Hivi nyie watz mbana wajinga hivyo? Hapo ni kwasababu mtanzania ndo anafuga ndo maana mnatoa maneno ya karaha, mbona mmeletewa mikuku ya maabara isiyopandwa na jogoo na mnafakamia? Acheni ushamba bwana.
Umesema kuku sio mende na ww unasapoti inamana baada miaka kazaa watu wakianza kugonjwa mtasema wazungu wamewaletea maradhi kumbe mimende mnaokula mnaiga wachina sasa wakati mungu katubariki Tanzania kuna kila aina ya wanyama wakula eti mnakula mende si ujinga huo yakitokea maradhi utarudi kwenye comment yng kuikumbuka.
Mmh ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni. Kuishi kwingi ni kuona mengi.. "kuweni muyaone" hayaa ya TZ ndio hayo ya Mende, ya kenya (wajackoyah) atatufugisha nyoka.!!!!! Tuendeleeni kuishii!!!!🤔
Serekali iangalie hii maana hawa watatuletea maradhi makubwa kma wachina yaani wanyama wote mungu aliotubarikia Tanzania tule mende sasa .alafu watu wakianza kugonjwa museme mmeletewa maradhi na wazungu kumbe maradhi tunayatafuta wenyewe ikiwezeka hawa ni wakufungwa kabisa maana hya masoko yatakuwa mengi baadae dwa wenyewe hospital tabu siku wagonjwa wakiumwa watailamu serekali .
Ila sisi makabila tuna midomo? Watu wanakula panya kusini huko na sijawahi kuona post hapa you tube. Ila mende tu au wapiga camera wote humu ni wakusini?
Huyu ni mchawi tu, Mende ni frusa gani hapa duniani? Huo uchafu una hela gani? Kwanza ungekuwa ndugu yangu, Nisingekuja kukanyaga kwako! Mwanamke mchafu sana!
Hata kama ni chuo cha MENDE UNIVERSITY KULA MWENYEWE
Mama, hongera kwa kazi. Ninaomba tuwasiliane nipate elimu hiyo. Asante
Weka mawasiliano, tuanze kufuga mende,tule mende kwa afya zetu.
Mende ni mende awe wakufugwa au wa chooni hmm! Siwezi kula
Tanzania itasapoti huu ujinga na maradhi karibuni yatakuja Allah awahifadh wenye imani wasikaribie kula uchafu huu n
Maajabu sana
Hivi nyie watz mbana wajinga hivyo? Hapo ni kwasababu mtanzania ndo anafuga ndo maana mnatoa maneno ya karaha, mbona mmeletewa mikuku ya maabara isiyopandwa na jogoo na mnafakamia? Acheni ushamba bwana.
Umesema kuku sio mende na ww unasapoti inamana baada miaka kazaa watu wakianza kugonjwa mtasema wazungu wamewaletea maradhi kumbe mimende mnaokula mnaiga wachina sasa wakati mungu katubariki Tanzania kuna kila aina ya wanyama wakula eti mnakula mende si ujinga huo yakitokea maradhi utarudi kwenye comment yng kuikumbuka.
kazi iendelee
Hahaaa mama mende anasisitiza uwii
Mungu amekushukia kwa mende😌😌hii dunia imefikia kikomo
Jamani soko la mende inapatikana wapi ndio nianze niko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Suphanallah siwezi kula
Cijawi jua ikiwa mendes wanaliwa
Mmm mwisho mtatuletea.magonjwa.ya ajabu no.kweli
Uwiiiii jamani anawala duu
Wanaokula senene na kumbikumbi.........ata mende mnaweza kula bhana
Daah kweli Aisee hata appearance ya bi mkubwa inaonekana ilivyokuwa na nuru
Mama katisha.
Wewe mama nitakutafuta inshaallah
Endelea mama Usisikilize ya watu Mama mm nataka kufunga Utanipa soko
Namba yako mama
No simu ya mama
kwani wanyama wakufuga hawapo jamani
Yupo morogoro seem gani
Kila mtu na mtazamo wake.
Hayaingii akilini hata kidogo
Apo sipo mm.ata unipe bure shikamoo mama mende
Mbegu umempata.wapi?
Tutaona mengi wallah
Mmmmmh kwako siwezi kula nisije hara🤣🤣🤣
Nahitaji mbegu ya mende napataje niko Kigoma
Mchawi
Kwaajili ya ela cyo nile
Mama huo mwanzo ila soko likinoga mpka Wa chooni watauzwa masokoni waafrika htuna dogo.
Inatia hamasa daah.....!!
