HUSNA SAJENTI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA ALIVYOACHANA NA CHALZ BABA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • HUSNA SAJENTI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA ALIVYOACHANA NA CHALZ BABA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 79

  • @jamilamadaraka5224
    @jamilamadaraka5224 2 роки тому +12

    Najionaga natendwa sana kwenye mahusiano lkn kwa hili pole sajent nakiri umepitia magum kuliko mimi👏👏👏

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 2 роки тому +17

    Usina wangu jamanini nampenda uyu dada kwanza ongeya yake2 ataki taabu❤❤😍

    • @shishbae6754
      @shishbae6754 2 роки тому +1

      Usijal my sister ndio challenges za dunian

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 2 роки тому +7

    Mashaallah she so beautiful

  • @sagilododomamedelipeter1893
    @sagilododomamedelipeter1893 2 роки тому +32

    Acha dada atoe sumu kweye moyo wake nani ambaye hajui changamoto za mausiano akuna mwingne anayeweza kumzungumzia gabo kwenye mausiano isipokuwa yeye amaye alikuwa nae kwenye mausiano

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 роки тому +5

    Pole. Dada husna kama. Usemayi ni sahihi wanawake tunapitia meng sna ndio Maan tunaonekana Malaya kumbe mtu unapitia majaribu meng ndio Maan una badil wanaume sio kwa kupenda
    Ila inshallah Dada pamban we ni shujaa kulea watot peke yako ni ujasir
    Inshallah
    Inshallah kipenz💖💖💖💖💖💖💖
    Weng tumepitaia huko

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 роки тому +8

    Pole dia.kumbe uyu dada nimpole sana 💕💕💕💕

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 роки тому +15

    Daa!!dunia hii kila mtu ana pito lake ambalo akilikumbuka huwa ninachoma moyo Ila Mungu wetu Ni mwema hutupitisha fasta na kututoa na kuwa sawa pole sagent😭😭😭😭I know how u feel

  • @aminaibrahim4148
    @aminaibrahim4148 2 роки тому +3

    Pole sana my dear mungu ndio mfariji wako

  • @fatma2496
    @fatma2496 2 роки тому +6

    Ndio ubaya wa kutokufata mwenendo wa maisha. Mwanamke subiri uolewe utolewe kwenu kwa heshima na ndoa

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 2 роки тому +4

    Nahisi Kuna udhaifu unao Lakini pia nakuombea uje upate tulizo la moyo..Kila mtu ana mapungufu yke ukipata mtu anakuelewa utadumu nae pole husna pole sana

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому +6

    Mimi nashangaaa wadada waa mjini hawa maarufu wanang’ang’aniaga kuwa katika mahusiano au maisha ya ndoa kuolewa au kuowa na mastaaa wenzao ukiangalia mastaaa wenzao hawana maisha mazuri wana feki maisha wanabangaiza sanaa haijawalipa bado masikini Ila ukiwatoa Diamondplatnumz harmonize na alikiba sio wasaniii maskini hao ni matajili na wanamafanikio makubwa kimaisha na kisanaa wangekuwa wanadate na wanaanzisha mahusiano au ndoa maisha kuolewa na kuoa na watu wa kawaida mashabiki zao unakuta wengine wamefanikiwa sana kimaisha mashabiki zao mabilionea na mamilionea zaidi ya wasaniii wenyewe

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 місяці тому +1

    Loo gabo,hata hafananii🙌😥

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 2 роки тому +7

    Wasafi sauti zinazosikika kwetu zipo chini sana jaribuni kuchuja muongezee

  • @salha6596
    @salha6596 2 роки тому +1

    innalilah wa innalilah rajiun

  • @jacklinekanunu5390
    @jacklinekanunu5390 2 роки тому +2

    Pole Aneth jamani

  • @ItsHusna528
    @ItsHusna528 2 роки тому

    Pole majina yangu ❤️

  • @sailicekomba8075
    @sailicekomba8075 2 роки тому

    Pole Husna nakupenda sana hayo yote maisha tu

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 2 роки тому +1

    NAWAKUMBUSHA NAKUKUMBUSHA NAHUYU DIVAAA MSIPO BADILIKA MTALIAA SANA SANAA KWASABABU MUNA KUA WAJEURI KISA MUNAJIONA MUSHANZA KUJIWEZA KIPATO AU UZURI MLIONAOO TENA MNAPO KUTWA NDIO MNAJILIZA KWA WATUU HUYU KAMA SIKU GABO AKIJA KUONGEA MABAYA YAKE TUTAZIBA MDOMOOO

