PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 чер 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 284

  • @CrownMediaTZ
    @CrownMediaTZ  7 днів тому +71

    Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi

    • @medadyjuma5036
      @medadyjuma5036 6 днів тому +1

      Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama

    • @tofatofali9803
      @tofatofali9803 5 днів тому +1

      Jamaa anajua

    • @babaloisethan7010
      @babaloisethan7010 5 днів тому +3

      Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉

    • @pascalntandu1217
      @pascalntandu1217 4 дні тому

      Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.

    • @akidayusuphu7104
      @akidayusuphu7104 4 дні тому

      Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!

  • @ibrahimkimweri2329
    @ibrahimkimweri2329 8 днів тому +97

    Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 5 днів тому +2

      Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 3 дні тому +1

      Tanzania bila umbea inawezekana

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 2 дні тому +1

      Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 2 дні тому

      @@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur

    • @happinessmassageclinic4265
      @happinessmassageclinic4265 2 дні тому

      Mawasiliano hamjatupa

  • @AmosBarnabas-wl1yl
    @AmosBarnabas-wl1yl 9 днів тому +36

    Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h 9 днів тому +60

    Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 9 днів тому +60

    Nimependa sana mmmmno.
    Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 9 днів тому +1

      Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!

    • @salumhamdu6633
      @salumhamdu6633 8 днів тому

      Maashaallaah God bless

    • @clarasimon7830
      @clarasimon7830 8 днів тому

      Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji

    • @dickensdickala6601
      @dickensdickala6601 2 дні тому

      yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda

  • @hamisibwanga674
    @hamisibwanga674 9 днів тому +32

    TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪

  • @nixnovember
    @nixnovember 7 днів тому +17

    Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 5 днів тому +10

    Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu

  • @TadioTV
    @TadioTV 9 днів тому +31

    Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege68 7 днів тому +15

    Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!

  • @IPRESSTRADE
    @IPRESSTRADE 8 днів тому +43

    Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia UA-cam, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana

  • @sambnlt4626
    @sambnlt4626 7 днів тому +10

    Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 9 днів тому +30

    Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @issahmawee7096
      @issahmawee7096 8 днів тому +2

      Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 8 днів тому +13

    Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.

  • @Chida
    @Chida 9 днів тому +17

    Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii

  • @shikuhata
    @shikuhata 4 дні тому +7

    Nina Imani Crow media mtaibua vipaji vingi na kuibua wafanya biashara wengi wenye kufanya makubwa kwenye nchi ila hawajulikani jambo ambalo litawasaidia wananchi wengi kuwa inspired kupambana pasipo kukata tamaa

  • @kapanikapani5280
    @kapanikapani5280 8 днів тому +12

    Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana

  • @mtemipesatvonline9993
    @mtemipesatvonline9993 5 днів тому +5

    Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana

  • @Oficial_Eredy
    @Oficial_Eredy 9 днів тому +17

    Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo

  • @ntimi2233
    @ntimi2233 4 дні тому +6

    jamaa kavaa under armour. he is one serious dude

  • @Remy-og7bm
    @Remy-og7bm 9 днів тому +42

    Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.

  • @fionamariamkundetarimo3781
    @fionamariamkundetarimo3781 11 годин тому

    I am happy to see a Tz citizen young. Educated. Studied abroad. But decided to come back home to invest at home. And empower the local people.
    You are one example that young Tz people need to learn this

  • @TichaSabah
    @TichaSabah 5 днів тому +6

    Kwa kweli matajiri ndio hawa sio wakina mond ni kelele tu gari mara nyumba mara ofc.huu uwekezaji wenye maana kabisa na kuna chakujifunza kwa sisi masikini.sio mziki

