Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.
Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye
Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.
Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.
Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka
Wewe ni mwongo sana sana sana unatumika na hayo maroho ya uongo kusubua waomini ambao hawajakomaa na kuwaibia pesa eti watoe ili iwe hivi na vile kazi imekuwa ni kubabaisha watu wa mungu kills uchao naomba atakaye kusukia asichukulie kitu ni udaku wa shetani mtu uota na pale ameleliwa mungu hana mabaya juu ya watu wake. Ni shetani tuu ndiye anayo hayo unasema ndiye unatikia mungu akuokoe kabisa
Haya mambo ni kweli km hujaguswa lazima utasema Mungu hayupo ila akikuvusha ukawa una ushuuda nae hakika hutojutia maisha utakiri kumbe Mungu ni bwana karibu ukombozi uoneshwe mambo makubwa usio yajua.Na sikuzote binadamu Wana maneno ila Mungu analo neno Moja tu km simba wa yuda anapounguruma watu upona.
Kuna hii ndoto nashinda kuota, Nimelala kwa nyumba yenye side moja haina ukuta na mvua inanyesha ndani na tunanyeshewa na watoto . Jamani pastor niombee.
Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini
Asante mtumishi, MUNGU akubariki mtumishi naomba Masada wa maombi sababu naota kila Mara niko kwenye mtiani na siumalizi ndoto hii inajirudia tafadhali nisaidie.kwa maombi.
Amen baba yangu, Mungu akuongeze utukufu hata utukufu, Roho wa Mungu yuko ndani yako hakika.
Thank you pastor.pray for me I had such a dream at night.i was in my village where I used to be many yrs ago.
Amen that pastor is talking the truth do not judge him he is truly a man ofGod
Niombee pastor mm kila siku nipo shuleni tena mazingira ya nyumbani kule huku nishaolewa
Bwana YESU CHRISTO asifiwe mtumishi wa Mungu, mimi naishi marecani , kwakweli izo ndoto mimi naziota sana nikiwa afrcan pia nikiwa darasani Mungu nisaidiye
Asante babaa niombee mm mara nyingi naota Niko darasan kufanya mtihan mara kwa mara sana mungu anisaidie
Merci kwa mafasirio mimi ni Pasteur magnifique.
Pole
Na mimi jamani
NAMI poa pastor
Ndoto hii inanitesa sana na mimi
Amen MTU wa mungu mungu hazidi kukutumia said Na zaid
Mungu ndoto m mbaya uzifute kwajina lakopeke yako. Mungu AMEN AMEN AMEN
Miungu akubaliki pastor hizi ndoto mbili nimekuwa nikiota nipo nafanya mithihani simalizi na nipo kijijini sikuelewa tuombee mtumishi wa mungu
Niliota na ng'ombe wengi sana kijijini chetu na waliogopesha sana..walikua brown in color yamaanisha nini??
Mafundisho ya mashetani ndo HYa. Hakuna Roho mtakatifu hapo. Hubiri Kristo na Sio ndoto. Ww unayeota ndoto badili mfumo wako wa maisha na mawazo hata chakula tu. Hakuna maadui. Adui yetu ni mmoja tu shetani ambaye ukitoka ushamshinda.
😂😂😂😂😂
Mimi nimeota maiti 4 wakiwa wamelazwa ndani ya jeneza zikiwa ndani ya magari maa nne aina ya Nissan maanake?
Ameen mtumishi ndoto hizi Huwa naziota sana nahitaji msaada
Niliota ndoto hiz last year jumba mbovu then niko shule lower class Mungu nakataa ndoto hiz kwa damu ya Yesu christo
Bwana asifiwe mchungaji, nahitaji maombi , hizo ndoto zote umeongelea huwa sinanikujia mara kwa mara nashindwa kuelewa shida ni nini, nashukuru sana kunifanya nielewe maana yake, barikiwa sana mchungaji.
