HUSNA SAJENTI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA ALIVYOACHANA NA CHALZ BABA
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- HUSNA SAJENTI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA ALIVYOACHANA NA CHALZ BABA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Najionaga natendwa sana kwenye mahusiano lkn kwa hili pole sajent nakiri umepitia magum kuliko mimi👏👏👏
Usina wangu jamanini nampenda uyu dada kwanza ongeya yake2 ataki taabu❤❤😍
Usijal my sister ndio challenges za dunian
Mashaallah she so beautiful
Kahaba 😆🤣😂
Acha dada atoe sumu kweye moyo wake nani ambaye hajui changamoto za mausiano akuna mwingne anayeweza kumzungumzia gabo kwenye mausiano isipokuwa yeye amaye alikuwa nae kwenye mausiano
Pole. Dada husna kama. Usemayi ni sahihi wanawake tunapitia meng sna ndio Maan tunaonekana Malaya kumbe mtu unapitia majaribu meng ndio Maan una badil wanaume sio kwa kupenda
Ila inshallah Dada pamban we ni shujaa kulea watot peke yako ni ujasir
Inshallah
Inshallah kipenz💖💖💖💖💖💖💖
Weng tumepitaia huko
Pole dia.kumbe uyu dada nimpole sana 💕💕💕💕
Daa!!dunia hii kila mtu ana pito lake ambalo akilikumbuka huwa ninachoma moyo Ila Mungu wetu Ni mwema hutupitisha fasta na kututoa na kuwa sawa pole sagent😭😭😭😭I know how u feel
Naam mmy😥😥😥😥
Pole sana my dear mungu ndio mfariji wako
Ndio ubaya wa kutokufata mwenendo wa maisha. Mwanamke subiri uolewe utolewe kwenu kwa heshima na ndoa
Nahisi Kuna udhaifu unao Lakini pia nakuombea uje upate tulizo la moyo..Kila mtu ana mapungufu yke ukipata mtu anakuelewa utadumu nae pole husna pole sana
Mimi nashangaaa wadada waa mjini hawa maarufu wanang’ang’aniaga kuwa katika mahusiano au maisha ya ndoa kuolewa au kuowa na mastaaa wenzao ukiangalia mastaaa wenzao hawana maisha mazuri wana feki maisha wanabangaiza sanaa haijawalipa bado masikini Ila ukiwatoa Diamondplatnumz harmonize na alikiba sio wasaniii maskini hao ni matajili na wanamafanikio makubwa kimaisha na kisanaa wangekuwa wanadate na wanaanzisha mahusiano au ndoa maisha kuolewa na kuoa na watu wa kawaida mashabiki zao unakuta wengine wamefanikiwa sana kimaisha mashabiki zao mabilionea na mamilionea zaidi ya wasaniii wenyewe
Loo gabo,hata hafananii🙌😥
Wasafi sauti zinazosikika kwetu zipo chini sana jaribuni kuchuja muongezee
innalilah wa innalilah rajiun
Pole Aneth jamani
Pole majina yangu ❤️
Pole Husna nakupenda sana hayo yote maisha tu
NAWAKUMBUSHA NAKUKUMBUSHA NAHUYU DIVAAA MSIPO BADILIKA MTALIAA SANA SANAA KWASABABU MUNA KUA WAJEURI KISA MUNAJIONA MUSHANZA KUJIWEZA KIPATO AU UZURI MLIONAOO TENA MNAPO KUTWA NDIO MNAJILIZA KWA WATUU HUYU KAMA SIKU GABO AKIJA KUONGEA MABAYA YAKE TUTAZIBA MDOMOOO
pole sna
Nimeumia nasio mimi 🥺🥺🥺😭😭😭😭😭😭
Pole sana mpenz awa wanaume wanaushetan wahali ya juu awafikiliag wakiamua wao ufanya tyu
Yani wanaume,
Pole sana dada angu ndio dunia dada
Hee jamani😳😳
Shampoo wanaume mtupendao na kutuumiza sometimes dah
Nakupend jmn
Ki ukweli umepitiya mengi sana
If una zungmza kweli.
Ila vazi lako kuikweli ume tu angusha kama waislam.
Pole sana
Sa hiyo nguo kuacha maziwa nje ndo nn?
Mmhh
Pole sana dada kuna wanaume wengine hawajui vitu vizuri
Pole nimitiani
Na ma actress wamezidi ukahaba mastaa wote watatembea nao
Kwa gabo ni jeuri sanaaa kiukweli ni yule mwanaume asiejishusha kwa mwanamke
Mwanaume atakuwa anacheza michezo ya kuigiza hebu tuacheni bwanaa
@@pettywilliam4492 jiachie mwenyewe kwani umeshikwa!!!