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 8 днів тому +8

    Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 9 днів тому +15

    Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤

  • @ezrakiduko6135
    @ezrakiduko6135 2 дні тому +1

    Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa

  • @suleshalliy8039
    @suleshalliy8039 9 днів тому +14

    Sauti ,video quality vyote Ni hatariii

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 7 днів тому +3

    Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 8 днів тому +8

    Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya

  • @shekhabbasisharifuonlinetv5990
    @shekhabbasisharifuonlinetv5990 9 днів тому +7

    kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need

  • @abdurahmanahmed2643
    @abdurahmanahmed2643 9 днів тому +9

    Noma sana 🎉🎉🎉

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 9 днів тому +9

    Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool

  • @ChristopherKanyika
    @ChristopherKanyika 7 днів тому +3

    Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji

  • @frankyeye
    @frankyeye 9 днів тому +6

    Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 2 години тому

    craun media, safi. sana.jikiteni kTka mambo mazri kamahaya,kuwenitofauti na wenzenu tumewachoka

  • @dicksonmoshi7480
    @dicksonmoshi7480 8 днів тому +3

    Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro

  • @Hilalisebatv
    @Hilalisebatv 9 днів тому +5

    Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 4 години тому

    MashaAllah tabaraka Rahman, kiswahili kwenda mbele haweki English hata kidogo, wangekuwa hao wajinga wengine ,mwaka tu nje atia English, kuwa wakujivunia lugha yetu kiswahili,Allah akubariki twashukuru kwa elimu ya maendeleo

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 21 годину тому

    Kaeni hivyo hivyo crown media msije kuwa machawa amen.

  • @allywaleo3604
    @allywaleo3604 9 днів тому +11

    Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi 7 днів тому +6

    Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 8 днів тому +2

    Safi sana, kuna soko kubwa sana la nyama quality hapa hapa Bongo, watalii zote wanakula nyama kutoka nje.

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 8 днів тому +9

    Makala muruwa kabisa! Hongereni Crown Media

  • @user-dv7zs9wk2b
    @user-dv7zs9wk2b 9 днів тому +6

    nice job big up crown

  • @user-ri5pc6es4m
    @user-ri5pc6es4m 9 днів тому +7

    Kazi nzuri mkuu

  • @iddiali6982
    @iddiali6982 8 днів тому +5

    Crown mko vzr Sana

  • @jacksondamian4347
    @jacksondamian4347 8 днів тому +5

    Vipindi bora sana wanahabari makini sana

  • @user-bb4hy7xq9y
    @user-bb4hy7xq9y 9 днів тому +7

    Nice job

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 9 днів тому +7

    Crown ❤🔥🔥🔥🔥

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 9 днів тому +9

    Nzuri sana lkn chanjo nyingi sio nzuri kwa afya ufugaji wa kienyeji ndio bora mimi nimekaa Botswana ng'ombe wanaachiwa mitaani kisha wanarudi wao myumbani chanjo sio sana

    • @innocentandrea6482
      @innocentandrea6482 7 днів тому +1

      Wacha bana,Botswana ipi

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 7 днів тому

      @@innocentandrea6482 Botswana ng'ombe wapo huru mimi nimekaa miezi 4 ww umekaa wapi? Nimekaa Metsimuthabe,ndani ya Gaborone naijua Botswana vzr G.West mpaka mlapolole,kopong,Magodisane sehemu hizo ng'ombe wanaachiwa mitaani tu baadae wanarudi myumbani huwezi iba maana wamewekewa kitu hivyo GPS Inawaona...yapo maeneo wanakaa kwenye maeneo makubwa pia maana kule population ndogo mno hivyo wana maeneo ya ufugaji...