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 роки тому +1

    pole sna

  • @HarimahtheAnny
    @HarimahtheAnny Рік тому

    Nimeumia nasio mimi 🥺🥺🥺😭😭😭😭😭😭

  • @esternolvin9501
    @esternolvin9501 2 роки тому

    Pole sana mpenz awa wanaume wanaushetan wahali ya juu awafikiliag wakiamua wao ufanya tyu

  • @anastaziakituku3983
    @anastaziakituku3983 2 роки тому +2

    Yani wanaume,

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 2 роки тому

    Pole sana dada angu ndio dunia dada

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 2 роки тому

    Hee jamani😳😳

  • @beatricethomas2083
    @beatricethomas2083 2 роки тому

    Shampoo wanaume mtupendao na kutuumiza sometimes dah

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 2 роки тому

    Nakupend jmn

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 2 роки тому +1

    Ki ukweli umepitiya mengi sana
    If una zungmza kweli.
    Ila vazi lako kuikweli ume tu angusha kama waislam.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 місяці тому

    Pole sana
    Sa hiyo nguo kuacha maziwa nje ndo nn?
    Mmhh

  • @mathewjohn8740
    @mathewjohn8740 2 роки тому

    Pole sana dada kuna wanaume wengine hawajui vitu vizuri

  • @امينهعلي-ض5ث
    @امينهعلي-ض5ث 2 роки тому

    Pole nimitiani

  • @dr.madevualcantara4775
    @dr.madevualcantara4775 2 роки тому +3

    Na ma actress wamezidi ukahaba mastaa wote watatembea nao

  • @khadijahilal3016
    @khadijahilal3016 2 роки тому +1

    Kwa gabo ni jeuri sanaaa kiukweli ni yule mwanaume asiejishusha kwa mwanamke

    • @pettywilliam4492
      @pettywilliam4492 2 роки тому

      Mwanaume atakuwa anacheza michezo ya kuigiza hebu tuacheni bwanaa

    • @khadijahilal3016
      @khadijahilal3016 2 роки тому

      @@pettywilliam4492 jiachie mwenyewe kwani umeshikwa!!!

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Рік тому

    Inauma jamaan pole sana husna

  • @GiftIddy-k2f
    @GiftIddy-k2f 10 днів тому

    Asee polee ila nmekupenda ni jasiri nanimpolee sanaa kiukweli ila nimapito na nimdhurii

  • @naomimwampondele3905
    @naomimwampondele3905 Рік тому

    Usilie dada wanawake tunachangamoto sana kila mtu anayake

  • @MtuSafi
    @MtuSafi 2 роки тому +1

    Wee dada acha uwongo kila mwanaume anakukosea wewe tu halafu kwako kuwe hakuna shida?..mbona gabo alikufumania husemi acha ufala wewe acha wanaume wakunyooshe tu.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому

    🤔🤔🤔

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 2 роки тому +1

    Mhh huyu mwanamke ana matatizo buana kila mwanamke yeye kwake ana makosa inabidi ajitizame yeye kwanza iliajitibu tatizo lake la sivyo utatumika sana dada

  • @zoab2699
    @zoab2699 2 роки тому

    Wanaume ni mbwa mbwa wa kutupiwa kabisa hakuna mwanamke alie nusurika kwa mwanaume

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 2 роки тому

    Jamani wanaume kwanini lakini

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 2 роки тому +1

    Huyuu anamatatizoo nasio. Kwamba anakosewa yeye tu kwanza waiteni nahao watu waje waseme naoo tabia zake 🤑🤑🤑🤑

  • @ibrahimstrickersurvive6687
    @ibrahimstrickersurvive6687 2 роки тому +1

    Tusiwe tunajudge upande mmoja maana kwenye mahusiano kuna mengi yanatokeya ambayo wahusika peke na Mwenyezimungu ndiye wanajuwa🙏🙏

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 2 роки тому

      Kabisa aise km haupo kwenye ndoa unaweza kutulaumu wanaume lkn wanawake sio mchezo aise mwanaume unavumilia mpaka unachoka

    • @ibrahimstrickersurvive6687
      @ibrahimstrickersurvive6687 2 роки тому

      safi sana wewe umeelewa point yangu kaka

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 2 роки тому

      @@ibrahimstrickersurvive6687 kaka mm nipo kwenye ndoa nayajua ndugu yangu, unajua ss wanaume sio wa kuongea sana unaweza kuwa unajua kabisa mkeo sio mwaminifu kwenye ndoa kwa kifupi unakaziwa na wwnzio lkn husemi na ww unajipanga sasa ukashakuwa tayari ndiyo hayo huwa yanatokea lkn wa kwanza kulalamika ni mwanamke lkn kama wanaume tunaongea mambo yetu hadharani ingekuwa hatari sana.

