PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
Вставка
- Опубліковано 19 чер 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Спорт
Tunashukuru nyote mliopenda maudhui haya, usisite kushare Link ya Maudhui haya kwa wengine ili wapate kuelimika zaidi
Nilichowapendeya mnazo camera safi pamoja na hivyo vipaza sauti aise mmehuwa kinyama
Jamaa anajua
Mtangazaji mkali Sana,KAZI Nzuri Sana,cool,logic ... Big up mtangazaji na crown media 🎉🎉🎉🎉
Nawapongeza kwa kipindi kizuri sana kwa mafunzo ili kuleta ustawi kwa kizazi hiki;naomba unisaidie mawasiliano na huyu jamaa ni muhimu tafadhari naomba sana.
Naweza pata contact number ya huyo brother? Please!
Hizi ndo mambo tunataka sio habar nani bwanawake nani kaachana na nani kaolewa na takatka sjui kuchafua hal ya hewa... fantastic
Kabisa nduguyangu mimi huwa napenda sana content hizi 💪
Tanzania bila umbea inawezekana
Tatizo letu tunapenda kulaumu serikali wkt cc wenyewe hatuna jitihada ya maendeleo(siyo wote) lkn wengi wetu. Nawasifia sana hawa jamaa zetu nao pia siyo lkn % kubwa wakiachiwa mali na wazazi wao maendeleo ya kuendeleza ni makubwa. Njoo kwetu( hapa pia nasema siyo wote lkn % ndogo ndiyo wanajiendeleza vizuri) tutaachiwa mali na wazee baada ya miaka mitatu tayari mali zimeishia kwa mademu magari starehe end of the day tutaanza kulaumu serikali na mambo mengine ya kijingajinga.
@@herculesthepower1544 mimi naamini kabisa vijana tukiacha kukimbilia mijini na kujifanya sijui wamachinga tukijikita kwenye kilimo na Ufugaji tukiwa na malengo kabisa tunatoboa vizur
Mawasiliano hamjatupa
Da yaani gafla nikamuona Pep guadiola😅😅😅 big up sana crown media kila kitu kiko very good quality
Huyu ndio mtangazaji ana stahili kufanya mahojiano kama haya
Kweli kabisa
Nimependa sana mmmmno.
Please crown media mulete vipindi kma hivi. Vya jamii sio wengine wanaleta shaluwadu. Mara kungwi. This is motivation development ni society respect . Haya jamii elimu hizi
Kabisa yaan una weza angalia ata na wazazi wako...!!
Maashaallaah God bless
Ujalazimishwa kuangalia wew kulinji
yan sio lazima kusema media nyingne ili kusifia media nyingne. ukiona kipindi hakikufai ujue hakikuandaliwa kwaajili yako ila kuna mtu anapenda
TEMIDAYO .. Utulivu Mkubwa Maswali Mazuri 🔥💪
Msela sana huyu jamaa. Easy going Boss. Ukifanya nao kazi hao inakua simple. Hapo ofisini kwake kuna Quotes za kisela sela😅😅
Kaka Huyu nimempenda Sana kasoma nje ila wangekuwa wenzangu na mimi wanaulizwa kwa kiswahili wanajibu kizungu ooo uknow I'm ... Hawa ndio watu tunaotaka kuwasikiliza watu kama sisi Wana Mali na hawajisikii wasaniii shida tuu
Good job.. hii ndo nguvu inahitajika kwa Diaspora ya Kitanzania kuiga.. big up
Anaonekana ana mawazo chanya sana, ana utulivu wa akili na anaelewa maisha ya kitanzania!
Kwa mara ya kwanza nacooment kwenye mahojia UA-cam, Mtangazi anajua kuhoji, nimependa swali alilofungulia kipindi, Kwa Wenye akili Ni swali gumu sana
Next time ataletwa Mwijaku
Kweli me too
Mtangazaji upo vizuri sana na unauliza maswali yenye tija na msingi, hongera sana kaka. Tungeomba kupata vipindi kama hivi hata kwa mwezi au wiki mara moja tunajifunza mengi hapa
Hilo gari ukikutana nalo njiani kaaa mbali huyo ni mbogo kweli mwamba yupo seriously syo mgen kwangu😂😂😂😂 #mullar weeeeee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utakuwa unapishana nalo sana mzee, huyo hanaga mwendo mdogo
Brother Mulla jaribu pia SUA walikuwa na mbegu bora sana ya ng'ombe wa nyama.