    • @abdulbiro7656
      @abdulbiro7656 6 днів тому

      Nikweli! Botswana ngombe ni wengi mitaani

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 6 днів тому

      @@abdulbiro7656 ndio nimemwambia huyo Botswana naijua vzr sema kuna watu huwa wanabisha tu...Botswana zamani ilikuwa hakuna wezi lkn wakaja wazimbabwe ndio wakaharibu kila kitu..Ni sehemu nzuri sana siasa za magharibi ndio zinaletaga ujinga..Botswana hakuna sonara lkn ukimwambia mtu anabisha hahahaha

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 8 днів тому +2

    This was highly informative

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 7 днів тому +3

    Asante Kiongozi Kwa Darasa Zuri

  • @Cn_Creative7
    @Cn_Creative7 9 днів тому +5

    Crown média ❤

  • @arthurkasiba751
    @arthurkasiba751 4 дні тому +1

    Hiyo Familia Toka Babu ni watu kazi..wapo smart sana..lipo la kujifinza

  • @jumasango9793
    @jumasango9793 9 днів тому +7

    Hapa ni kwetu

  • @user-qp5vi9yt6m
    @user-qp5vi9yt6m 9 днів тому +15

    Maua yako temidayo

  • @lucksonize
    @lucksonize 2 дні тому

    Ata sikujua @temidayo yupo crown,,,,excellent work.tunategemea kuona zaidi vipindi bora kama hivi

  • @georgetarimo7520
    @georgetarimo7520 9 днів тому +6

    Tunaisubiri Part 2 haraka

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 8 днів тому +10

    Mwandishi pamoja na makala nzuri hujaonyesha ni sehemu gani mahususi hapo Chalinze.

    • @johnmtindo276
      @johnmtindo276 6 днів тому +1

      Iko Ubena zomozi ukielekea morogoro ni baada ya mdaula upande wa kulia

    • @abubakariabdallah9347
      @abubakariabdallah9347 5 днів тому

      Iko Ubena zomoz ukishuka sema tu nataka kufika kwa MBOGO ESTATE

  • @user-vm4fe3ql5c
    @user-vm4fe3ql5c 9 днів тому +7

    Temidayo 🎉🎉🎉

  • @middoTv
    @middoTv 9 днів тому +9

    New millard ayo

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 12 годин тому

    Hongera sana sana My Son Mulla. Move forward we need Young Boy s like you because foolish young are Many in the world. Well-done job.

  • @user-wu9zh1hc3i
    @user-wu9zh1hc3i 2 дні тому

    Jitaidi sana kuleta maudhui kama haya inaleta hamasa safi sana crown media

  • @pauldyuwundi7321
    @pauldyuwundi7321 7 днів тому +2

    Katika maisha yakiafrica hatuna back ground yakuendeleza tulicho nacho Maana familia inakusomesha kwa kuuza hadi mashamba wakitengemea utakapo maliza ili uzirudishe lakn mambo hayawi rahis kias hicho kwahy ndio maana wa Africa wengi Hatuendelei.

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 днів тому +1

    My next president mungu akulinde

  • @AbdoulazarSalumu
    @AbdoulazarSalumu 9 днів тому +6

    Temidayo………🎉

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 2 дні тому

    Daah aloo hii Ni level nyingine saana🎉
    Crown be blessed mungu azidi wabariki❤

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 9 днів тому +5

    Nakubali

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 9 днів тому +4

    Safi sana 🎉🎉

  • @selemanifaikii1276
    @selemanifaikii1276 9 днів тому +6

    Crown

  • @mwandambojunior9101
    @mwandambojunior9101 8 днів тому +6

    Themidayo! You're the Best....Good Interview..👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 8 днів тому +3

    Mahojiano yenye tija,Asante Mulla,nimevutiwa na water tank lakuweza kuhamishwa kiurahisi,je linapatikanaje?

  • @panicumtz2002
    @panicumtz2002 8 днів тому +2

    Hyo inaitwa Embro transfer we do it in our farms, nataman sana unialike tunaweza kufanya kwako pia. niko Dar es salaam alaf nakufaham sana brother nitakuchek kwa maana namba ninayo.

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 3 дні тому

    MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 8 днів тому +2

    Saf Sana Crown 🎉

  • @christiannjau7191
    @christiannjau7191 7 днів тому +4

    Kipindi Bora kabisa cha maendeleo na uchumi,hongera sana muundaaji na team yako yote...