    • @ibrahimstrickersurvive6687
      @ibrahimstrickersurvive6687 2 роки тому

      dah kaka unanifurahisha sana na maneno unayo ongeya upo sahihi tumuachiye tu Mwenyezimungu piya tumuombe atupe watu sahihi ndugu yangu

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 2 роки тому

      @@ibrahimstrickersurvive6687 kabisa kabisa kaka kikubwa ni kumuomba Mungu tu

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 2 роки тому +1

    Nyinyii wanawake wakitanzani mna kua wajeurii sana na mna kua namamneno sana ila mnapo fikwa namattzo nawale watu mliokuanao hawajanguka basi munajifanya mmeumiaa mnajiliza UPUUUZII MSOPO BADILIKA MTAENDELEA KUMIAA IVO IVOO.

  • @doubleseven7750
    @doubleseven7750 Рік тому

    Hiii ni kawaida sana kwa wanawake wakisha achana utasikia mazaifu ya mwanaume mengi na kutolewa utu
    Ila asilimia 70 ya wanaume wakiachana na wanawake zao huwez sikia akimzungumza kwa ubaya hapa kuna tatizo kubwa kuliko mnavyofikiri

    • @joycesamwely7896
      @joycesamwely7896 Рік тому

      SI wanaume wa kileo haujawasikia wanaume wenzio au ndiyo mashoga?

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 2 місяці тому

    Makahaba yakuona yameshindwa ndoa bas yakiona mtu katulia kwenye ndoa nyengine bas yanakosa amani acheni ukahaba ma mbwa nyie

  • @janebalozy2845
    @janebalozy2845 2 роки тому

    Nyie mynao ojuwa pia muwajinga ivi uyo diva hajawahi kumizwa kimapenzi mbna yy asemi yake

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 2 роки тому

    Nyie wanaume hawaaminiki jamani

  • @florajames7558
    @florajames7558 2 роки тому

    Saut iko chini san aise au mm tyu

  • @rahelimuhehe7068
    @rahelimuhehe7068 2 роки тому

    Tatizo nyonyo wazi mpaka mnakera wanawake khaaa😒

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 2 роки тому

    Pore san. Dad. Wanauma

  • @dr.madevualcantara4775
    @dr.madevualcantara4775 2 роки тому +1

    Hili tangazaji baya ndomana halivuagi miwani

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 2 роки тому +1

      Jomon

    • @tatualmazrui5945
      @tatualmazrui5945 2 роки тому

      Acha wivu

    • @husnamfuko6136
      @husnamfuko6136 2 роки тому +1

      Hahaaaaa

    • @dr.madevualcantara4775
      @dr.madevualcantara4775 2 роки тому

      @@tatualmazrui5945 wivu kwa kahaba angekua demu anaejielewa sawa ningeona wivu..hiv ww unafikiri Gabo mjinga kiasi hicho aache kutafuta wife material akachukuwe kahaba.... mwanamke akifikia kuzaa na mtu kabla ya ndoa ujuwe hajielewi huyo kichwani kipa katoka ukimuowa bsi pia anaweza kubeba mimba sio yko akakuzalia mbegu nyengine

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson4721 2 роки тому

    f

  • @VEVOTV-d1z
    @VEVOTV-d1z 2 роки тому +1

    ua-cam.com/video/DuZimIrcq6c/v-deo.html
    Wasikilize watani wa jadi
    Simba vc yanga ,,,, hhh

  • @athumaniabdu8903
    @athumaniabdu8903 2 роки тому

    Hyu dada ndo mpuuzi Sana haiwezekani wanaume wote Wana matatizo yeye ndo ana matatizo

  • @allymwanjala9848
    @allymwanjala9848 2 роки тому

    Malaya

  • @anaclethkimoga2454
    @anaclethkimoga2454 2 роки тому +1

    Hahaha mtumwa FUKO

  • @athumaniabdu8903
    @athumaniabdu8903 2 роки тому

    Mara Gabo mara Charles baba unahisi mkosa nani hapo