Amen pastor me huota ile ndoto ya pili na ya tatu nafanya mtihani tena najikuta natembea kijijini
Me pia
Amina. Mungu akulinde daima
Amina mtumishi mungu awatie nguvu mtumishi
Asante mtumishi kwa somo zuri
Mm huwa naota Sana ndoto no 3 eeeh mungu niepushe na hili
Aminaaa mtumishi.ni kweli kabisa
Bwana yesu asifiwe,mm hivi jana nimeota nimerejea kutoka Saudi manake mm nko huku na sikuona nikigia kwetu nyumbani bali niligia kwenye kusanyiko la watu wa mungu kama ulikuwa mkutana na wale wote walio kuwa hapo ni wakanisa nililo lelewa kiroho na wote walikuwa gala mvua ikaaza kunyesha ikatulazimu tuigie ndani nilipo igia,wadada nawajua walikuwa wakinisalimu kwa mshagao na furaha huku mwaki nidakua eti mtoto wa fulani amerejea kutoka majuu ghafula nika gutuka
Mungu akupe maisha maref nabii uzdi kutufumbua macho
Mungu akubariki
Amen baba ubariwee
Amina na mm naota sana nkiwa kijijin nyumban
Amina umbarikiwe
Wewe ni mwongo sana sana sana unatumika na hayo maroho ya uongo kusubua waomini ambao hawajakomaa na kuwaibia pesa eti watoe ili iwe hivi na vile kazi imekuwa ni kubabaisha watu wa mungu kills uchao naomba atakaye kusukia asichukulie kitu ni udaku wa shetani mtu uota na pale ameleliwa mungu hana mabaya juu ya watu wake. Ni shetani tuu ndiye anayo hayo unasema ndiye unatikia mungu akuokoe kabisa
Nimeota kipindi kilefu mimi. Mpk now nasubili hayo majibu. Naomba tu yasitokee
Usimhukumu anachokisema kiko sahh
Haya mambo ni kweli km hujaguswa lazima utasema Mungu hayupo ila akikuvusha ukawa una ushuuda nae hakika hutojutia maisha utakiri kumbe Mungu ni bwana karibu ukombozi uoneshwe mambo makubwa usio yajua.Na sikuzote binadamu Wana maneno ila Mungu analo neno Moja tu km simba wa yuda anapounguruma watu upona.
Nisaidie baba Mimi kijana maisha yangu yamekuwa ni yakuwa na mawazo abaya kwenye hakili yangu
Ni kweli mtumishi DAMU YA YESU ITULINDE KILA WAKATI SAA DAKIKA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYE HAI
Hello pastor I had the fast two dreams for sometime now the problem is the pastor of this days want money when praying for you
MIMI ya kufanya mtihani ndio huwa naota sana, any pastor who can help us?
I am a muslim lakini unasema ukweli✌️✌️✌️
Kweli mtumishi mm Mara nyingi naota nipo Kijiji kwetu nilikuwa cjajua maana yake nashukuru mtumishi was mungu fro zambi
Mimi iyo ndoto ya kurud kijijin naoyota sana naomba uniombee mtumishi wa mungu
Ameen baba
Mungu awabariki kwa utumihi wenu
Ameen mtume mimi.nilikuwa naota sana nipo kwenye nyumba mzuri na kijana wakizungu sijui maana yake nini mtume
Amen mtumishi
NAOMBA mkaanzishe FACE BOOK Chanell.. kama mano nijulshe , shukran.
Jamani asante ni kweli kabisa hizo ndoto zote niliota nanikasambalatika kiuchumi gafla
I've had those 3 dreams, little did l know they were not good.
Amen
Ndoto ambayo na pinganayo nia kuota upo kijijini eti nimbaya kwaio ukiota upo town ndo uta fanikiwa
😂😂😂
Hujiulizi kwann uote uko kijijini? Umekosa ndoto za kuota... fikiria zaidi!.😊
Ni kweli kbs
Amin .ndoto hizo zimenigusa sana naomba msaada
Ameni,mungu Akupe nguvu,uzidikutufunuliaAmeni
Amen mimi 3 times nalota tuko na mke wangu tuna furayi
Very true kabisa
Pastor mm hizi ndoto zote zenye umezitaja huwa naziota kabisaa
Amen 🙏
Aminaaa
Ubarikiwe
Hiyo ndoto ya mtihani imekua ikiniandama Sana lkn hujasema nin tafsili yake
So why can you do after dreaming
Ni kweli ata mimi ya mitihan nilikuwa naiotaga na nikajuwa ni mbaya ndio matatizo yanaanzaga kwenye ulimwengu wa roho
Mungu.nisaidie
Amen baba, ubarikiwe
Amen.
