Babu ni watu kazi..wapo smart sana..lipo la kujifinza

  • @mtemipesatvonline9993
    @mtemipesatvonline9993 7 місяців тому +11

    Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 7 місяців тому +9

    Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content

  • @didashi1901
    @didashi1901 5 місяців тому

    Hii Interview inanifanya nipate fikra tofauti kabisa katika upambanaji wangu. Ahsanteni Crown Media

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 6 місяців тому +1

    Hongera sana kwa uwekezaji mkubwa ulioufanya. Mungu azidi Kukutangulia🙏Pia mtangazaji Ubarikiwe

  • @VictorMmari
    @VictorMmari 13 днів тому

    This is a good thing to hear and to learn as well.Big up

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 7 місяців тому +2

    Hongera sana kaka Kuna jambo kubwa la kujifunza hapa kwa vijana pia wa Tanzania wote

  • @LetdiscussBusiness
    @LetdiscussBusiness 7 місяців тому +2

    Jitaidi sana kuleta maudhui kama haya inaleta hamasa safi sana crown media

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 7 місяців тому +11

    Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 7 місяців тому +8

    Crown ❤🔥🔥🔥🔥

  • @OmarSamganga
    @OmarSamganga 6 місяців тому +2

    Crown 👑
    Mko vzr

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 7 місяців тому +1

    craun media, safi. sana.jikiteni kTka mambo mazri kamahaya,kuwenitofauti na wenzenu tumewachoka

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 7 місяців тому +19

    Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990
    @shekhabbasisharifuonlinetv5990 7 місяців тому +9

    kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need

  • @Binahmed1234
    @Binahmed1234 7 місяців тому +9

    Noma sana 🎉🎉🎉

  • @AdamKessy
    @AdamKessy 7 місяців тому +7

    nice job big up crown

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 7 місяців тому +1

    Postive and Inspiring, natamani sana kukutana na Mr Richard Phillips wa Iringa nijifunze nadhani hawa ndo Giants wa Ufugaji Ng'ombe na Farasi Tanzania.❤

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 7 місяців тому +18

    Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤

  • @SublimeMU
    @SublimeMU 7 місяців тому +8

    Nice job

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 7 місяців тому +4

    Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro

  • @DevotaMlelwa-l1i
    @DevotaMlelwa-l1i 5 місяців тому

    Asante mtandazaji kutuletea mtu mwenywe maon kwenye Tanzania yetu

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 7 місяців тому +6

    Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅

    • @costagomela3511
      @costagomela3511 7 місяців тому +1

      Nahitaji number na email address ya huyo Mfugaji

  • @allywaleo3604
    @allywaleo3604 7 місяців тому +14

    Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥

  • @frankyeye
    @frankyeye 7 місяців тому +8

    Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi 7 місяців тому +9

    Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda

  • @LameckBundala
    @LameckBundala 7 місяців тому +9

    Kazi nzuri mkuu

  • @ChristopherKanyika
    @ChristopherKanyika 7 місяців тому +5

    Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji

  • @lobikopayana
    @lobikopayana 7 місяців тому +1

    Everything is quality

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 7 місяців тому

    Hongera sana sana My Son Mulla. Move forward we need Young Boy s like you because foolish young are Many in the world. Well-done job.

  • @issaissa7528
    @issaissa7528 7 місяців тому

    Nzuri sana , interview yakiwango imeenda shule, tatizo hatujapata mawasiliano ya uyo jamaa wengine tupo mbali

  • @Oficial_Eredy
    @Oficial_Eredy 7 місяців тому +21

    Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo

  • @mikakuya5364
    @mikakuya5364 7 місяців тому +1

    hi elimu nimeipenda Sanaa crown 👑 👏👏👏

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 місяців тому +2

    This was highly informative

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 7 місяців тому +12

    Makala muruwa kabisa! Hongereni Crown Media

  • @JoseWilson-vb2di
    @JoseWilson-vb2di 7 місяців тому +2

    Mmeleta mageuzi kwel katika tasinia hii nawapa mwaka mmoja mtakuwa top ya TV zote za hapa tz

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 7 місяців тому +2

    Big up crown 👑 media

  • @lucksonize
    @lucksonize 7 місяців тому

    Ata sikujua @temidayo yupo crown,,,,excellent work.tunategemea kuona zaidi vipindi bora kama hivi

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 6 місяців тому +1

    Big up 🎉

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 7 місяців тому +2

    Safi sana, kuna soko kubwa sana la nyama quality hapa hapa Bongo, watalii zote wanakula nyama kutoka nje.