  • @user-vb9uc2en4c
    @user-vb9uc2en4c 8 днів тому +2

    Crown 👑 medir ni hattari... high qwerlty ❤❤❤

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 8 днів тому +2

    Big up crown 👑 media

  • @abdulmgassa7848
    @abdulmgassa7848 День тому

    Maishallah congratulations my brother nitakuta inshallah

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 9 днів тому +9

    Anazungumza kiswahili kizuri kuliko wa Tanganyika

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 8 днів тому +1

      Watanganyika walirudi ujeruman miaka ya huko nyuma huku kuna Watanzania tu

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 8 днів тому

      @@magorymara5515Ahsante jibu zuri

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 8 днів тому +1

      Kazaliwa dar kakulia iringa,, hiyo uingereza miaka minne na nusu ndo ulitegemea ataongea tofaut? Huyo ni mtanzania mweny asili hiyo unayoona

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 8 днів тому

      ​@@salhawaziri1668mbona Harmonize kakulia mtwara lakini kinge king

  • @msokile
    @msokile 4 дні тому +1

    haya Mahojiano mazuri sana, kuna Madini sana

  • @user-ri5pc6es4m
    @user-ri5pc6es4m 9 днів тому +6

    ❤❤❤

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 5 днів тому

    Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.

  • @mosileselestine9169
    @mosileselestine9169 8 днів тому +2

    CROWN MEDIA IMEKUJA VIZURI, ENDELEENI KUTUPA TAARIFA SAHIHI KAMA HIZI

  • @MeckMkalisimba-bo2wq
    @MeckMkalisimba-bo2wq 8 днів тому +1

    Mahojiano mazuri sana yenye kutoa maarifa💯

  • @AnkoMwaisaTz
    @AnkoMwaisaTz 5 днів тому

    Nimemkubali sana huyu mwamba hakika crown wako vizuri sio kama wale wanashindana kuvaa minyororo shingoni.Crown noooma

  • @rahmashaban4024
    @rahmashaban4024 9 днів тому +4

    ❤❤❤❤so good

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 4 дні тому

    Mungu akusaidie akubarikie akuzidishie ufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen

  • @ruhindacostantine2092
    @ruhindacostantine2092 7 днів тому +1

    Yaan crown media mko juu mno na ndo kwanza mnaanza

  • @PaulReuben-gi2nh
    @PaulReuben-gi2nh 4 дні тому

    CrownMediaTZ nawaona mbali Sana baada ya mda mfupi tu🔥🔥

  • @HamsiniKhalid-LoveIslam
    @HamsiniKhalid-LoveIslam 2 дні тому

    Baharia kajipanga🤔 sana.. Big up bro.. uko vizuri💯👍👍

  • @benithonyeho473
    @benithonyeho473 4 дні тому

    Safi sana napataje ng,ombe nipo iringa mafinga

  • @user-dn2od7zn1e
    @user-dn2od7zn1e 2 дні тому

    He's my old boss I like him ... he's very smart parson ....

  • @michaelcretus1490
    @michaelcretus1490 9 днів тому +6

    🔥🔥🔥🔥

  • @JoseWilson-vb2di
    @JoseWilson-vb2di 4 дні тому

    Mmeleta mageuzi kwel katika tasinia hii nawapa mwaka mmoja mtakuwa top ya TV zote za hapa tz

  • @salimmseza9588
    @salimmseza9588 8 днів тому +1

    Hatar crown makin sana

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr 8 днів тому +3

    Millard'ayo Temidayo

  • @davidpius4764
    @davidpius4764 8 днів тому +4

    Camera en video kal sana

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 9 днів тому +5

    ❤❤

  • @eliaspius4949
    @eliaspius4949 7 днів тому +3

    Voice quality and video quality inafanya inafanya isichoshe kuangalia