Ni kweli #HapaNiNyumbani aise noooooma. Nimeipenda makala hii
Nina Imani Crow media mtaibua vipaji vingi na kuibua wafanya biashara wengi wenye kufanya makubwa kwenye nchi ila hawajulikani jambo ambalo litawasaidia wananchi wengi kuwa inspired kupambana pasipo kukata tamaa
Hongera sana crown tv, hv ndio vpindi Bora vyenye manufaa kwauma, sio michawatu wanaongea upuuzi. Mala ICU, mala masham sham upuuzi tupu, pigeni kazi vjana
Mahojiano ya juu sana haya mic zinachuja saut vizur pia mwamba anahoj vizur sana
Hapa ni nyumbani napenda sana kilimo
jamaa kavaa under armour. he is one serious dude
Na mi Pia Ni Remy mzaliwea wa Buyenzi Kwa sasa nipo Egypt Cairo, Nimefirai kuskia Brother amezaliwa December 1991 kama mimi. much love bro.
😂😂😂😂
Sasa ww mpka sasa umeekeza ktk nn😅
Egypt ya Bunyokwa...😂
I am happy to see a Tz citizen young. Educated. Studied abroad. But decided to come back home to invest at home. And empower the local people.
You are one example that young Tz people need to learn this
Kwa kweli matajiri ndio hawa sio wakina mond ni kelele tu gari mara nyumba mara ofc.huu uwekezaji wenye maana kabisa na kuna chakujifunza kwa sisi masikini.sio mziki
Quality ya Video 🔥🔥🔥 na content
Crown hapa ni nyumbani❤❤❤❤
Huyu jamaa safi sana na niwakuingwa sio wasomi wetu wakipata Hela wanafungua mabaa ya pombe na kuharibu nguvu kazi ya taifa
Sauti ,video quality vyote Ni hatariii
Navutiwa sana na podcasts kama hizi.. Crow Media mmejua kunikuna roho haswa.. Mungu awatunze sana hao wengine yyte yawapate😅
Ongereni kwa kazi nzuri mnazofanya
kazi nzuri ALLAH bless you this is what we need
Noma sana 🎉🎉🎉
Makala kali , na kamera njo uniseme sasa cool
Kazi nzuri sana , vijana sisi tujifunze kuwekeza katika sector ya kilimo na ufugaji
Hapa ni nyumbani ❤❤❤❤
craun media, safi. sana.jikiteni kTka mambo mazri kamahaya,kuwenitofauti na wenzenu tumewachoka
Mtanagazaji , upewe maua yako best interview ever big up bro
Hapa ninyumbani. Hongera kwa mahojiano mazuri
MashaAllah tabaraka Rahman, kiswahili kwenda mbele haweki English hata kidogo, wangekuwa hao wajinga wengine ,mwaka tu nje atia English, kuwa wakujivunia lugha yetu kiswahili,Allah akubariki twashukuru kwa elimu ya maendeleo
Kaeni hivyo hivyo crown media msije kuwa machawa amen.
Quality Voice & video.. 🔥🔥🔥🔥
Hapa ni nyumbani Crown media 👑 wote tunawapenda
Safi sana, kuna soko kubwa sana la nyama quality hapa hapa Bongo, watalii zote wanakula nyama kutoka nje.
Makala muruwa kabisa! Hongereni Crown Media
nice job big up crown
Kazi nzuri mkuu
Crown mko vzr Sana
Vipindi bora sana wanahabari makini sana
Nice job
Crown ❤🔥🔥🔥🔥
Nzuri sana lkn chanjo nyingi sio nzuri kwa afya ufugaji wa kienyeji ndio bora mimi nimekaa Botswana ng'ombe wanaachiwa mitaani kisha wanarudi wao myumbani chanjo sio sana
Wacha bana,Botswana ipi
@@innocentandrea6482 Botswana ng'ombe wapo huru mimi nimekaa miezi 4 ww umekaa wapi? Nimekaa Metsimuthabe,ndani ya Gaborone naijua Botswana vzr G.West mpaka mlapolole,kopong,Magodisane sehemu hizo ng'ombe wanaachiwa mitaani tu baadae wanarudi myumbani huwezi iba maana wamewekewa kitu hivyo GPS Inawaona...yapo maeneo wanakaa kwenye maeneo makubwa pia maana kule population ndogo mno hivyo wana maeneo ya ufugaji...