  • @MuddyMigenge
    @MuddyMigenge 7 місяців тому +8

    Temidayo 🎉🎉🎉

  • @mwandambojunior9101
    @mwandambojunior9101 7 місяців тому +7

    Themidayo! You're the Best....Good Interview..👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @Remy-og7bm
    @Remy-og7bm 7 місяців тому +56

    Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 7 місяців тому +1

      😂😂😂😂

    • @adamali545
      @adamali545 7 місяців тому +2

      Sasa ww mpka sasa umeekeza ktk nn😅

    • @mvullamanase
      @mvullamanase 7 місяців тому

      Egypt ya Bunyokwa...😂

    • @oscarkiwia2810
      @oscarkiwia2810 7 місяців тому

      Urudi na wewe uwekeze mkuu

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 7 місяців тому

      ​@@mvullamanasembona huendani naunayo yafanya 😢

  • @sweetnasra3613
    @sweetnasra3613 7 місяців тому

    This is a profitable interview , nice , keep it up ,

  • @rahmashaban4024
    @rahmashaban4024 7 місяців тому +4

    ❤❤❤❤so good

  • @mselimsuya6952
    @mselimsuya6952 7 місяців тому

    This is nice, bring things like this, motivational

  • @christiannjau7191
    @christiannjau7191 7 місяців тому +9

    Kipindi Bora kabisa cha maendeleo na uchumi,hongera sana muundaaji na team yako yote...

  • @Happynmb
    @Happynmb 6 місяців тому

    I love this kind of content ❤

  • @scolastikapeter5892
    @scolastikapeter5892 6 місяців тому

    Kazi nzuri sana
    Hongera sana

  • @halimamghana2293
    @halimamghana2293 6 місяців тому

    Safi sana Crown media ama kweli Hapa ni nyumban#

  • @iddiali6982
    @iddiali6982 7 місяців тому +5

    Crown mko vzr Sana

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 6 місяців тому

    Very good 👍 👏 👌

  • @fredricklaiza1276
    @fredricklaiza1276 6 місяців тому

    Crown ahsante sana kwa content nzuri nyie sio kama wale wengine habari hiyohiyo wiki nzima

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 7 місяців тому +4

    Safi sana 🎉🎉

  • @middoTv
    @middoTv 7 місяців тому +14

    New millard ayo

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 7 місяців тому

    MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress

  • @DismasMaturine
    @DismasMaturine 6 місяців тому

    Hongera sana wawelezaji kuwa waaminifu na serikali pia hongera

  • @Lynnalice217
    @Lynnalice217 7 місяців тому

    Thanks mr Naweed best interview 👌

  • @ntimi2233
    @ntimi2233 7 місяців тому +13

    jamaa kavaa under armour. he is one serious dude

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 7 місяців тому +6

    Nakubali

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 7 місяців тому +12

    Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 4 місяці тому

    Mambo ya Msingi kabisa.....❤

  • @jerrymndeme2916
    @jerrymndeme2916 6 місяців тому

    Aiseeeeeeeeeee.. This is Tanzania we want

  • @annaamsi9463
    @annaamsi9463 6 місяців тому

    Good job yaani

  • @Cn_Creative7
    @Cn_Creative7 7 місяців тому +5

    Crown média ❤

  • @Hilalisebatv
    @Hilalisebatv 7 місяців тому +5

    Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 7 місяців тому

    Daah aloo hii Ni level nyingine saana🎉
    Crown be blessed mungu azidi wabariki❤

  • @Mapishi_TV
    @Mapishi_TV 6 місяців тому

    Safi sana. Kipindi kizuri. Hongera kaka yangu kwa uwekezaji.

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 7 місяців тому +21

    Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu

    • @MuhamedAjigar-dw9ve
      @MuhamedAjigar-dw9ve 7 місяців тому

      Ni kweli kbs angeongea kimombo kitupu na kujifanya kiswahili akijui na utajiri alojaliwa

  • @chrisb8541
    @chrisb8541 7 місяців тому

    Keep on sharing stuff like this.

  • @MasaluMartine-xe1kb
    @MasaluMartine-xe1kb 7 місяців тому

    Hongerèni crown sio wengine wanaleta vipind vya kipuuz

  • @sungwizi3390
    @sungwizi3390 7 місяців тому

    Mungu akusaidie akubarikie akuzidishie ufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen

  • @AnkoMwaisaTz
    @AnkoMwaisaTz 7 місяців тому

    Nimemkubali sana huyu mwamba hakika crown wako vizuri sio kama wale wanashindana kuvaa minyororo shingoni.Crown noooma

  • @ValelianMbuma
    @ValelianMbuma 6 місяців тому

    Mtangazaji ur the best

  • @HamsiniKhalid-LoveIslam
    @HamsiniKhalid-LoveIslam 7 місяців тому

    Baharia kajipanga🤔 sana.. Big up bro.. uko vizuri💯👍👍

  • @Ibrahimshabani-h5e
    @Ibrahimshabani-h5e 6 місяців тому

    Crown 👑 madini tu

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 місяців тому +1

    My next president mungu akulinde

  • @PaulReuben-gi2nh
    @PaulReuben-gi2nh 7 місяців тому

    CrownMediaTZ nawaona mbali Sana baada ya mda mfupi tu🔥🔥