Inauma jamaan pole sana husna
Asee polee ila nmekupenda ni jasiri nanimpolee sanaa kiukweli ila nimapito na nimdhurii
Usilie dada wanawake tunachangamoto sana kila mtu anayake
Wee dada acha uwongo kila mwanaume anakukosea wewe tu halafu kwako kuwe hakuna shida?..mbona gabo alikufumania husemi acha ufala wewe acha wanaume wakunyooshe tu.
🤔🤔🤔
Mhh huyu mwanamke ana matatizo buana kila mwanamke yeye kwake ana makosa inabidi ajitizame yeye kwanza iliajitibu tatizo lake la sivyo utatumika sana dada
Wanaume ni mbwa mbwa wa kutupiwa kabisa hakuna mwanamke alie nusurika kwa mwanaume
Jamani wanaume kwanini lakini
Huyuu anamatatizoo nasio. Kwamba anakosewa yeye tu kwanza waiteni nahao watu waje waseme naoo tabia zake 🤑🤑🤑🤑
Tusiwe tunajudge upande mmoja maana kwenye mahusiano kuna mengi yanatokeya ambayo wahusika peke na Mwenyezimungu ndiye wanajuwa🙏🙏
Kabisa aise km haupo kwenye ndoa unaweza kutulaumu wanaume lkn wanawake sio mchezo aise mwanaume unavumilia mpaka unachoka
safi sana wewe umeelewa point yangu kaka
@@ibrahimstrickersurvive6687 kaka mm nipo kwenye ndoa nayajua ndugu yangu, unajua ss wanaume sio wa kuongea sana unaweza kuwa unajua kabisa mkeo sio mwaminifu kwenye ndoa kwa kifupi unakaziwa na wwnzio lkn husemi na ww unajipanga sasa ukashakuwa tayari ndiyo hayo huwa yanatokea lkn wa kwanza kulalamika ni mwanamke lkn kama wanaume tunaongea mambo yetu hadharani ingekuwa hatari sana.
dah kaka unanifurahisha sana na maneno unayo ongeya upo sahihi tumuachiye tu Mwenyezimungu piya tumuombe atupe watu sahihi ndugu yangu
@@ibrahimstrickersurvive6687 kabisa kabisa kaka kikubwa ni kumuomba Mungu tu
Nyinyii wanawake wakitanzani mna kua wajeurii sana na mna kua namamneno sana ila mnapo fikwa namattzo nawale watu mliokuanao hawajanguka basi munajifanya mmeumiaa mnajiliza UPUUUZII MSOPO BADILIKA MTAENDELEA KUMIAA IVO IVOO.
Hiii ni kawaida sana kwa wanawake wakisha achana utasikia mazaifu ya mwanaume mengi na kutolewa utu
Ila asilimia 70 ya wanaume wakiachana na wanawake zao huwez sikia akimzungumza kwa ubaya hapa kuna tatizo kubwa kuliko mnavyofikiri
SI wanaume wa kileo haujawasikia wanaume wenzio au ndiyo mashoga?
Makahaba yakuona yameshindwa ndoa bas yakiona mtu katulia kwenye ndoa nyengine bas yanakosa amani acheni ukahaba ma mbwa nyie
Nyie mynao ojuwa pia muwajinga ivi uyo diva hajawahi kumizwa kimapenzi mbna yy asemi yake
Nyie wanaume hawaaminiki jamani
Saut iko chini san aise au mm tyu
Tatizo nyonyo wazi mpaka mnakera wanawake khaaa😒
Kanikera
Pore san. Dad. Wanauma
Hili tangazaji baya ndomana halivuagi miwani
Jomon
Acha wivu
Hahaaaaa
@@tatualmazrui5945 wivu kwa kahaba angekua demu anaejielewa sawa ningeona wivu..hiv ww unafikiri Gabo mjinga kiasi hicho aache kutafuta wife material akachukuwe kahaba.... mwanamke akifikia kuzaa na mtu kabla ya ndoa ujuwe hajielewi huyo kichwani kipa katoka ukimuowa bsi pia anaweza kubeba mimba sio yko akakuzalia mbegu nyengine
f
ua-cam.com/video/DuZimIrcq6c/v-deo.html
Wasikilize watani wa jadi
Simba vc yanga ,,,, hhh
Hyu dada ndo mpuuzi Sana haiwezekani wanaume wote Wana matatizo yeye ndo ana matatizo
Malaya
Hahaha mtumwa FUKO
Mara Gabo mara Charles baba unahisi mkosa nani hapo