Nikweli! Botswana ngombe ni wengi mitaani
@@abdulbiro7656 ndio nimemwambia huyo Botswana naijua vzr sema kuna watu huwa wanabisha tu...Botswana zamani ilikuwa hakuna wezi lkn wakaja wazimbabwe ndio wakaharibu kila kitu..Ni sehemu nzuri sana siasa za magharibi ndio zinaletaga ujinga..Botswana hakuna sonara lkn ukimwambia mtu anabisha hahahaha
This was highly informative
Asante Kiongozi Kwa Darasa Zuri
Crown média ❤
Hiyo Familia Toka Babu ni watu kazi..wapo smart sana..lipo la kujifinza
Hapa ni kwetu
Maua yako temidayo
Ata sikujua @temidayo yupo crown,,,,excellent work.tunategemea kuona zaidi vipindi bora kama hivi
Tunaisubiri Part 2 haraka
Mwandishi pamoja na makala nzuri hujaonyesha ni sehemu gani mahususi hapo Chalinze.
Iko Ubena zomozi ukielekea morogoro ni baada ya mdaula upande wa kulia
Iko Ubena zomoz ukishuka sema tu nataka kufika kwa MBOGO ESTATE
Temidayo 🎉🎉🎉
New millard ayo
Huyu ni zaidi ya milardayo
Hongera sana sana My Son Mulla. Move forward we need Young Boy s like you because foolish young are Many in the world. Well-done job.
Jitaidi sana kuleta maudhui kama haya inaleta hamasa safi sana crown media
Katika maisha yakiafrica hatuna back ground yakuendeleza tulicho nacho Maana familia inakusomesha kwa kuuza hadi mashamba wakitengemea utakapo maliza ili uzirudishe lakn mambo hayawi rahis kias hicho kwahy ndio maana wa Africa wengi Hatuendelei.
My next president mungu akulinde
Temidayo………🎉
Daah aloo hii Ni level nyingine saana🎉
Crown be blessed mungu azidi wabariki❤
Nakubali
Safi sana 🎉🎉
Crown
Themidayo! You're the Best....Good Interview..👏🏽👏🏽👏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mahojiano yenye tija,Asante Mulla,nimevutiwa na water tank lakuweza kuhamishwa kiurahisi,je linapatikanaje?
Hyo inaitwa Embro transfer we do it in our farms, nataman sana unialike tunaweza kufanya kwako pia. niko Dar es salaam alaf nakufaham sana brother nitakuchek kwa maana namba ninayo.
MashaAllah Mr Naweed, Allah akufanyie wepesi in shaa Allah, umeni impress
Saf Sana Crown 🎉
Kipindi Bora kabisa cha maendeleo na uchumi,hongera sana muundaaji na team yako yote...
Crown 👑 medir ni hattari... high qwerlty ❤❤❤
Big up crown 👑 media
Maishallah congratulations my brother nitakuta inshallah
Anazungumza kiswahili kizuri kuliko wa Tanganyika
Watanganyika walirudi ujeruman miaka ya huko nyuma huku kuna Watanzania tu
@@magorymara5515Ahsante jibu zuri
Kazaliwa dar kakulia iringa,, hiyo uingereza miaka minne na nusu ndo ulitegemea ataongea tofaut? Huyo ni mtanzania mweny asili hiyo unayoona
@@salhawaziri1668mbona Harmonize kakulia mtwara lakini kinge king
haya Mahojiano mazuri sana, kuna Madini sana
❤❤❤
Mwandishi jitahidi kumwachia mwandishi akamilishe majibu mathalani swali la mbegu walizoagiza kutoka nje ameanza kutaja ukamhamisha. Hata hivyo kwa kiasi kikubwa uko vizuri.
CROWN MEDIA IMEKUJA VIZURI, ENDELEENI KUTUPA TAARIFA SAHIHI KAMA HIZI
Mahojiano mazuri sana yenye kutoa maarifa💯
Nimemkubali sana huyu mwamba hakika crown wako vizuri sio kama wale wanashindana kuvaa minyororo shingoni.Crown noooma
❤❤❤❤so good
Mungu akusaidie akubarikie akuzidishie ufanikiwe zaidi Yaaaaaarabi Ameeeeeen
Yaan crown media mko juu mno na ndo kwanza mnaanza
CrownMediaTZ nawaona mbali Sana baada ya mda mfupi tu🔥🔥
Baharia kajipanga🤔 sana.. Big up bro.. uko vizuri💯👍👍
Safi sana napataje ng,ombe nipo iringa mafinga
He's my old boss I like him ... he's very smart parson ....
🔥🔥🔥🔥
Mmeleta mageuzi kwel katika tasinia hii nawapa mwaka mmoja mtakuwa top ya TV zote za hapa tz
Hatar crown makin sana
Millard'ayo Temidayo
Camera en video kal sana
❤❤
Voice quality and video quality inafanya inafanya isichoshe kuangalia