Amina mtumishi
Amina mtumishi sioni namba
Mi nimeota mala kibao jamani uwhiiiii. Zote hizo Sijui nipo shule mungu wangu mala kijijin
Amina pastor mimi ndoto zote naziota jamani
Niombee mtumishi pia ubarikiwe
Kila mala mi huota nimerudi shuule na pia nimeumwa na nyoka na nguruwe,hii Ina maama Gani?
Mimi huota nimerudi shule yenye nilikuwa nasomea sekondari ....ama nakutana na marafiki wakitambo please pray for me towards that
Namimi naotaga hiviii
Ameen!! Tunafunguliwa kupitia Ufunuo huo wa Ndoto
Naomba namba yako mtumishi me pia mhanga wa kuota ndoto mbaya
Nikweli past hizindoto huwasina nisumbua San sinarudiarudia san
Baba minaziota sana karibu zote asante baba kwa mafundisho mazuri.
Na Kuota ukifanya wedding
Every dream has a meaning..hii ya kufanya mtihani ama kuota umerudi shule very dangerous.
Mchungaji bwana yesu asifiwe
Pastor mm huwa naota nikiwa shuleni ilhali nilitoka shule 2007, please pastor niombe sana.Naitwa Daniel kutoka mwiki.
Me too
Hiyo ya tatu ishawahi ntokea naona Kama wenzangu wamemaliza kufanya mtihan lkn wenzangu wanaona mtihan mwepesi nashindwa kuandika muda nap hauishii
Namba ziko wapi
Mm kila siku nikilala hua naota tulipolelewa na mume wangu tuliachana
Naomba tafadhali nieleze kuhusu Naoto ya kufanya mtihani yaani mimi huwa naota tu kila siku nafanya mtihani ngumu sana na shindwa kumaliza
Amin pamoja sana
Mm nimeota zote 😭
Kuna hii ndoto nashinda kuota,
Nimelala kwa nyumba yenye side moja haina ukuta na mvua inanyesha ndani na tunanyeshewa na watoto . Jamani pastor niombee.
Mimi nilikuwa Nikiota sana nikiwa kijijini na Pia ndoto nikiwa Shuleni nikifanya mtihan na simalizi
Mimi ninaota sana nipo shulechungaji yaani sijui ni kwann na inajirudia sana
Aki mm naota sana ndoto nikiwa kwetu na family ya upande wa babangu
Mungu nisaidie.
Izo ndoto zote uwa naziota na zinajirudia kila mara kilaa mara naota na wanafunzi tulio soma na wao pamoja na walimu na imekua ikijirudia kila mara
Naota nikifanya mtian na wanafunzi tuliomalisa shule miakamingi imepita😊
Nilijenga miaka 5 ilioyo pita nyumba kubwa na nimekua nikiota naishi ndani lakini ikiwa imebomoka na kweli maisha yangu kwa sasa imekua ya kuangaika
Mara nyingi naota Mume wangu kadufuka Hali alishakufa hii Ina maana gani mtumishi
Amen jamani Mimi naota nikiwa Kwa siku za wa mama,hii inamanisha nini
Mungu Akubariki Mimi kilamara naota Nina paa hangani Aki nkifatwa nawatu lakini hawanipati hivi Nina homba unisaidie inamanisha Nini Babangu please
Nzuri sana hiyo upo vizuri sana endelea kumuomba mungutuu
Mi Niko singida nimeota vua inanyesha lakini ilitokea shoti zaywaya za umeme zimeowa mujini muzima ikiwa mpamoja na matunda ya zabarau mengi yamedodoka chini
Mara mbili nimeota nimeenda kwetu na kufanya harusi Kubwa mno. Wiki haikupita nephew wangu mpendwa akafa😭
Nimeinda leo ya kwaza plz nisaindie
Hizi ndoto kwangu ni zote😳😳😳😳🙆🙆🙆🙆ghai
Amen and Amen
Amenj
Jamani Mungu nisaidie mimi nimewahi kuota
Mungu wangu nisaidie mtumishi ndoto hizi 2 nimeziota Leo usiku
Ata kuna mchungaji alisema hayo .ndoto hizo mbaya
Huwa naota mala nyingi sana nipo nyumba
Amen 🙏 , zote mm nimeota kila siku