Ila wanavitamen. Mana hata paka 🐱 akiwa anakula mende ananenepa vizuri paka 🐈
MMMMH
WACHINA KUMBE TUPO NAO !!!!
mh m naua mende.nikimuon namuua stak at kumuona mende mimi
Solo lake liko wapi? Yap wanaonunua mbegu baadaye watauza wapi?
Is she normal ?l can't eat cocroch, naweza fuga ni uze but siwezi kula.
Kadiri ninavyoishi nazidi kuona mengi😂😂😂😂ule msemo wa kua uyaone ndo nayaona sasa haya mama kazi iendelee
🤮🤮🤮🤮 unikome wee mama mende!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣tena akome na uchafu wake cjui likabila gn nyoooooo
@@user-le9lb8oc8d yaani dah!mijitu mingine sijui ipo vp...hata kama sio kwa fursa hiyo.
Nikienda kwake hta maji sinywi
Mmh ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni. Kuishi kwingi ni kuona mengi.. "kuweni muyaone" hayaa ya TZ ndio hayo ya Mende, ya kenya (wajackoyah) atatufugisha nyoka.!!!!! Tuendeleeni kuishii!!!!🤔
Na inaonesha ukitoka kijasho cha kwapa hapakaliki mana hao mende wana kikupuu cha ajabu
Hila huyu Mama nimupambanaji kabisa.Mende kanenepa pia safi.apa anatumia pesa na usihisi nimchezo.
Mimi nataka mbegu nifuge mama mende yakaa Hao watamu kweli
Mende ni mende 2
Hawa ndo wanaleta magonjwa duniani...magonjwa ya mlipuko kila siku like why mende...wanyama wakuwala wapo wengi sana jmn
Like WTF
Maana yake apo kwanza ncheke
Kweli unayosema wakianza kuanguka kma wachina waseme maradhi wameletewa.
Serekali iangalie hii maana hawa watatuletea maradhi makubwa kma wachina yaani wanyama wote mungu aliotubarikia Tanzania tule mende sasa .alafu watu wakianza kugonjwa museme mmeletewa maradhi na wazungu kumbe maradhi tunayatafuta wenyewe ikiwezeka hawa ni wakufungwa kabisa maana hya masoko yatakuwa mengi baadae dwa wenyewe hospital tabu siku wagonjwa wakiumwa watailamu serekali .
Anapatikanaje huyu mama???
Mawasiliano n.k
Uyu chizi
Mama mende uyo mmh
Hahaha mama mende
Duniani kuna mambo
Haya tunaotumia vipodozi kumbe tunapaka mende
🤣🤣🤣
Sa iv unao mende wangapi
Aise WACHINA NDIO WAMETULETEA BALAA HII hata maackrel nadhani nyoka
Ila sisi makabila tuna midomo? Watu wanakula panya kusini huko na sijawahi kuona post hapa you tube. Ila mende tu au wapiga camera wote humu ni wakusini?
Siyo panya tu mm nipo hap Masasi watu wanakula CHURA, sembuse Mendes? Kula mama nitakupa order nitumie
Mama mende,tahadhali tuheshimiane
🤣🤣🤣🤣🤣
Heshima inashuka😂😂😂
Kama utanipa soko nitumke Namba Nianza kufunga
Kama mende ina tumika kutengeneza vipodozi basi mm na vipodozi kwisha yani niacha kabisa
Hahahaaaaaaa
Mawasiliano mimi nataka kufuga.
Uchafu wtz mende tena
Anajuaje huyu n dume au jike kwa anaowauzia maana nao wanataka wafuge.
Mbona wamenishawishi baada ya kukaangwa😋😋👌🤦🤦🤮🤮
Kiranga komo ...looh uchafu tu
🙄🙄🤣😂💦
Mende anazaa watoto wangapi
Haram na pesa yake ni haram tu
Huyu ni mchawi tu, Mende ni frusa gani hapa duniani? Huo uchafu una hela gani? Kwanza ungekuwa ndugu yangu, Nisingekuja kukanyaga kwako! Mwanamke mchafu sana!
Uchawi ni mwisho wa utashi wako wa kufikiri.
Mende ni dili wewe!!!!
Watu wanakula nyoka sembuse mende?
KALAGA BAO😂
@@georgematahimba5242 apo kwenye kalakabao 😂😂😂😂😂
Mm nafuga kunguni Ila solo sijapata msaada waungwana
@@leilajohn4600 😂😂😂
@@leilajohn4600 hebu tulieni jaman mnatuvunja mbavu
🤮🤮🤮🤮🤮