MREMBO ANAYEKULA MENDE AFUNGUKA - "NIMEAGIZA GARI SABABU YA BIASHARA YA MENDE"
Вставка
- Опубліковано 30 лис 2021
- MREMBO ANAYEKULA MENDE AFUNGUKA - "NIMEAGIZA GARI SABABU YA BIASHARA YA MENDE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Dada mchafu huyu mende huku wanaishi kwenye mashimo ya maji machafu
Congrats lady!👏
Ann from Dubai
Nimeboreka ww kusema umeagza gar na uko na chumba kimoja cha kupanga daaah 😂
Anautafuta ustaa kwakula wadudu wa ovyo 😏😏
Jongoo watam
Tafuta pesa mdg wangu chapa kazi
Safi sana mm nimekwelewa mdg wangu wa kufuga jmn sio wachafu anawatuza vizuli hao sio wa choni
Uzao wa mende ni kizazi Cha chooni
Mm BaDo nashangaa Mende kabsa
Wala vya chooni mpoooooo
Naitaji awo mende
Mende kama chakula hapana ila kama dawa tumekula wengi
Unaagiza gar wakat upo nyumba y kupanga Tena chumba kimoja
Kanapenda ustar hako
😀😃😄😁😆😅😂🤣
Mchina?
Jaman njo huku kwetu ni wengi adi wanakera
Mmhhhh
Ndugu yao wachina hao
Nahitaji kilo 5nazipataje jmn 🪳🪳
Dada we umevaba ushapagaw hasa na hyo rangi rangi yko mchafu itakuwa we had nahs kinyaa
Mende jamani khaa Dunia yetu ina mambo hiii sijawahi kuona mimi
Uyu mwanamke ni shetani sio bure daah
Dhu!
Mh! Hiikalikuliko.
Haki yamungu me nyumbani kwangu nna mende htr Wana nisumbua Sana Kama anaitaji aje achukue me siwataki kbsaaaaaaaaaaa
Mbegu hiyo ntakujaa kuchukua niaze kufuga iseee eti kaagiza garri kwa biashara ya mende siungo huo ghaa
Jini huyu mwanamke
Mende zinapesa usiombe 😂
Niliwaleta huku majuu kutoka bongo walijificha kwenye begi yaani hata kuwaua nilisikia kinyaa tena wale mende wadogo nikapiga simu kwenye shirika la kuua wadudu wakaja kupulizia dawa ndiyo wakaisha wote
We mtangazaji KUWA mstaarabu kwani wanaopata laki saba NI walimu tu,kama ungesema mshahara wa mtumishi ungepungukiwa nini? Walimu tuna mishahara mikubwa tu kuliko unavyofikiria mfyuuuuuuu
Imekuuma?😂
Muongo uyo
Aje na huku zanzibar aonane na mm mana dukan kwang wananikera na kuniharibia mashine zang za photo coppy
Sijaelewa hao nyuma ni walinzi au?
Chawa haoo 🤣🤣
@@aminakipande5645 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Ooo my God all is is looking money 🤮🙄🙄🙄
Uchafu tu huo